KIJANA ALIYEOKOA WATU KWENYE NDEGE AFUNGUKA ILIVYOKUWA "NILICHOJIFUNZA TUWE NA UZALENDO"

  Рет қаралды 1,059,578

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 504
@Moregun619
@Moregun619 2 жыл бұрын
The fact that he played the biggest role in the rescue effort amongst the 4 of them but he includes them in everything describes alot May God protect this young man always 🙏🏽 yani hajitaji yeye anahusisha wenzake watatu kwa kila anapoulizwa swali.. ndio wapate kuonekana wote.. this man is a HERO🙌🏽
@kelvinmwenda1013
@kelvinmwenda1013 2 жыл бұрын
Yes perfect
@lusajokafuko3450
@lusajokafuko3450 2 жыл бұрын
Sio mbinafsi
@changanikisesa7021
@changanikisesa7021 2 жыл бұрын
Team working bless him.Ingekuwa mwingine angejitia mimi mimi but very hod boy in every sentence he includes his 3 friends
@billgussy6099
@billgussy6099 2 жыл бұрын
He is indeed
@pialashayo4519
@pialashayo4519 2 жыл бұрын
Kiuhalisia tu ni kuwa angekuwa mwenyewe asingefanikiwa hicho ndo kitu ambacho wameshindwa kukiona
@anordgodibless1361
@anordgodibless1361 2 жыл бұрын
Mimi napenda kukupa hongera sana timu nzima ya uokozi ningependa kushauri Mheshimiwa raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan kama ikikupendeza vijana wote hawa wanne wangepewa ajira ya kudumu kawenye jeshi la uokoaji wamefanya kazi nzuri ya kizalendo iliyotukuka Mungu azidi kuwapa moyo wa hivo siku zote za maisha yenu.
@malecellacaezaryj2414
@malecellacaezaryj2414 2 жыл бұрын
Yes, hata kijana Majaliwa anajaribu kueleza kwa kuwaunga mkono timu yake ya watu wanne ya uokoaji. Hongera sana
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa wangeajiriwa wote hao walio shiriki kuwaokoa
@angelsandemu2464
@angelsandemu2464 2 жыл бұрын
Na hao waliomuokoa huyu kaka apewe motisha ya shukrani jamani.💞Mungu awabariki wote waliosaidia ndgzetu kwakwl
@victorvedasto1363
@victorvedasto1363 2 жыл бұрын
Vijana wote wanne wapewe Ajira mana wameonesha uzarendo wa kweli
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Kweli wapewe
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 2 жыл бұрын
ata me naona itakuwa Jambo zuri zaidi na wenzake Kama sio ajira Basi wapewe hongera ata yakipesa itapendeza zaidi
@fatumaabasi777
@fatumaabasi777 2 жыл бұрын
Siku zote qadar ndo inafanya kazi, wengine wamehusika ni kma daraja la kumvusha huyu kijana kuifikia rizki yake ila wao nafas yao itakua bado, wakti sahihi na M.mungu, bila shaka atawalipa kwa namn yeyote, hta isiwe leo hta kesho, ila kikubwa tuwapongeze wote kwa kazi nzr ya ushujaa.
@kisetukumbuael1839
@kisetukumbuael1839 2 жыл бұрын
Mungu akutunze na kukulinda maisha yako yawe heri daima
@silverrichard1211
@silverrichard1211 2 жыл бұрын
Hawa ndio kati ya watu wachache sana waliobaki duniani wenye mioyo ya huruma kwa binadamu wenzao Mungu akulinde dogo
@Tellaaxis
@Tellaaxis 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/i2akpIyEnctrhck
@evaristohaule588
@evaristohaule588 2 жыл бұрын
Anasema alichojifunza ni Uzalendo, nimelipenda sana hilo kweli alichokifanya huyu kijana na wenzake ni Uzalendo, na anajitahidi sana kusema, " Mimi na wenzangu hawa" huyu kijana Siyo mbinafsi kabisa
@hassanmfaume9175
@hassanmfaume9175 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa mungu awafanyie wepes vijana hao.
@gaudenciaantony5523
@gaudenciaantony5523 2 жыл бұрын
Mungu ana makusudi yake kwa huyu kijana ana roho ya kipekee sana
@nevergiveupinlife753
@nevergiveupinlife753 2 жыл бұрын
Wakati wengine wanatumia simu zao ku record video wakati watu wanahitaji misaada, lakini huyu kijana alijitolea kuokoa maisha May Almighty God uplift him 🙏
@michaelsumari4064
@michaelsumari4064 2 жыл бұрын
Vijana hongera sana. Nashauri mpewe medali za mashujaa wa taifa na ajira ya kudumu/ kuwezeshwa katika shughuli zenu za uvuvi ikiwa hamtapenda ajira. Ukijitoa kwa wenzako Mungu atafanya baraka maishani mwako.
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Nashangaa anatajwa mmoja tu kwamba ndiye shujaa wakat kwa maelezo tu ya huyiu dogo ganaweka waz kwamba hakuwa peke yake bali walikuwepo na wengine japo ni waz dogo alikuwa mstali wa mbele lkn zawaid ilitakiwa kwenda wa wote
@semenisadiki5842
@semenisadiki5842 2 жыл бұрын
Mungu awabariki vijana hawa kwa mioyo yao yakujitoa .selikali iwafikilie na hawa wenzake walisaidiana nae peke yake asingeweza .wote walirzki maisha yao
@saphinamshana5037
@saphinamshana5037 2 жыл бұрын
Nshauri na wengine wapewe kifuta jasho maana walikua wengi wanasaidia
@dr_ridhiwan
@dr_ridhiwan 2 жыл бұрын
Wakati Mwingine Riziki yako unaweza ipata kwenye Shida bila kujua.... Kwakwel Rizki anayepanga. Ni Mwenyezimungu pekeee. Congratulations Kijana🤝
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Hawa wote wanne wapewe ajira jezi la uokozi wamefanya kazi kama team . Ni aibu kubwa hao rescue team wanaolipwa mishahara kutofanya kitu ina maana Tanzania hamna diving team na oxygen ambao wangewweza kumuokoa huyo rubani, kama kungekuwa na vifaa na ujuzi watu wengi labda leo wangekuwa hai , kweli ni Tanzania ya mavi kunuka Serikali haijali maisha ya wananchi wake
@expert5898
@expert5898 2 жыл бұрын
Yes ni kweli maana walikuwa wanne
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 жыл бұрын
Inashangaza Sana!!!!wengine wanakula mishahara ya bure ,uzembe mkubwa wangeokolewa wengi
@neemaamani159
@neemaamani159 2 жыл бұрын
Kiukweli aovijana walipambana Sana yawapasa wote kupata ajira siommoja tu mana nguvu ilitumika kwa pamoja aise nimemmic Baba magufuli ao wafanyakazi wotee wangetolewa wamesababisha kifo Cha Rubani buree awafai kula atamishahara kabisa wana injoy maisha tu awapo kikazi. Waondolewe tu wajinga.mno.
@expert5898
@expert5898 2 жыл бұрын
Halafu kumbe bongo Ajira zipo kabisa ila ni mpaka Rais aseme
@lusajokafuko3450
@lusajokafuko3450 2 жыл бұрын
Hakika Wewe Majaliwa na Jopo lako la Vijana wengine 3 mliosaidia zoezi la uokoaji WA Awali Kwa hekima yake Mama akiona inafaa na ikimpendeza awakumbuke na hao Vijana wengine 🙏🏾 MUNGU awabariki wote mliojitoa na kuonyesha uzalendo 🙏
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 2 жыл бұрын
Kweli ndugu yangu na wenzake wasiachwe wapewe pongezi yao maana wamefanya jitihada kubwa Sana wote
@hawakapinga5495
@hawakapinga5495 2 жыл бұрын
kweli kbs wapew wote waliowai mwanzo maan itakua kam ubaguz
@consolatamtweve495
@consolatamtweve495 2 жыл бұрын
Hongera kwa wote waliotoa msaada wa uokozi. Je wahusika hawafahamu kuwa kiwanja kipo karibu na ziwa na yakuwa walipaswa kuwa na kikosi cha uokozi kwenye ziwa hilo? Zimamoto wa uwanjani hapo walikuwa wapi? Pengine wengi wangeweza kuokolewa. Pole kwa wafiwa wote. MUNGU awalaze NDUGU zetu hao mahalipema peponi, AMEN.
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
I agree with u....
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 2 жыл бұрын
Kwa mazingira ya ajali ile,kwa nchi nyingine asingekufa hata mmoja,ziwa kuwa karibu na uwanja hii ni nzuri zaidi..vinginevyo asingepona hata mmoja na tusingeona hata miili yao
@salomesomola6186
@salomesomola6186 2 жыл бұрын
Kwa jinsi ndege ilivohangaika hewani tulitegemea wangekua tayari wamejiandaa hapo kuiokoa. Aliyesimama na kipaza sauti kumwambia kijana asivunje kioo kaniwazisha sana. Angeingia aone hali halisi sio kukaa ng'ambo. Mungu akutunze wewe kijana umetupansomo
@rashmaissac480
@rashmaissac480 2 жыл бұрын
Ni kweli lakin kwakua Mungu akipanga lake zinatokea sababu tu na sisi hatuwezi pinga, kikubwa kushukuru na kujiandaa tu na safari hii
@edsonfide2670
@edsonfide2670 2 жыл бұрын
Duuh inauma jamani pole ndg zangu Wana bukoba walio kutwa na ajali hii .Mungu awatangulie mbele.ya.haki
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 2 жыл бұрын
Daaaa umewakilisha wahaya genius na shujaaa mwenye huruma Mungu akusaidie uwe zaid
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 2 жыл бұрын
Kijana mdogo kupambana safi sana..Ana imani nzuri Mung amuingoze
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Na wewe sasa Igarashi toka kwenye mifano mizuri katika mazingira yako ya kazi, nyumba, jamii na wewe nenda ufanye hivo hivyo
@kedmonisangula3069
@kedmonisangula3069 2 жыл бұрын
Rais amefanya kitu Cha maana Sana kusema huyu kijana aajiliwe kwenye jeshi la uokoaji
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
@@kedmonisangula3069 Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@mussawaziri1120
@mussawaziri1120 2 жыл бұрын
O
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 2 жыл бұрын
Mheshimiawa samia Hawa vijana wachukuweni wote wanne wamefanya kazi zuri
@mwanakhatib5825
@mwanakhatib5825 2 жыл бұрын
Na Hawa we make wapewae japo kinua mgongo
@ياسمينسالم-ك8ص
@ياسمينسالم-ك8ص 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ajira wapate wote
@abdijogoo956
@abdijogoo956 2 жыл бұрын
YA RABBI 🤲 Wape maisha mema hawa waokoaji
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Amen
@mwanasele7943
@mwanasele7943 2 жыл бұрын
Amin🙏🙏
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Ajira si kitu kibaya ila si kila mtu anafanya vizuri kwenye ajira. Watu Wengine ni wazuri zaidi kwenye kujiajiri kibiashara kuliko kuajiriwa. Kila mtu na kipaji chake na mtizamo wake na malengo yake. Huyo kijana anaweza kuwa mfanya biashara mkubwa sana na hata kuajiri wavuvi au vijana wenzake kama atamewezeshwa kimtaji na kiutaalamu zaidi kwenye area yake. Au pengine shule inayohusiana na ujuzi wake ingemfaa zaidi sababu bado ni kijana mdogo.
@dr.mosesstvonline1882
@dr.mosesstvonline1882 2 жыл бұрын
Hao jamaaaa wapewee ajira woteee sio mmoja tu wote walijitoaaa
@alexchungu6263
@alexchungu6263 2 жыл бұрын
Mimi nashangaa, anapewa mmoja
@ياسمينسالم-ك8ص
@ياسمينسالم-ك8ص 2 жыл бұрын
Si haki
@omarnicesang5507
@omarnicesang5507 2 жыл бұрын
Mungu atawafungulie riziki Kwa namna nyingine maana walijitoa kiukweli
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Kabisa wapewe wote wanne
@halimasaleh5705
@halimasaleh5705 2 жыл бұрын
Kuna clip ya mwanzo kabisa huyu kijana alihojiwa yy km yy na kuna baadhi ya maneno naona km kaambiwa asiongee wakati anataka kuvunja kioo alikatazwa na mtu na kule chini alisema alizama yy mpaka mwisho alimpungia mkono rubani anaondoka
@devaxtz
@devaxtz 2 жыл бұрын
Pole na hongera sana meja mnyama 💪🏾💪🏾💪🏾
@salemarahbi9171
@salemarahbi9171 2 жыл бұрын
Wangepewa wote ajira maana wote wamepambana na wamemuokoa mwenzao serikali waangalieni na wenzie na haachi kuwataja wenzie..Mungu awabariki sana
@ernestthomas9689
@ernestthomas9689 2 жыл бұрын
Ee Mwenyenzi Mungu uzidi mwinua kijana Majliwa , azidi okoa watu wengi zaidi Kiroho na kimwili . Mungu uzidi tupa zote ujasiri kushiriki katika kusaidia wahitaji na wenye shida mbali mbali , Amina .
@ruthsima8152
@ruthsima8152 2 жыл бұрын
Hongera na ubarikiwe Saba
@bibieflorence5069
@bibieflorence5069 2 жыл бұрын
Maja Kama Maja,God bless you 🙏
@siphaeldavid206
@siphaeldavid206 2 жыл бұрын
Atakuja kua mtu mkubwa sn huyu nukuu maneno yangu
@madagascar8873
@madagascar8873 2 жыл бұрын
May God bless this young man and the his team abundantly, in Jesus Christ Name. Amen
@Silyvesta
@Silyvesta 2 жыл бұрын
Hongeran Sana Kwa Kaz kubwa na yenye ujasili mkubwa mungu azidi kuwatia nguvu mue na moyo huo huo WA uzalendo
@mayjunemayjune6829
@mayjunemayjune6829 2 жыл бұрын
😭
@maggiejsy
@maggiejsy 2 жыл бұрын
Apo kwenye kupasua kioo kama vile mmekatisha au ni mimi tu nmeona ivo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 2 жыл бұрын
HII NI AIBU KUBWA SANA KWA SERIKALI WATU WAMEKUFA KIZEMBE KABISA, HAKUNA HATA SABABU YA NCHI KUWA NA NDEGE KAMA HAKUNA WAOKOWAJI DUNIA NZIMA INAWASHANGAA KWA UZEMBE SASA SI BORA TUTAWALIWE TUU TENA MAISHA YARUDI KUWA MAZURI KAMA ILIVYO KUWA KABLA YA UHURU,
@janembalinga7074
@janembalinga7074 2 жыл бұрын
unajiskia mwenyewe ndani yako umeandika point
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 2 жыл бұрын
Kwani kabla ya uhuru kulikuwa na uzuri upi wa maisha uki compare na maisha ya hivi sasa ambapo mna kila aina ya usafiri na ukiweza kutembea masaa yote utakayo .
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 2 жыл бұрын
Hongara Sana vijana hao kwa uzalendo huo na pia rais Samia ni rais mzuri greetings from Kenya
@obirinaom9611
@obirinaom9611 2 жыл бұрын
Yaani kama Jina lake Mungu amjalie mema maishani mwake
@sikuzanimwejelo3994
@sikuzanimwejelo3994 2 жыл бұрын
Ongera Sana Kaka kwa msaada wako mungu akulinde
@mussaisaac
@mussaisaac 2 жыл бұрын
Hongera sana majaliwa pamoja na wenzako wanne ambao hujaacha kuwataja katika mazungumzo yako kwa maoni yangu serikali pia iwakumbuke hao vijana watatu,kweli ni wazalendo Mungu awatunze muendelee kulitumikia Taifa kwa uaminifu.
@Khadija.pande6
@Khadija.pande6 2 жыл бұрын
Pole sana na mwenyenzi mungu akubarikini
@godilzenilema1536
@godilzenilema1536 2 жыл бұрын
Baraka zake 🙏 kwa mola amjalie
@hamisimajjidi5039
@hamisimajjidi5039 2 жыл бұрын
Mungu akubariki katika Maisha yako na akupe kizazi chema amina
@charlesnamutesi
@charlesnamutesi 2 жыл бұрын
Mtoto mdogo kama huyu anamoyo kama wa Marehemu Rais Magufuli . Walicho kifanya ni kitendo cha ujasili wa hali ya juu. Wabarikiwe sana.
@allyfarahani3029
@allyfarahani3029 2 жыл бұрын
Serikali inafaa iwaangalie na hao vijana wengine watatu, maana walikuwa wa 4, tena kuna mwingine aliingia mpaka ndani ya ndege.
@kanoa645
@kanoa645 2 жыл бұрын
Mi nadhani itapendeza kama wote wanna wakipelekwa kwenye kitengo
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 2 жыл бұрын
@@kanoa645 kabisa walipambana
@rajshaban5291
@rajshaban5291 2 жыл бұрын
Ukwel ni kwamba hiyo respect wanatakiwa wapewe vijana wote wanne.
@habonimanajanvier8286
@habonimanajanvier8286 2 жыл бұрын
Nimependa majaliwa aweki wenzake pembeni mungu akulinde💯🇧🇮
@peterpaschal4439
@peterpaschal4439 2 жыл бұрын
Poreni sana mriyo nusirka kwenye hajari ya ndege mungu awape maisha marefu amina
@bongo39
@bongo39 2 жыл бұрын
Safi sana huo ndio ubinaadamu uzalendo tofauti sehemu zengine za ajali baada ya kuokoa majeruhi wanaanza kuiba na wengine kupiga picha hii tabia iko sana ila hawa vijana 4 kwa kweli mungu ndio atakae walipa kupata vijana wa namna hii kwa generation hii tuliokuwa nayo sasa hivi ni ngumu sana allah atawalipa endeleeni hivyohivyo mama waangalie hawa vijana 4 kuwapeleka sehemu husika ili wapate ujuzi zaidi ❤🇹🇿
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Amina amina amina
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 жыл бұрын
Saf sana mwanetu hakika ulifanya poa sana mung akujalie maisha marefu zaid
@irenebonface6956
@irenebonface6956 2 жыл бұрын
Hongela kjana unapojitoa mungu anakubaliki
@hanashhanash535
@hanashhanash535 2 жыл бұрын
From Zero to Hero 💯🥂
@madamtemu4167
@madamtemu4167 2 жыл бұрын
Jamaniii Mama aangalie na hao wanne waliobaki,awape ajira,huyu kijana angekuwa pekeake kwa kweli asingeweza,, Mbarikiwe sn vijana
@aishaabdalla7624
@aishaabdalla7624 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Kabisa waangaliwe wote wanne
@bintialiomari9127
@bintialiomari9127 2 жыл бұрын
Allah akueke kijana naakuzidishie rohoo hyo hyo kwakweli yani siamini
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@jasperjackson8871
@jasperjackson8871 2 жыл бұрын
Walikua hasa wanne hivyo ningeomba na hao wengine watatu wapewe motishana wasiachwe hivyo na mwenzao ndo kupewa motisha peke yake maana hata maelezo yake anaongea kwa wingi yaani tulikua xo n vema na hao watatu watafutwe❤🙏
@fatma8700
@fatma8700 2 жыл бұрын
Mungu akubarik kijan kwa Kaz mzur
@kondebaba342
@kondebaba342 2 жыл бұрын
You made it 💝💝💝💝🥂💯
@abochejuniorhutingwa223
@abochejuniorhutingwa223 2 жыл бұрын
Safi na tunashukuru kwa kazi nzuri mliyoifanya kuokoa maisha ya wananchi wenzetu
@sadibabis2174
@sadibabis2174 2 жыл бұрын
Mimi nadhani tuwe na subra maana km walikuwa wa4 haiwezekani ainuliwe mmoja tu! Kwani haiingii akilini eti kisa kaumia ndio athaminiwe,je asingeumia kumbe tusingethamini yeyote hapo. Mtu hulipwa jema km amefanya jema,sio kulipwa jema kisa kaumia kwa kutenda jema.
@jeniferemmanuel4251
@jeniferemmanuel4251 2 жыл бұрын
Jmn naomba hawa wengne wasaidiwe😭😭
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 2 жыл бұрын
Umeonesha ujasiri mkubwa Sana❤️❤️Maisha yako yakawe heri
@rhodapyuza6053
@rhodapyuza6053 2 жыл бұрын
Kijana mwema MUNGU akutunze Kwa KAZI nzuri
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 2 жыл бұрын
Jamani hao vijana wengine mbona hawajuwajali japo kuwashkuru
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 2 жыл бұрын
Tunakuomba rais wetu wape kazi hawa wote wanne chondechonde hadi wameumia wakalanzwa wakijitahidi kuokoa roho za watu hongereni vijana mungu awabariki sana
@emillyzeeh1173
@emillyzeeh1173 2 жыл бұрын
God bless this boy 🙏🙏🙏🙏🇪🇺🇩🇪🙋‍♂️
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Yes yes godis good ubarikiwe kijana mungu akitakakukupa akuletei barua hiyo ilikuasababu yawewe kuonekaniwa
@faustineaghakan8117
@faustineaghakan8117 2 жыл бұрын
Shukran Sana Mh.Rais kwa ulichoamua kwa kijana huyu shujaa kumpatia ajira Ila ombi langu Mama Hawa aliosaidizana nao please over please waone kwa jicho la tatu 🙏🙏
@jwdyjwdy7052
@jwdyjwdy7052 2 жыл бұрын
Mungu aendele kumpea hiyo roho aki🙏🙏🙏👏
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 2 жыл бұрын
Kwakuwa umeweza kuokoaroho za watu wote naurikuatyr kutarisha ata maisha yako kwajir ya wengne ,, yesu akuzidishie miaka nahata kukubarik hakika huta kufa mungu atazid kukutunza zaidi utakuwa sarama kijama Maisha yako yote
@angeldejoice3202
@angeldejoice3202 2 жыл бұрын
Yaan yesu ndo amzidishie maisha marefu sio mungu ? Wakati dogo mwenyewe anamshukuru mungu , are you okay ?
@lucyconsolata8414
@lucyconsolata8414 2 жыл бұрын
Yesu na Mungu ni kitu moja ....hampa tofauti
@angeldejoice3202
@angeldejoice3202 2 жыл бұрын
@@lucyconsolata8414 yesu na mungu sio kitu kimoja, cause yesu kaumbwa na mungu , nakukumbusha tu labda umesahau.
@lucyconsolata8414
@lucyconsolata8414 2 жыл бұрын
They work hand in hand
@lucyconsolata8414
@lucyconsolata8414 2 жыл бұрын
@@angeldejoice3202 they work hand in hand my friend, sio madharau.
@mgosiwandima3412
@mgosiwandima3412 2 жыл бұрын
Daaah, huyu kijana M/mungu azid kumlinda na kumpa moyo zaid wa ujasir alionao, nataman ata nimwone live kiukwer kajitoa sana kimasomaso haikuwa,rais pia anajua sn kujielezea vzr uku akimtanguliza sn mungu, broo ubarikiwe sn
@tsiheriambooka1137
@tsiheriambooka1137 2 жыл бұрын
This boy is Humble
@fostinniyonkuru221
@fostinniyonkuru221 2 жыл бұрын
Mungu akubalik San kaka umeonyesha ushuja🥰
@dennis.m.kinyua5988
@dennis.m.kinyua5988 2 жыл бұрын
UZALEDO !!! haha maneno yatazidi kugonga ndani ya akiki yangu. Mapenzi makuvwa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mpendaamani1332
@mpendaamani1332 2 жыл бұрын
Huyu ni shujaa .Poleni Watanzania..
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
R.i.p ruban wetu lubaga mwendo umeumaliza salama😭😭😭😭
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 2 жыл бұрын
Polen dah haikuwa siku yake
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
@@josephatjoseph1755 kbsaaaa nyie achen tu
@Thekingkillerson
@Thekingkillerson 2 жыл бұрын
wow phenomenal guy god bless you you are really amazing hero keep going much love from Kenya
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@gsesa2406
@gsesa2406 2 жыл бұрын
Yes he is. Bless you ..Big G for God
@ilenejohn1999
@ilenejohn1999 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wote walioshiriki kuwaokoa ndugu zetu na Mungu azilanze roho za marehem mahali pema
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 2 жыл бұрын
Hongereni sana vijana kwa kujitolea kweli huo ni uzalendo Mungu awabariki.
@bettykarume5619
@bettykarume5619 2 жыл бұрын
Hakika we ni mzalendo halisi Mungu aendelee kukupa moyo huo ulipambana sana mpk kupoteza fahamu Mungu akutunze
@NENOlakochannel.
@NENOlakochannel. 2 жыл бұрын
Good job vijana muwe hivyo maisha yenu yote
@mukandoricecile8881
@mukandoricecile8881 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu aendeleye kukulinda umejitowa sana bila kujali hatari ungeweza kukutana nayo marehemu mungu wetu awapokeye huko muendako amen
@mwanatumungenya4978
@mwanatumungenya4978 2 жыл бұрын
MashaAllah Allah akupe Umri mrefu InshaAllah
@neemapaul6349
@neemapaul6349 2 жыл бұрын
Mungu azilaze loho za ndugu zetu mahala pema peponi AMINA hili nifunzo kwa selikali wadumishe kikosi cha uokowaji navifaa vya uokozi viwepo mungu awabaliki pia wote walioshiliki uokozi wameokoa maisha ya ndugu zetu wasingekuwepo hao vijana ote tungewapoteza
@MC_Kanjambi
@MC_Kanjambi 2 жыл бұрын
Hongera kaka. Mungu akubariki
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Hongera sana majaliwa. Na wale wengine nao wasisahaulike jamani walifanya kazi kubwa sana. Mtu mmoja asingeweza pekee yake. Wapewe na wao heshima zao jamani walijitolea kiuzalendo hasa
@stellaseverine8160
@stellaseverine8160 2 жыл бұрын
Mungu Awabariki Wote mliofanya uwokozi🙏
@alifupi7811
@alifupi7811 2 жыл бұрын
Umetumia neno fupi tu ila limenitoa chozi baada be y kumjibu muandishi kama ulicho jifunza pale Ni uzalendo... Big up bro mungu atakulipa kw ulicho kifanya binafsi umenigusa sana. We are Tanzanian
@aishaomar9621
@aishaomar9621 2 жыл бұрын
Mungu akulinde kkngu akupe umri mrefu
@rithersospeterkati3355
@rithersospeterkati3355 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi kubwa mliyoifanya. 😁🙏
@mapekhamis3882
@mapekhamis3882 2 жыл бұрын
Nawale wenzie wapewe motisha jamani tunamshukuru kwa upendo na huruma yake mungu amzidshie kuzamia nakuokoa watz wenzie
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 2 жыл бұрын
Kumpa ajira ya jeshi la uokoaji anastahili,lkn sio jeshi tuu,bali aanzie kwenye angalau nyota moja,,napia hao wenzake waliokua pamoja wote waajiriwe, kiukweli kazi waliyoifanya inafaa iwe kielelezo na kigezo cha shukran za nchi yao kwao,,,"hongera rais Samia kwakuliona na kulithamini hilo.
@consolathambuya2239
@consolathambuya2239 2 жыл бұрын
Dah! Masikini Rubani Mungu Mwenyezi awape pumziko la milele 😭😭🙏🙏
@chachajuma9534
@chachajuma9534 2 жыл бұрын
Mungu akubariki na akusidishie
@elizabethfatuma9053
@elizabethfatuma9053 2 жыл бұрын
Mungu awabariki Sana wa Vijana zetu kwa Kazi nzuri mulifanya Mubarikiwe
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 2 жыл бұрын
Nahao wenziwe wasaidieni watajisikia vibaya
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Kauli yako inaonyesha uko tayari kuwa wa msaada...hongera wewe na huyo dogo mna moyo wa aina moja, moyo wa uzalendo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Huyu kijana aisee Mungu ambariki
@aishamaganga5304
@aishamaganga5304 2 жыл бұрын
Mwenyez Mungu awasamehe madhambi yao😭😭🤲🤲🙏🙏
@adamelly8781
@adamelly8781 2 жыл бұрын
Mwenyezi ana makusudi kwanini akamfanya azirai asingejjulikanna Wallahyi n yeye ndo chachu cha hao wenzio wengine wanne kujulikana na wavuvi wote kwa ujumla japo serikali haina uwezo wa kusaidia wote. Ila iwafanyie hawa wavuvi kitu n naamini hta wale waliookolewa watauridisha mkono wa shkrani wacha aende jeshi LA uokozi anaeza kua yeye ndo mkombozi wa wavuvi wenzie Mungu ambariki
@latifachilala2015
@latifachilala2015 2 жыл бұрын
Wamemkataza asiseme kama wamemwambia asipasue ile ya hospital ndio kaongea sahihi
@joyceassey2347
@joyceassey2347 2 жыл бұрын
Ata we umeona ee,,ashamezeshwa maneno,bt ujumbe umefika
@mishychy564
@mishychy564 2 жыл бұрын
ATA nmeshangaa cjamsikia akiongelea wale walomwambia asivunje kioo amuache ruban
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Kasema lkn inaonekana wameikata
@odiliamathias5424
@odiliamathias5424 2 жыл бұрын
Hongereni kijana,.. na ndio tujifunze pesa sio Kila kitu jamani tuwathaminiane uliye nacho na asiye nacho wote tujione sawa
@fortunatamarandu2915
@fortunatamarandu2915 2 жыл бұрын
Kweli kabisa. Sio tukiwakuta kando ya ziwa au Bahari tunawachukulia poa. Haohao ndo wameokoa watu wengi.
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
Kwanza Mungu awabariki sana wote mlio mshiriki kwa uokoaji wa maisha ya watu ushauri wangu kwa serikali msifanye ubaguzi maana kwa maelezo ya mariwa hakuwa peke yake kwenye uokoaji alikuwa na wenzake sasa mimi ushauri wangu ni huu waajiwe wote hao walioshiriki kuokoa maana majariwa hakuwa peke yake
@lorapamboz4307
@lorapamboz4307 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Rais wetu kwa kumpa ajila huyo kijana binafsi ningeomba na wengine walioshirikiana nae wapewe ajila pia maana ata yeye anasema akufanya pekee yake walikuwa na wenzake 4.
@gracekimani8834
@gracekimani8834 2 жыл бұрын
God bless you so much
@lucynyawira6933
@lucynyawira6933 2 жыл бұрын
God bless ...
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 жыл бұрын
Hongera majaliwa.Dunia ya leo watu kama wewe ni 10 kwa 1.vijana tujifunze kupitia huyu mwenzetu.siyo hela kwanza na utu ufuate.
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@emilianahyera4236
@emilianahyera4236 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana kwa ulichotenda ni SADAKA ya ukombozi hata kwa kizazi chako.
@leilahasani3118
@leilahasani3118 2 жыл бұрын
Mungu akubarik Sana kaka
@augustmvungi492
@augustmvungi492 2 жыл бұрын
Ongela sana mwanangu mungu akubariki
@millymilly7244
@millymilly7244 2 жыл бұрын
You are a HERO🔥🔥🔥
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 2 жыл бұрын
Hongera sana vijana kwa moyo wa ujasir ndege inapo anguka inatisha na hatari lakini vijana wamejitoa lolote na liwe na mwenyezi mungu amewasaidia
@badaral6167
@badaral6167 2 жыл бұрын
Ya allah mjalie uyu kijana umri umlefu na mwisho mwema.
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
Amiin 🤲
@sulemankhalidislam2088
@sulemankhalidislam2088 2 жыл бұрын
Aminn
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
Zuchu -  Kwikwi (Dance Video)
3:16
Zuchu
Рет қаралды 65 МЛН
VIDEO: Ndugu wametambua miili na imeanza kusafirishwa.
6:26
Millard Ayo
Рет қаралды 387 М.