Maa shaa Allah Kijana kapambana sana Allah azidi kumfungulia Rizki yake ili azidi kua Asbaab ya wengine kupata Rizki inshaa Allah.
@marrypius57615 күн бұрын
Ongera zake kijana anapambana sana Mungu akuongoze
@SwahiliAmbasador95415 күн бұрын
Hongera sana kwake jamaa anatuwakilisha vyema sana nje ya nchi
@mndambokilavo250214 күн бұрын
Huyu jamaa alitakiwa awe pale TRA awatengenezee mfumo mzuri wa kukusanya kodi na hatimaye kodi ipungue ili kila mtu aweze kulipa kirahisi na kampuni yake hiyohiyo ya NALA lakini utasikia tuna watalaamu wetu
@zakayodismas25115 күн бұрын
Hiyuu jamaa baada ya miaka kadhaa ni bilionea ajayee
@GodfreyOsward13 күн бұрын
Tunge kuwa tumwekea mazingira hapa ndani, huo utajiri ulikuwa wetu wote. Si ajabu kasajiliwa nje.
@kalfohuncho735615 күн бұрын
Idol🙌🇹🇿
@kakawamashariki897814 күн бұрын
Pongezi nyingii kwako mjasiliamari Mtz mwenzangu kwa mapito ya kampuni yako. Waliouchukulia duni mwanzo wako taarifa hii ni adhabu tosha na fundisho kwa wengineo, bila kusahau hii ni motisha kwetu tunaojitafuta tukingali na mwanzo hafifu Sana.
@BARAKA-ns3jv15 күн бұрын
Tunaomba ufanye naye interview
@mtulivu-ir1nq14 күн бұрын
Amani ya nchi ndio msingi wa maendeleo ya Kila Mmoja bila amani hakuna maendeleo respect🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@jengainavyotakiwa14 күн бұрын
Hongereeni sana kwa hatua mliofikia, haikuwa rahisis
@shaban664414 күн бұрын
At the same Time anatangaza Nchi Yetu Kwa ukubwa Sana. Proud of You as Tanzanian.
@aminaali79214 күн бұрын
Maa sha Allah Nala has good rates 👌🏼😍😍
@patrickmulonda971014 күн бұрын
Ni company nzuri sana kabisa, hata sisi tuliopo hapa ulaya tunaitumia
@beingothman15 күн бұрын
Hadi Raha
@user-br4gt8nz7o14 күн бұрын
One day❤
@mathiasswai700614 күн бұрын
Hongera sana🎉🎉🎉🎉
@ramamabinda506314 күн бұрын
Niliwaona mbali sana NALA, kutokana na technologia yao isio ya mitandao ya sim. Lakini nikawa na shaka juu ya Fernandes kufadhili mambo ya ukiukwaji wa misingi ya kuishi kiuumbwaji, hilo bado naliangalia kwa jicho pana sana. Lakini hiyo kampuni ni safi na nia ya muanzilishi ni njema, katika maelezo yake. Ni moja kati ya watu naowafatlia sana, na ninaona wana kitu cha kuinufaisha nchi yetu.
@andrewemmanuel186114 күн бұрын
Tanzania imejaa watu wenyeh taaluma na techilogia ya juu 😊
@jotafungo462215 күн бұрын
Isogezeni nchi zote za SADC
@GodfreyOsward14 күн бұрын
Tukumbuke hapa alikutana na mizengwe, akakimbia.
@johnmessi683115 күн бұрын
Mbona nala haipo Israel 🇮🇱? Tuna pasta shida kutuma pesa
@Sonier_Bright15 күн бұрын
Wow❤
@swahilitherapytv384614 күн бұрын
Bilionea mtarajiwa Afrika
@BongoPlatformTv14 күн бұрын
Jiulize kwa nn wengi wakianza kifanikiwa wanahamia nje,.?
@mrshazychannel335915 күн бұрын
Fernandes the super hillo of tanzania
@twalibulomy-cd4zd14 күн бұрын
Ongea kiswahili pumbu ww. acha ulimbukeni.
@GodfreyOsward14 күн бұрын
Super Hiro huku tulimkimbiza nyumbani
@israelkisaila840114 күн бұрын
Siyo MTANZANIA huyo😢
@R1Lifestyle-f6n15 күн бұрын
mm nilisema miaka 4 iliyopita kwamba huyo jamaa ni up commin billionare, mana najua 75%+ ya matajiri wa dunia wapo kwenye tech.. hivyo hiyo sekta ni tajiri kuliko zote kwa hiyo ukiwa humo utapata pesa nyingi mana mzunguko wake ni mkhbwa.. hongera sana kwa Benji, I wish siku moja nimuone akiwa billionare itapendeza..
@GeorgeAkasha-zx2rj14 күн бұрын
Ila tambua kampuni yake imesajiliwa Kenya, maana bongo walimletea longo longo.
@R1Lifestyle-f6n14 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj hapa sera nyingi nafikiri zinakuwa sio rafiki sana kwa wawekezaji wa nje.. huenda
@GeorgeAkasha-zx2rj14 күн бұрын
@@R1Lifestyle-f6n Walimkatalia kwa hapa bongo ndo ikabidi aende Kenya(bado sera zetu za kijamaa zaidi na hofu) ila Kenya alipata kibali na matokeo yake ndo haya sasa.
@R1Lifestyle-f6n14 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj yapi tena mkuu?
@GeorgeAkasha-zx2rj14 күн бұрын
@@R1Lifestyle-f6n Mkuu Kenya wanafaidika na Kodi zaidi na pia Kenya wanaibrand hio App Kama ni ya Mkenya.So hapo watakuza utalii na uwekezaji kiteknolojia kwa baadae.Jamaa ni Mtz kabisaa ila ndo hivo Kenya ndo wanafaidika kwa sasa? Refer Starlink issue.
@Fgldesigns14 күн бұрын
Ila mtambue kampuni si ya Tanzania kwasababu ya kutokuwa na maono, bali tunajua rushwa tuu
@samiraabdimahamed444914 күн бұрын
Ni washenzi sana
@NdovuDentalClinic_15 күн бұрын
🚀🚀🚀🚀🚀🚀
@jamesrichard5415 күн бұрын
Top 10 nami nimo kwakutumia Nala kutuma pesa home 🎉 kama na ww upo Top 10 like hapa 😮🇹🇿🇹🇿
@bushbabytz11 күн бұрын
Mtoto wa Mchungaji Ferdinandez huyo wa ATN aisee, kumbe NALA ni ya kwake!? natumia NALA sana kutuma pesa Tz kwa familia kutoka huku Scotland
@dareplatform878414 күн бұрын
Huyu anae andika title ni nan😂😂😂😂 uwezekaji ?????!!!!!
@damsonwilson520214 күн бұрын
Huyu kijana Nakuona Niaka ijayo Atakuja kuwa Tajiri no 1 Tanzania Benjamin ni hatari
@user-mt6nu5hs8q14 күн бұрын
Kwahio tz amebaniwa si ndio
@majalaworldwide15 күн бұрын
Mbona una ipromote nala wakati hata tanzania haipo na haifanyi kazi
@isihaqkerdehaqker140314 күн бұрын
Mmefanya tafiti?
@lovenessvisent940814 күн бұрын
Ipo
@GeorgeAkasha-zx2rj14 күн бұрын
@@lovenessvisent9408Haipo ipo Kenya
@bintqassimidarous163614 күн бұрын
Mimi nipo Germany 🇩🇪 natumia nala kutuma pesa nyumbani ipo fasta mno nikajua mmiliki wake ni m nigeria 🇳🇬 kumbe mtanzania? Na ndomana hua wananitumia text wananiekea na maneno ya kiswahili
@PuzzleMc-zp2lg14 күн бұрын
Ila mbona wa tz wenyewe sio mtu mweusi 😢
@salimali-rf9er14 күн бұрын
@@PuzzleMc-zp2lgkwani mtu mweusi tu k mm wewe ndio mm mtanzania peke yake, ondosha fikra na mawazo mgando ktk akili yako, hebu isome history ya Tanzania utajuwa ina watu wa aina gani na gani
@DafiMohamed-dz8xk14 күн бұрын
Hongera sana lkn kitu chochote marekani akiwa mshirika wako ujue ataleta matatizo tu hivyo kuwa muangalifu
@rebbywealth986914 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 khaaa. . Small minds mna shida sana
@DafiMohamed-dz8xk14 күн бұрын
@@rebbywealth9869 mimi small minds lkn nakubali lkn ndio huo ukweli huo wewe c ndio Manager wake
@GodfreyOsward13 күн бұрын
Ndugu msichama akiwa mrembo, vijana wa kiume wa karibu wasione uzuri. Kuna shida kijana kumposa?. Hayo mataifa wanasaka fursa. Wakikuta mmezubaa wanachukua. Utasema naandika nini. AI na fursa zake hapa ndani ni kama hatuji ndiyo maana hakuna uwezeshaji wa kitaifa. Hivi vitu vina gharama. Na Kwa sababu hatujali watu kama hao wanakimbiza utajiri kwenye mataifa mengine. Tutasubiri kushangilia tu. Mfano mwingine kuna kampuni ya RADELIFAME unaitwa Skyline and logistics wasafirishaji wa mzigo tz wameanza kutumia, na umesajiliwa nchi 193. Mataifa makubwa na jumuiya za kiuchumi zinaangaika kuwachukuwa. Hapa tz Sina hakika kama tunajuhudi za kuweka mazingira ili nao wasikimbie kama NALA. Hayo mambo ya mifumo makampuni ya ndani kama hayo yanaweza kutengeneza mifumo. Ya kila aina bila kutoka nje
@Qqambaa14 күн бұрын
Fanandez ni msomali mwenzangu cio
@samiraabdimahamed444914 күн бұрын
Peleka Ushamba mbele , usomali nini umeleta hapa, akili za matakoni 😂 sasa siungeenda Somali, kwa nini uko TZ ??? Kijana amesema yeye ni Mtanzania alafu wewe unakuja kumtafutia kabila😒
@majalaworldwide15 күн бұрын
😂😂😂 kijana wa kitanzania harafu tanzania hamna nala😂😂
@R1Lifestyle-f6n15 күн бұрын
sasa hata kama the main digital payment method PAYPAL haiwezi kufanya kazi kwenye hii nchi unataka yeye afanyeje, wakati unasikia aliambiwa na makampuni ya simu makubwa kwamba aachane na hiyo biashara akakaza.. sera za hapa ni ngumu sana, hata Iron Musk kashindwa kuwekeza kwenye StarLink, hatimae kawekeza kenya na huko nchi za kusini, sisi tunaofanya kazi na makampuni ya nje tunaelewa.. hata ukipata pesa nzuri kidogo maswali ni mengi.. acha tu😂😂
@iganizarichard819714 күн бұрын
Inafikilisha sana aisee
@ShukranMwakyambo14 күн бұрын
Nimecheka
@ce-0814 күн бұрын
Masikio yenu wote hayasikii msikilizeni tena alichosema Fred Bundara alishajaribu Tz alaf huyo ni mfanya biashara sio tu unaweka Tz kisa kwenu je itakulipa au utaendesha kwa hasara mbona Kuna baadhi ya watu wanamahotel makubwa dar na wengine had nje ya nchi unahis walishindwa kufanya kwenye mikoa waliyotokea au kuzaliwa wameangalia kwanza faida wap watakuwa na soko maana unaweza ukafungua kwenu na biashara ikafa kwa kukosoa wateja au wateja kuwa wachache alafu gharama za uendeshaji zikawa kubwa ikawa ni sawa na kujaza maji kwenye tenga😅
@GeorgeAkasha-zx2rj14 күн бұрын
@@iganizarichard8197Ni mtanzania kweli ila kampuni kaisajili Kenya maana aliona bongo longolongo nyingi aliona(kiufupi sheria zetu sio rafiki sana)
@Mr-GMB14 күн бұрын
Ofisi ziko wapi hapa Tanzania?
@salvadorfx14 күн бұрын
Ofisi za Nala zipo Nairobi 🤣Tz walileta ungese
@Mr-GMB13 күн бұрын
@@salvadorfx aisee
@salvadorfx13 күн бұрын
ndio nchi yetu hio 😂 Kuna interest binafsi sana
@GodfreyOsward13 күн бұрын
Wakati mwingine sio interest, ni uelewa uko chini. Kuna chimbo unaweza liona ukajiuliza kwa nini tunazubaa, baadae tunatukanana tu. App ya tz nyingine inayotikisa duniani ni Skyline and logistics. Hivi vitu Mungu anatupa vitusadie. Hajabu tuna tabia ya kuchelewa.
@user-dg7wf6fg2j14 күн бұрын
Kijana anapambana kukuza biashara huku vijana wanakunjwa pombe kali na kubashiri michezo wakitoka hapo wanaenda kuvhukua mafuta ya upako na reso.godbesss
@wazarendotv796614 күн бұрын
😂😂😂
@wazarendotv796614 күн бұрын
Umenichekesha snaa 😂😂
@user-dg7wf6fg2j14 күн бұрын
@@wazarendotv7966 ndio ukweli vijana wamechoka wanamka wanakula kande harafu wanashusha viroba matajiri watatuacha mbali sisi tukajaze fomu kwa manabii wa michongo
@GodfreyOsward14 күн бұрын
Hata china, vijana wanakunywa. Shida ni wabunifu wetu kutowapa uwezeshaji. Na kutoona bunifu zao ni uchumi wetu sote. Huyo kijana ukumbuke alishasema, kwamba hapa nyumbani alikutana figisu. Hivyo kampuni yake si ajabu hati miliki ya huo mfumo. Kafanyia taifa jingine. Tuliona kampuni nyingine ya Tz kule Al Jazeera, ikipewa sifa ya ugunduzi wa mfumo wa robot kujifunza au adaptive learning. Pia wametengeneza mfumo wa skyline and logistics. Unarasisha usafirishaji wa mzigo, nchi kavu, makini na nchi kavu. Na wanaunganisha huo mfumo kutumika nchi 193 duniani. Huduma yao inapatikana kiganjani. Pengine kwa nini wanajulikana kwenye vyombo vya kimataifa sisi hapa hatujui? Kama ni kampuni iliyossjiliwa tz, itavuna pesa ya kigeni kuleta tz kiasi gani? Sisi kama taifa tunafanya nini kuhakikisha, lengo la kuleta utajiri nyumbani tz linafikiwa?
@GodfreyOsward13 күн бұрын
Adoption category ya jamii inaonyesha wabunifu ni chini ya Asilimia mbili. Vijana hawawezi kuwa na ubunifu kama NALA. Ila ubunifu huo wa NALA inatakiwa utumiwe kuzalisha ajira mamilioni. Changamoto si vijana kuelewa. Kuelewa ni kiashiria cha tatizo. Mfano NALA mfano alifanya tz ndiyo makao makuu ya kampuni yake, pesa itakusanywa kote huko duniani na kuja ndani. Ikifika ndani itawekezwa kwenye vitega uchumi vingine ajira za hao vijana zitapatikana. Tutajikuta tunabadilisha jina kutoka walevi kwenda wanywaji. Analysis nzuri NALA itatoa ajira ngapi, kodi kiasi gani?. Changamoto zipi zinazo kabili sekta hii, ili huu utajiri wtz wenzentu wakimbizie nje. AI duniani inaenda kwa kasi sana. Hapa Ziko changamoto zipi za ki sera?. Tunaweza kupunguza vijana walevi kwa kuwawezesha kujishughulisha na fursa zilizopo. Sio mtindo huu. Ambao mtu uchukua mti mrefu au fimbo ndefu kugeuzia au kusukumia mzogo. Tatizo la vijana si lao wenyewe kwa kiasi kikubwa. Sisi tunajikataa mfano hai ni huo. Kitabu. The ecomoc of Trust. Kuna neno wivu ukiwa utamaduni wa taifa mmmm