Anaongea pumba hovyoo damu za watu aliewaua zimemlevya
@mwalimuali18503 жыл бұрын
Usimuhukumu mtu ,Allah ndiye mwenye kujua ila Allah atupe hatima njema kwa sote Ameni
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Zanzibari lmemezwa kutoka zamani
@jumakinenekejo10099 жыл бұрын
du huyu mzee hakuelimika, na yaelekea hakuthamini saana kazi za WATAALAM!!
@aldanaudana26336 жыл бұрын
Juma Kinenekejo ungelimsomesha wewe
@mwanaeidizenji82645 жыл бұрын
Heee hii kali
@abdullkilawi55048 жыл бұрын
Greater man
@MyShau11 жыл бұрын
watanganyika wataondoka kweli
@ibrahimmakame53043 жыл бұрын
Alikuwa hangoei km msomi km msikilize muhamed shamte UN speech yake.
@aldanaudana26336 жыл бұрын
Hatokei kaka mana kila siku imani inazidi kudidimia
@qatar1374 жыл бұрын
سبحان الله الله انتقم منه
@alialamoudi97292 жыл бұрын
وفي الاخره عذاب عظيم
@alimussa26555 жыл бұрын
Nyinyi viongoz wa serekali hebu igeni mfano wa karume sio kazi kula pesa tu zaserekali eli gani munazosoma nyinyi hebu muangalien jembe hili halafu mujichek na elimu zenu
@eliasnavytanga4 жыл бұрын
Kauza nchi mshenzi huyu.
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kadanganwa NA nyerere kwamba tutakulinda usipinduliwe wakavamia zanzibari NA hawakutoka ikawa zanzibari chini ya ukoloni ya tanganika kijanja janja. Kushtuka tu kashapoteza serekali yake sasa vipi mamlaka ya zanzibari NA historia yake NA elimu yake NA utamaduni wake na uslaam wake imepotea milele NA anaye chimba shemo kwa mwanzake anadumbukia mwenye NA hao yote kukimbilia madaraka NA kupoteza nchi kwa maslaha yao sio hio kusababisha mauaji NA thulma NA kutaifisha mali za watu roho za watu sio mchezo huko kuna hisabu kwa mungu ni uslaam hawana makosa ni raia tu wala sio askari nyerere NA ungereza walieteka nchi
@khamisasaa Жыл бұрын
MSHENZI SEIF SHARIF ALITAKA KUIREJESHA NCHI KWA WAARABU LAKINI KASHINDWA
@noflyzonnn12 жыл бұрын
Daima ukiwa unacheo kikubwa, basi wajibu wako kutoa uadilifu kwa wote. Hakika cheo ni jukumu kubwa sana. Usitamani kuwa na cheo. Kasababu ni rahisi sana kufanya maovu na dhulma. Yeye na mungu wake. Kama katenda mema au mabaya.
@mwanaeidizenji82645 жыл бұрын
Safi sana
@MyShau11 жыл бұрын
kwani kati ya muengereza na muarabu nani aliyekuwa mtawala?
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Waarbu ni wazaliwa zanzibari kutoka mia tano iliyopita NA wengine mama zao waafrika ni wanainchi tu lakini sasa wazanzibari imetekwa kijeshi NA tanganika yani hamna jipia si afathali waarbu wenye asili ya zanzibari kuliko kutawaliwa NA wakrsto
@rashidmwinyi11 жыл бұрын
hatokei tena rais kama karume Zanzibar
@inuyashasgirlsmao50847 жыл бұрын
Rashid bin Mwinyi hahaha..unamsifu. muaji.
@eliasnavytanga4 жыл бұрын
Huyu si ndio aliyeuza Zanzibar? Nchi ilikua na passport na fedha zenu wenyewe. Leo mnahanithiwa na Tanganyika.