WATANZANIA WAMEVURUGWA NA MASUALA YA PETE ZA MAJINI, ELIMU KUHUSU PETE HAWANA SHEIKH NURDIN KISHK

  Рет қаралды 26,620

KHIDMA TV

KHIDMA TV

Күн бұрын

Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
KZbin: / @khidmaonlinetv350

Пікірлер: 41
@RajabuLabu
@RajabuLabu 11 күн бұрын
Hakika shekh wetu kishk Allah akujaalie mwisho mwema maana ameifundisha jamii ya kiislam Mambo mengi Sana
@RajabuLabu
@RajabuLabu 11 күн бұрын
Jazakalau khayra shekh, kishk Allah akujaze kher
@Shamsudeen-h5o
@Shamsudeen-h5o Ай бұрын
Jazakallahu khyrañ ....bora umetia neno shaykh naamini wengi tulikuwa twangoja taalik yako ktk hili janga
@FadhilChai
@FadhilChai Ай бұрын
Aslm alaykum ya sheikh, wallah, tumeshukuru sana kwa kuwazindua wakislam, Allah akutilie Barka kwenye ilimu ya dini
@RajabuLabu
@RajabuLabu 11 күн бұрын
Usichoke shekh kishik ukiwa Allah amekupa pumzi , na uhai itumikie dini hii Allah mwenye sifa zote hakika atakunusuru na Adhabu zake
@user-wr5ce6lu8q
@user-wr5ce6lu8q Ай бұрын
Nakupenda Kwa ajil ya Allah ❤❤❤
@faizanassor6336
@faizanassor6336 Ай бұрын
shukrain sheikh wetu kwa kutufuza ALHAMDULILA ALLAH azidi kuwapa afya njema mashekh wetu ALLAH azidi kuwa weka THUMMA AMIN AMIN 🤲🏼
@AbedPonda
@AbedPonda Ай бұрын
Allah akujalie umri mrefu wenye manufaa kwako skekhe kishk(mhadhir wa kimataifa)
@khalfaankauga294
@khalfaankauga294 Ай бұрын
Mashaallah Allah Akuhifadhi shekh wetu
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b Ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh umesemakweli kipenzichetu dr sule hana elim yadini ila anaelim yakuwatumikisa majin napete ambavyo viakupelekea kuamchawi kwakifupi niwachaw
@NiyonkuruYazidi
@NiyonkuruYazidi Ай бұрын
Shukran sheikh wetu
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y Ай бұрын
Na ndio maana naupenda uislamu kila kitu kina asli yake na jibu lake.Allah barik
@RAMATHANI-eu5dk
@RAMATHANI-eu5dk Ай бұрын
Aslam alykum cheikh wangu. Aksanti sana kwa mafunzo haho. Mungu wangu akulipe kila laheri.
@BadruHisha
@BadruHisha Ай бұрын
Jazakallah khayl
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg Ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah tunaelimika
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij Ай бұрын
🎉🎉🎉 mashaalaah
@user-yy2rk4wi3p
@user-yy2rk4wi3p 29 күн бұрын
Walkum salama warahmatullah wabarakatuh karma kweli
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi Ай бұрын
Alhamdulillah
@user-fc4vl8zi4r
@user-fc4vl8zi4r Ай бұрын
Shukran
@rafikindugu4674
@rafikindugu4674 Ай бұрын
Kuvurugwa kwa watanzania kuhusu pete za majini; sababu ni kuwa ,1 imani ndogo 2 ushabiki 3 umaskini kati ya raia wengi ambao wamekata tamaa.
@user-rk1cp5qs9d
@user-rk1cp5qs9d Ай бұрын
Asalam alaykum 🙏🙏💯
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Ай бұрын
S,a,w❤❤❤❤
@ruqiyanasir7141
@ruqiyanasir7141 Ай бұрын
Wabie hao wafunga majini halafu wanapotowa watu kwatama zao naja walozi weka bele halafu wakajifanya mashekhe wanaijuwa ndini
@user-cd9nk8yz2h
@user-cd9nk8yz2h Ай бұрын
Ikiwa kuna haramu na halali imeandikwa kwa kuruani mpaka kuhusu ushirikina na majini na mashetani na binadamu wanyama wadudu na vinginevyo vyote viliumbwa na allah tuu.
@zuhuraMangapi
@zuhuraMangapi Ай бұрын
Huyu Sasa ndyo shekh na sio sule mtumiya majini
@user-oo7yr5zq6g
@user-oo7yr5zq6g Ай бұрын
Shida hap nilivy elewa ni mtume je wengine sio manabii Kila mtume amkuja kisadikish yalio nyuma au sio hivy ,
@universitylink
@universitylink Ай бұрын
Katika masuala ya kisheria na si mambo ya mubahaat au mapambo na Mtume hasadikishi yaani lazima afanye yote aliyafamya nabii Suleiman. Yaani kusadikisha si lazima afuate. Na mambo ya Nabii suleiman alipewa mambo yanayomuhusu yeye tu
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 Ай бұрын
Tupe hadithi sahihi inayoonyesha kuwa Mtume alivaa pete mkono wa kushoto.
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Ай бұрын
Nyie majadida bwana Ivo vitabu alivotaja hujasikia au Yaani nyie masalafia jadida kazi yenu ubishii tuuu
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 Ай бұрын
Nabi sulemani petezake zilikuwa zanini?
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Ай бұрын
Kigezo chetu waislamu ni Mtume Muhammad. Kuna mambo yalikuwa halali kwa uma zilizopita lakini ikawa haramu kwa zama za mtume saw and vice versa
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Ай бұрын
Mtajijua Wenyewe bora tushwali tu?
@24Dailylife-Channel
@24Dailylife-Channel Ай бұрын
Kusikiliza napo ni moja wapo ya elimu
@faridfrefre35
@faridfrefre35 Ай бұрын
Soma dini yako
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Ай бұрын
Tumechoka sasa
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 Ай бұрын
Mhhh.toa dalili kuwa chafya ya kujitakia harehemew...
@HemedyKhamisi
@HemedyKhamisi Ай бұрын
Mtajiju
@Shamsudeen-h5o
@Shamsudeen-h5o Ай бұрын
Huyu nae vipi
@BushDoctor-dw8el
@BushDoctor-dw8el Ай бұрын
Swali langu la kijingajinga ni hili. Yaani hii kuvaa pete ni katika dini? Au tu ni uzushi wenu?
@salamaalladini
@salamaalladini Ай бұрын
C ktk dini c umemskia xhkh ntumie altumia km muhur
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 17 МЛН
HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
31:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 87 М.
SIRI YA PETE NDANI YA JINA LAKO BY Sheikh Yusufu Diwani الغزالي
22:20
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 2,4 М.
UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA
10:05
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 71 М.
NABII MUSSA (A.S) AKIWA MTOTO MCHANGA NDANI YA KASR YA FIRAUNI
23:48
Kishki Online TV
Рет қаралды 18 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 17 МЛН