🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U
@gilbertmushi26914 ай бұрын
Ur the best broo best of luck ✊🏿keep on moving
@joelnanauka4 ай бұрын
Nahiifadhi, nasubiria ukubwa wako🙏
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Amina
@user-kt3bb7mr4e4 ай бұрын
Napenda Sana vile ukitoa somo unaingia kweye somo moja kwa moja huna Mambo mengi ya kumchosha msikilizaji
@FrolaJoram-eg1ng4 ай бұрын
Naona jinsi nnavopiga hatua Kwa kufatilia elimu yako Asante sana
@melodymutio7274 ай бұрын
Amen,mimi nina 48yrs but i believe ican do something after many years of making Mistakes in life,see you at the top!
@godwillmawere55334 ай бұрын
Mungu awe nawe ndg
@victorchiwai88314 ай бұрын
Safi prof joel nanauka.naendelea kujifunza Niko Nairobi,kenya
@AngelMichael-hz8ms4 ай бұрын
really I see you "at the top" napata uelewa zaidi kupitia lesson zako
@dafrosamsonge20074 ай бұрын
Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top
@brackskinyozi32808 күн бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu kw..hii.. video asante sana 🙏🙏🇧🇭🇧🇭
@shukranjulius95264 ай бұрын
Mungu akubariki sana kakaangu umefanyika baraka sana
@user-eb4ri8gi6h4 ай бұрын
I'm from Comoro, Mr Joel you are the true meaning of a life coach God bless you👑🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Thank you so much, let’s keep on learning 🙏🙏🙏
@fabriceabedi86064 ай бұрын
I'm from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩,i just like your speech too much🎉❤
@FAM9254 ай бұрын
mungu akupe maisha malefu kaka nimejifunza mengi kutoka kwako
@user-kw1qi9nu8i3 ай бұрын
Be blessed my mentor nakufatilia since2019 nkiwa form four najifunza kitu .....2024 ni mwaka wangu God be be with me......🔥🔥God bless you 🙏
@MalongoRichard-md5dv4 ай бұрын
Asanteee sana Mr joelnanauka nimebarikiwa sana rafiki Angu
@user-ze9mn4nh9iАй бұрын
asante sana kaka umenipa somo kubwa sana naanza kuyafanyia kazi sasa ili niweze kuishinda hofu yangu Mungu akubariki sana🙌🙏
@alexandermajula72684 ай бұрын
Asante sana Joel 🙏🙏🙏🙏
@fridamwalongo9892Ай бұрын
Asante sana Kaka Joel Nanauka Hakika elimu yako inaniongezea hatua saaana,Najikuta nasonga mbele kwa ujasiri mkubwa kila siku❤🎉
@user-qy7wv3xv4o10 күн бұрын
Napata nguvu mno ninapokusikiliza, mungu akubariki sana.
@paulissayapaul48194 ай бұрын
Nitaijurisha Dunia kuwa thamani yangu inaitajika sehemu furani one day maana wakati sahihi utakapo fika ❤
@mansourkhamis4574 ай бұрын
Speaker Pekee ninaemkubali dunia nzima ni Mr Joel Nanauka 🎉
@jescaaloyce34854 ай бұрын
Ubarikiwe sana bro 😊
@rollahngimbwa69784 ай бұрын
Shukrani sana kaka Joel 🙏🏽🙏🏽, kila siku nifunza mambo mapya. Hakika kila siku nakuza maarifa na fikra zangu kupitia kwako. God bless you kaka Joel🙏🏽🙏🏽
@Fred-Ma4 ай бұрын
Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.
@josephisrael5084 ай бұрын
👏👏 mentor
@kotemakutesi52944 ай бұрын
God bless you
@IsmailHassan-ql8fj4 ай бұрын
Mungu Amemleta Abraham kwa wanaIstraeli❤❤
@swachtech4 ай бұрын
this is the best Joel,you are transforming so many lives out here for real ,God bless you abundantly
@mwashamyusuph75524 ай бұрын
Life transforming thank you Nanauka
@gabrielmhina82164 ай бұрын
Kaka Joel unatisha, ubarkiwe sana. Utatuvusha.
@user-zc9dp6zx7m4 ай бұрын
Asante kwa somo ziri
@Nickbrown1274 ай бұрын
Jamaa anaonekana ni msomaji mzuri wa vitabu. ❤
@user-ru1in1sl9d3 ай бұрын
Love it, najifunza kitu hapa
@user-je8qx8ze8o10 күн бұрын
Nashukuru kwa mafundisho yako bro
@geophreymisheck40313 ай бұрын
Ubarikiwe sana sitachoka kukufuatilia
@kuruthumukondo71494 ай бұрын
Shukrani kaka❤❤
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Naendelea kukufatilia❤❤❤
@marymatenga40384 ай бұрын
Asant sana kwa somo zuri,.tumekuona Mwanza airport leo,tulifrahi.
@joelnanauka4 ай бұрын
Nashukuru sana sana 👏🏽👏🏽
@priscashairock26794 ай бұрын
God bless you Najifunza mno... Maisha yangu yamebadilika
@charlesligonja8574 ай бұрын
Ndugu yangu wewe ni baraka kwa wengi
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Sanaa❤
@lilianjoseph11443 ай бұрын
Noted.see me at the TOP
@user-dc5on6iv5g4 ай бұрын
Kaziyako ni zuri sana kaka Mungu akubariki sana
@user-jh6jf2vr4o9 күн бұрын
Be blessed brother 🙏
@user-us1gn8ln4sАй бұрын
Asante sana kaka
@user-nu6ge7rg7n3 ай бұрын
Kaka zawadi Yako mungu akupe kibali zaidi
@Mama-A4 ай бұрын
I didn't know there's something like Baby friends.....kenya is well represented
@Irene-rt4bf4 ай бұрын
Barikiwa ndugu
@magrethhhayuma60874 ай бұрын
Good motivation
@mohammedrashid29064 ай бұрын
Tunakuchukuru sana
@user-gl4qy4ot8v4 ай бұрын
Bro uko vzir sna ❤❤
@saulamakungu728016 күн бұрын
Mimi waleo ni wathamani sitatumika bure kuanzialeo mimi ni thamani hii miezi 6 iliyoboki nitakuwa wathamani
@mercynathan76514 ай бұрын
Mm N mtu mkubwa sana na nitakuwa tajiri ndani ya miaka mitano Ii kufikia mwaka 2030 lazma niwe tajiri mkubwa Tz
@dorahmatitu25544 ай бұрын
😂😂😂 yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Unapoint nzur sana. Shukran sana
@SkaVin-fz5hf4 ай бұрын
Nzr
@mkilimamoses23114 ай бұрын
Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameeen Ahsante sana sana🙏
@RuthMomanyi-bh3ez4 ай бұрын
NASHUKURU TU MAANA NAJIFUNZA
@AmosBunzari2 ай бұрын
Nimebarikiwa kupitia hisemina naaza kuandaa ushindi
@niriacatering1724 ай бұрын
Asante
@epunguson1234 ай бұрын
Kaka nimekuelewa
@abrahammwambije27694 ай бұрын
Pamoja na kuku fuatilia video zako za kila siku sasa nina hitaji kuhudhulia kwenye semina zako sija jua taratibu zako za simina zako.
@user-mr5ls4dh2d4 ай бұрын
Kaka Mimi nakufatilia sana toka 2019 naninapambana sana wakati unakuja ntatoa nilichokua nafanya kupitia masomo yako
@user-tu8se3oo7u4 ай бұрын
🙏
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um4 ай бұрын
Ni vyema kama serikal ikikupa nafasi wew na tim yako kutoa hii elimu mashulen o-level na advance kwa form 4 na 6 itakua nzur zaid
@Peterhodram4754 ай бұрын
Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon
@rithamalisa46364 ай бұрын
Mm sikufatilii tu bali nafanya n unacho kifundishaa naamin nitakua mtu wa tofauti sana miaka kumi ijayo i will be the best na mungu anisaidie 🙏
@LusanaJohnАй бұрын
Hata mm kuanzia sasa naanza kuishinda hofu yangu
@JamalPaulo-jt1ju2 ай бұрын
NIKIWA NAKUSIKILIZA youtube NI KAMA VILE TUKOWOTE DARASANI . SICHOKI KUKUSIKILIZA . UBARIKIWE SAAANA ,P6
@LusanaJohnАй бұрын
Naomba namba zako
@mahambagislain961814 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🇨🇩
@kabibiscovia91414 ай бұрын
kupitia ww lazm niwe Tajiri 2026, nitakua nimekuza jina lang
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eti chura alikuwa kiziwi alijuwa anapewa moyo❤kumbe walikua wanamcheka😂😂😂😂