Hakuna haki kwenye muungano nibora uvunjike kitu gani cha kung'ang'ania jamani fungukeni vichwa.
@TeamKRX7 жыл бұрын
Mahawi mungano yatosha basi kwa sasa mulituuwa sana 64 kisingizio warabu kumbe munawauwa wazanzibar ukome
@brisketkidari16236 жыл бұрын
Mungu ibariki ZANZIBAR
@feiz31807 жыл бұрын
serikali ya muungano haina ubavu kwenye kesi hii sababu hawana ushahidi wowte wa kuweza kuhalalisha muungano huu. Tuta kwenda kulingana na tunavotaka wazanzibari na sio serikali ya muungano.
@dulakess89285 жыл бұрын
Feiz Amr
@jumannemeli83197 жыл бұрын
mungu ibariki Zanzibar,,, atutaki mungano wa kinafki,,nac pia tunaitaji Tanganyika yetu
@mnzavachris54237 жыл бұрын
Jumanne Meli kw kwl
@mnzavachris54237 жыл бұрын
Jumanne Meli kw kwl
@lewismpangala9276 жыл бұрын
Wasepe waajiliwa warudi kwao
@oklahommy98385 жыл бұрын
Kwani mmetawaliwa ndugu zangu huko niko kenya jirani yenu
@muhsinnainoabdullah15394 жыл бұрын
Ahhh jamani kani hiii kuungana inekua nongwa muungano sawa nguo tu ukiona haikufai unanunua nyengine sasa imekua mjadala mkubwa zanzibar kutakua kuondoka kwenye muungano jamani tushasema hatuutaki sasa kama sisi wabaguzi iyo hiyari yetu tena kama sisi wabaguzi na nyie kuweni wabaguzi khaaa nini cha kunganganiana zanzibar inabahat zake bana tena mpaka dunia itaisha zanzibar haikosi bahati yani
@salehlofy42517 жыл бұрын
hatuutaki msitulazimishe mshatuzulumu sana sasa basi
@zanzibarsmzenji6 жыл бұрын
Tunataka Tanganyika yetu muungano basi
@salehyussuf96756 жыл бұрын
Hatutaki tena muungano mashehe mpaka leo hawajatoka ukatili
@dalilaseif61586 жыл бұрын
Tugawane mbao bara kwao znz kwao
@cauziafff28526 жыл бұрын
wallah mie naumia ni matatizo ya vyama lakin tunatukanana mpaka bc duuh....ALLAH atusamee katika hili
@shabanisaidi88276 жыл бұрын
Mungano hauna maslahi na wazanzibar
@aliabdalla21793 жыл бұрын
Hili wallAhi ni Bomu ipo siku litabutuka inshaallah
@chamaj.i32466 жыл бұрын
Hatuutaki
@bakarihamisi56384 жыл бұрын
Yote hayo yataisha 2020 tutakapo mchaguwa maalim seif
@salamakhamis72456 жыл бұрын
Mtegemeeni na Allah mtafanikiwa dua zetu ziko nyuma yenu tunakuombeeni hatuchoki Allah atakupeni ushindi tutatoka kwenye makucha haya yakidhalim hakuna marefu yasiyo na mwisho musichoke musichoke itarudi tuu heshima yavisiwa vyetu haidhuru ni unafiki wetu ndio ulio tufikisha hapa lakini naamini tumesha aamka kutoka usingizi tuliolala Yaa Allah tusidie kuigomboa nchi yetu
@SidatyAlly3 ай бұрын
Uvunjike tu tanz tanz zanz zanz bar
@mudyali36797 жыл бұрын
hatuutaki
@mnzavachris54237 жыл бұрын
A Salim ati nin
@stevenedsoniseme85997 жыл бұрын
mtataka tu
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Steven Edson Iseme 🤑 kitaeleweka tu
@abdulpaku50516 жыл бұрын
Sijapata kumuona mwanamke analazimisha ndoa ilhal hatakiwi ukiona hivyo mbwambwa watu wote hawamtaki ndio Tanganyika mnafosi km wasenge kumamake. Jina mnaiba kiti cha umoja wa taifa mnatumia nyie hapa Ni talaka tu soon au serikali tatu tusizinguane.
@aminamohd6046 жыл бұрын
Abdul Paku hahahahaaaaaaaaa huu mchezp hauhitaji hasira yaaaaani sisi tumeshika kwenye ncha nyie kwenye makali utulie na ubembeleza kama unambembeleza mke ukitaka mambo flan amaizing upo?matusi ya nini sasa kuwa mpole kama unanyolewa
Bola hata ww unajua kuwa mmeugwa hamjaungana chakula kikiungwa huwa kinakuwa kutu kimoja sasa hawa wanaotaka kujitenga ni wehu na tena wakapimwe akili maana kama mtu kauga boga na ikanona ikawa tamu kwa kula sasa unataka tena kutenganisha huu ni wehu chukua mfano huu mm nimepika nyama jilani akaleta nyanya ,mafuta na kitunguu tukaunga nyama na viungo vyake ikaiva baadae aseme lete viungo vyangu hata kama hajala mm simpi atakaa na njaa yake namaanisha kama kuna mtu hapend muungano ahame TANZANIA maana atakufa atauacha muugano unasonga mbele
@mariama14906 жыл бұрын
Mwehu weye Steven Edison, ya nn king'ang'ania, tuacheni na kisiwa chetu tumewachoka,
@yousufharthy68766 жыл бұрын
Steven Edson Iseme Sawa sasa hiyo Nyama na mboga ukishapika simugawane sawa na jirani Yako. Au utapakuwa ule Nyama umwachiye mboga bila Nyama ? Simple common senses Haya ndiyo yanayofanyika
@gabriellubuva53516 жыл бұрын
wazanzibar 1,kataeni muungano kuwa chama cha kisiasa ASP ndio iliyowaletea Uhuru wa zanzimbar sio chama cha jembe na nyundo 2,rais wa zanzimba yupo kugawana madaraka ya juu sio uhalisi in mtu mwenye mamlaka one no Jumbe alivuliwa huo unaoitwa urais na kuwekwa kizuizini au jela ya kutengwa na jamii milele zanzimba sio nchi ni sehemu tu ya Tanzania huo ndio uhalisi mengine yapo kugawana madaraka
@gabriellubuva53516 жыл бұрын
raid wa Tanganyika na zanzimba yupi amefaidi urais nani anajulikana na dunia rais wa 1 kwanini Jumbe haelezwi na kukumbukwa kama rais wa Zanzibar hii no awamu 5 kuiongoza nchi huyo karume baba mtoto ,Jumbe,sheen vipi ? in watano ndio wanajulikana marais wengine hawana hadhi ya kuitwa marais wastaafu pengine wazee wa dar
kama mahkama ya dunia ina upendeleo hawatusikilizi tunavotaka basi yuko Hakim wa mahakimu wote anatusubiri
@zenasalumu25607 жыл бұрын
Uvunjwe tu wazanzibar wabinafsi sana
@hudhud20227 жыл бұрын
Zena Salumu Mnatunyima haki zetu sio ubinafsi haki zetu nyingi hatuzipati na mengi mengine hatuutaki tuwacheni tupumuwe mpaka kiti chetu cha Umoja wa Mataifa jina Tanzania hatuna faida nacho na mnajuwa kama tunakosa haki nyingi lakini mzigo wa mwenzio kanda la usufi put your self in our shoes ndio mtajuwa
@brisketkidari16236 жыл бұрын
We sisi wenyewe hatuna hamu na nyinyi vichogo tukotayar hata sasa hv uvunjwe . Mtuache znz tupumue
@anwarelghazi78386 жыл бұрын
kwani sisi tuna hamu na nyinyi vichogo
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Rehana Elloffy kiti kitaleta maendeleo co? maan ni kosa la vyama kupelekea kw nchi piah
@zungubakathir17616 жыл бұрын
Zena Salumu syo ubinafsi hakuna masilahi iyo ww mtanganyika serekali yako imekufanyia nn lazima kuna mambo unalalamika hatuwabagui ila muungano unatukandamiza hujui kitu bora unyamaze
@gangmore90914 жыл бұрын
Hatuutaki mungano mungano wa miaka 10 imekua miaka 55 amesema karume koti likikubana livue n mungano kwa ajili ya kuweka ulizi n siowakuwabana passport tulikua nayo zanzibar kiti cha kimataifa kilikuepo kila kitu mumechukua nyinyi hatuutaki mungano
@esamuelrukwa80043 жыл бұрын
Kwanza nyinyi watu wa tanganyika.jueni angalau kuongea kiswahili fasaha kisha ndio mjadili habari za mungano.
@mamyssmoe67067 жыл бұрын
Tuwachien nchi yetu huru mitanganyika wanatungangania nini
@kambarangwesosthenes59366 жыл бұрын
Siku Tanganyika ikiwaacha mtalia na kuzama baharini mkipambana kuja bara kama ilivyo Libya pale Mediterranean wakitaka kwenda Ulaya. omba mungu muungano udumu
@moseshaule78256 жыл бұрын
RAMILI MOE Zanzibar sio nchi
@innocentpaulchillu15126 жыл бұрын
takoe zamani Zanzibar ulikua ni Mkoa tu,kama mikoa mingine ya tz,Na itabaki kuwa hivyo,watu wenyewe Zanzibar yote population ni one million, mnataka mpewe nchi no.
@aminamohd6046 жыл бұрын
tuwang'ang'anie muna nini?mbele hamuchezi nyuma hamutikisiki fungu la kukosa
@aminamohd6046 жыл бұрын
Kambarangwe Sosthenes wakija tunawafukuza kama vibaka
@sasha-ri7tf5 жыл бұрын
Mbona watu wanavunjiwa majumba yao kwa kisingizio mamejenga katika maeneo yasio ruhusiwa,kodi wanapika na vibali wanavyo,mbona wawo hawakuachwa sababu walishajenga siku nyingi?..kama muungano si salali si salali hata kama umedumu kwa miaka 500 bado hautokua halali,ni sawa na hao walojenga nyumba zao zikabomolewa.
@fatmahamed32855 жыл бұрын
hatutak mungano hatutak mungan
@hamadyusuf25986 жыл бұрын
chonde chonde muungano usife mtajuta na kulia ndugu zangu zanzibar. undugu usife msitarajie sultan wa oman atawawezesha maisha yenu.
@aminamohd6046 жыл бұрын
Hamad Yusuf hahahahaaaaaaaaaa waambie hao
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Kwani uliambiwa sultani wa Oman ndio atatuwezesha,semeni nyinyi km munamuogopa muengereza na malkia wake ,ss hatuutaki sultan acha kuleta maneno yenu ya uzushi hapa,na kuendelea na koloni jeusi haiwezekani maana nyinyi ndio nyoka wakali na wenye sumu inayoumiza,mumezoea mteremko kupitia mgongo wa Zanzibar, sasa nyinyi bado sana kimaendeleo mutatuwa kabisaaa kabisa lkn sultani wao wameshaendelea ni afadhali lkn usijidanganye,km ss siku zote Zanzibar itawaliwe na watu wapo wakubali ilo neva
@homeboybeyondtheborders49355 жыл бұрын
Kiukweli Wanzanzibar wanataka kujitenga kwa ubinfsi wa kutaka kurudisha usultani visiwani,alaf cha ajabu hata hawatambui mchango wa Karume walikua tayari kuongozwa na sultani chini ya waziri mkuu ila Karume akaharibu malengo yao kwa kumuangusha kwa hyo bado wanatamani sana usultani huo ndo ukweli.
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Ayo ni mawazo yako mabovu yaliyokutawala ktk bichwa lako,hakuna anaetaka kutawaliwa SASA, upo na sasa unataka tuendelee kutawaliwa na nyinyi koloni jeusi,lisilopenda maendeleo,hata huna huruma inatawala mweusi mwenzako,km vile hamuko asili moja,koloni jeusi halina kheri,kwanza maisha yote anataka apate yy tu mwenzake asipate,muuwaji wa maendeleo ya wenzake chuki binafsi,ushenzi na ulaghai,kupora, kukandamiza ,hili ndilo koloni tanganyika, ivi nani mbinafsi km sio nyinyi ,hampendi wenzenu wanufsike w au wafaidike na chochote ,choyo kimewazidi, nyinyi nyinyi ndio watu wabaya sana,kuliko hilo koloni jeupe ,hampendi wenzenu wapate ,munawapora kila kitu,yaani hiyo ndo asili yenu,mpaka wanawake wa huko wanaogopwa kwa uporaji
@gangmore90914 жыл бұрын
Hujuwi history ya zanzibar unajua history y kitabu ingiaa googol KZbin tafuta history y zanzibar usiropokwe hakuna mzazibar aalieteswaTanganyika ametumwa n Kenya n American kupiga usilamu n siokuondoa ukoloni warabu n wazanzibar kitu kimoja adii leo haitotokea kutawaliwa mtu zanzibar fatilia Mambo y Tanganyika hujuwi history y zanzibar unajua history y kitabuni kupotosha watu lakini saiv mambo yote yapo wazi hadanganywi mtu hatuutaki mungano hamna faida kuwepo enjoy your life musichoke kuitoa zanzibar ktk ukoloni wa tanganyika
@idisoncavan78005 жыл бұрын
Hatuwebu
@vakwawesanga7336 жыл бұрын
Mmmh jamani muungano mzuri
@aminamohd6046 жыл бұрын
SANGA BUTO hahahaaaaaaaaaaa tena unaleta rahaaaaaaa
@hajiabdalla57726 жыл бұрын
Dawa yao kila mbongo ambaye anaekaa zanzibar tunamlawiti .manayake munapenda kujipendekaza kwa wapemmba.
@SidatyAlly3 ай бұрын
We watobwa sama eee angaliya Tanzania nchi siyo kisiwa
@hamadyusuf25986 жыл бұрын
yapo mambo madogo madogo yafanyiwe kazi na c kuvunja muungano
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Sio madogo ni makubwa tu
@samirfarouk49646 жыл бұрын
Haki ya mungu naapa kwa chama changu cha Afro Shirazi Part Ikiwa tunataka muungano huu uvunjike nasisi lazima tujifanye makafir wa Tanganyika kwa maana(wapinga Zanzibar maamlaka kamili ya Zanzibar) ili tushibe kwa maandalizi ya mapinduzi mengine mapya lazima tumwage damu (kumbukeni cc watu Zanzibar hatujafanana udugu na Tanganyika) siasa yao haifanani na ya kwetu naimani lazima tufe tumwage damu kwa Zanzibar ili kurudisha heshima na vizazi vipya na jamhuri ya watu wa wazanzibar katika kujishughulikia kiuchumi Niimani yangu kuwa mahakama hutoa maamuzi mawili maamuzi ya haki na dhulma hivyo jambo kuu la msingi ni kuirudisha ASP na kuandaa viongozi shupavu na wenye msimamo katika maamuzi yao na pia hata katika kutafuta haki lazima na unafiki tuwenao hapo ndipo tunazaa kitu Diplomatic politics and Emergency decision of our leaders . Thank for looking.
@aminamohd6046 жыл бұрын
Samir Farouk film movie sijamalizia kusoma lkn maneno yako yanatia njaa hahahahaaaaaaaaa
@SidatyAlly3 ай бұрын
G
@ahmedalbalooshi85187 жыл бұрын
Steven Edison,toka lini utawala wa lazima ukadumu?Soma historia ya dunia na namna utawala wa mabavu ulivoporomoka.Waswahili wanasema penye nia iko njia.Jifunze kaka,wacha kuropokwa.Hakuna jambo zuri kama kuwafikiana kwa hiyari na sio kwa nguvu.
@fatimaff86926 жыл бұрын
Ahmed Albalooshi hatutakiiiiiii jamanee tume chokaaaaaaa
@rahmajuma69926 жыл бұрын
U
@fahadjunior58555 жыл бұрын
Hatutaki kwani lazima tuungane mana mimi sioni faida ata moja ya kuungana na hawa wajinga
@RoseMary-hp5bz7 жыл бұрын
cijaelewa eti kunani
@salamakhamis72456 жыл бұрын
wewe unaetoa mbovu hapo ushajua kula pweza na ngisi sasa umekua jeuri utatuwala hata kwa lazima kwani hii nchi tulipewa na Babaako??
@lameckmmassi63276 жыл бұрын
jamani wa zanzibari nawaombeni sana msisubutu kuuvunja muungano msikubari nyie ni watanganyika tu. na anaetaka muungano uvunjike atavunjika yeye.
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Unajidanganya
@anwarally11064 жыл бұрын
Lameck mtanganyika peke ako chinga wewe
@atfyahabdulfatah31974 жыл бұрын
Yn ww lameck kaaa 2 kmya chinga ww mwenye chogo lenye mita 100na nywele za pilipili waarabu wa kizanzibar tukiongea ww unatakiwa ukae kmya maana hufananiii kbx kuongea ktk levo zetu
@aishabakar63295 жыл бұрын
Nasi tunataka tanganyika yetu mabinafsi hao wakalime kalafuu pumbavu sanaa
We aisha bakari unachokijua ww ni kupika ugali na kudeki 2 na Cjui kma hta unaelim angalau ya form 4 iv hujui kma iyo karafuuu ndo inawatoa roho hao wakubwa zako mbwa ww
@hamadyusuf25986 жыл бұрын
mnamwona thabit kombo na karume wajinga? haya jaribuni mtakimbia visiwa hivyo Wallah hapatakarika znz
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Apo mwanzo watu waliishi wapi?
@atfyahabdulfatah31974 жыл бұрын
We hamadi usituzingue hapatakarika ndo nn KUKALIKA PATAKALIA mtupe chetu kisha tutajuana kwa passport kichogo kikitoka Dar kikija znzbar kiwe na passport na Zanzibar akitoka znzbar kwenda Dar awe na passport pia FREEE itakua ni unguja na pemba 2 kupita free bandarini IMEISHA IYO
@ddennisskkattulla59426 жыл бұрын
Tanganyika ina nguvu kiuchumi hivyo ni haki muungano uwepo kwa namna yeyote ile.