Mkuu wa mkoa alitakiwa awape makavu live. Waache ushirikina. Hilo ndo tatizo Kigoma mjini, jimbo la Zitto Kabwe. Maustaadhi wanaendekeza Sana ushirikina na kusomeana Dua mbaya. Hiyo ndo sababu wanaogopa kujenga nyumba nzuri. Kuonewa wivu na kutupiwa kitu mbaya. Wabadilike. Maana kujenga wanaogopa na kuuza hawauzi hata uje na kiasi gani. Hata kufungua biashara watu wanaogopa. Tabu tupu.
@dianafyondi90484 жыл бұрын
Tena kama mwandinga ujiji duuuuuh ni taaabu kweli
@abubakarimussa16374 жыл бұрын
Umejuaje
@jeremiahithamael26054 жыл бұрын
Umenifurahisha saana Mkuu , kwakweli tunapaswa kubadilika
@onlinemovie85804 жыл бұрын
Ni kweli lazima tubadilike wa bongo uwezi kujenga nyumba ya nyasi town bora huuze tuuu
@samuelmore29264 жыл бұрын
La hasha
@vivianakinyi53524 жыл бұрын
Jamani when i visited tZ i went there and was surprised to see majengo yana tishia
@AJMusicLM4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/enymY62qj7uLe9U
@abubakarihamissi41784 жыл бұрын
Mji wa kishenzi sana huo nimefika mwaka 2016 nilishangaa sn full ushirikina pale ujiji
@blesslory18624 жыл бұрын
Nyasi ndo nzuri acheni zenu
@ignassindabaha18133 жыл бұрын
Kigoma haiwezi kujengeka leo wala kesho neh.
@msemajafar38733 жыл бұрын
Safi waambie hao
@dianafyondi90484 жыл бұрын
Wambie baba maana wanazidiwa na manyovu vijijini
@iddikogo49874 жыл бұрын
Serikali iwalipe hela ya kutosha hao watu kisha serikali wajenge mijengo mikubwa ya kuvutia katika hizo Barbara iwe ni sehemu za biashara,sio kila MTU aliye na nyumba barabarani alifuata Barbara akajenga bali wengine ni barabara ndizo ziliwafuata jamani Mara nyengine tuwe watu wakufikiria na kupanga maendeleo kwakuzingatia maisha ya watu yalipo anzia tusiwe tunatoa makavu bila kufikiria.
@KhalidKhalid-zt1bc4 жыл бұрын
usifukuze watu mjini kwani hii nchi ya mabepari tu ?maskini hawana haki?
@jumamwadhini62634 жыл бұрын
Ngoja kwaza mkuu tuongee na mizimu ikikubali tutauza baba
@themwambazband77814 жыл бұрын
Kichwa wazi kweli
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Jamani😂😂😂😂😂😂😂😂
@namirihamisi38994 жыл бұрын
Sawasawa huu mfano niliuona ruwangwa watu pesa ya korosho wanazilalia kwenye mchago nyumba za udongo akaja mkuu wa mkowa mpya akawatia kalinye kalinye sasa hivi nyumba mpaka mpekenyela bati tupu.
@dutchsafari75624 жыл бұрын
Brigedia jerenal nakukubali
@lipymuscat47794 жыл бұрын
wajengeeni gorofa hapo
@athumantanzua76514 жыл бұрын
Tunapaswa kujua wamefikaje hapo na kushauriana nao kwa utulivu, nani hupendi vizuri??
@tofautistudio4 жыл бұрын
Kwetu tatizo aina za watu wanaoish hawana maono ya maendeleo, labda uswahili huko ujiji na gungu
@mossassaid26834 жыл бұрын
Mhmm
@SEMANKA974 жыл бұрын
Hawajui ujiji atalaka nje
@winnesakara69574 жыл бұрын
Hahaha
@nassororamadhan87564 жыл бұрын
zitto baba lao
@nipolive..27454 жыл бұрын
Kasulu ndo umepaona kijiji sindio acha zalau wewe
@harmonize34764 жыл бұрын
Saratani/ sio tishio Tena jitibie mwenyewe kirahisi gusa link hiyo mbele kzbin.info/www/bejne/eGLafaevqt-Gja8
@harmonize34764 жыл бұрын
Zijuwe sababu zinazopelekea kansa ya matiti kwa wanawake gusa link hiyo mbele ujionee kzbin.info/www/bejne/nWOyoGeKbrOMlac
@ototek80374 жыл бұрын
Vyakula vya msaada kama wanavyokula kenya ndo vinasababisha kansa
@ashampore60704 жыл бұрын
Kwa kigoma kazi ipo hapa mjini ndo wamejenga na magari kwao makumbusho,hatarii .
@sylvesterf.mbonimpaye14134 жыл бұрын
Ziwekwe by laws ,asiyeweza kujenga nyumba ya bati kiwanja kitaifishwe ,mjini kati iwe proper ghorofa ,huwez taifishwa usepe
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Sasa kama mtu hana uwezo lami imemkuta akiwa hapo afanyeje achen unyanyasaji kula mtu na majariwa yake aliyojaeiwa na MUNGU🙏