Рет қаралды 209
KATAVI: HATIMAYE Mkoa wa Katavi unaenda kuingizwa katika matumizi ya umeme wa Gridi ya Taifa ifikapo mwezi Septemba, 2024 baada ya kuikosa huduma hiyo kwa zaidi ya miaka 60 tangu Uhuru.
Hayo yamebainishwa leo Julai 09, 2024 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Njia Kuu ya kusafirisha umeme ya Msongo wa Kilovoti 132, kutoka Tabora hadi Katavi na Kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme kilichoko mkoani Mpanda.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09