Ukiota ndoto hizi 7 jua una jini la mikosi na nuksi | Ujue mti ambao ukioga unaondoa nuksi - Jaafar

  Рет қаралды 277,643

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 218
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 Жыл бұрын
SUBHANAALLAH YAARABB TUKINGE NA MAJINI 🤲🤲😰😰😰
@bitishoriziki5585
@bitishoriziki5585 16 күн бұрын
Unaongea ukweli KBS ushauri mzuri sana ❤️ asante 🙏🏼
@khadijasalum1659
@khadijasalum1659 4 ай бұрын
Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
@AbibaSalleh
@AbibaSalleh Ай бұрын
Mungu.anikinge.nahuyo.jini
@hassanikombe9053
@hassanikombe9053 Жыл бұрын
Dah yan shekhee umeongea lugha zote kuhutaj uwo mti,.lkn kw kiswahil ndo umefeli 😁😁😁😁,make ungeutaj uwez ukapgiwaa sim 😁😁😁 shekhee ww noma sanaaa
@budabuda1326
@budabuda1326 Жыл бұрын
Assalaamaleikum vipi sheikh ati ni mtigani anaouzungumzia hapo naona nikiwa search Google yanakuja mengi!!!
@NeemaSomo-rx7dy
@NeemaSomo-rx7dy Жыл бұрын
Wallah nimejikuta nacheka
@RehemaKasanga-vu5nj
@RehemaKasanga-vu5nj 3 ай бұрын
Yesu Kristo Ndiye Mwamba wangu 2
@Hajra-vu9gd
@Hajra-vu9gd Жыл бұрын
Yarabi inamanisha mm ninayo mm naota nikipaa subunallah
@carendeborah5687
@carendeborah5687 Жыл бұрын
Uchawi
@NhaloNhalo-ol7ls
@NhaloNhalo-ol7ls Жыл бұрын
Ahsante Sanaa Sheikh kwa Somo nzuri
@florencewairimo2245
@florencewairimo2245 Жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo mungu akubariki🙏🙏🙏
@carolineatieno2725
@carolineatieno2725 Жыл бұрын
Nisadie Niko na shida ndoto mbaya sana,Niko na kisirani mbaya
@MesalimRashid
@MesalimRashid Жыл бұрын
Mm maisha siotiii kabisaa haya jini asieota aitwa nani .nalala fofo .wtt n mume wangu kutwa Kuni beza kwa usingizi mwingi.
@AlimaSadiki
@AlimaSadiki 2 ай бұрын
Shukran sheikhe allaah akuongoze
@aminahhabibu4652
@aminahhabibu4652 Жыл бұрын
Shekh mm Niko na hizo shida nakupataje wallah nimechoka kabisa Mambo hayaidi kila nifanyalo nakuomba sana nidaudie sijui nifanyaje mm
@muba6699
@muba6699 Жыл бұрын
Una swali kila Siku??? Simamisha Swala mambo yako Yatanyoka!
@IdaIssyommy
@IdaIssyommy 12 күн бұрын
Ustadh nisaidie yni mim wamenivimbisha kiungo Chang adi muhimbil mmerud umesem kwel 😊
@abubakarkhamisi3931
@abubakarkhamisi3931 11 ай бұрын
Sawa ila mbon umevaa mielizi n miguo hiyo y kienyeji
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
@ElizaNgeni
@ElizaNgeni Жыл бұрын
Kweli wanakoxea
@husseinedwad
@husseinedwad Жыл бұрын
Kweli wanakosea
@NdayishimiyeFrançoise-n7c
@NdayishimiyeFrançoise-n7c 4 ай бұрын
Munipe.namba.niwapigiye.sim
@princehelinsburg1933
@princehelinsburg1933 Ай бұрын
Pia mm nimeshukuru kupata watumishi WA mwenyezi Mungu hebu watusaidie
@nduguhashimnapia3135
@nduguhashimnapia3135 Жыл бұрын
Je ukiwa unasafir mara kwa mara safari za kawaida inakua jje sheikh
@SadaCute-g1b
@SadaCute-g1b 20 күн бұрын
Shehe mim naota sana nanyeshewa na mvua tena nikistuka natetemeka sana barid napia naota Niko darasan ama naokota pesa
@rehemamrinzi6996
@rehemamrinzi6996 Жыл бұрын
Nami hzo ndoto ndio zangu kbsa wallah
@laurentnyembo6073
@laurentnyembo6073 Жыл бұрын
Asante Sana kwa funzo🙏
@AminaAmina-mv4ko
@AminaAmina-mv4ko Жыл бұрын
Shukran laka kwa elmu
@sulekhamohammed5358
@sulekhamohammed5358 3 ай бұрын
Masha Allah Mimi nataka
@MozarySeyouMozarySeyou
@MozarySeyouMozarySeyou 4 ай бұрын
Duu atr Allah atupishe naivo vitu
@japharyramadhani7831
@japharyramadhani7831 Жыл бұрын
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
@mancopy8851
@mancopy8851 Жыл бұрын
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
@zohoraramadan4540
@zohoraramadan4540 Жыл бұрын
Waleykumusalamu warahmatullah wabarakatuh, 😁mwamba, we jafari ninacheka unafikiri mazuri usituchekeshe na hali ni musiba
@rehemakigarimbwe1122
@rehemakigarimbwe1122 Жыл бұрын
Kweli kabisaa
@irene3abi123
@irene3abi123 Жыл бұрын
Nimependa sana mafunzo yako
@Jacqueslumbuli
@Jacqueslumbuli 11 күн бұрын
Namba yako
@shaphaina9941
@shaphaina9941 Жыл бұрын
Huo mti wa mkuta ndio mti gani wanao jua watusaidie
@cellcelll2151
@cellcelll2151 Жыл бұрын
Sheikh kambe waniongelea mm😢😢
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 Жыл бұрын
Mm mara Moja moja ndio naota hiyo y kupaa mara Moja Moja je ninaye, naomba unijibu
@muba6699
@muba6699 Жыл бұрын
Unandoto kubwa katika maisha yako Fanya Ibada unanuru ndani yako!!!
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 Жыл бұрын
@@muba6699 wallah kama vile unajua bro shukran
@VeronicaMushi-ms1tn
@VeronicaMushi-ms1tn Жыл бұрын
Taja tena.huo mti.
@doctormwalimjuma8040
@doctormwalimjuma8040 Жыл бұрын
Inachekesha weweshehe wangu
@zarabati1750
@zarabati1750 4 ай бұрын
Maashaallah
@aliamour4970
@aliamour4970 Жыл бұрын
Maneno mengiiiiiiiii!!
@DEEJAYPINCHEZ
@DEEJAYPINCHEZ Жыл бұрын
Naomba kujua vile naweza toa nuksi, na nipate nyota yangu na pia kupendwa na mwanamke akuwe tu akinifikiria kila saa.
@ladymuslima4956
@ladymuslima4956 Жыл бұрын
Ni dhambi kuwa wawili watu wa jinsia tofauti
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
Ndio nizambi mnafanyanini uko vichocholoni.kwenye faraga?
@VictorAlulu
@VictorAlulu Жыл бұрын
Hello Mimi nashita Kama izo unaweza nisaidia namnagani? Pesa nabata kwa mwezi elfu hamsini lakini uwa sizioni kapsa Sina kitu
@zulfajoachim6145
@zulfajoachim6145 6 ай бұрын
Mhh yaani shehe ww unaongea kweli sisi wenye jini mahaba tunapata shida sana na hatuna bahati kabisa
@princehelinsburg1933
@princehelinsburg1933 Ай бұрын
Nimepitia baadhi ya mambo haya
@linetaidi4723
@linetaidi4723 Жыл бұрын
Tuonyeshe mti huo naomba tafadhali
@sulekhamohammed5358
@sulekhamohammed5358 3 ай бұрын
Kabisaa
@FatumaAhmad-rk4ou
@FatumaAhmad-rk4ou 4 ай бұрын
Shekhe mm ndoto hzo naota sn nitasaidikaje niko mbali
@Afsa-z3g
@Afsa-z3g Ай бұрын
Dah
@richardstephano9059
@richardstephano9059 Жыл бұрын
Aisee balaa
@YusufuMusani
@YusufuMusani 4 ай бұрын
Miminimete sekasana apaduniyani.
@wrongnamemtuwahapa
@wrongnamemtuwahapa Жыл бұрын
Kiswahili unaitwaje
@everlynechebet-lh5hu
@everlynechebet-lh5hu Жыл бұрын
Mimi Kuota na kuhaudiwa pesa lakini siku ikifika anitumi anageuka
@mbisinzembei5857
@mbisinzembei5857 4 ай бұрын
Mimi niko kenya mti jana ya kenya
@NEBERT-rc6bb
@NEBERT-rc6bb 5 ай бұрын
+254 Kenya mti wa kuondoa nuts audawa inapatkanna wait?
@alimanana7564
@alimanana7564 Ай бұрын
😢😢mimi ninaye kweli napenda kuota nafanya mapenzi mara nimeza kila kitu nikifanya mthihani kwakweli ata nikipata mchumba binaishia ivo😢
@NkeshaChabhilonda
@NkeshaChabhilonda Ай бұрын
Dawa IPO tutakusaidia
@bitishoriziki5585
@bitishoriziki5585 16 күн бұрын
Tuelezeye sasa byenye ❤hiyo ni shinda KBS ndodunia Kwisha 🤣 unachesha ila kina watu wako hivyo
@ChalesMatelu
@ChalesMatelu 29 күн бұрын
Dar
@JijiJiji-v6g
@JijiJiji-v6g Жыл бұрын
Tuandikie Jina zahizo mti
@muniraomar2235
@muniraomar2235 Жыл бұрын
Sasa naweza kuzitoa vp
@brianmunde4415
@brianmunde4415 Жыл бұрын
ALLAH hu Ahad ALLAH hu swamad
@ZAHRAMCHOME
@ZAHRAMCHOME Жыл бұрын
Shkh tusadie tiba hiyo see tulioko mikoani
@tria2254
@tria2254 Жыл бұрын
Kaka uyo mti unaitwaje kwenye kingereza ?
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 8 ай бұрын
Ilo vazi shekh vipi mbona kama mganga wakienyeji ??unatueka njia panda
@zumbemgalawe
@zumbemgalawe Жыл бұрын
Uwo mti unaitwaje shekhe
@UweraEmelyse
@UweraEmelyse 9 ай бұрын
Jambo jina ni sandrine Mimi nahitaji Numero yako ya wastapp
@starlight8794
@starlight8794 Жыл бұрын
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
@neemamboya-ss6pl
@neemamboya-ss6pl Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia Жыл бұрын
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia Жыл бұрын
@@neemamboya-ss6pl MWITE AU ITA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia Жыл бұрын
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
@carendeborah5687
@carendeborah5687 Жыл бұрын
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
@moseskariuki6461
@moseskariuki6461 Жыл бұрын
Maajabu ya dunia,kurushia wengine ouoga, nikama wao watakaa hii dunia melele😢😢
@laurinebihembo2907
@laurinebihembo2907 10 ай бұрын
Naomba namba
@baruaniabdallah3318
@baruaniabdallah3318 Жыл бұрын
Unashindwa kuzungumzia tiba unatoa stor
@MakaiKasala
@MakaiKasala Жыл бұрын
Elimu inaweza kuwa nzuri, ila uvaaji huu unatufundisha nini kama umma wa kiislamu?
@princehelinsburg1933
@princehelinsburg1933 Ай бұрын
Pia wakristo wengi wapitia mambo haya ilhali watapeliwa na wati
@HafidhAbdalla-g4n
@HafidhAbdalla-g4n 4 ай бұрын
Pole
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Hali hii inanikumba napambana sema sasa hivi alhamdullillah sipai na kuota niko baharini miaka zaidi ya 35 alhamdullillah vimepungua
@Afsa-z3g
@Afsa-z3g Ай бұрын
Nasafiri alafu gari inaniacha sehemu ya kuchimba dawa
@ZuhuraIssa-h2b
@ZuhuraIssa-h2b 4 ай бұрын
Jamani mkowapi
@SaudaMuhammedyussuf
@SaudaMuhammedyussuf Жыл бұрын
Na napenda kuota nikia nimepaa
@neymarjunior8404
@neymarjunior8404 Жыл бұрын
Mkuta mbona iyo kiswahili inatuchanganya
@Calistamakundi-jq2io
@Calistamakundi-jq2io Жыл бұрын
Nami na apitia hayo, nakupataje unisaidiye
@mombasaraha1502
@mombasaraha1502 Жыл бұрын
Hapo kwa bibi harusi na po nimejifunza sana nilikuwa sijui watu husema nn
@HellenDavid-j5z
@HellenDavid-j5z Жыл бұрын
😢😢😢utanisaidiaje mm maana Chenye unaongea kinanikuta kila wakati nafukuzwa kazi na nikipa mwanaume ananiacha bila sababu😢😢😢😢
@shalfaa
@shalfaa 8 ай бұрын
Njoo upate dawa utoe nuksi 254712734325
@didieruwingabire2370
@didieruwingabire2370 Жыл бұрын
Sasa huyo muti tutaupataje
@wrongnamemtuwahapa
@wrongnamemtuwahapa Жыл бұрын
Mimi mara nyingi uota na paaa sana msituni
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Unakumbuka aliye nyuma yako
@wrongnamemtuwahapa
@wrongnamemtuwahapa Жыл бұрын
Uwa naona taaa inawaka sana lakini sioni mtu
@EmilyNyariaro
@EmilyNyariaro Ай бұрын
Naomba namba yako
@khadijandabahagamye7252
@khadijandabahagamye7252 Жыл бұрын
Me napenda kuota nikiwa nafunukwa na maji 😢 mana yake nini..?
@yuscoedward
@yuscoedward Жыл бұрын
Unampenda kuota ivyo?
@SaudaMuhammedyussuf
@SaudaMuhammedyussuf Жыл бұрын
Mimi Nina mwaka sita nishaasha shule lakini kila siku nakua naota nikiwa shule
@fwk584
@fwk584 Жыл бұрын
Huyu shiek alikata kunifanyia Dua shiek Michael
@florencenuru4687
@florencenuru4687 Жыл бұрын
Kweli basi na mmi mkenya ata ni zaidia kweli
@budabuda1326
@budabuda1326 Жыл бұрын
Anime Google kama alivyo sema nimepata al ausaj na al khaizaran imekuja miti miwili tofauti 😮
@didieruwingabire2370
@didieruwingabire2370 Жыл бұрын
Uyu anaitwa nani
@ramlaismail7287
@ramlaismail7287 Жыл бұрын
Kwahy uy mgang au shekh nasikia shekh wang😅😅
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
Sheikh mti huo hauna jina Kwa kiswahili ili nasi tujue?
@jeaninevumilia5917
@jeaninevumilia5917 7 ай бұрын
😂 Ninayo kivuli hikyo ya Nuksi
@kassimabdilatif1802
@kassimabdilatif1802 Жыл бұрын
Uwongo mtupu. Mnao tizama hii you tube chungeni.
@jeaninevumilia5917
@jeaninevumilia5917 7 ай бұрын
Wewe piya waitazama
@kassimabdilatif1802
@kassimabdilatif1802 7 ай бұрын
@@jeaninevumilia5917 Inamaanisha unaamini huu upuuzi ? Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa. I'm not here to argue with people. Una uhuru wa kuamini na kutoamini. Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
@zinathussein7294
@zinathussein7294 Жыл бұрын
Omg...yani i have had all those kind of dreams...and my hubby never stay at my home...we're strangers to each other...how can you help me!
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia Жыл бұрын
Find JESUS CHRIST IS THE SOLUTION OF YOUR PROBLEMS, BECAUSE WAGANGA ARE NOT AGENTS OF HEAVEN THEIR AGENT OF THE DEVIL, FIND THE SERVANTS OF THE LORD JESUS CHRIST
@Madam870
@Madam870 Жыл бұрын
Pole sana dadangu nitafute insha Allah
@KuluthumuSaidi-f5j
@KuluthumuSaidi-f5j Жыл бұрын
Mimi nnaye nitakupataje dalili zote nnazo naokewakila naachika nitakupataje nasumbuka
@Madam870
@Madam870 Жыл бұрын
Pole sana nitafute naeza kushauri insha Allah dadaa
@robertndebate5462
@robertndebate5462 Жыл бұрын
Uyu mganga au shekhe mbona ana mielizi kama mijezi ya makolo
@awaahassan936
@awaahassan936 Жыл бұрын
Mimi kila siku naota Niko na watoto
@anitahshere8063
@anitahshere8063 Жыл бұрын
Hii inamaanisha ushaoleka kwa spirit huwezi pata watoto mradi ukombolewe
@awaahassan936
@awaahassan936 Жыл бұрын
@@anitahshere8063 nipo nao 2
@mussamatondo4886
@mussamatondo4886 Жыл бұрын
Some time mmetuvalia juga kutundanganya, ndoto inaendana na mawazo yako
@reenaismael4310
@reenaismael4310 Жыл бұрын
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah Allah akulinde na kukuepusha na mabaya. Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao. Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
@carendeborah5687
@carendeborah5687 Жыл бұрын
Life is spiritual,kama waelewa what spiritual is basi haifai kupingana
@madamprayer6490
@madamprayer6490 Жыл бұрын
@@reenaismael4310 kweli asee
@sinobosstv5565
@sinobosstv5565 Жыл бұрын
Na mawazo yako yanawezatawaliwa bado na shetani
@happybalama3591
@happybalama3591 Жыл бұрын
Sio kweli ndoto huletwa na Mungu au shetani
@PapilAlvin
@PapilAlvin Жыл бұрын
Nahitaji msaada ktk hili kila ulichokiongea kinanihusu mimi
@coreiberryadam5939
@coreiberryadam5939 Жыл бұрын
Namba za fundi huyo
@razikahasan2114
@razikahasan2114 Жыл бұрын
Mm naota napigana baadae naruka
@otrishxavi8350
@otrishxavi8350 Жыл бұрын
Muue kabisa razika
@faidaimmaculee28
@faidaimmaculee28 Жыл бұрын
Iyonikweli wa Ganga niwaongo 😂😂
@nancynkya4462
@nancynkya4462 Жыл бұрын
jamani Mimi nimeota ni merudi sehemu ambayo nilikuwa nafanya kazi zamani na apo nilishafukuzwa sasa nimerudi na wafanya kazi wezangu wananishangaa nimerudije naomba nijibu plz shekhe
@farajadldm2256
@farajadldm2256 Жыл бұрын
Komboa nafsi yako
@Madam870
@Madam870 Жыл бұрын
Daa pole aisee hem nitafute unieleze labda naeza kushauri insha Allah
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Huo muilizi hapo ndo uonekane fundi au yani sikuizi mjini wezi wengi kwa kweli khaaaaa kujiganya unaongea kilafudhi ya kiislam kuchafua watu tuuu
@AishaMshaka
@AishaMshaka 4 ай бұрын
Tunataka huwomti nimtigani
@latifaradjabu3949
@latifaradjabu3949 Жыл бұрын
Mtu huyo sheikh mungutuonyesha majani yake tungeutafuta au kama inawezekana kukupata kupitia ww tusaidie namba zasim mm nipo Burundi sjui nitaupataje
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 26 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 121 МЛН
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 26 МЛН