Mi nawaelewa sana mashekhe ingawa ni mkristo ila nafuatilia sana darasa za mashekhe hasa mashekhe kama wew na wengine mna elimu halisi kabisa
@kristinmpoli3586 Жыл бұрын
Allah akulipe kheri nyingi sheikh wetu
@BakariAthumani-vs8lk Жыл бұрын
Swadacter naomben like zangu
@kalamuMedia Жыл бұрын
Mimi nishakupa 😂
@ismailhassan520910 ай бұрын
Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
@kalamuMedia10 ай бұрын
Aamin
@mariammzee-u5v6 ай бұрын
Allahumma aamiin
@Serengeti-iu4qv4 ай бұрын
Ameen
@zahraabdul965224 күн бұрын
Allahumma Amen
@mustyboymaalim2070 Жыл бұрын
Ahsante sana shehe wangu
@hanspop6961 Жыл бұрын
Maneno Matamu Mashallah! Mwenyezi Mungu akuweke Shekh Wetu
Mimi si muislam ila huyu jamaa kiboko anafundisha ukweli kabisaa
@AbuuLuqman99AbuuLuqman6 ай бұрын
FANYA IBADA KUTAFUTA RADHI ZA ALLAAH SIO KUPATA THAWABU , HAYO MENGINE MUACHIE ALLAAH
@SumaiyaJm27 күн бұрын
9:29 9:34 9:35 9:49
@barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын
ان الله في ما عليه العبد si hadithi Shehe
@AbasiAbdi5 ай бұрын
Your very smart shekhe Mashaallah
@hamzaforogo Жыл бұрын
Maashallaah
@amosiabdulallh7965 Жыл бұрын
Mashallah sheikh
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Mashaallah shekh
@bethwinfred44005 ай бұрын
Amen amen kaka
@haidaryjoe5546 Жыл бұрын
elimu Sahih kwa wakati sahihi..Mashallah😅
@husseinkombomwachikobe882810 ай бұрын
Allhamdullillah .allha.akuweke
@tifashadrack71352 ай бұрын
🙏🙏🙏
@dezainermedia1035 Жыл бұрын
❤
@munaissa2529 Жыл бұрын
Mashaallah
@GedeonAgenongajawiyambe5 ай бұрын
Jazakumullah Sheik
@MasiziaKari-lh6wc Жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@Kadaboy-sg6pd9 ай бұрын
nisahihi ufakiri hautakikan ktk dini ya kiislam
@SimonpaulMayunga Жыл бұрын
Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
@mohdloushmoney9994 Жыл бұрын
Mfuate akusomeshe uujue uislam
@kalamuMedia Жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza
@jafarinauma6798 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah
@salhidsalhida41519 ай бұрын
Karib katika uislam
@hamisimtemi38039 ай бұрын
Allahu Akbar
@regnaemanuel5331 Жыл бұрын
mashallah❤❤❤
@FatwimaZahrau5 ай бұрын
Kweli kabisa❤
@AmiriKudra10 ай бұрын
Mashaalla
@DawsonKiwia-qt6zf9 ай бұрын
Ukweli kwenye ahadi.
@ZainabLol-wx7xf3 ай бұрын
❤❤❤
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
Allah akbar 🥱
@BonnyMwajombe-iu7hb4 ай бұрын
We shekhe nakufatilia sana nimegundua unaakili timamu uko vizur sana , waislamu nawakubali sana japo ni wachoyo sana kutoa zaka na sadaka 😂 utakuta mtu swala kubwa kama ya ijumaa mtu anabeba sh 1,000 tu hatariii ,ndo maana utakuta msikiti umezingizwa na nyumba za watu kwakuwa hauna hela za kujitanua kuwahamisha watu ili eneo liwe kubwa.
@MIRAJIMSURI9 ай бұрын
Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo
Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.
@maftahramadhani2382 Жыл бұрын
Sahihi
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
@rajabukipara3008 Жыл бұрын
MUNGU Atakusimamia Inshaallah
@abdulwaheedmzury351 Жыл бұрын
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
@zubedarichard2311 Жыл бұрын
Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏
@fatmaabubakar5946 Жыл бұрын
Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya
@MesalimRashid Жыл бұрын
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
@djumaassumani516910 ай бұрын
Mambo yana bana kila siku
@saidipara4134 Жыл бұрын
Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda
@saloomidd10844 ай бұрын
Jamaa ana nyota sana huyu lakini pia ni muungwana sana hana ugomvi na mtu
@emilioadremaneadremane2706 Жыл бұрын
E preciso nos informar
@barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын
Swalatu awabin ni صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
@Haarun-h4q Жыл бұрын
Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?
@nabillionairevevo5986 Жыл бұрын
Ili iweje
@jafarinauma6798 Жыл бұрын
Unautaka ushekhe wa mkoa endelea kupambana
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Mkoani
@maheitumdintunya2928 Жыл бұрын
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
@abdallahmsham-eb7jz Жыл бұрын
hahahahaha
@mobilespecialschool4216 Жыл бұрын
Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kalamuMedia Жыл бұрын
Huu ugomvi sasa 😀
@hassanisihaka910 Жыл бұрын
Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa
@mobilespecialschool4216 Жыл бұрын
@@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako
@mangofish9079 Жыл бұрын
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
@abdizoseyyid63310 ай бұрын
Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia
@saloomidd10844 ай бұрын
Wewe ukienda dukani kununua mchele au sukari utalipiaje bila pesa?