KIGOMA MITAANI LAMI NYUMBA ZA NYASI BARABARANI ''KAMA HUWEZI KUJENGA UZA NENDA KIJIJINI''RC KIGOMA

  Рет қаралды 17,635

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 35
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa alitakiwa awape makavu live. Waache ushirikina. Hilo ndo tatizo Kigoma mjini, jimbo la Zitto Kabwe. Maustaadhi wanaendekeza Sana ushirikina na kusomeana Dua mbaya. Hiyo ndo sababu wanaogopa kujenga nyumba nzuri. Kuonewa wivu na kutupiwa kitu mbaya. Wabadilike. Maana kujenga wanaogopa na kuuza hawauzi hata uje na kiasi gani. Hata kufungua biashara watu wanaogopa. Tabu tupu.
@dianafyondi9048
@dianafyondi9048 4 жыл бұрын
Tena kama mwandinga ujiji duuuuuh ni taaabu kweli
@abubakarimussa1637
@abubakarimussa1637 4 жыл бұрын
Umejuaje
@jeremiahithamael2605
@jeremiahithamael2605 4 жыл бұрын
Umenifurahisha saana Mkuu , kwakweli tunapaswa kubadilika
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 4 жыл бұрын
Ni kweli lazima tubadilike wa bongo uwezi kujenga nyumba ya nyasi town bora huuze tuuu
@samuelmore2926
@samuelmore2926 4 жыл бұрын
La hasha
@vivianakinyi5352
@vivianakinyi5352 4 жыл бұрын
Jamani when i visited tZ i went there and was surprised to see majengo yana tishia
@AJMusicLM
@AJMusicLM 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/enymY62qj7uLe9U
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 жыл бұрын
Mji wa kishenzi sana huo nimefika mwaka 2016 nilishangaa sn full ushirikina pale ujiji
@blesslory1862
@blesslory1862 4 жыл бұрын
Nyasi ndo nzuri acheni zenu
@ignassindabaha1813
@ignassindabaha1813 3 жыл бұрын
Kigoma haiwezi kujengeka leo wala kesho neh.
@msemajafar3873
@msemajafar3873 3 жыл бұрын
Safi waambie hao
@dianafyondi9048
@dianafyondi9048 4 жыл бұрын
Wambie baba maana wanazidiwa na manyovu vijijini
@iddikogo4987
@iddikogo4987 4 жыл бұрын
Serikali iwalipe hela ya kutosha hao watu kisha serikali wajenge mijengo mikubwa ya kuvutia katika hizo Barbara iwe ni sehemu za biashara,sio kila MTU aliye na nyumba barabarani alifuata Barbara akajenga bali wengine ni barabara ndizo ziliwafuata jamani Mara nyengine tuwe watu wakufikiria na kupanga maendeleo kwakuzingatia maisha ya watu yalipo anzia tusiwe tunatoa makavu bila kufikiria.
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 4 жыл бұрын
usifukuze watu mjini kwani hii nchi ya mabepari tu ?maskini hawana haki?
@jumamwadhini6263
@jumamwadhini6263 4 жыл бұрын
Ngoja kwaza mkuu tuongee na mizimu ikikubali tutauza baba
@themwambazband7781
@themwambazband7781 4 жыл бұрын
Kichwa wazi kweli
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Jamani😂😂😂😂😂😂😂😂
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
Sawasawa huu mfano niliuona ruwangwa watu pesa ya korosho wanazilalia kwenye mchago nyumba za udongo akaja mkuu wa mkowa mpya akawatia kalinye kalinye sasa hivi nyumba mpaka mpekenyela bati tupu.
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 4 жыл бұрын
Brigedia jerenal nakukubali
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 4 жыл бұрын
wajengeeni gorofa hapo
@athumantanzua7651
@athumantanzua7651 4 жыл бұрын
Tunapaswa kujua wamefikaje hapo na kushauriana nao kwa utulivu, nani hupendi vizuri??
@tofautistudio
@tofautistudio 4 жыл бұрын
Kwetu tatizo aina za watu wanaoish hawana maono ya maendeleo, labda uswahili huko ujiji na gungu
@mossassaid2683
@mossassaid2683 4 жыл бұрын
Mhmm
@SEMANKA97
@SEMANKA97 4 жыл бұрын
Hawajui ujiji atalaka nje
@winnesakara6957
@winnesakara6957 4 жыл бұрын
Hahaha
@nassororamadhan8756
@nassororamadhan8756 4 жыл бұрын
zitto baba lao
@nipolive..2745
@nipolive..2745 4 жыл бұрын
Kasulu ndo umepaona kijiji sindio acha zalau wewe
@harmonize3476
@harmonize3476 4 жыл бұрын
Saratani/ sio tishio Tena jitibie mwenyewe kirahisi gusa link hiyo mbele kzbin.info/www/bejne/eGLafaevqt-Gja8
@harmonize3476
@harmonize3476 4 жыл бұрын
Zijuwe sababu zinazopelekea kansa ya matiti kwa wanawake gusa link hiyo mbele ujionee kzbin.info/www/bejne/nWOyoGeKbrOMlac
@ototek8037
@ototek8037 4 жыл бұрын
Vyakula vya msaada kama wanavyokula kenya ndo vinasababisha kansa
@ashampore6070
@ashampore6070 4 жыл бұрын
Kwa kigoma kazi ipo hapa mjini ndo wamejenga na magari kwao makumbusho,hatarii .
@sylvesterf.mbonimpaye1413
@sylvesterf.mbonimpaye1413 4 жыл бұрын
Ziwekwe by laws ,asiyeweza kujenga nyumba ya bati kiwanja kitaifishwe ,mjini kati iwe proper ghorofa ,huwez taifishwa usepe
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Sasa kama mtu hana uwezo lami imemkuta akiwa hapo afanyeje achen unyanyasaji kula mtu na majariwa yake aliyojaeiwa na MUNGU🙏
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Ni Kweli Kigoma ni Maskini? DC Kigoma Afunguka
3:22
Global TV Online
Рет қаралды 1,3 М.
MVUA ZINAVYOLETA ADHA KIGOMA
6:40
Mwananchi Digital
Рет қаралды 1,7 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН