🅻🅸🆅🅴 : JOHN PAMBALU NA MWAIPAYA WANAZUNGUMZA MUDA HUU...

  Рет қаралды 1,889

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 9
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
Jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
Kweli kabisa katika waziri wa ovyo sana masaun tumesikia singida,Tanga jana,simiuyu,tarime na Kila Kona ya nchi huyo sio waziri ni mjinga huyo
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Wandishi wa habari mbona mmetia haibu.yani mnamulza msigwa kwebye utekaji.kijana kajibu vizuri sana .yani hakuna swali lolote mliloliona kwenu .zaid ya kusema watadanya nini.ccm hoyeeeee
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
Rais anafanya makosa makubwa na vyombo vyake vya usalama yaani hapa hakuna chakujificha maana Kila kitu kipo sawa aliyetekwa ameeleza Kila kitu
@floraashery224
@floraashery224 3 ай бұрын
Bila shaka polisi wanahusika kwa 98.9%na polisi ni wazee wa kutii amri so bila shaka walipewa amri na wakubwa wao ama watawala...ni ngumu sana waliowatuma kutoa kauli ya kukemea na kuchukua hatua za kisheria dhidi yao
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Nissio yajua aise inauniza kikuweli
@valerianmtowe7822
@valerianmtowe7822 3 ай бұрын
Tz xxa ni wakati wa kutoka kwenye serekali ya majambazi na watekaji
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
IGP na waziri wa mambo ya ndani ya Nchi hawafai kuwa katika nafasi yao
@eunho9529
@eunho9529 3 ай бұрын
Hakuna watu wasiyojulikana Tanzania SENSA 2022 iliwabainisha Watanzania wote kwa kazi na jinsia zao bali ni uhuni wa serikali tu, ni kwa nini watu waoonekana kuongea/kukosoa kitu chochote cha serikali ndo hao wanatekwa na watu wasiojulikana??? Kwanini waoimba mama mama wao hawatekwi????? kwa maoni yangu serikali ndo inahusika na matendo yote hayo kwa maana ni miaka zaidi ya 8 sasa maswala ya utekaji yakiwepo lakini hakuna siku serikali ilishawahi kutoka hadharani na kusema kuwahusu na ni juhudi gani imechukua kukabiliana nao. katika mazingira hayo serikali inawezaje kujitoa katika utekaji??
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 13 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 26 МЛН
🅻🅸🆅🅴 : TUNDU LISSU ANANGURUMA MUDA HUU
2:10:57
JAMBO TV
Рет қаралды 34 М.
ATIMKIA ACT WAZALENDO AKIDAI CHADEMA IMEJAA RUSHWA
31:21
JAMBO TV
Рет қаралды 1,1 М.