Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amemtaja Waziri wa Vikosi vya SMZ, Haji Omar Kheri, kuwa muhusika mkuu wa utesaji watu kisiwani Pemba.
Пікірлер: 334
@yussufhussein19544 жыл бұрын
Mshenz haji omar kher tena hana imani yy mbele masilahi tu
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Ndo watanganyika wakaaz wakija zanzibar kufanya hayo 2
@rayasaid40994 жыл бұрын
Laantullah in shaa Allah M. Mungu amjaalie siku yake ya kufa ale Mavi yake huku roho inatokaaa. AAAAAMIN YaaaRabiyyy 🤲🏻
@RioIpo4 жыл бұрын
@@rayasaid4099 Allah atupe Khatma njema
@hashimuabdallah42114 жыл бұрын
Ila anaehubiri kuapishwa Hadi uchaguzi mwingine unafika huyo hatesi watu? Watu wanatoka bara barani, yy yupo uingereza huyo hates watu? Watu hawazikani, hawasalimiani, n.k.kwa ajili ya siasa mwisho wa cku akawa mmoja wao katka serekali ya umoja wa kitaifa na wale wale wanaoambiwa wanatesa watu, wanaua watu, je huyo hates watu?
@rayasaid40994 жыл бұрын
@@hashimuabdallah4211 utakufa nalo hilo jiti la roho! Kasumba zako za kijinga unataka kufananisha na ukatili wa dhuluma wa Zahir umechelewa babaaa! Kama tulikua tumelala sasa tumeamka na kama unakerwa na seif pole usishindane na nyota eeee!? ⭐
@abdulihafidhali53794 жыл бұрын
Maalim seif ww ni mzalendo wa wazanzibar sisi tuko pamoja na ww, Allah awajalie kauthabit hao waliotangulia na hao majeruhi awaponeshe na wagonjwa wapoe insha Allah.tupoleni sana wanzanzibar.
@shamsahaji62024 жыл бұрын
Allah atawalipa mmoja mmoja kila anaefanya maovu kwa wenzao dah .
@kassidpandu8664 жыл бұрын
Kwa hili la kupigana Mimi siwezi sapoti si kwa wafuasi wa ccm au wale wa act, mapigano so mazuri, Shari ni mbaya naomba Imani itawale tusigombanishwe na watawala, au wanatafutia utawala, sawa jamaniii!
@suleimansuleiman24364 жыл бұрын
HAJI OMAR SHARI
@ashajuma4384 жыл бұрын
Hajj Omar khery Allah akuhifadhi na midomo ya watu isikudhuru.
@isaachayes97834 жыл бұрын
Sera sera sera babu, mbona waongea personalities badala ya Kamwaga sera?
@@abdallafeda8836.Elewa kwamba haramu sio ile isio kuwa na baba haramu ni vitendo sasa Hajji Omar Kheri ni mwanaharamu popote tutasema km na ww ni mmoja wapo utupishe
@mohamedturanardan88714 жыл бұрын
@@abdallafeda8836 Anaetetea dhulma ni part ya dhulma. Wewe Abdalah Feda ni part ya dhulma, na inaonesha dhahir na wewe umekuja duniani kwa dhulma.
@musajems12944 жыл бұрын
@@mohamedturanardan8871 ivi nyinyi mnadhulumiwa Nini hasa nijuwe
@ruwaidakheir70443 жыл бұрын
mwana haramu mwenyewe
@ruwailaomar65014 жыл бұрын
Haji omar shari akipikwa supu namla
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
😳😳
@ramsonramadhan41564 жыл бұрын
wa pili..
@saadasm67564 жыл бұрын
Poleni watu wa Kangagani Allah yupo pamoja na wenye kusubir. Allah atawalipia kwa hilo alilowafanyia haji o. Kher
@mtumwamohd25714 жыл бұрын
Allah amlaaaaniiiiii mara elfuuuu amuadhibuu katk motoo
@shersaid79884 жыл бұрын
Allah amlaani
@aliarkam95484 жыл бұрын
Subhannallah mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa yao , wagonywa asatie nguvu kupona Kwa majaruh Inshaa allah
@aliarkam95484 жыл бұрын
Mwenyez Mungu atamuonesha hapa dunia
@talhaabuy10354 жыл бұрын
Lanatu Allah mola atawahukumu ccm apa apa dunian
@saidmungulu70534 жыл бұрын
Ww miaka yote ni RAIS zanzibar . Sema wanatuibiaga tu hao chama tawala KULA YANGU KWAKO MAALIMU SEIF
@EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын
Kila anaye Dhulumu Allah unaijua Bakora Yako ya kumpiga munaonea Watu munawadhalilisha na kuwauwa ikisha usema Allah akuache Kila anayefanya anayeshiriki Kwa Lolote Allah mpe Mateso hapa Duniani mpaka kesho akhera Madhalimu Wakubwa Hawa
@aliissahongerababanazenjit68244 жыл бұрын
Mmm
@iddijumaali71924 жыл бұрын
Hongera maalim
@tifumunguatamlipaaliendewa49274 жыл бұрын
Nikweli karibu siku tatu za za nyuy haji omar Ali enda pemba
@nassorhamad17004 жыл бұрын
Dah
@mulhatyyakub71444 жыл бұрын
Tatinzo tumewalea Sana mpka wakatuzowea Sana kwnn tusiseme Sasa bac
@RashidAli-vb3zi4 жыл бұрын
Ata mm nahc hilo ndio jambo la kufnya kwa hapa tulipofka, vikoc pmba wamepelekwa weng sn
@fatmamansour23694 жыл бұрын
Iko siku itafika nae mungu atamuhukumu kwa anayoyatenda mshenzi kweli lkn kila mmoja atakuja kulipwa kwa anayoyatenda kwa watu
@MAPETEE4 жыл бұрын
Kweli kabisa malim seif
@TheOthmoney4 жыл бұрын
LIMETOKA KWA MJAMBAJI LIMEENDA KWA MTEMA MATE
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
😁😁
@yahyahamad18024 жыл бұрын
Mtihani mhhhh
@sideseif85774 жыл бұрын
Huo sio ungwana na sio wanachama wa ACT musifanye uwovu kila cku mkitaka kufunzwa adabu mukasema munaonewa kitendo cha unyama huyo mzee ameishiwa kila xku nyiyi tutu kwa matokeo ya kinyama
@tweety93624 жыл бұрын
Ombi langu 🙏🏽 wekeni mkutano wote kamili😁
@mnyamismwakilambe25333 жыл бұрын
Uyooo haj Ana roh mby xn xn to muach aend
@bablee44844 жыл бұрын
Vipi
@zubeirsalum1284 жыл бұрын
Hawa CCM wanaifanya pemba ndio kichakaa chakujifundishia kupiga watu mikwaju na risasi kwasababu ya unyonge wao lakini Allah yupo anayashuhudia haya
@suleimanbakar34294 жыл бұрын
Allah amlaani mbwa huyu haji Omar heri
@ruwaidakheir70443 жыл бұрын
wasenge nyinyi atakulanini mafala
@hatimmohamed42994 жыл бұрын
Kweli mtupu maalim seif
@simaimarijanmarjan30974 жыл бұрын
Kuna moto tu uko msiwe mnatusiana na sio kama yameisha bado kwa mungu
@RashidAli-vb3zi4 жыл бұрын
Woga ni adui wa haki, km watu wanaingia majumban mwa watu kwnn wackamatwe na wao ili wakajulikana
@jumamwadhini62634 жыл бұрын
Hahahaaaa mzee wwe kiboko eti nimshezii hahahaaaa yaanii hta ukimuona maalimu anatoka cheche ujuetu Kuna mtu ka haharibu hali ya hewa znz kwaza chapa kazi mzee
@alimakame92154 жыл бұрын
Zanzibar uazishwe utawala was ufalme ili chuki na mapogano yapunguke
@nassoursaleh31444 жыл бұрын
tena ishallah Mungu awatie adabu kabla y huu uchaguz naskia eti siro kaenda pemba hebu wazee wetu mfukizieni huyu mtu apate adabu jpo mwaka tu kitandani
@yusrabakar47554 жыл бұрын
Hahahahahah bora miaka
@suleimankhamis15644 жыл бұрын
Acha usenge huo kuiponda CCM
@iddisalum49884 жыл бұрын
Oya komamayo
@khamisjuma50464 жыл бұрын
Peace home zanzibar people message from USA marekani ⚖🇺🇸
@umakramzahor48364 жыл бұрын
Mshenz mama yk mbwa ww
@faridaali68504 жыл бұрын
Iko cku yake na yy atateseka acringie puunzi ALLAH ndie hakim
@othmanal-nabhany92434 жыл бұрын
Serikali ya ccm inanunua magari ya washawasha ,mabomu na bunduki kwa ajili ya wazanzibar hasa wenye asili ya Pemba, mafunzo ya majeshi yao majaribio kwa wazanzibar hasa wapemba kila mwaka wa kampeni na uchaguzi ,jeshi la polisi wamepelekwa wengi sana na vikosi vyengine tunashangaa munauwa watu munatarajia kuwaongoza nani halaf mnajifanya munaimani na wananchi, unafik mtupu huo
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Toa sera wee babu
@zahorrashid54594 жыл бұрын
Hapo uliposema mtu mmoja kafanya kosa wanateshwa.wengi. hl nitatizo kubwaa.
@abasamwame65834 жыл бұрын
Mimi sijui ni sheria IPI inayotumika kuwaadhibu watu wengi kwa kosa LA MTU mmoja? Sijui ni kigezo kipi kilichotumika kuweza kujua ghafla kwamba Huyo aliemshambulia mwenzake ni act wazalendo mpaka wakasombwa watu wengi kwa wakati mmoja? Je hakuna utaratibu wa kumfuatilia muhalifu mpaka ukamjua na kumchukulia hata kuliko kuwabebacwatu ambao hawana hatia? Hili jambo lilihitaji uweledi Limebebwa kisiasa na linetatuliwa kisiasa .ndugu zangu wenye dhamana mjue kwamba cheo ni dhamana alokupeni mungu tendeni haki na kuweni waadilifu msifanye kazi kwa misukumo ya kisiasa unapomuhukumu MTU kwa kosa asilohusika nalo hiyo ni dhulma na ogopeni dhulma kwani haidumu na ikidumu itaangamiza .dhamana uliyopewa kuna siku mungu atakuuliza uliitumiaje ? Watamikieni wana siasa ila machozi ya watu wasio na hatia mtayalipia hapa hapa duniani kwani malipo ni duniani ahera ni hesabu tu Viongozi wangapi waliokuwa majabari hapa dunia mwisho walidhalikika isikuhadae cheo na bunduki ulioshika kila kitu ni muda tu muda ukifika na wewe yatakukuta kwa naomba ile ile uliyimtendea mwenzako
@selwanmohmmed87924 жыл бұрын
Njia ni moja tu tutafka sote watajibu viongoz na mamlaka yao dunia isiwahadae
@azizaabubakar55954 жыл бұрын
Wazanzibar mnadanganywa sana huyo mzee kwanza anakaa nyumba ya serikali anapewa mahitaji yakila siku nyie anwadanganya tu alafu huyo mzee seif. Hicho chama nichabara na sio cha wazanzibar alafu mnaambiwa eti hamuataki wabara wakati chama cha ACT ni cha bara tena kigoma wapinawapi nawazanzibari pia muwenamacho namasikio mnafanywa wajinga na seif na zitto tena Hata rangi ya bendera ni ya zambarau au paple hiyo rangi ni ya msiba maana msiba ukitokea hasa sisi wakristo tunatunia kuwapambia marehem wetu sasa nanyinyi mnafanywa waaafuu tena watarajiwa na hao seif na zitto wakati ninyi niwazima mbaandaliwa maandalizi mabaya hao watu sio wazuri kwenu wazanzibar mjitafakari sana ndugu zangu mbapunbazwa kweli2 alafu mnavalishwa hiyo rangi inatisha ebu mkiogipe ACT Tanzania hoyeeeeee Amani oyeeeee
@masoudapology92304 жыл бұрын
Mbwa ww
@zanzibarsmzenji4 жыл бұрын
Ccm chama cha wapi????
@sharifjuma12204 жыл бұрын
Panda juu wende ukazibe?
@bichichiahmda11533 жыл бұрын
Ovyoooo katubu kwanza we babu acheni kupumbaza watu mkisha pata kura mnajaza mtumbo yenu wananchi wateseka simsapoti at a mmoja sowewe wala mwinyi
@h.alshidhani89714 жыл бұрын
Tarehe 29 lipa kisasi
@hajiha65074 жыл бұрын
Hiyo ndio dawa yenu. Mukimpiga mtu Panga tunakutieni bakora mtaa mzima. Endeleeni tena, kama mumezoea kuachiwa sio utawala huu
@binsultan69814 жыл бұрын
Abdallah bin ubaida
@zubeirjuma18564 жыл бұрын
Utawala wa ALLAH tuu acha akili za kikafir shehe kw itikadi za kifal ingekuwa baba ako jee au mam ako
@sideseif85774 жыл бұрын
Seif sharifu acha umama kama huna kazi jiunge na club ya simba wapo wazee wenzako kama unyango na kagere
@NaseebLugusha3 жыл бұрын
Side Seif kweli akili yako ndo imeishia hapo? au kwenu hamna wakubwa? au ndo ulivyolelewa hivyo?
@mussaelisha55354 жыл бұрын
Mungu hatamtoa kama Goliath
@azizabdallah5854 жыл бұрын
Oooh Mama Zanzibar....Oooh Mama Tanzania.
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Ohh mama tanganyika hakuna Tanzania uko tanganyika .zanzibar kwanza
@saidb20ty524 жыл бұрын
mbona sion sera anaongelea watu tuu
@mustywamuago52173 жыл бұрын
Kweli
@adiladil3454 жыл бұрын
Hakuna tofauti bali mtoto wa nyoka ni nyoka tu
@TeamKRX4 жыл бұрын
Sasa Huyu ataenda kukaa wapi Kesha akhera Huyu Omari ameshazoea kuwapiga watu vibaya wala hachukuliwi Hatua kwa sababu ni ccm daah iko siku Yako
@hajiha65074 жыл бұрын
Kafirwe uko
@abdilfertterhhealer53294 жыл бұрын
Ww ulie wapa amri wananchi washike,mapang na majembe kenge ww
@ramadhanineneza73174 жыл бұрын
Ww mzee kweli ni mshezi tu huna maneno mazuri kama mgombea wa urais unatoa lugha ya matusi
@fathilaothman78704 жыл бұрын
Allah atamlipa hapahapa duniani katimea huyo.namabosi wake.
@ahmedalbalooshi85184 жыл бұрын
Ramadhan; huyo si mapenzi,washenzi wanajulikana kwa vitendo hayo,viwe vya siri siri au dhahiri. Madhalimu wanaodhulumu haki za watu ndio washenzi number one
@zuwenasalum15634 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Mshez ni wewe na familia yako yote njau wewe
@ibugharib3894 жыл бұрын
Huyu nadhani baba yake alikosea huyu ni haji omar shari mshenzi tu mshenzi tu
Huna sera tulia babu ww Huwezi ww tangu 1995 mpk leo huna lako jambo harangwe😂😂😂
@ramlajaffar31693 жыл бұрын
@@bencarson6863 mm au huyo harangwe
@munguamuekemahalianapostah33384 жыл бұрын
Duh lile jamaa linaroho ya kijibwa has a au anajua haifiki siku watu wakamkamua Mavi akazikwa na Sanda Haji omary kheri Jina zuri matendo ya kijibwa
@hajimasondo88814 жыл бұрын
Kwan kafanya kubwa gani
@yussufhaji67054 жыл бұрын
Babu huna sera kalee wajukuu
@mgeniiddi53084 жыл бұрын
Mm sijaisikia sera yako uyo mwinyi na haji omar kheri ndo watakao kaa madarakani hatuwaabgusi kamwe na utakaa pembeni ww
@mwinyimjaka47824 жыл бұрын
MUNGU atawalani wote ambawo hawaitakii mema Pemba jeshi ambalo limepelekwa Pemba litakufa huko huko halirudi tutalipika supu mungu akipenda
@abdilfertterhhealer53294 жыл бұрын
Mwalim tulia huna siasa ww ume kaa kma Islamic state
@salimmohamedalr-iamy71624 жыл бұрын
Kama hawajampa mwalimu seif mwaka huu basi juweni wananchi hatujapewa haki zetu na tumedhulumiwa
@mdungially23424 жыл бұрын
Na mtasubr sana kusubir haki
@oyay28214 жыл бұрын
Na yeye avamiwe apigwe kama anavyo wapiga
@abuubakarjuma32304 жыл бұрын
Wanatutesa kweli hao hatuna amani kweli wapemba du! tumekosa nn kwa mungu ss
@musajems12944 жыл бұрын
Hamjakosa kitu mungu anamjuwa Nani mtenda kosa na Nani mtendewa kosa
@silimahaji72204 жыл бұрын
Wew maalim achatabia ya kusengeny watu nad sera, ewe mola wetu making mh haji omar kher zid ya maadui wot
@MAPETEE4 жыл бұрын
Mshenz mkubwa uyo
@hamidomar74744 жыл бұрын
Msengemmoja kumamamake ndiyoana akawa mwanaharam
@ummuzainab23323 жыл бұрын
Ulpo tupo maalm
@nassoursaleh31444 жыл бұрын
hawa siro na huyu haji Wazee wetu hebu wafungieni kaz wakae kla mwaka tu kitandani
@omarmussa90004 жыл бұрын
Maalim kuwa mkweli unajuwa kila kitu hata ww Mungu anakuona ss tupo kangagani unawashawishi ww wakifanya unadanganya watu wallah Mungu atakuonesha
@zubeirsalum1284 жыл бұрын
Anawashawishi vipi
@omarmussa90004 жыл бұрын
@@zubeirsalum128 njoo kangagani utajuwa tumechoka
@zubeirsalum1284 жыл бұрын
@@omarmussa9000 ww SEMA tu ujumbe utafika na tunauona
@samo53154 жыл бұрын
Malipo yake atayapata duniani na akheira adhabu kali inamngoja.
@amosmoses78004 жыл бұрын
MTU ALIEKUFA KWA LISASI MUNGU AKAMFUFUA. .. UJUE HUYO NDIE MTU WA MUNGU ALIECHAGULIWA HUKO MBINGUNI. BWANA YESU ASIFIWE ! HALELUJAH
@oopsm35744 жыл бұрын
Umepata wapi hiyo , au bangi nyingi?
@godisgreat18454 жыл бұрын
Nani alikufa kwa risasi Mungu skmfufua huyo au kwenye movies
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Bwana yesu lazima na yy afiwe ajue uchungu wa mazishi usituletee mahubir nenda kanisan uko
@ramilialiy37254 жыл бұрын
@@oopsm3574 😂😂😂
@sudaissoud36704 жыл бұрын
Haji Omar kua makini maana ujue unafamilia yako huku pemba..unawajua wapemba vzr au unawasikia tuu?
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Tunamuachia Allah 2
@nasrynnassor14924 жыл бұрын
Utamuona Babu Kama in mjua
@asiakhamisi4694 жыл бұрын
Pigeni halbadiri jamani
@naimaali98884 жыл бұрын
Asnte
@bintyussuph49793 жыл бұрын
Halbadiri ndio iliosambaratisha CUF
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Hii kulaani tutaondoa ifanywe haki
@nawwafomar45184 жыл бұрын
huyu mvuvi kutoka tumbatu laana ya mungu imshukie yeye na ukoo wake
@alibero69374 жыл бұрын
Ubak salama ww mnunuz wa samak wa tumbatu
@bakarmuhidin52234 жыл бұрын
Na wewe pia
@aminaabdallah77024 жыл бұрын
Mzee acha kundanganya watu inamana watu.wa CCM wanapiga wezao wa CCM mapanga tena msikitini?
@mulhatyyakub71444 жыл бұрын
Mkundu unakuwasha sio
@iddijumaali71924 жыл бұрын
Ni kweli ni ccm wacha kupiga wanachoma mpaka maskani zao ikisha wanasema ni wapinzani
@aldaghariaziyz64204 жыл бұрын
njia haibadiliki ya chama tawala
@iddijumaali71924 жыл бұрын
@@mulhatyyakub7144 pumbavu
@fatmahamad93144 жыл бұрын
@@aldaghariaziyz6420 Mwaka huu itabadilika biidhin llah
@khamisissa4524 жыл бұрын
Babu Ali shoga maalim achana nae
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Popote ulipo kula chips naja lipa😂😂
@hajimasondo88814 жыл бұрын
Yy mnaaza vurugu kwenye nchi hii yaamani kisha mnajitia wanasiasa wazur ww sefu kuwa na akili lakn uzeee unakusumbua kalee wajukuu zako kwaza mh haj yupo sawa