Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote
@ibrahimjumbe6434 Жыл бұрын
MashaAllah Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭
@raheemhamisi5370 Жыл бұрын
Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman. Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam. Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.
@riiabbas3393 Жыл бұрын
Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee
@omaryntagala3740 Жыл бұрын
@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W
@mariamharoon1840 Жыл бұрын
Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu
@jamalimussa49282 ай бұрын
Mziki huo😢😢
@user-hd5bg8qw1b2 ай бұрын
KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA
@tazzat33832 күн бұрын
Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH
Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤
@burhantvtzonline5417 Жыл бұрын
MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)
@thadeondazi1495 Жыл бұрын
q
@user-id1me9ve1o9 ай бұрын
Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد
@fathiyaali6171 Жыл бұрын
ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍
@Aisha-zz4xy Жыл бұрын
Maashallah tabaaraka llah
@MaryamHaji-bb5gv9 ай бұрын
Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah
@rashid35622 ай бұрын
Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu
@mahmouddulajara7307 Жыл бұрын
Anayo alamaa
@binabeidsalim63802 ай бұрын
Wataka kusifiwa wewe mjinga myahudi wewe
@anwarosman7206 Жыл бұрын
Maashallaaah very beautiful
@user-jt7dx4xu2o10 ай бұрын
Maashaala kaswinda nzuri sana
@lelasharifabdi1139 Жыл бұрын
Mashallah mashallah anayo alama bwana mtume like voice 🥰😘❤
@aidasalingwa97628 күн бұрын
MashaAllah hakika twamsifuMtume Kwa sauti nzuri kama hivi
@soudkhamis70069 ай бұрын
Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani
@abuuthauran9933 Жыл бұрын
Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia. INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN
@allyabubakarisaidy5894 Жыл бұрын
ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?
@twalaataib7337 Жыл бұрын
MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA
@thadeondazi1495 Жыл бұрын
m
@abdulhamidjafar3176 Жыл бұрын
Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.
@mahfoudhjuma4833 Жыл бұрын
Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo
@binabeidsalim638011 ай бұрын
اللهم صلى وسلم عليه ما شاء الله يا اخواني
@leaderboy7565 Жыл бұрын
Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu
@yahyayusuf1761 Жыл бұрын
We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame
@athumanmwamgupu661 Жыл бұрын
Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?
@ramadhanShaban-cb9fs10 ай бұрын
Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza
@hafanabdallah311210 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe
@mariamomary35379 ай бұрын
Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu
@saadaliy3979 Жыл бұрын
Hatar sana mzee koba
@MohammedAli-zx6yh Жыл бұрын
duh htr mashekh
@asmamjema8539 Жыл бұрын
Mashaallah
@babuuosama87522 ай бұрын
Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .
@user-dj9tj6tj6y8 ай бұрын
Allhahu Akbar Allah awazidishie
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Masha allah
@mokitaa8750 Жыл бұрын
SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA
@Allyahmed40 Жыл бұрын
Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
@@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa
@user-il5te5xd5y22 күн бұрын
unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa
Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa
@HusnaMakame Жыл бұрын
Mashaallah Allah barik
@AbuuSaif2 ай бұрын
Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki
@MozaissaNassor2 ай бұрын
Yaa Allah tuoneshe haki na utuwezeshe kuifata natuonyeshe baattil na utuwezeshe kuiwacha.
@jumajafar8710 Жыл бұрын
lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto
@wardaam3707 Жыл бұрын
Maaashallah
@muhidinirajabu1341 Жыл бұрын
Mashaalla
@abuuirfan9523 Жыл бұрын
TAARAB LIVE
@hemedisaidi90237 ай бұрын
Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah
@HalfaniRashid3 ай бұрын
Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma
@HalfaniRashid3 ай бұрын
Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo
@user-uo7hs4is6yАй бұрын
Masha Allah
@RehemaMgongwe-di3yf2 ай бұрын
Amina karama yamwenyez tuendeleze
@RehemaMgongwe-di3yf2 ай бұрын
Nijia ya allh pekee waisilam tumche mwenyezi kwa makin kaswid inatufahamisha tuyafanye mema
@user-ju1dg4xt4lАй бұрын
Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉
@hijazhija316 Жыл бұрын
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
@imranijuma6955 Жыл бұрын
Khatari wallahi mtihani
@hemedisaidi90237 ай бұрын
Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo
@mwantummakoa42534 ай бұрын
Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo
@adamjutto58492 ай бұрын
Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake@@mwantummakoa4253
@Dawlat2822 ай бұрын
Nzuri sana
@barkebahesmy12572 ай бұрын
Kuna watu wao kukosowa tuuu lkn hawafundishi mema nendeni mpirani muusifuuu mwisho mupigane😅
@jumamohammed5378 Жыл бұрын
MashaAllah
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Msiba_Mzito_sana
@mariamomary3537 Жыл бұрын
Umefiwa
@saidseif1860 Жыл бұрын
Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman
@mahmouddulajara7307 Жыл бұрын
Anayo alamaa
@mariamomary3537 Жыл бұрын
Wewe ulisomea dunia na mbon huwez kuhukum nyamaza tungoj hukum za allah
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa
@user-ph6oj4zo2i3 ай бұрын
Mdomo tu muone vile
@SulemanMuhidin2 ай бұрын
Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58
@TeamKRX Жыл бұрын
Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah
@hafidhsalum9149 Жыл бұрын
Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao
@pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын
Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida
@hameezhami7795 Жыл бұрын
Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤
@user-xl5qj8we2x Жыл бұрын
@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
صلى الله عليه وآله وسلم
@ShaameMBakar Жыл бұрын
uhuni huu
@SulemanMuhidin2 ай бұрын
Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi
@feisalboy6702 Жыл бұрын
Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao
@mwantummakoa42534 ай бұрын
Mbona mnawafatilia sana kwann upo humu
@bakariyusufujuma Жыл бұрын
Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?
@rashidmlawa6548 Жыл бұрын
Kwani hujui kama hiyo ni taarabu
@bakariyusufujuma Жыл бұрын
Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje
@HalfaniRashid3 ай бұрын
Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje
@HalfaniRashid3 ай бұрын
Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika
@abdallahmmary85913 ай бұрын
Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni
@user-il5te5xd5y22 күн бұрын
kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni
@omanruwi55012 ай бұрын
Masha Allah Masha Allah ❤❤🎉🎉
@samilasultan17959 ай бұрын
Mashallah
@salumsimai642 Жыл бұрын
Sasa hiii na taaaarab hakuna tofauti etiiiiii
@roudhamahmoud7632 ай бұрын
Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe
@mokitaa8750 Жыл бұрын
pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki
@mokitaa8750 Жыл бұрын
magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza
@dullahmihuri Жыл бұрын
Haongera bro
@haarunsaidabdillahi4082 Жыл бұрын
Hakuna tofauti na taarab.
@feisalboy6702 Жыл бұрын
Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi
@dullahmihuri Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilaihi rajiuun
@jakuabdull349 ай бұрын
Inailahi rajiun mwenyewe cc nyoyo zimefurah kutajwa kipenz chetu
@najatsalum2122 Жыл бұрын
Namuona shekh langu shekh Kabeke
@BakarOthman-fl7cq2 ай бұрын
Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
dini gani hii?
@munirafatma6090 Жыл бұрын
Takbrrrr
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Kazi ipo 🤔🙄😣
@alialamoudi97292 ай бұрын
🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi
@Allyahmed40 Жыл бұрын
Anayo wallahi Anayo. Opoooooooooh sharif Koba
@AllyAhmad-zg2yp8 ай бұрын
Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito
@Fatma-up9qs2 ай бұрын
Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu
@barkebahesmy12572 ай бұрын
Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂
@adamjutto58492 ай бұрын
😂😂bado diamond amuimbie mtume
@user-wk4kr8id6u2 ай бұрын
Duuuu Allah atunusuru
@SelemaniMussa-dy7fuАй бұрын
❤❤
@abuuirfan9523 Жыл бұрын
Masheikh ubwabwa Allah anawaona mtakwenda kumueleza nini?
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
Wewe sheikh mchuzi fanya yako ya kimchuzi usiwahukumu watu
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Ebwana ehhhh Nilifikili Sami Yusuf.
@AzizaMombe-fy4qv3 ай бұрын
Allahu akbaaru dini yetu taamu
@labunaabouna61222 ай бұрын
Nice
@BakarOthman-fl7cq2 ай бұрын
Haji manara ww ni muhuni tu tunakujuwa tangia zamani tena ujahili ww
@Hustlersec6 ай бұрын
Uzushi zahir shair
@oman60245 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-kp2ok4zl1x8 ай бұрын
Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !
@Fatma-up9qs2 ай бұрын
Is this instrumental song halal in Islam???
@barkebahesmy12572 ай бұрын
Ukiwa hupendi ondoka .we bado umeganda tu tuache sisi wa2 wa bidaaa😂
@saudhamdoon4825 Жыл бұрын
hii taarabu ya wapi?
@FasihiRaisi2 ай бұрын
Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda
@abdulhalim59504 ай бұрын
Mashindano y quran alaf mziki nynyi ni masufi mmejiondolea mipaka