No video

JOEL NANAUKA - KWA NINI WATU WANAKUCHUKIA?

  Рет қаралды 35,862

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 140
@LucyMalingumu-xb2vp
@LucyMalingumu-xb2vp Ай бұрын
Daa leo 16/07/2024 nimeludia kuangalia maana yamenikuta mwanzo sikuelewa unamaanisha ila umenifanya nijione mimi nina kitu Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@sumay8817
@sumay8817 Жыл бұрын
Ubinadamu kazi baada ya kujua hayo cpendi mtu anijue sana zamani nilikua nalia sana nikijiuliza
@rehefehe8890
@rehefehe8890 Жыл бұрын
Asante Sana good lesson, mm kazin kwangu boss wangu nikimsalimia haitikii kama akiitikia sauti ndogo cha kushangaza ni mwanamke mwenzangu, nikiomba vifaa vya kazi hanipi, kwenye department yangu sina msaidizi nimeomba nimechoka lakin mungu mkubwa kazi zinaendelea vizur tuu report on time
@MedicalKR1
@MedicalKR1 Жыл бұрын
Nakubale
@elkanachogohe2776
@elkanachogohe2776 Жыл бұрын
Somo zuri Sana nimelipenda
@harunaathumani1672
@harunaathumani1672 Жыл бұрын
Huyo huenda umemshinda uzur au uremboo
@elijohofficial1049
@elijohofficial1049 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😄👍​@@harunaathumani1672
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 9 ай бұрын
Mbarasie
@senbon8693
@senbon8693 Жыл бұрын
Hayo nimeyaona.
@festogeorgekwakala4146
@festogeorgekwakala4146 Жыл бұрын
Mimi ninaye huyo mutu nanifanya nae kaz Ila hataki nijue kaz vizul Kama yeye
@righitkileo
@righitkileo 7 ай бұрын
❤❤kuna watu wan wivu mpaka shetani anawaoqopa.Anataman asikie umekufa asherekee.kisa wivu anataka uteseke,kila unapoqusa pawe pa moto .Lkn wp? Munqu yupo hawez ruhusu.Endeleen kuteseka ❤❤❤❤❤❤❤❤
@saadakungulio-zg2nn
@saadakungulio-zg2nn Жыл бұрын
Ni kweli kabisa brother unapoonyesha kuwa na mafanikio Fulani na wao walidhania utafanikiwa tena kumbe Mungu yupo
@JudithGao
@JudithGao 11 сағат бұрын
Asante Sana SoMo zuri Sana
@joycengolly547
@joycengolly547 Жыл бұрын
Kabisaaa, ndio maisha tunayoishi. Ukitafakari umewafanyia Nini huelewi.
@sophiashoko5593
@sophiashoko5593 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwani haya yamenikuta katika utendaji wangu na yameshusha sana malengo yangu ila mungu ni mwema Kila wakati
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
Umepatia umepatia umepatia tena
@muniraahmed8794
@muniraahmed8794 Жыл бұрын
Brother joel asante mie nimepitia mengi . Hayo uliyotaja pia maana mtu anakuchukia ata hujui kosa nini kweli duniani hutopendwa na kila mtu. Mtihani vo maana ukija kwenye uwezo mtu hajui magumu gani uliyoyapitia mpaka akuonee uchoyo!!
@warrenmuller128
@warrenmuller128 11 ай бұрын
Asante kaka nimewahi kuchukiwa bila sababu mpaka sasa bado nachukiwa hawataki hata kuniona nikiwepo Duniani
@anatolianguma6415
@anatolianguma6415 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka ,aisee Mimi Nina chukiwa sana sehemu yangu ya Kaz af Sina maajabu yoyote kipato kidogo kazi ngumu lakini Kuna watu wanatamani nifukuzwe Leo kesho.
@mariamubarie7109
@mariamubarie7109 Жыл бұрын
Nimeshawahi sana Tena sana
@neemaryan9947
@neemaryan9947 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mr Joel. Mafundisho yaliyoshiba Kama haya Sina pa kuyapata isipokua kwenye chanel hii.
@nursechunga4470
@nursechunga4470 Жыл бұрын
Duuuu!!! makazini kwetu, Mungu atusaidie huko ndiko kwenye vita haswaa!!!
@pascalbeda7415
@pascalbeda7415 Жыл бұрын
Mimi ndo changamoto yangu huu mwaka wa 3, napata shida sana
@pascalbeda7415
@pascalbeda7415 Жыл бұрын
Lakini kwasababu najenga nyumba nzur kuliko nyumba zao
@Tress-dr5rp
@Tress-dr5rp Жыл бұрын
Sante sante kiukweli kaka umenisaidia sana kwenye maisha yangu siku hiz sijali kabisa mtu akiibuka TU na kuninununia kunisema vibaya mbaya Zaid Mungu anazidi kuniinua viwango vya ju wanabaki kuniita mchawi sijali ndo kwanza napambana na maombi na kuongeza KAZI kwa biashara yangu Dunia hi kero TU kikubwa unapuuzia tu
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukran Ndugu Nanauka akubariki Mola 📚📚📚📚 tumekutana nao na kuwaona 🎙️............
@alikhamis6326
@alikhamis6326 Жыл бұрын
Daah hili somo kaka limegusa maisha yangu asante kwa hili somo
@jameskagulu4228
@jameskagulu4228 Жыл бұрын
Asante sana kk joel
@chankmdudu5777
@chankmdudu5777 Жыл бұрын
Ahsante wote ninaishi nao
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Ni kweli kiongozi mimi ninahuo ushuda nilishaambiwa kuwa siwezi kupita mstari na pia nilitamkiwa!!!
@bekabeckam6305
@bekabeckam6305 Жыл бұрын
Joël you are great
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 Жыл бұрын
See you at the top Joel.
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa 8 ай бұрын
Shukran sana kaka
@ushindielia9886
@ushindielia9886 Жыл бұрын
Asante kaka ang yaan kila mahali mm nachukiwa tu sio kanisani sio kazn mpaka namuuliza mungu kwa nn iv
@ShadyaJuma-vo8fk
@ShadyaJuma-vo8fk 11 ай бұрын
Yapo kaka kweli kabisa
@sayunielisha735
@sayunielisha735 Жыл бұрын
Kaka kama ulijua vitaniliyo nayo MUNGU akubaliki sana
@user-sf8sr1sg5y
@user-sf8sr1sg5y Ай бұрын
Kaka Joeli nakufatilia lila siku nikiwa na furahaa, lakini leo ni tofauti. Nimekuja uku moyo wangu ukiwaka moto😢 Lakini niseme tu ili somo limenisaidia sana sasa najua sababu🙏🙏 sasa tunawezaje kuishi na awa watu
@nestoryvenance4258
@nestoryvenance4258 6 ай бұрын
Mimi nilikuwa na radiki nilie mwamini na kumueleza Kila kitu changu lakini aligeuka na kuwa mwiba katika maisha yangu alifika wakati hata kuharibu kwa watu wanao nisapoti kibiashara na kuharibu mtandao Wangu kabisa.
@aishaally8315
@aishaally8315 Жыл бұрын
Mm ni mama lkn kupitia ww nimejifunza vitu vingi xana Asante Allah akubariki
@mwakibingajoseph7593
@mwakibingajoseph7593 5 ай бұрын
Ni sahii kabsa wengne ni ndugu na marafiki
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Joel Asante sana. Nimepitia hayo, Mungu ni mkubwa! Sasa, nami nianze kuwafikiria ninaowachukia bila kujielewa maana ubinadamu uliopo Kwa walonichukia au wanaonichukia au watakaonichukia ndiyo ulopo kwangu. Ubarikiwe sana kujitosa kutuelemisha.
@evadindi7243
@evadindi7243 Жыл бұрын
Nimeona sasa nilkua sijui, asante saana
@eliudbeyanga8575
@eliudbeyanga8575 6 ай бұрын
Kweli kaka
@iragababien4092
@iragababien4092 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@monikangereza7390
@monikangereza7390 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka Mungu akubariki kwa somo zuri.
@user-go2eg7gx7v
@user-go2eg7gx7v 9 ай бұрын
mungu akubaliki joel ❤
@kitalambobabloja8742
@kitalambobabloja8742 Жыл бұрын
Da!!!uyu mshua ana madini sana kichwani
@shibalubela6500
@shibalubela6500 Жыл бұрын
Mungu akubariki na azidi kukutumia Kaka Yaani masomo mengi unayofundisha Hapa yananigusa
@janeflorencesajjabi1545
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI, Usiache kumwomba aendelee kukupa Ujuzi zaidi nasi tupate Ujuzi kupitia Wewe ,HAKIKA unafundisha Maisha halisia tunayoishi.Una kitu kikubwa sana ndani yako, "TUELIMISHE".
@danchibomnyama5461
@danchibomnyama5461 Жыл бұрын
Daaaah asante sana kaka Joel I like it mungu akubariki sana kuna moja wapo y hizo nishazipitie aseeh ila sisi binadamu bwana dah mungu atuokoe kwakweli
@yahyamrisho2309
@yahyamrisho2309 Жыл бұрын
Asante sana yaani ndo hali zilivo kwa asilimia kubwa
@glorynkonyi1871
@glorynkonyi1871 Жыл бұрын
Nakupenda sana kwasababu Mungu akutumia joel
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
kaka Joel Asante sanaaaa kunifahamisha umekua msaada mkumbwa sanaa sanaa kwenye maisha yangu mungu akubaliki enderea kutushushia madini
@elkanachogohe2776
@elkanachogohe2776 Жыл бұрын
Uko vizuri Sana kufundisha
@VioletAteku
@VioletAteku 6 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa kuchukia.bila sababu
@ShadyaJuma-vo8fk
@ShadyaJuma-vo8fk 11 ай бұрын
Unachosema kweli kabisa kaka mimi apa natalajia kufanya biashala lakini ayo unayo sema kama upo na mimi ila nasema nasema tena sitoludi nyuma kaka
@leilalusekelo153
@leilalusekelo153 Жыл бұрын
Kaka Joel Asante sana kumbe hii ndio sababu dooh Mungu atusaidie
@floramkumbi3257
@floramkumbi3257 Жыл бұрын
Hizo changamoto nazipitia za kuchukiwa bila sababu Basi huwa najiuliza Ni kwanini! Ila Asante kwa majibu nimejifunza. Asante
@moneyfollowme737
@moneyfollowme737 Жыл бұрын
Asante sana kwa jumbe zako God bless you 🙏
@mussakubari3920
@mussakubari3920 Жыл бұрын
Kweli kaka nakuelewaga sana
@mosesgwamaka4069
@mosesgwamaka4069 Жыл бұрын
Sana yamenikuta wengine Ata salamu awakupi
@josephrutebeza1003
@josephrutebeza1003 Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana
@mwajabkombo80
@mwajabkombo80 11 ай бұрын
Nikweli kaka wakati Nina dhiki nilikuwa na marafiki wengi sana lakini nimepambana nikafanikiwa wote Sasa wananichukia sana na wamenitenga
@Warda-sv9jd
@Warda-sv9jd 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@generoseemmanuel4222
@generoseemmanuel4222 Жыл бұрын
Ni kweli Mambo haya yapo Mimi kwenye officin kwangu nilipewa sumu baada ya kwenda kuogeza elimu manager alisema nataka kuchukuwa cheo chake
@bilid4128
@bilid4128 Жыл бұрын
Duuh sumu tena 😳😳😳 pole sana mkuu
@_itsEmmes
@_itsEmmes Жыл бұрын
Waiting
@christershine5082
@christershine5082 Жыл бұрын
❤✍🏻noted
@janviervenasi
@janviervenasi Жыл бұрын
Asante
@victoryagency6679
@victoryagency6679 Жыл бұрын
Thanks naomba kitabu pls
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Ever listened this.
@kanaeljesus877
@kanaeljesus877 Жыл бұрын
Kaka umeongea sahii yamenigusa
@mwanahamisisadiki4892
@mwanahamisisadiki4892 2 ай бұрын
Nikweli nayaona hayo
@benardtimotheo9420
@benardtimotheo9420 Жыл бұрын
Nimewahi kuchukiwa nilipowazidi kwenye uwezo wa kufanya kazi kazini na wakaanza kuweka vipingamizi vingi Sana juu yangu ili nisifanikiwa kuwa na performance nzuri lakini sikukata tamaa nili-FOCUS zaidi kuangalia hatma yangu itakuwa ni ipi baada ya safari hii na ndio ambayo ilinipa nguvu zaidi kupambana
@ShabikiWaYanga
@ShabikiWaYanga Жыл бұрын
Hongera sana Mr Benard jitahidi kuto-kukata tamaa kwa kile ambacho marafiki wanazungumza kukuhusu wewe
@user-sm6kf8tl8m
@user-sm6kf8tl8m 8 ай бұрын
Ninashangaa kila sehemu nikienda na kukaa mwa muda baadhi ya watu hunichukia tubpasipo sababu na sijui nawakosea nini
@BrigitteRachel-gf9zz
@BrigitteRachel-gf9zz 7 ай бұрын
Yani wewe kama mimi nina roho nzuri na uruma lakini nikikaa sehemu tu watu wananichukia napenda marafiki lakini mwisho wasiku wananigeukia bils kosa lolote nakunizushia maneno ya uwongo na umia sana
@kapizoenoban8717
@kapizoenoban8717 Жыл бұрын
Nikweli
@ramadhanikifondi5010
@ramadhanikifondi5010 Жыл бұрын
Fact
@speciozakaloli
@speciozakaloli Жыл бұрын
Ni kwe kabisa
@fatmakassim6404
@fatmakassim6404 Жыл бұрын
dah ! I have so many enemies na ukiangalia sina chochote kile maisha yangu, Am always with my business lakini lol!, me mwenyewe maisha yangu mtihani mtupu lkn nawanyima raha kwa kweli, ila Mungu anadidimize wajinga hawa
@ramadhanbashir8484
@ramadhanbashir8484 Жыл бұрын
100% absolutely true.
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 Жыл бұрын
Assalam alaykum
@neemamsaki1111
@neemamsaki1111 Жыл бұрын
My life coach
@user-bg8jn9er2j
@user-bg8jn9er2j 11 ай бұрын
Leo nimepata majibu ya maswali yangu najikuta niachukuwa na watu ambao hata sikutarajia
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 Жыл бұрын
Nyie omba isikukute kwa mtu wako wa karibu ambaye hukutegemea.
@ismail_4_future.
@ismail_4_future. Жыл бұрын
Brother Joel....hii ni kweli KABISA I say umeongea VITU vya uhalisia Sana.......😭😭😭😭 WATU wengi Wana tabia hizi KWENYE Maixha YETU ya kila SIKU
@tupoonline3520
@tupoonline3520 Жыл бұрын
Daah yani iyo hali ndio ina nipat kwasas sijui kwann nachukiwa tena nyumba moja yaan
@sifambukwa4925
@sifambukwa4925 Жыл бұрын
Thanks so much I get a new knowledge
@neemamgeta2955
@neemamgeta2955 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@africrowd4559
@africrowd4559 Жыл бұрын
Uhalisia wa maisha yangu kabisa
@husnahassan3344
@husnahassan3344 10 ай бұрын
Dah nikweli bro yashanikuta na yanaendelea yaani chuki zisizo msingi ila yatapita tu tegemeo langu kubwa ni Mungu
@bushimani1544
@bushimani1544 Жыл бұрын
Wengi Sana bro mm mwenyewe sijui je unafanyaje maana wanaweza kuku wekea ata simu
@muhidinmangu3456
@muhidinmangu3456 Жыл бұрын
Utakufa Mungu akitaka na sio mwanadamu...Usijal my friend
@wakfumbilinyi7353
@wakfumbilinyi7353 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ni Mara nyingi inanikuta
@bikeregaclaude6009
@bikeregaclaude6009 Жыл бұрын
Kweri
@lightnessshechaba5278
@lightnessshechaba5278 Жыл бұрын
Mm nisha chukiwaga bila sababu mazingira yangu yakazi
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 Жыл бұрын
This is fact brother
@elizabethemanuel2122
@elizabethemanuel2122 Жыл бұрын
Kuna mtu alikua anitaka Ila mim ckumjibu akaniambia kamanikimkata ctaolewa cjajua kwanin mpaka sasa kkanaomba nisaidiye
@witnesskyando
@witnesskyando Жыл бұрын
Ni kweli kabisa 😢
@farajmanuar3589
@farajmanuar3589 Жыл бұрын
Nice..
@salehaliy7198
@salehaliy7198 Жыл бұрын
Nishaambiwa sana kuwa sitopiga hatua yoyote ya maendeleo,na sasa wameprove wrong kinachobaki ni chuki za wazi,hao ndiyo binaadam
@user-cn1gh4fn8k
@user-cn1gh4fn8k Жыл бұрын
ndiy nam nimepata iyo hal,but tunavumilia sababu ndotabia yawaliyo weng
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 Жыл бұрын
Respect
@user-ue3uu1eh8n
@user-ue3uu1eh8n 5 ай бұрын
Kiukweli umesa kweli mpaka nimeacha uimamu wa muskiti kwasababu yakuto yajuwa
@user-jc5bn6jg1k
@user-jc5bn6jg1k 7 ай бұрын
Dah yaaan mimi kazin kila mtu anaongea na mimi ile km htaki kbs ilihakuwa sijawatendea kosa nashindwa kbs kuwaelwa jmn
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 Жыл бұрын
Tunachukiwa sana bila sababu tena wengine tumewasaidia mpaka unajiuliza imekuwaje?
@sakinamixpambe2602
@sakinamixpambe2602 Жыл бұрын
Make ncheke mm wamenuchukia bila yasababu nichuki zisizonamaana hadi sasa wameamua kunifata mmojamoja wanajizima data ili wawe marafiki zangu eti
@alexbushishi8342
@alexbushishi8342 Жыл бұрын
Watu wana chuki, yaani we acha tu.
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Жыл бұрын
Mungu akubariki yote ni ukweli mtupu
@mwl.michaelsainethmlowe2641
@mwl.michaelsainethmlowe2641 Жыл бұрын
😂😂😂😂 imenifurahisha
@jennymbodze3031
@jennymbodze3031 Жыл бұрын
Mimi hata ni familia imagine duuh....huwa nikifikiria nalia tuu
LIFE WISDOM : UJASIRI - JOEL NANAUKA
14:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
JINSI YA KUISHI NA WATU WAKOROFI
42:25
Success Path Network
Рет қаралды 12 М.
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Elias Mwinuka
Рет қаралды 9 М.
UFANYE NINI UKIJIONA UKO "DOWN" SANA - JOEL NANAUKA
7:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
NAMNA YA KUISHI RAFIKI YAKO AMBAYE UNAJUA NI MNAFIKI
5:21
Lazaro Samwel
Рет қаралды 13 М.
Ufanye Nini Unapokataliwa Na Watu? Joel  Nanauka
9:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 32 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 101 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45