MAALIM SEIF: MKUU WA WILAYA U-CCM WAKO UWEKE UPANDE / MIMI NI ACT NAMBA 1

  Рет қаралды 89,613

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 160
@SeekerMaulid
@SeekerMaulid 3 жыл бұрын
Kama unaangalia baada ya kutangulia jembe kwa muumba tujuane. Allah amrehemu. Amin
@iddisaid1680
@iddisaid1680 3 жыл бұрын
mashaallah mungu akupe muongozo mzur maalim saif nakupenda na nitazidi kukupendeni
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 3 жыл бұрын
I can't stop my tears 😭 I really love this old man may his soul rest in peace 🙏
@khamisjuma5481
@khamisjuma5481 3 жыл бұрын
Aaaaamin
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 3 жыл бұрын
💃wenye kusema wacha waseme maalim saif tumpambe mauwa🌷⚘🌷🌻🌺🌼🌷⚘🌱🌲🌺🌻🌷⚘🌱🎻🎷🎤🎤🔊Sawa Sawaaaaaaaaaaa👏👏👏👏👍
@juhudiacademy2170
@juhudiacademy2170 3 жыл бұрын
Sasa hapa ndio naona Maalim kakomaa kisiasa . Hivi ndo tunavyotaka Zanzibar iwe. God bless you Maalim
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Mjomba seif sharif umechangamka MASHALLAH. Ila mshaur mjomba MWINYI .mujenge zanzibar majumba ya kisasa na yale majumba ya michenzani na mjerumani na mji mkongwe muyakarabati na muyapake japo chokaa ili yangare . Mana mepya ndio uwezo wa kujenga haupo bas japo hayo ya kale muyatunze .
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 жыл бұрын
Jengeni nchi yenu uraisi mwisho miaka 10. Nzanzibar ndio muhimu. Kuliko madaraka. Hongera Mwinyi na Maalim.
@madinaomar679
@madinaomar679 3 жыл бұрын
Watu wote tunampenda muheshimiwa ayubu, mungu azid kuumpa afya njema, nguvu na ujasiri wakuendesha shughuli zake zenye mafanikio kwetu wazanzibar. 😘
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 3 жыл бұрын
Nikweli baba twakupend kwa anili ya allah mungu akuzidishiye afiya akupe umri mrefu piya akulinde na wabaya baba
@beatricedavidvizurmwaya427
@beatricedavidvizurmwaya427 3 жыл бұрын
Daah😭
@selwanmohmmed8792
@selwanmohmmed8792 3 жыл бұрын
Allah atupe nguvu umoja udumu in shaa Allah
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 3 жыл бұрын
Mashaa Allah, haki kwanza ili amani iwepo
@ommyshabani4704
@ommyshabani4704 3 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema
@ahmedqaby3704
@ahmedqaby3704 3 жыл бұрын
Allah akupe subra kabr lako liwe raudhat njanna
@ommyshabani4704
@ommyshabani4704 3 жыл бұрын
Amina
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Zanzibar kwanz Chama vyama Baadae
@alimussa2655
@alimussa2655 3 жыл бұрын
Ayubu namkubali sana uyu jamaaa
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Muheshimiwa Ayubu yupo katika Maslahi ya Wazanzibari sio Maslahi ya Ccm Allah ampe kila la heri muheshimiwa Ayoub, hawa Masheha ndio washenzi kabisa
@تاتا-ن6ن
@تاتا-ن6ن 3 жыл бұрын
Kabisa
@issatalib1303
@issatalib1303 3 жыл бұрын
This is good speech for Zanzibarian people
@shixeoshxs7276
@shixeoshxs7276 3 жыл бұрын
Allah atufanyie wepesi inshaallah
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
FREE MUAMSHO JAMANI EEEEE.
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amrehem
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 3 жыл бұрын
Allwah akutiliye nnur kaburi laki maalim tutakukumbuka
@hafidhzubeir4008
@hafidhzubeir4008 3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 жыл бұрын
I'm ready to come back were I'm from ⚖
@mussamc641
@mussamc641 3 жыл бұрын
Nitakukumbuka sana sana sna .what is next u ..hakuna
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Sawa sawa
@iddisaid1680
@iddisaid1680 2 жыл бұрын
Mungu akulaze pahali pema baba yeye mzalendo wetu tuta kupenda daima
@mahmoudmudigo2624
@mahmoudmudigo2624 3 жыл бұрын
kweli kabisa ata mimi ayub ananifurahisha sannnnnnnnnnna
@omarymussa4786
@omarymussa4786 3 жыл бұрын
daaa tukiangalia hizi video za maalimu seif machozi yanakaribia kutoka mana dah maalimu seif mungu amekupenda zaid ila na ss mapenzi yetu kwako cjw tusemeje dah mungu akupe makazi mema huko uliko kaburi lako liwe ni nyumba mzri kuliko hata ulio kua ukiishi nayo duniani
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 3 жыл бұрын
Naam mkuu wa mkoa💪💪💪Allah amjale afya njema mkuu wa mkoa
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 ай бұрын
Mh Ayoub anajuwa kazi zake wengine wapo wapo hawajitambui labda ukereketwa ndio waliouweka mbele
@ahmedhamid3486
@ahmedhamid3486 3 жыл бұрын
Safi sana ayoub
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 жыл бұрын
Upo sahihi mzee wangu
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 жыл бұрын
Bwana Ayoub wallah amuhifadhi huyu mja
@rukky4169
@rukky4169 3 жыл бұрын
Maalim umesema maneno mazima kabisa. Allah akurehemu huko uliko.mazuri yako utayakuta huko uliko.
@mjleader4919
@mjleader4919 3 жыл бұрын
Hongera broo Ayoub
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 жыл бұрын
Never for get you maalim Saif wa zanzibar people
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 3 жыл бұрын
Mm mwenyewe mze Ayubu namkubal sanaaaa sanaaa yupo vzr na ktk watu niliokua na nia ktk urais nilidhan yeye ndio atapita lkn ndio ivo shukran maalim kwa kuwapa ukwel
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 3 жыл бұрын
Mungu was kweli na haki akubariki maalimu sefu Mimi ni c cm .nikubari sana kuwa maalimu ni mzalendo was kweli.
@jameszanzibar3689
@jameszanzibar3689 3 жыл бұрын
Bravo bravo bravo
@saumually1670
@saumually1670 3 жыл бұрын
Ongera sana malim sefh kwa risara yenye mashiko
@an6808
@an6808 3 жыл бұрын
Anaonekana hakuwa na chuki kabisa huyu mzee, am sorry Maalim i thought your a bad person lakin nimechelewa kuiamini kama wewe ni mtu safi na kiongozi makini, ulikua bado una nguvu za kuongoza. Hii siasa inatufanya tuchukiane bila sababu, upumzike kwa amani Maalim
@hafidhhumoud934
@hafidhhumoud934 3 жыл бұрын
Number 1
@emmanuelmuyombeka9870
@emmanuelmuyombeka9870 3 жыл бұрын
Good
@seifhabib5987
@seifhabib5987 3 жыл бұрын
Sadifa kanuna kweli
@suleimanalisaid2172
@suleimanalisaid2172 3 жыл бұрын
Ayoubu nikiongozi muadilifu Allah amzidishie iman
@mwakahassan7685
@mwakahassan7685 3 жыл бұрын
Amin
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
Kamchana mbele za watu hhhhiiiiii🤣🤣😂😂 noma
@mahmoudmudigo2624
@mahmoudmudigo2624 3 жыл бұрын
mwalim seif wewe ni mtu sannna nakukubali sana
@ShukuruKojaboy
@ShukuruKojaboy 3 жыл бұрын
Safi sana,huu ni uzalendo mkubwa sana.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Maalim seef uko juuu
@zanziboysaid952
@zanziboysaid952 3 жыл бұрын
Factual point
@issabakar8470
@issabakar8470 3 жыл бұрын
Ww mzee mm nakupenda sana kwanza huna ubaguz kama rais wetu
@abdallahsalum7301
@abdallahsalum7301 3 жыл бұрын
Kipimo chauwadilifu kipo kwenye uchaguzi hapa bado mapema
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
Maa shaa allah
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Maalim
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 3 жыл бұрын
Allah amraham kipenzi
@chichibakar9189
@chichibakar9189 3 жыл бұрын
Asnte
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Mhe Ayoub oyee.
@husseinmillans3794
@husseinmillans3794 3 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaih rajiuun!!
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
Mfalme wa Siasa za Visiwani Katika Uchangaji Wa Karata Zake Za Kisiasa . Kazi njema Kiongozi
@amemasudi5735
@amemasudi5735 3 жыл бұрын
Safi Sana
@yusrabebito7686
@yusrabebito7686 3 жыл бұрын
Naona wamenuna awo au vp?
@alawiali3475
@alawiali3475 3 жыл бұрын
Hata wakinuna wameambiwa ukweli
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 жыл бұрын
Wamenuna kweli lkn washapewa live
@shumishaffy8573
@shumishaffy8573 3 жыл бұрын
Innalillahi wa innaileihi rajiun
@موسعلی-ه8ث
@موسعلی-ه8ث 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭♥♥♥
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
Ni furaha sana .hii ndio znz tunayoitaka
@issaabdalla2856
@issaabdalla2856 3 жыл бұрын
kilalaheri zanzibar hivindivyo inavyotakiwa zanzibar mpya na uchumi mpya
@asiaissa976
@asiaissa976 3 жыл бұрын
Ndio
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Kweli usiingeingia tunge poteza mengi
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Maalim Acha kutuchekeesha,muyu umeingia toto lakini mvua haikunyesha
@waseemsalaam7267
@waseemsalaam7267 3 жыл бұрын
Ayoub baba lao
@kazijazaidi3753
@kazijazaidi3753 3 жыл бұрын
Muheshimiwa Ayoub mbona umekuja na muheshimiwa sadifa
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
Ni kweli uzanzibari unatuunganisha lkn imekuaje use na kadi no moja ya ACT mbona unatuchanganya mzee
@chamamaambambi7040
@chamamaambambi7040 3 жыл бұрын
Hongera jembe wa taifa ayoub muwache apige kelele huyo comredy sadifaa piga kazi
@chichibakar9189
@chichibakar9189 3 жыл бұрын
Asnte
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Mh... Ayoub mwaka huu hakuna CCM wala ACT tizameni maendeleo ya Nchi na WANANCHI ... wote hapo ndio yatakuja MAENDELEO....MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN
@sabringwal3079
@sabringwal3079 3 жыл бұрын
Naona unaingia kwa mabavu atachoka mapema huyu sef
@khulayfnassor6938
@khulayfnassor6938 3 жыл бұрын
@@sabringwal3079 Asijua mana haambiwi mana mpumbavu wee
@bableeyzabdalla531
@bableeyzabdalla531 3 жыл бұрын
@@sabringwal3079 fuatilia seif alipokuwa waziri wa elimu alipokuwa waziri kiongozi hawa unaowaona hivi sasa wanamuiga
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 3 жыл бұрын
Haya mambo yanachanganya sana saivi wote wanapeana sifa tu mimi nazani kipindi kizuri chakuhamasisha umoja na nyinyi viongozi kuwa pamoja nikipindi cha uchanguzi na kampeni wewe Mungu atupe uhai na Afya jema tutakuja kuona hapa hapa kama Mungu akuwafikishe hizi chuki magovi uhasama huazisha wao viongozi saivi aaa
@ipmalu9947
@ipmalu9947 3 жыл бұрын
Sipendi siasa but ukweli usemwe Ayubu ni jembe please turejesheeni Ayubu wetu kusini muje muchukue mzoga wenu mlo2letea
@josej9888
@josej9888 3 жыл бұрын
Mzee anaongea kutoka moyon kweli.
@mussamc641
@mussamc641 3 жыл бұрын
Ayoub kamata huo wasia huenda maali kakutabir ww kua rais ajae utukomboe .waznzibar
@salummzee9739
@salummzee9739 3 жыл бұрын
Umeipata wapi wakat ww umeunganisha juzi,ila kula tamu
@aishakhmohammed7995
@aishakhmohammed7995 3 жыл бұрын
Ukimaanisha?
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 жыл бұрын
Ayub tunakumis mkoa wa mjin
@saidomar8502
@saidomar8502 3 жыл бұрын
Kwel
@allysalim2497
@allysalim2497 3 жыл бұрын
ACT umedandia tu vp kadi no moja au kimesajiliwa upyaa baadae ya kuingia we mzee wetu
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
Kwa zanzibar
@salbuthaelhasany5177
@salbuthaelhasany5177 3 жыл бұрын
Kama una uwezo hyo kadi number moj mpokonye mjinga weeeh
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 жыл бұрын
Vyama viuliwe visiwepo. Viongozi wote wa Serikali wanatekeleza Ilani ya Chama hata uteuzi unategemea imani yako na chama. Hii viongozi wa Kitaifa kukutana na wanachama wake baadhi ya siku kunapangwa nini kama sio hujuma kwa chama kingine. Lengo la kila chama ni kushika Dola, Dola ni moja vyama ni vingi ni lazima vigombanie na ndio conflict hutokea hapo. Hivi kampeni za 2025 zitaendeshwa vipi na vyama washirika (CCM na ACT)? Ikumbukwe tulipita hivi hivi 2010 - July 2015.
@godsonkatuni8586
@godsonkatuni8586 3 жыл бұрын
Umeongea vema
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 жыл бұрын
Ayoub Ni Mtu Wa Pekee Kabsa Kabsa Katika Nchi Ya Unguja
@mr.khamis1993
@mr.khamis1993 3 жыл бұрын
Kumbe Unguja ni Nchi ?
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 жыл бұрын
@@mr.khamis1993 Unguja Ni Mkoa
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 жыл бұрын
Mzee wa VINOLI NOLI 🚨
@zamzamrashid9534
@zamzamrashid9534 3 жыл бұрын
Ayubu huna heshima atakusimama kwakiongozi wako kumpa heshima amekusifiya ata shukranibasi Mhhhhhhh 🤤🤤🤤🤤
@calimahad9274
@calimahad9274 3 жыл бұрын
Engesifiwa Magufuli engeinuka akarukuu ndio style ya ccm wa sass
@alhamud2721
@alhamud2721 3 жыл бұрын
@@calimahad9274 😂😂😂😂lakoiloooo
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 3 жыл бұрын
Huyu chuuwmaaaaaa
@reallyman9836
@reallyman9836 3 жыл бұрын
Ilani ya ccm ndio inayoongoza nchi
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 жыл бұрын
Cyo ilani yanbani kwenu na ukoo wako lkn mbona unakosea
@hawarhodes4110
@hawarhodes4110 3 жыл бұрын
Hiii mijitu mengine mijinga kweli watu wameeka tofauti zao pembeni ndio nini Kyle ya usenge wa ilani? Basi iache ilani itekeleze pasiwe na watu. Huyo mwinyi mwenye nchi hajawahi kusema kuhusu ilani au ndio wasenge mliobakia
@amnehajji3460
@amnehajji3460 3 жыл бұрын
Mzee utapata tabu sana
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 жыл бұрын
Na wewe pia utapata tabu sana
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 жыл бұрын
.
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
Mwinyi umejipalia makaa,,,kulichagua hilo libabu,,,litakusumbua mpaka ukome!"litataka ulifate lenyewe tu,,,,,hapo mmejikoroga!".
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 жыл бұрын
Libabu unalijua ukiliona?
@user-ex3mw1bj9k
@user-ex3mw1bj9k 3 жыл бұрын
Furahi sasa libabu lishaondoka Mwinyi yuko peke yake libabu halio tena Mungu ashalichukua ni dhahir unajisuta mwenyewe hapo ulipo binaadamu hatakiwi kuwa na chuki na binaadamu mwenziwe dunia ni mapito tu.
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 жыл бұрын
@@user-ex3mw1bj9k afurahi vo man hatumii akili Wala maarifa
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
@@user-ex3mw1bj9k hakuna aliyejua kuwa MUNGU atampenda zaidi,,,,!"usiingize siasa za kipindi hicho,,,kwenye kazi ya MUNGU!",,,kuna wangapi hata wewe,,kwenye ukoo wako,,umerushiana nao maneno!??,,,,kwahiyo leo MUNGU akiwachukua,,,,wakukumbushie ulisema hili au lile!"hakuna mtu anayejua kuwa nani sasa atatangulia,,ingekuwa hivyo,,,mengi tusingefanya,,,wala kuongea!"!!!!.
@user-ex3mw1bj9k
@user-ex3mw1bj9k 3 жыл бұрын
@@brightluvanda2795 ok nimekuelewa itoshe tu kuwa unajuta na ujue kuwa hakuwa na nia mbaya kukubali kujiunga na Rais Mwinyi kikubwa zaidi alipendelea kuwaunganisha Wazanzibari tuache tofauti zetu tuwe kitu kimoja tujenge nchi yetu.
@hajingojwike3289
@hajingojwike3289 3 жыл бұрын
😀😀😀Njaa mbaya bhana uyu ndio yule au
@alhamud2721
@alhamud2721 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂alosema uchaguz batilii
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 3 жыл бұрын
Wewe hunarorote badae utamkataaa
@hajisimaikhatibu443
@hajisimaikhatibu443 3 жыл бұрын
Sharifu hamàdi mche mungu ww shauri yako wacha kuwaweka mbali uma na dini yao mungu atakuchoma ww democracy hiyo ni ukafiri wako uwislamu hicho cheo chako wasimamia watu kwa sheria za kitwahuti kur ani ndo kitabu chako
@buluush9741
@buluush9741 3 жыл бұрын
Weee nimpumbavu wamwisho
@SalmaSalma-ed6sn
@SalmaSalma-ed6sn 3 жыл бұрын
Huna mpya babu ustufundishe kazi
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 жыл бұрын
huna mpya ww mzee yake yanaenda huyo .
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 жыл бұрын
@@salmaseif1070 haaa haa a a !
@imranmussa500
@imranmussa500 3 жыл бұрын
Nyie ndo mafisadi na bado MAKUMA nyie mtanyoooka
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 жыл бұрын
@@imranmussa500 Haaa haaa a !
@khadijakhamis2144
@khadijakhamis2144 3 жыл бұрын
Asitufundishe kweli kaabisaa
@mathewungani9724
@mathewungani9724 3 жыл бұрын
Sawa sawa
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 2 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 58 МЛН
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 63 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН