Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
@mohdloushmoney999410 ай бұрын
Mfuate akusomeshe uujue uislam
@kalamuMedia10 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza
@jafarinauma67989 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah
Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo
@athumanikhamisi337710 ай бұрын
Allah akbar 🥱
@saidipara41347 ай бұрын
Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda
@user-mt4sd6cj5y10 ай бұрын
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
@abdallahshariff29834 ай бұрын
Wallahi,kama shabiki yako,napendezwa na mawaidha yako,kwanza wewe ni mchezi,kisha unatumia lugha ya upole na ya kuridhisha.
Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
@kalamuMedia3 ай бұрын
Aamin
@user-yj3sb2ks4l2 күн бұрын
Allahumma aamiin
@abdallahmsham-eb7jz10 ай бұрын
hahahahaha
@husseinmkanga779410 ай бұрын
Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.
@maftahramadhani238210 ай бұрын
Sahihi
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
@farris_2549Ай бұрын
🤌✅️💙💨
@mobilespecialschool421610 ай бұрын
Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kalamuMedia10 ай бұрын
Huu ugomvi sasa 😀
@hassanisihaka91010 ай бұрын
Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa
@mobilespecialschool421610 ай бұрын
@@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako
@user-mg6hn6os6y10 ай бұрын
Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?
@nabillionairevevo598610 ай бұрын
Ili iweje
@jafarinauma67989 ай бұрын
Unautaka ushekhe wa mkoa endelea kupambana
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Mkoani
@mangofish90799 ай бұрын
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia
@barzaqtradingcompany854110 ай бұрын
Swalatu awabin ni صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
@mwanabayadola54769 ай бұрын
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
@rajabukipara30089 ай бұрын
MUNGU Atakusimamia Inshaallah
@abdulwaheedmzury3519 ай бұрын
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
@zubedarichard23119 ай бұрын
Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏
@fatmaabubakar59467 ай бұрын
Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna
@abdizoseyyid6333 ай бұрын
Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya