Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 Channel Administered by Slide Digital Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 151
@marykatanakarisa55943 жыл бұрын
Nicole joyberry ndio habari ya mjini 😘😘nyie wngin hmna maajbu
@lucylucy36782 жыл бұрын
🤣🤣😍😍 nisamehe mungu, jaman jaman nimehesabu nguo 5 tu viatu miguu 3 unefungua kw nyodo nikajua leo nin leo.
@Qeek_Smart3 жыл бұрын
Nicole ameuwaaaah
@magrethbenjamin49693 жыл бұрын
Nacheka naogopa 😂😂😂jmn Hilo kbat mbon ivo na kabat lilivo funguliwa nikijua kun vitu fire jmn kwa nn nilitizama nicole😂
@happinessesau22923 жыл бұрын
😂😂😂😂tulioanza na Nicole tujuane
@khadijasulleyman38043 жыл бұрын
@@happinessesau2292 tupo wengi
@annalisejacksonmapessa3813 жыл бұрын
We unazo ngapi
@rosellaabraham133 жыл бұрын
@@annalisejacksonmapessa381 ukute bado hata nguo wanaweka kwenye shangazi kaja halaf wa kwanza kusema maisha ya mtu.😅
@akxakalapa89503 жыл бұрын
Nicole ni moto wakuotea mbali wallah tena itakua wasanii wengi watakua wamejifunza kitu kupitia yule Dada jamani ananguo khaa🤣🤣🤣hawa wengine wanasindikiza tu diva huna maajabu dyadya
@khadijasulleyman38043 жыл бұрын
Wallah umenichekesha nimejikuta nacheka pekee yangu kama chizi
@akxakalapa89503 жыл бұрын
@@khadijasulleyman3804 😂😂
@rahmanassoro17593 жыл бұрын
Shikamoo Nicole akuna Kama wew
@dggxxxxfgff38763 жыл бұрын
Nisiwe muingo nicole nimoto wakuotea mbali
@anniesixtus23663 жыл бұрын
Umeonaeee
@aminaissa97563 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@fatmamakalo30683 жыл бұрын
Kbc kweupeeeeeee hakuna majabu🤣🤣
@khadijasulleyman38043 жыл бұрын
Kweli kabisa
@dggxxxxfgff38763 жыл бұрын
Mbona sijaona nguo jamani🤣🤣🤣
@khadijasulleyman38043 жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@hendrickantony51603 жыл бұрын
Nikole noma
@husnamfuko61363 жыл бұрын
Mbona hajamfikia Nicole 😂😂😂🙄🙄
@magrethmbangama11993 жыл бұрын
Nicole ndo kiboko yao,ndo maana harmonize alisema Sina uwezo wa kumlipa Kama video qeen ila amenisaidia, kweli maana wa Moto hatareeee dah
@dianajavan6093 жыл бұрын
Jaman saluti kwa nicola
@jamilahathumani42223 жыл бұрын
Mbona Lulu kabati lake ata langu halifikii na ndo shabiki yake,,,Apo Nicole ndo konk Yani Nicole amewafunika mastar wote hapa Tanzania na mpaka zari kafunikwa,,,mtu anapoch Hadi milion Tisa sio poa,, Nicole kwang ndo best fashenista
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Yaan hatammm
@shamimushittindi14183 жыл бұрын
Issue cyo bei issue ukivaa unapendezaa???
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Mbona hakukupeleka kwenye hizo nguo nyingine
@nuruhamisi83533 жыл бұрын
True
@salomejoachim49533 жыл бұрын
Nicole ni habari nyingine kabisa ukimuongelea unaweza zimia huku watembea, mtu pochi million 9 wakati wengine hata za laki shida
@mamumiyaskitchenvlogs58583 жыл бұрын
Nguo zote zile anazo zivaa ziko Wapi? Huyu msiri hataki kuonyesha au tusemeje, man's si kwa kibati hiko
@bahiyaseleman58383 жыл бұрын
Zakuazima jee? Mnafifkir wananoga vayakwao..nn maana ya msanii ndio huo usanii ss
@mamumiyaskitchenvlogs58583 жыл бұрын
@@bahiyaseleman5838 duh!yote yawezekana hawa wana sarakasi,mana nimeshangazwa na kakabati
@jacklinemashaka90273 жыл бұрын
Za kukodisha
@sukariyao65373 жыл бұрын
😳😳😳😳🤔🤔
@sukariyao65373 жыл бұрын
@@jacklinemashaka9027 😳😳😳😳
@exterjob54113 жыл бұрын
Kabat lilivofunguliwa kwa mbwembwe ilibid hay manjonjo yafanyike kwa Nicole🤣🤣🤣aibu naon mm uwiii
@praxedadominic51933 жыл бұрын
Ata mimi nimekushinda lulu ila shikamoo nicole 🙌
@glorykazaura37743 жыл бұрын
Nenda kwa Nicole haunamaajabu
@miriamngosha68563 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uyu si ndiyo yule mnasemaga anapesa tajir 😳 ata Kwangu pazuri kha kweli wasanii maisha yao ni ya kisanii 🤣🤣🤣
@annajaydenjayden35172 жыл бұрын
Tuoneshe kwako tupaone🤣🤣
@bennamush4616 Жыл бұрын
Nani kaona geuness smooth apo
@evasaimon67642 жыл бұрын
hahaha! Jaman sio kwa kikabati hiko
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Miguu inavibarango vya kujichubua duu hatar sana
@khadijasulleyman38043 жыл бұрын
Mie nikajua kanga yupo chini
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Ndio mumetuonyesha nn sasa😂mwatuchokesha hizo nguo tatu na pair nne za via2
@thresherjordan68293 жыл бұрын
Jamn s ni za kwake muachen
@reahsamwel99033 жыл бұрын
🤣🤣🤣hauna maajabu dada nami nakuziti
@queentoto38782 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mmmmmmmmh hata kama nimechelewa kuangaliya hi k2 ila lulu diva hata mm nimekushida kabati hakuna k2 😂😂😂😂😂😂😂mawigi matatu mmmmmmh
@susannesusie32173 жыл бұрын
😂😂😂😂 kama uliona video ya Nicole lazima ucheke 😂😂 but msisahau anamgojwa lulu anauguza jamani
@katewanjiku85493 жыл бұрын
🤔🤔
@thegirlfromafrica57263 жыл бұрын
Kabati halina maajabu
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Ila lulu div umenichekesha sn🤣🤣🤣🤣ilo kabat ata siamin mbona kwanza nikafupi alafu nguo 4 alafu bag 2 mawigi ma 3 viatu peya sijui 4🤣🤣🤣lulu umeniacha hoyi
@ridhiwanfatma63123 жыл бұрын
Hawana maisha ukiwaona kwa mtandao waweza kufuru mungu wako wana fake life nicole ndo habari ya mjini ana pesa na hana mashauz kama wasanii wetu
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
@@ridhiwanfatma6312 kweli kbs Nicole nikiboko yao
@dianakingusamwel1333 жыл бұрын
Hii ni nini Kwan jmni🙆
@johannahakim84703 жыл бұрын
Nicole nakupenda
@ramlajuma15983 жыл бұрын
Mbavu zangu jamani uwiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bennamush4616 Жыл бұрын
Shkamoo Nicol kafunika wooote Yan hakuna kitu apo
@husnamfuko61363 жыл бұрын
Nicole so powa mhmh atari
@esabelfadhili84323 жыл бұрын
Deo unaacount yako unayorusha hichi kipind?
@dianajavan6093 жыл бұрын
Mh luludiva kama mm to, kiboko ya wote ni nicola..huon hata aibu kutuonesha geto lako mtangazaj mwenyew anashindwa to kuonesha kushangaa kwasabab yupo kzn lzma asapot😂