Jumba La Kifahari Lafurumishwa Na Bomoa Bomoa Dar

  Рет қаралды 181,157

SIMU. Tv

SIMU. Tv

Күн бұрын

Nyumba zaidi ya 20 zimebomolewa katika Manispaa ya Kinondoni kufuatia operesheni ya bomoabomoa jijini Dar.

Пікірлер: 147
@zulekhaponti9353
@zulekhaponti9353 2 жыл бұрын
siyo vizuri ! wakisubiri watu kutoa vitu vyao ! na kuwapa haki ia.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Ndio maana bora ule; ugali na mchicha
@anthonympemba8262
@anthonympemba8262 6 ай бұрын
Mh waziri kazi nzuri mungu akulinde karibu mwanza kuna nyumba nyingii ambazo zimejengwa kwenye viwanja visivyo harari. Nyumba zibomorewe nazo
@ibrahimbutera201
@ibrahimbutera201 7 жыл бұрын
aisee! pole sana mamaangu
@maryamsinganomaryamsingano7938
@maryamsinganomaryamsingano7938 7 жыл бұрын
mungu atawahukumu nyie imani zenu nidhaifu mungu awatie imani familia hiyo
@nurujuma1897
@nurujuma1897 5 жыл бұрын
Hongeren Sana mlobomoa pole mwanamke mwrnzang Allah yupo
@kamazimaishengoma5464
@kamazimaishengoma5464 7 жыл бұрын
Pole sana hakika hii ndo Tz yetu
@rahmaabdullah4538
@rahmaabdullah4538 7 жыл бұрын
Kesho kwa Allah kuna mengi mno subhana llah
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 6 ай бұрын
Mungu mkubwa Allah Akbar huruma huzaa upendo na upendo huleta Amani viongozi kuweni na hekima kujenga kugum kama ni haki yenu basi Mwenyezi Mungu atakua na nyinyi
@ashanziku3498
@ashanziku3498 5 ай бұрын
Safi sana
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 4 жыл бұрын
dah sitojenga maishani kwangu kote 😭😭😭😭😭😭nahis kama ni mm ningekufa kwa.plesha.kbc milion.500
@evaemil856
@evaemil856 6 ай бұрын
Wivu na dhuluma vimewazidi
@MaryamMaryam-nt5so
@MaryamMaryam-nt5so 7 жыл бұрын
aah africa yangu kweli nitatamani kurudi ikiwa hali ndio hiyo slali mchana wa ucku kwa kutafuta aah😢😢😢cyamin
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 6 ай бұрын
Mungu amehukumu tayari, bora angeshauriwamwenye chake amlie kiasi😮
@boniphacejoseph3389
@boniphacejoseph3389 7 жыл бұрын
Ni hasara kubwa sana kwa viongoz kukosa hekma na busara hii ni dhuruma ....serikali haiheshim mahakama ....haya mambo ya kubomolewa nyumba yasikie tu kwa mwenzio.
@omarymwigula5479
@omarymwigula5479 7 жыл бұрын
Hii sijui namba ngapi tunayo isoma ccm oyeeeeeee
@zuhuradmbonde3532
@zuhuradmbonde3532 7 жыл бұрын
Dah!inaumiza sana hii
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
subuhannallah hivyo ndivyo wanyonge tunavyosaidiwa asanten sana hata kutoa vitu vyake khaa aende wap akaish kaaaaaaaa!
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
mapesa yote hayo ya ujenz jmn sikufuru hiyo jmn yote hiyo wanyonge wavunjiwa sababu ya kujengwa viwanda sasa wawekezaji wana thaman kwa sasa kuliko wananch tena waliokupigien na kura bado.Hizo ndio shukran zenu za dhat kwa wananch mnazitoa asanten sana sana saaanaaa.
@geckoniarobben3588
@geckoniarobben3588 7 жыл бұрын
kaka ndiyo hvo shukrani ya punda mateke hapo bado mamtu fulani ambayo hayajui uzito na kutafakari kuhusu hilo swala yanashabikia na kuipongeza serikali inayofanya madudu hayo na mengineyo
@doramwantingo801
@doramwantingo801 7 жыл бұрын
Munguanguu mbona dhambi kubwa sana bila hata chembe ya huruma kiasi hiki...
@shaabanramadhan5402
@shaabanramadhan5402 7 жыл бұрын
Yaaan inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma tena Sanaa lkn hyu Jamaa aliye pewa jukumu lakuvunja nyumba zawatu Sijui km ataachwa salama
@andrewnyumayo9306
@andrewnyumayo9306 6 жыл бұрын
poleni wahanga Mungu atawapa haki yenu.
@shivalonso8277
@shivalonso8277 2 жыл бұрын
Inauma sana aisee askwambie m2
@filimonmpinge6039
@filimonmpinge6039 6 ай бұрын
Tanzania ni nchi ya ovyo sana tangu Magufuli afe kwakweli ni kasheshe mbona hawataki kumsikiliza huyo mama jaman usikute hao wanaobomoa hiyo nyumba hata kiwanja hawana hapa mjini pole sana ant
@user-tm3jl4yx9f
@user-tm3jl4yx9f 5 ай бұрын
Hii serikali jamani
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 7 жыл бұрын
Waafrika tunapenda maendeleo lakini hatutakubali kushiriki kufuata sheria
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji 7 жыл бұрын
Afrika kupata maendeleo tusahau. Nina masuali2 . 1.Sawa kavamia,jee kibali cha kujengea kakipata wapi? 2.Tangu alipoanza ujenzi serikali ilikua wapi? Wizara na sheha wa eneo wanafanya kazi gani.
@mushxwaggz5258
@mushxwaggz5258 7 жыл бұрын
soo fair ata kabis af uyu Magu huw anamaamuz magum xana
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 7 жыл бұрын
Dah, huruma kwa kweli mwanamke wa watu kaingia hasara kisawasawa
@ashanziku3498
@ashanziku3498 6 ай бұрын
Hawa matajiri. Wanasumbua. Sana na vihela. Vyao
@haithamjuma6686
@haithamjuma6686 7 жыл бұрын
mtihani duh
@mussaiddy8148
@mussaiddy8148 6 жыл бұрын
Maisha ya unyanyasaji hayo
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 5 ай бұрын
Hili zoezi liendelee uku arusha wapo
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 5 ай бұрын
Wapo isitoshe wanadhulumu hata yatima njoo arusha
@shimoneycashtalk9176
@shimoneycashtalk9176 6 ай бұрын
Kipindi anajenga mlikuwa wapi kwanini hamku tumiya nguvu ya kumziwiya mungu atawalipa😢
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 8 жыл бұрын
duuuuuu!!!!! Subhanallah
@agneskigeme1197
@agneskigeme1197 7 жыл бұрын
Inaumiza sana jamani pole sana mama
@ilumvalameck1901
@ilumvalameck1901 2 жыл бұрын
Naweza nife kwa mawazo🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@user-tr3bi1ry6t
@user-tr3bi1ry6t 5 ай бұрын
Hii imeenda
@rosesilio9008
@rosesilio9008 6 ай бұрын
Da imeniuma
@summanelson3718
@summanelson3718 7 жыл бұрын
Yaani huu ni unyama. Ule utu tuliokuwa nao watanzania unaanza kupotea. Hata kama kajenga mahali pasiporuhusiwa wangempa notice at least miezi mitatu.
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 5 ай бұрын
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI WA NYUMBA ZA WATU
@mhandyeyoo6591
@mhandyeyoo6591 7 жыл бұрын
Duuuuuuuu hii chuki binafusi sasaaaaa, sheria hii wapiii? Mungu yu nasi kila jambo na wakati wakeeeee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@stephanoyusuph1256
@stephanoyusuph1256 4 жыл бұрын
Loooh Tanzania tumchague lisu
@zakayomasingoti9238
@zakayomasingoti9238 6 ай бұрын
Watanzania acheni dhuruma na janjajanja..haki ya mtu haipoten inacheleweshwa tu
@dickmkweji9068
@dickmkweji9068 7 жыл бұрын
biko
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 5 ай бұрын
Iwe fundisho kwa wengine
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 7 жыл бұрын
mliipenda wenyewe
@shababygirlshambuwa8388
@shababygirlshambuwa8388 7 жыл бұрын
huuu ni ukatili ila mwenyezimungu atawalipia hawajatenda haki
@sarahidrisa50
@sarahidrisa50 8 жыл бұрын
ukatili huo
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 6 ай бұрын
Mwisho wa dhuluma nimbaya
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
mm kwa mtizamo wangu bora angeambiwa atoe vtu
@salehally1082
@salehally1082 5 ай бұрын
Samahani sana Mimi nauliza tu !! Hii nyumba haikuota kama uyoga ilianza kujengwa tokea msingi na kama kulikuwa na Malalamiko juu ya ujenzi na kesi ilikuwa mahakamani je kulikuwa hakuna agizo la kusitisha ujenzi na kuanzia mjumbe wa serikali ya mtaa Hadi manispaa walikuwawapi wakati ujenzi unaendelea ? Je ni nani WA kulaumiwa ? Na kama alivamia maeneo ambayo sio yake je wahisika walikuwa wapi mpaka nyumba inamalizika ?
@lulujames5193
@lulujames5193 6 жыл бұрын
tunge. kuwa watanzania tunajierewa wote 2020 tusiipingie kula ccm ipate kula2 maana tuna onewa sana jamani hata baba wataifa hakuwa hivi
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r 6 ай бұрын
Wanachofanya Siyo vzr Niunyanyasaji huo sawaa Amejenga sehemu Siyo yake Je Alinunua? Nakama hakununua Alikipataje? Sasa Mnavyobomoa Nyumban za Watu Na vitu ndani hajahamisha Hapo Sikurudisha maendeleo ya Mtu Kama Kuna Kukubarian Mwenye Eneo Na Aliyejenga Nibora Kuzuia Kwa Gharama yoyote lkn Siyo kubomoa Nyumban ya Gharama hivyo eeeh Mungu Ingilia Kati Dunia Simama Nishuke
@Ezekiel_abel
@Ezekiel_abel 7 жыл бұрын
Cku moja MUNGU ATAIDHIHIRISHA IPI ULIKUWA N HAKI NA IPI NI LAANA
@Rugemalilatv1994
@Rugemalilatv1994 7 жыл бұрын
Serikali hii sio
@MeckyLanyer
@MeckyLanyer 6 ай бұрын
Kwel bongo nyoso
@kibatishasanaissa8225
@kibatishasanaissa8225 8 жыл бұрын
mmhh yauzunishaa sanh pole mama
@joshuaenock7953
@joshuaenock7953 7 жыл бұрын
noma
@NeemaMlay-jb6zj
@NeemaMlay-jb6zj 6 ай бұрын
Hatari
@aminatuabdhulahi8405
@aminatuabdhulahi8405 7 жыл бұрын
la haula walakuwata ila billah! nimebaki kinywa wazi machozi yanilenga lenga nahisi kama nyumba ni yangu! Loh! simgemrushia vitu nje ndo mkabomoa? 😬😬😬😢😢😢😢😢😢
@salumuhamissi3492
@salumuhamissi3492 4 жыл бұрын
Ccm ooyeeeeeee
@ayoobalqasmi3062
@ayoobalqasmi3062 8 жыл бұрын
ati hivyo ndo rais wa maana
@kenyomarion5605
@kenyomarion5605 7 жыл бұрын
Hii nchi imekuaje !?? mbona tunakua watumwa kwenye nchi yetu!! Aliyetoa agizo la kuvunjwa kwa nyumba hiyo bila hata yakutoa muda wa kutoa thamani za ndani alaaniwe , alaaniwe ,alaaniwe,
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 ай бұрын
Haya sasa kutiana umasikini tena mkubwa.. wangepata na kupata mhafaka.
@elijahthomas7855
@elijahthomas7855 7 жыл бұрын
aise Tanzania
@ARFIddy
@ARFIddy 7 жыл бұрын
pole xana
@JoasMsaki-ol9fn
@JoasMsaki-ol9fn 6 ай бұрын
Waliojenga kwakodiza wanachi haiwaumi,
@allyflavour8005
@allyflavour8005 4 жыл бұрын
Yaaani mnajibu mtu hivyo simtu ambaye anaweza ones huruma mtu khaa
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 7 жыл бұрын
Duuu selekali hiii mmmmh cjui
@ayoobalqasmi3062
@ayoobalqasmi3062 8 жыл бұрын
ni bora mngemchagua lowasa kuliko huyo hivyo ndo maisha bora ya watanzania kweli
@ibrahimbutera201
@ibrahimbutera201 7 жыл бұрын
Ayoob Alqasmi Sasa lowassa ndoo angefanya nini? hao ni watu wawili wenye kugombea hicho kiwanja na sio serekari ya JPM, hebu watanzania wakati mwingine tukaacha ushabiki wa kisiasa tukaangalia uhalisia kamili,chakufanya kwa sasa ni kumpa pole huyo mvunjiwa lakini kama umeshawahi kujenga juu uchungu wa ujenzi anaeujua ni yule aliishawahi kujenga
@aboutpius1415
@aboutpius1415 7 жыл бұрын
+Ibrahim Butera serikal yake imevunja nyumba za watu kama maeneo ya kimara nk sasa sisi tunaona live ww unaleta siasa penye ukwel tuseme na ndo malipo ya wanyonge hayo watu wanalala nje na familia zao halafu ww unatetea uovu dah
@muruanimhanga
@muruanimhanga 5 ай бұрын
apa kongo au Tz?
@MaryamMaryam-nt5so
@MaryamMaryam-nt5so 7 жыл бұрын
jamani twatiana umaskini
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Wewe tuliza mshono dhulma ina mwisho
@deodadeo2016
@deodadeo2016 6 ай бұрын
Ivi pindi watu kama hawa wanajenga, nyie mnaojifanya wakuu wa nchi mnakuwa wapi?
@dinatalib2616
@dinatalib2616 8 жыл бұрын
Dah ni hasara kwa kweli hii nchi inatisha lazima ukiziwa kitu kuhakisha Serekal inashuhudia kwa macho mawili lasivo unakufa ukiwa mbich kwa shindikizo la damu
@perrychicken5876
@perrychicken5876 7 жыл бұрын
Ufisadi tu na choyo
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 6 ай бұрын
Ila sirikali iangaliye ni kurudishana kimaendeleo kama ni kiwanja cha mtu na kurudishana garama kuliko kubomowa ka visa vile watanzania
@carriebfunny3885
@carriebfunny3885 6 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@tichamichaek2206
@tichamichaek2206 6 жыл бұрын
Nyokoooooooooo
@beieieih9179
@beieieih9179 6 жыл бұрын
Laanatuاللهx10000000000000000 heee uonevu tu loooooh
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 6 ай бұрын
Ni kwel inauma ila ukisikia kiwanja kinamgogoro basi unatakiwa kuchukua taadhari mapema na sio kutumia pesa
@chancesholdan342
@chancesholdan342 7 жыл бұрын
Ipo siku tu
@rahmaabdullah4538
@rahmaabdullah4538 7 жыл бұрын
Si uungwana wala si ubinaadam
@cvanocharles6001
@cvanocharles6001 7 жыл бұрын
Amakweli haki mbinguni kwa Baba
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 6 ай бұрын
Hivi hii awamu ya sita mbona hawana huruma, na wananchi, RIP JPM
@estheroscar6520
@estheroscar6520 5 ай бұрын
Hapo ndo mnawakomesha wanaochukua viwanja vya watu
@user-zo8ub3tl9g
@user-zo8ub3tl9g 5 ай бұрын
Iko kiwanja kinadhamani Gari? Ni bora wangefidiana tu
@castormpunga528
@castormpunga528 7 жыл бұрын
duuh
@sylviamoisso7132
@sylviamoisso7132 7 жыл бұрын
Oooh my god hawa wabomoaji kama sio binadamu duuu
@stevemwandambo587
@stevemwandambo587 2 жыл бұрын
Hawana makosa wanatimiza wajibu wao c unajua kil mtu analinda kibarua chake ila kuomba MUNGU tu atusaidie maana afadhali ata walio sudani na congo
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz 2 ай бұрын
Rakini sio angetoa vitu vyake
@ayoobalqasmi3062
@ayoobalqasmi3062 8 жыл бұрын
hana lolote huyo magufuli mwenyewe duuh
@zuhuraali9983
@zuhuraali9983 8 жыл бұрын
duh hatari san
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Eeeee Mungu tusaidie nautupitishe salama kwenye hya mapito magumu na yenye maumivu makubwa yakuuumiza moyo.
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 6 ай бұрын
Huyu atoboi tena
@feiz3180
@feiz3180 7 жыл бұрын
Yaani hata kam amejenga hapo hakuna haja kuibomoa namna hii. Serikali hii inafanya mambo hayaeleweki lakini iko siku.
@shimoneycashtalk9176
@shimoneycashtalk9176 6 ай бұрын
Inge kuwa mi ndio mwenye kiwanja ninge omba fidiya
@othmanothmanabdulrahman3636
@othmanothmanabdulrahman3636 7 жыл бұрын
jamani tujifunze kuptia hilo dah tunsahau km tunpita dunia kumtia zik mwenzio
@sadamosses9763
@sadamosses9763 8 жыл бұрын
mambo ya rushwa hayo, babu kubwa
@adrianoshadrack1895
@adrianoshadrack1895 7 жыл бұрын
mungu aitie nguvu famlia hiyo.
@shawty20112
@shawty20112 7 жыл бұрын
Wasiopenda maendoleo ni wengi kweli wivu huyo,pole sana dada yangu.
@petermwanyondo6459
@petermwanyondo6459 7 жыл бұрын
omba yasiku2te
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 6 ай бұрын
Mwenye haki apewe haki yake sio huruma
@shimoneycashtalk9176
@shimoneycashtalk9176 6 ай бұрын
Ingekuwa wewe paka mweusi unge kufa na msongo wamawazo
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 6 ай бұрын
@@shimoneycashtalk9176 ingekuwa ndo shangazi yako amevamiwa eneo lake mtu akajenga mnasumbuana mahakaman miaka nenda rudi ungetumia iyo huruma unayotaka...kwann uone huruma kwa anayebomolewa ila usione huruma kwa aliyevamiwa eneo lake
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 6 ай бұрын
@@shimoneycashtalk9176 ilo sio la kupanua barabara ni la kumrudishia mwenye eneo lake aliyevamiwa na mtu akajenga
@zahrangittu2109
@zahrangittu2109 6 ай бұрын
Idiot
@suleimanhaji5996
@suleimanhaji5996 7 жыл бұрын
mkiambiwa msichaguwe ccm hamsikii,ndio iyo nomber,mlisema tutaisoma namba.ccm oyeee,makufuli jembe jembe
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
kk suleiman tena si kidogo yakuacha tu.Bora hata wangelikuwa wana watafutia mahar pengine nakukabidhiwa nyumba kuliko kuachwa hewan nikutiana umaskin wa hali ya juu kabisaa
@sirenderharoney7139
@sirenderharoney7139 8 жыл бұрын
Tuliwambia tubadili matokeo mmepotezea
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 41 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
Bomoa Bomoa Mpya  Dar Yaacha Makumi Bila Makazi
16:05
The Chanzo
Рет қаралды 3,3 М.
Discovering One's Hidden Psychopathy | James Fallon | Big Think
13:45
How a Feud Over Libya's Central Bank Could Restart its Civil War
10:16
TLDR News Global
Рет қаралды 88 М.
ALIYEVAMIA KIWANJA CHA MTU AVUNJIWA GHOROFA.
6:08
MAKAZI MPANDA
Рет қаралды 1,6 М.
HUYU HAPA MWENYEKITI ALIYEUZA ENEO KWA WATU 18 ARUSHA
13:06
Daily News Digital
Рет қаралды 22 М.
WAZIRI SILAA AELEZA SABABU ZA KUBOMOA GHOROFA MBEZI BEACH
2:26
Wasafi Media
Рет қаралды 2,9 М.
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН