Kauli zake rais wa kwanza Tanzania, Mwalimu Julias Nyerere akihudhuria mkutano wa chama cha CCM 1995

  Рет қаралды 673,567

KTN News Kenya

KTN News Kenya

6 жыл бұрын

Kauli zake rais wa kwanza Tanzania, Mwalimu Julias Nyerere akihudhuria mkutano wa chama cha CCM 1995
SUBSCRIBE to our KZbin channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

Пікірлер: 146
@tabuabdallah1908
@tabuabdallah1908 4 жыл бұрын
Mungu akubaliki sans
@miltonm.muriungi203
@miltonm.muriungi203 3 жыл бұрын
I wish we had visionary leader like Nyerere in Kenya as the first President
@BahatiJohn-le4dh
@BahatiJohn-le4dh Жыл бұрын
Slogoman
@kibaopipa3474
@kibaopipa3474 4 жыл бұрын
ONE OF THE AFRIKAN HERO MJKN
@40kstore
@40kstore 4 жыл бұрын
nakuombea Mungu Upumzike kwa Amani Kiongozi.
@josephyango7078
@josephyango7078 4 жыл бұрын
Ulifanya Kaz kubwa baba yetu mungu akupumzishe kwa Aman ,mh Julius kambarage nyerere
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@kelvinibrahim1828
@kelvinibrahim1828 3 жыл бұрын
ok
@allyjuma1707
@allyjuma1707 3 жыл бұрын
Mungu akurehemu baba taifa latanzania daima tutakukumbuka, kauli kauli zako zinafanya kazi hadi sasa kwa uzuri ulikuwa ukizungumza kipindi chasasa na kijacho
@jacksonmkwashapi3872
@jacksonmkwashapi3872 4 жыл бұрын
I love this man
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@ernestsinje8693
@ernestsinje8693 4 жыл бұрын
I LOVE HIM AND I MISS HIM SO MUCH
@amiryhamza1984
@amiryhamza1984 3 жыл бұрын
baba yetu tunakushukulu sana mwenyezi mungu akuweke mahalapema peponi
@cannoncohen7038
@cannoncohen7038 2 жыл бұрын
you prolly dont give a damn but does someone know a trick to log back into an instagram account? I somehow lost the login password. I would love any help you can offer me!
@davidomari8660
@davidomari8660 4 жыл бұрын
Very intelligent
@halimasulaiman3229
@halimasulaiman3229 3 жыл бұрын
Allah akupe kauli thabiti
@rajabkisebengo9406
@rajabkisebengo9406 3 жыл бұрын
Kwa kumbukumbu zangu kwenye hotuba hii alisema watanzania wanaitaji mabadiliko wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm aliona mbali sana Baba wa taifa letu
@muttae2
@muttae2 Жыл бұрын
We were very Lucky to have this man at the biginning. What a leader..
@gizakazeno1688
@gizakazeno1688 4 жыл бұрын
R.I.P nyerere....baba yetu mwenye maono kwa sasa tz hatuna ukabila ila tuna kirusi kinaitwa chadema hicho ni zaidi ya ukabila
@happinessjonathan9994
@happinessjonathan9994 4 жыл бұрын
🤣🤣 eti kirusi
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
CCM ndo kirusi kinachorudisha ukabila na ukanda kwa kasi ya ajabu
@winfridkomba747
@winfridkomba747 4 жыл бұрын
Eeeeeh moto unawaka
@xaxicomplex7616
@xaxicomplex7616 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Kirusi Chadema
@peterjohn4818
@peterjohn4818 4 жыл бұрын
Acha bangi ww
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 3 жыл бұрын
Leo tu naona MTU Fulani mkubwa anadai anamuenzi Nyerere ila mkabila wa kufa mtu
@mghasehalali2304
@mghasehalali2304 3 жыл бұрын
😀
@butondodavid2105
@butondodavid2105 3 жыл бұрын
Mtaje nan
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 жыл бұрын
Great statesman of the century
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@anthonymatiko6122
@anthonymatiko6122 3 жыл бұрын
No one like you in Tanzania country I miss you too daddy.
@emmanuelmaige2212
@emmanuelmaige2212 3 жыл бұрын
Tukupate wapi Tena baba wawatnzania Tena mzalendo was kweli uliyeshindwa kujikusanyia mali badala yake ulitutunzia lasilimali za taifa kizazi ambacho hatukuwepo hakika nyerere wemawako kwa watanzania hautasahaulika, baba ulipinga ukabila duuh!! Pumzika kwa amani, amina
@mwakyusahealthylifestyle4621
@mwakyusahealthylifestyle4621 4 жыл бұрын
Uliondoka mapem sana baba
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@kajezejuma8043
@kajezejuma8043 3 жыл бұрын
@@ChingulaAcademy poplppplo9lp
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 3 жыл бұрын
Walimuua
@greygrad9296
@greygrad9296 4 жыл бұрын
Our icon bravo soldier
@alfrednavigator2288
@alfrednavigator2288 4 жыл бұрын
Big up Sana nakuombea maisah marefu
@frankmusukuma3814
@frankmusukuma3814 3 жыл бұрын
Umefeli kaka unamuombea hayati maisha marefu
@mkoteaziz5238
@mkoteaziz5238 4 жыл бұрын
Ndg zetu jifunzeni namna nzr ya kuishi na majirani. Msijifiche kwenye kivuli cha mchicha wakati miili iko wazi. Mkiwa wakweli kila kitu kinakuwa rahisi, lakini mkiwa watu wa hila mtaishi kwa tabu sana. Hila zenu tumezivumilia kwa muda mrefu sana. Kwa kuwa mmekosa busara ya kuishi vema kiujirani, ssi tunachofanya ssa ni kulinda maslahi yetu bhaaas! Pale mtakapotuheshimu, tutawalipa heshima, mkitudharau ssi tutawapuuza, tutaendelea na mipango yetu bila kugusa ya kwenu.
@denismugisha2
@denismugisha2 4 жыл бұрын
Yani umesema vema
@karanijunior1257
@karanijunior1257 4 жыл бұрын
Kweiii. Sana.
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 4 жыл бұрын
Asante mtoa post
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@medardturunena305
@medardturunena305 3 жыл бұрын
Nice
@kingpharaoh6981
@kingpharaoh6981 4 жыл бұрын
UKIJA KENYA UTAFIKIRI DIPLOMATIC JOBS NI KABILA MOJA TU NDO IMESOMEA
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 3 жыл бұрын
Ulitufanya tuwe wamoja bila kujali makabila yetu.Rest in power mntwama
@stephenf.sikolia7588
@stephenf.sikolia7588 Жыл бұрын
Asante God.
@umulithokyarema6491
@umulithokyarema6491 3 жыл бұрын
Safi mwalimu
@twaenimtekele5408
@twaenimtekele5408 2 жыл бұрын
Tuendelee kushilik kama ndugu sis baba yeti ni mmoja tu sas so tunagpmban nn
@mafulikoofficial5818
@mafulikoofficial5818 4 жыл бұрын
Ulifanya kazi ngumu sana
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@rajaburajabu1021
@rajaburajabu1021 2 жыл бұрын
Rest in peace
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 жыл бұрын
Tatizo uchoyo na ubinafsi wa Majirani zetu, chao chao , chetu chao ,wanajivika sifa Za Waingereza
@josephmnyika4668
@josephmnyika4668 4 жыл бұрын
ray mnasahau huwa mnaanza tukimaliza tunaonekana wakorofi mnatangaza kufungua anga ndege zetu haziruhusiwi kutua kwenu je ni vibaya nasi tukifunga za kwenu zisitue kwetu viva Tanzanian hakuna corona
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 4 жыл бұрын
Tumewanyima nini majirani kutuita wachoyo☹☹
@kingkibedui5091
@kingkibedui5091 3 жыл бұрын
Mpaka dada zenu wakenya tunawala sana tu Sasa unabaguliwa ww karibu tz
@ndegeyaernest3101
@ndegeyaernest3101 3 жыл бұрын
Msingi huo hivi SASA umeenda wapi ,Chama kinaposema ukanda nao je?
@MrNorthshoremc
@MrNorthshoremc 3 жыл бұрын
Omg why did the legacy die. That's the truth na unaona wegine wanasema sijui Naniii 😢😢
@paschalkipeta2353
@paschalkipeta2353 Жыл бұрын
Mzee alikua kichwa kweli kweli apumzike kwa amani
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@jayomarion8183
@jayomarion8183 4 жыл бұрын
Kenya imeenda mbali zaidi hadi leo kuna vyombo vya habar vya kikabila..then tunasema tutokomeze ukabila..it's only going to be worse trust me..
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Remember here late Julia's kambarage nyerere was telling ccm member to be.vary careful on trablelizim told ccm member avoid stay away on trablelizim that was late Julia's kambarage nyerere hot speech was shecking meeting on ccm member
@rajabkisebengo9406
@rajabkisebengo9406 3 жыл бұрын
Sembuse sisi tunajitapa et mabeberu tujifungie wenyewe mipaka tutegemee vya kwetu wenyewe tusivuke nchi yoyote ya jilani maana ukishavuka unakutana vitu vya hao hao mnaosema mabeberu tunanunua bidhaa zao cm zinatoka kwao magari ndege kila k2 kwao yaan viburi vya ajabu kbs
@imajymujukuu8001
@imajymujukuu8001 3 жыл бұрын
2zidikukuombea kwamwenyezi mungu baba yet kwamema uliyoyafanya
@razaqrashid6172
@razaqrashid6172 4 жыл бұрын
Is true
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@benbuyabo7710
@benbuyabo7710 2 жыл бұрын
Alikuwa ni kiongozi maadili mema katika bara la Africa
@zabronmasuna7670
@zabronmasuna7670 3 жыл бұрын
Dr mzur
@mohamedimatete480
@mohamedimatete480 4 жыл бұрын
Mmmm
@AllyMchume
@AllyMchume 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/b2ali5eJq7Seiac
@fericksjacob7959
@fericksjacob7959 3 жыл бұрын
Ktn mwache unafiki tunawajua natushaju msiangaike sana mlichotumw na mabeber semeni msiaze kuzunguka
@samwelilaizer661
@samwelilaizer661 2 жыл бұрын
Kwa Kwel hatuna ukabila kwa sababu ya kiongozi huyu shupavu hodari mwenye maono
@roviykamage5423
@roviykamage5423 3 жыл бұрын
Hata mkilialia uzi uleule tu. Wakenya nyinyi ni washenzi kabisa. Acha tunyoshane atakaekua anaumia ataomba poo. Ushenzi wenu wakenya ndio umewaponza.
@ramshomytv
@ramshomytv 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/b6imYXmamZd0i7s Bonyeza link hi utazame tamthilia nzuli ya nyuma ya y
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@danielkntimba4565
@danielkntimba4565 2 жыл бұрын
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu
@estermtitu7205
@estermtitu7205 4 жыл бұрын
Sasa tunabaguana kwa ubeberu baba
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 ай бұрын
Msenge, kwani hujui maana ya ubeberu au akili imo mkunduni mwako
@aminielkimo4220
@aminielkimo4220 3 жыл бұрын
Tume ya taifa ya unyakuzi!na Tume ya taifa ya ubaguzi!!Hii ni tume huru kabisa??!!tunaiamini sana!!?..haina mfanowe!!?....??
@upendoboniface1857
@upendoboniface1857 3 жыл бұрын
Hao nyumbu kumbe wapo wanaotekwa na konyaj
@babalababalao983
@babalababalao983 4 жыл бұрын
Mm
@jokertv3073
@jokertv3073 4 жыл бұрын
Wakenya hata mumposti NELSON MANDELA GADDAFI SANKARA LUMUMBA Tunaona kama MNATUFOKEA hivi mtuache kidogo tupo Bize twajenga Taifa Tukimaliza uchaguzi TWAZUIA NA MIPAKA YETU Kila mtu abaki kwao MPOSTINI KENYATA huko M2ACHE KWANZA UKIMWAGA MBOGA wahuni tunaondoka na ugali mboga tutapata mbele huko VIVA TANZANIA VIVA MAGUFULI VIVA NZIGE VIVA CORONA
@user-vl1zq7oi4m
@user-vl1zq7oi4m 4 ай бұрын
Nimoto tu ukuwakie
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Huyu mzee alikua na maono ya mbali shida tu ali wazubaisha wa tz sana
@abdallatimimi8443
@abdallatimimi8443 4 жыл бұрын
BJzee 19 . Na ndio maana alipochukua utawala Ali hassan mwinyi na akaanza kuwachanua wabongo na kuleta maendeleo tz,nyerere hakufurahia hilo,yy alitaka amcontrol mwinyi na hilo halikuwezekana,mwinyi akachapa kazi na nchi ikasonga mbele,kwa hio nyerere alikua na mazuri yake,lkn aliilemaza nchi na mwinyi akaweka mambo sawa.
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
Hujui unalolisema ww..kazubaisha vp..hio aman ulionayo n zaidi ya utajir..unajua kafa ameacha vieanda na makampun mangap ambayo hayakuepo enz za mkoloni
@abdallatimimi8443
@abdallatimimi8443 4 жыл бұрын
@@devidpanja115 nafkiri wewe ndio hujielewi na ndio maana nyerere alitaka wajinga km wewe awatawale na ndio akawanyima elimu ili musierevuke mukaja mukamuondowa mamlakani,alafu ni viwanda vingapi unavodai aliviacha wakati wake tulikua tunatumia mafuta ya nazi kupikia chakula,wewe mshukuru sana bwana ruksa ndio amefanya sahi unavaa jeans japo ni ya mtumba.
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
@@devidpanja115 una akili ndogo Sana,unasifia amani kwani hii nchi ilipewa Uhuru kwa njia ya damu? Wew ni mhanga wa kundi la wajinga ambao hawajui hata vipaumbele vya maendeleo ya nchi
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
@@abdallatimimi8443 uliza waliosoma kipind chake ww hata history ya nchi hujui et aliwanyima elim na huk wazee wet wamesoma bure mpaka poket money walipewa mtapata laana za bure nyie ulizen hii nchi mkolon kaiacha nchi ina hospital ngap..shule ngap..vyuo vngap mkolon alikua anafanya yake tu hapa mzee aliplay part yake kafa hana hata nyumba kuhakkisha wananchi wake wapo vzur
@edwardmbogera9382
@edwardmbogera9382 3 жыл бұрын
Leo ukifanya hvo unaitwa shoga
@danielkagoma2824
@danielkagoma2824 3 жыл бұрын
Duuu
@yessecharles3155
@yessecharles3155 4 жыл бұрын
Tunajua ndugu zetu mnaomba msamaha kiaina sasa nyie mlimwaga mboga tumebeba ugali wetu tunaenda endelea kujilia zetu huku edeni now hata anga letu hamruhusiwi kuruka na ndege zenu kuna CORONA
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
Hii wamerusha 2017 mkuu, acha uchochezi!!
@khatibfaki343
@khatibfaki343 3 жыл бұрын
Azamtivi
@rajabumasud5190
@rajabumasud5190 3 жыл бұрын
Maximo ya mkapa
@antonnadenade4597
@antonnadenade4597 2 жыл бұрын
Mcho nyerere
@ellyemily4234
@ellyemily4234 4 жыл бұрын
Hata haihusianii
@zabronmasuna7670
@zabronmasuna7670 3 жыл бұрын
D
@xaxicomplex7616
@xaxicomplex7616 4 жыл бұрын
Kenya tuko Pamoja KTN mpo juu nawakubali kwakugundua vitu
@asadirashidi8712
@asadirashidi8712 3 жыл бұрын
@ gmail 3
@samakasanghudi4948
@samakasanghudi4948 3 жыл бұрын
T
@hasannomar9770
@hasannomar9770 4 жыл бұрын
Kazi yake ni udiktete
@ankosamboa3183
@ankosamboa3183 4 жыл бұрын
Ujielewi ata kdg ww
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 4 жыл бұрын
Bila shaka jizi wewe
@ChingulaAcademy
@ChingulaAcademy 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@barakaj.j.1976
@barakaj.j.1976 4 жыл бұрын
Acheni Unafiki mnaanzisha wenyewe halafu mnajifanya waungwana.
@hamidjuma2178
@hamidjuma2178 3 жыл бұрын
Kuungana sio tatitizo tatizo kudhulumu mnatudhulum zanzibar na haitoisha ukabila mpaka mtende haki
@edsonmtafya1871
@edsonmtafya1871 3 жыл бұрын
Nyerere alikuwa kiongozi wa ukweli, kiongozi wasasa anabagua anasema wengine wametumwa na mabeberu,
@selemanidigila8228
@selemanidigila8228 3 жыл бұрын
R.I.P mwalimu Julius nyerere,ulifanya kazi kubwa sana baba na leo hii tunafaidi matunda yako .
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Mapato ya uchumi ya zanzibari lnakwenda dar
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 ай бұрын
Ushoga unakusumbuwa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 жыл бұрын
Makufuli ana akili kleko wewe miyaka hasi ni umeurdishs nyume tanzania
@surayakhan3955
@surayakhan3955 4 жыл бұрын
Jifunze kwanza kuandika alafu urudi tena 😏😏
@zuhurambonde6959
@zuhurambonde6959 4 жыл бұрын
Hukuwaza ulivokuwa unaandika hujaijua vizuri historia ya nchi ya Tanzania kama hujui usiandike chochote.
@michaelgeorge3483
@michaelgeorge3483 4 жыл бұрын
Magu nae mtu
@jamesamanimasalu503
@jamesamanimasalu503 4 жыл бұрын
@@surayakhan3955 au akasome kwanza huenda tatzo sio kuandika tatuzo ni elmu😀😀
@kingdavidmoto6149
@kingdavidmoto6149 4 жыл бұрын
Auna ufaamu au auna akili
@zabronmasuna7670
@zabronmasuna7670 3 жыл бұрын
Nice
PRESIDENT NYERERE IN BRITAIN  - COLOUR - SOUND
11:12
British Movietone
Рет қаралды 1,2 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 36 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 78 МЛН
MIRATHI YA SIASA
24:45
KTN News Kenya
Рет қаралды 16 М.
CHEKESHA: FUNDI CHEREANI | NAPIMA T TATU
9:10
CHEKESHA
Рет қаралды 76 М.
TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
24:03
Global TV Online
Рет қаралды 1 МЛН
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН
MIRATHI YA SIASA (1)
23:37
KTN News Kenya
Рет қаралды 17 М.