TUMEONYESHWA KILA HATUA, WANAVYOTUMA MIZIGO CHINA- TANZANIA

  Рет қаралды 104,544

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Silent Ocen ni Kampuni ya Kitanzania inayofanya kazi ya kusafirisha mizigo kutoka China kwenda Afrika ikiwemo Tanzania.

Пікірлер: 201
@shahamtindo
@shahamtindo 5 жыл бұрын
Millard Ayo mko vizuri sana kwenye kupromote wabongo waishio nje.. Hongereni sana 👏👏👏
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 5 жыл бұрын
asante
@romzget1892
@romzget1892 4 жыл бұрын
@@rehemahramadhani3428 mdada umebadilisha namb whatsap maan sikupati jack ap
@muniradaudi440
@muniradaudi440 5 жыл бұрын
Mungu nijalie niende china n mm
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Huwa naitumia saana hii kampuni ys Silent Ocean kunisafirishia mizigo yangu Big Up saaana S,Ocean👏🏼
@hajikhatib8840
@hajikhatib8840 5 жыл бұрын
Khalid naona comment yko hapa !! But plzz naomba tuwasiliane nitafute kwa hii nomber plzz +974 30170668 plzz
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Haji Khatib sawa mkuu
@ghalibmansour7857
@ghalibmansour7857 5 жыл бұрын
Khalid huwa wanachaji kiasi gani kwa cbm moja ? Au kwa kg ? Garama yote mpaka Tz inacost vp?
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Ghalib Mansour huwa wanachaj 380 na kitu Usd kwa CBM moja Yaani almost 400$usd kwa cbm moja
@ghalibmansour7857
@ghalibmansour7857 5 жыл бұрын
@@khalidballeth5957 Khalid mm cbm siifahamu ukubwa wake ... unaweza nifahamisha ukubwa labda au ni mfano wa kg ngapi tuseme
@deniskaijage1857
@deniskaijage1857 5 жыл бұрын
Kitu kimoja kinawafamya muwe bora zaidi ni kutoa habari za ukweli wala siyo uzushi uzushi
@sendeesupriydewoochiagaliy7474
@sendeesupriydewoochiagaliy7474 5 жыл бұрын
great a lot research wa tanzania Tuige kwa wenzetu
@mselematrans3474
@mselematrans3474 Жыл бұрын
Hongereni saana kwakuturaisishia usafirishaji
@josephinekimenye2192
@josephinekimenye2192 4 жыл бұрын
kwa kweli mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri. kwa mfano akitaka kuagiza mzigo toka china na hajui aanzie wapi mnamsaidiaje
@zanzibaronetv988
@zanzibaronetv988 5 жыл бұрын
Licha yakua mnafanya kazi kujipatia Riski lkn pia hongereni na Ahsante kwa juhudi mnazozifanya Ahsante sanaaaa
@renatusdeogratias2108
@renatusdeogratias2108 5 жыл бұрын
Hakuna kama silent ocean na ijumaaa wananipakilia mzigo wangu thanks we support you
@hamzamussa8727
@hamzamussa8727 5 жыл бұрын
Your contact Jenny
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 5 жыл бұрын
Nawapataje
@fatmamajid7908
@fatmamajid7908 3 жыл бұрын
@@sabinaluyego4408 kwa whatsApp wanapatikana
@yasintaisaya6045
@yasintaisaya6045 2 жыл бұрын
Namba zao
@beijoozessence1048
@beijoozessence1048 5 жыл бұрын
Dahhh haah ukweli nimefuraishwa sana kwa kweli silent.oceAn mkombozi wa Mtanzania akiwa china ivi mbona muna moyo mzuri ivooioooo""live longggg
@internetmarketing2785
@internetmarketing2785 3 жыл бұрын
moyo mzur wakat wanapga pesa???
@pax-e1q
@pax-e1q 5 жыл бұрын
Nice sanaaa milad Endelea kutufunza vitu vizur
@nalyismail9915
@nalyismail9915 4 жыл бұрын
Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah
@fatmamajid7908
@fatmamajid7908 3 жыл бұрын
Group lipi ? Naomba kuona bidhaa zenu
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын
InshaaAllah allah atujaalie sote tunufaike na Silent ocean
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 11 ай бұрын
Wapo vzr na bei ni nzr na mzigo inachelewa.
@michaelngadi8178
@michaelngadi8178 5 жыл бұрын
Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo
@eminentmnzavas4463
@eminentmnzavas4463 3 жыл бұрын
Cheki video ya kwanza kuna phone number zao na web site yao
@dronemiguel2230
@dronemiguel2230 5 жыл бұрын
Kweli mnakiu ya habr hongereni sanaaaaa Kwa investment yenu
@JuliusTanzania
@JuliusTanzania 5 жыл бұрын
Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.
@djmossikahayodjmossikahayo8537
@djmossikahayodjmossikahayo8537 Жыл бұрын
Good News millard tv
@DumperClassic
@DumperClassic 6 ай бұрын
Safi sanaa
@salumsalum2901
@salumsalum2901 5 жыл бұрын
Hongereni sana silent Je kama niko zanzibar upo uwezekano wakunifikisha mzigo wangu hadi zanzibar
@ringotv4918
@ringotv4918 5 жыл бұрын
Salum Salum upo uwezekano mm mwenyewe naishi zanzibar naletea
@salumsalum2901
@salumsalum2901 5 жыл бұрын
@@ringotv4918 hapa zanzibar office ya Silent iko wapi?
@ringotv4918
@ringotv4918 5 жыл бұрын
Unafuata bandarini
@michaelmathew8309
@michaelmathew8309 5 жыл бұрын
Safi sna Millard Ayo
@sellah4603
@sellah4603 5 жыл бұрын
Millard Ayo kama uko nayee chin mwambie anifanyie mpango w canon uko nibei chee awake kwenye begi nitakuja mpoke 🤝
@moviesentertainment3953
@moviesentertainment3953 5 жыл бұрын
+8615571693022 to order
@lordrichreuben1446
@lordrichreuben1446 3 жыл бұрын
Safiiii mnatupatia vitu vizur
@elizabethkayinga1149
@elizabethkayinga1149 5 жыл бұрын
Duh hamjauliza hata bei labda tungepata ujasiri wa kwenda kuchukua mzigo China waandishi wengine bhana
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 5 жыл бұрын
Silent Ocean itabaki Kuwa Juu Kama Kamaida Tunakimbizaaaaa Mgaddam Mgaddam Nakuona Generally ukitoa Survey Unatishaaaaa
@ahmadiakili261
@ahmadiakili261 5 жыл бұрын
MillardAyo itabaki kuwa juu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
Hakika mmetusaidia sana kwenye hili safi sana. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@adelynemizengo1514
@adelynemizengo1514 5 жыл бұрын
Safi sana aisee
@MavaziClothing
@MavaziClothing 5 жыл бұрын
Wageuzieni kibao hao Jamaa ndiyo mtakuwa juu bongonians. Mkifuata maneno yangu mtakuja kunishukuru baadae.
@anoldamarini9788
@anoldamarini9788 5 жыл бұрын
Yupo vizur sana ok
@msambaone
@msambaone 3 ай бұрын
hakika nimefurahiwa sana, je? nikitaka kuagiza mzigo mdogo kwa mimi nisiye na uwezo inakuwaje?
@zuuothman9170
@zuuothman9170 5 жыл бұрын
Tuleteen na huku oman tunapata tabu sana tunaibiwa mizigo yetu haifik salama
@romzget1892
@romzget1892 4 жыл бұрын
mdada nakutafuta vepe whatsap ckupati ume change whatsap number me n jackson umenipata?
@secilialyimo6070
@secilialyimo6070 5 жыл бұрын
Nicee Ayo
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 5 жыл бұрын
Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 жыл бұрын
Silent Ocean na huko Dubai wapo kwa jina la KILIMANJARO CARGO
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 5 жыл бұрын
Ramadhan Nasibu naomba no zao
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 жыл бұрын
+971543478776/+971589399892
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 5 жыл бұрын
Ramadhan Nasibu shukran
@rafaeltem2525
@rafaeltem2525 5 жыл бұрын
Fatwima Makungu ndugu yangu niko Tanzania songea nafanya biashara naomba nisaidie natamani kuja huko
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 2 жыл бұрын
👍
@emyemy2229
@emyemy2229 4 жыл бұрын
Duu naipenda hivi bila kwenda inawezekana
@EphraimJoseph-zp1yi
@EphraimJoseph-zp1yi 8 ай бұрын
Naulizia kwa kontena Moja LA mzigo wanasafirisha kwa shingapi please nisaidie
@ماجكموزجوني
@ماجكموزجوني 5 жыл бұрын
Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job
@husseinheri4363
@husseinheri4363 5 жыл бұрын
Nimekubali
@salummuhija4435
@salummuhija4435 5 жыл бұрын
Ujawauliza bhana kuhusu gharama za malipo ya usafirishaji mzigo kutoka China to Tanzania
@heshimabigete
@heshimabigete 5 жыл бұрын
Content
@michaelngadi8178
@michaelngadi8178 5 жыл бұрын
Jaribu kumuuliza kama wanahusika na bidhaa katika sector ya kilimo na mifugo pleaz
@YonasKatabaz
@YonasKatabaz 5 ай бұрын
Natamani kuwa wakala wa kuuza magari kutoka china mnanisaidiaje
@aishaaisharagp9381
@aishaaisharagp9381 3 жыл бұрын
Jee kwawale waliopo Zanzibar wanafaidika vipi nahuduma hizi
@lidialameck5590
@lidialameck5590 5 жыл бұрын
Milard Ayo, hao silent ocean hatupati mawasiliano yao, maana hata ukiingia google haipati useful info, please tupe mawasiliano, tunawahitaji sana. Nice job
@jumachabai2874
@jumachabai2874 5 жыл бұрын
Lidia Lameck weka email yako nitakupatia mawasiliano ya wahusika
@hajikhatib8840
@hajikhatib8840 5 жыл бұрын
@@jumachabai2874 plzz me naomba hayo mawasiliano ya wahusika !!! Email.yng ni amour.turbo@gmail.com
@lidialameck5590
@lidialameck5590 5 жыл бұрын
@@jumachabai2874 pklameck@yahoo.com Ahsante
@hamzamussa8727
@hamzamussa8727 5 жыл бұрын
@@jumachabai2874 nitumie namba zao kazibureh@gmail.com
@fridafungo948
@fridafungo948 4 жыл бұрын
Lidia Lameck ingia Instagram silent ocean
@samirasleiman3508
@samirasleiman3508 2 жыл бұрын
Silent ocean mbona sim zenu hazipatikani?
@shabansalum9283
@shabansalum9283 5 жыл бұрын
ooohnimefurahisana
@gadafigadafi4464
@gadafigadafi4464 5 жыл бұрын
Broo tembelea Dubai kujuwa soko lale na urahisi wakazi zake asant
@abedkarume9088
@abedkarume9088 3 жыл бұрын
Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 5 жыл бұрын
Mashaa Allah yani
@jennykwayu7880
@jennykwayu7880 5 жыл бұрын
One day yes RIP my mother
@deking96
@deking96 5 жыл бұрын
Je? Naweza kuagiza mzgo bila kwenda uko na nikaupata mzgo
@romzget1892
@romzget1892 5 жыл бұрын
yes you can do without to go china
@pastorjacobgasper4645
@pastorjacobgasper4645 5 жыл бұрын
Romzget how?
@romzget1892
@romzget1892 5 жыл бұрын
@@pastorjacobgasper4645 0713089612 call or tsap for more bro
@hamzamussa8727
@hamzamussa8727 5 жыл бұрын
@@romzget1892 wewe unahusika silent ocean? ..nahitaji kuagiza mzigo
@romzget1892
@romzget1892 5 жыл бұрын
@@hamzamussa8727 No siusiki silent ocean sema uwaga nanunuaga vitu online mala kwa mala
@jibabahbah5188
@jibabahbah5188 4 жыл бұрын
Ningenda kupata no yako manager ahmed tamim pls nitafurahi sana nataka kuanza biashara
@arafakiloli749
@arafakiloli749 5 жыл бұрын
Nimejifunza. iposiku
@stellahmatondwa7168
@stellahmatondwa7168 5 жыл бұрын
Ifikie mda na ss tuexport na sio kuemport tu Ni hasara kubwa Kwa Tanzania
@mohamedsheealom8745
@mohamedsheealom8745 5 жыл бұрын
Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara
@massawejacob
@massawejacob 4 жыл бұрын
Naomba contact za huyu op manager hapo
@samueldavid5208
@samueldavid5208 5 жыл бұрын
Mbona me sielewi yaan gharama. Zao zipo vipi?
@zainabusaidi9500
@zainabusaidi9500 5 жыл бұрын
Kwa dubai mpo sehem gani na gharama zenu ni kiasi gani
@mwananchipress3569
@mwananchipress3569 4 жыл бұрын
Kumbe Tabia za makuli zinafanana tuu ahha matumbo wazi
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 2 жыл бұрын
Tunaomba namba
@augustinopanga9622
@augustinopanga9622 3 жыл бұрын
Ago ni TABIA GANI HIYO KUTUWEKEA CLIP YAO BILA MAWASILIANO YAO?
@kingjafu7759
@kingjafu7759 5 жыл бұрын
We jamaa Umekula shrimp 🍤
@umtweve4501
@umtweve4501 5 жыл бұрын
Laaa! Mchizi Wa kichina anabonga lugha nimependa hyo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ni Mtanzania huyo
@mwanaishamlima2047
@mwanaishamlima2047 4 жыл бұрын
no zao
@allymohd4884
@allymohd4884 5 жыл бұрын
Mtangazaji sauti inafanan na millard mwenyew au mdog wako
@taanimedia6489
@taanimedia6489 5 жыл бұрын
good work ayo
@eligiuselias4469
@eligiuselias4469 5 жыл бұрын
Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa
@eligiuselias4469
@eligiuselias4469 5 жыл бұрын
Na mawasiliano yangu ni eligiuselias1212@gmail.com
@rachelmjema2860
@rachelmjema2860 4 жыл бұрын
@@eligiuselias4469 hlw
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 11 ай бұрын
Ah usiamini mzigo bila sehemu kwenda mwenyeo.
@jibabahbah5188
@jibabahbah5188 4 жыл бұрын
Naomba no za simu zenu pls nataka kuanza biashara
@barakahchogo5533
@barakahchogo5533 5 жыл бұрын
Je ,wanaweza kumsaidia mtu kumnunulia mzgo
@nyangipatrick5665
@nyangipatrick5665 5 жыл бұрын
Naomba kupata namba zako ww mtangazaji mana nahitaj nikuulize vitu kadhaa plz naomba sana
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 5 жыл бұрын
Ndivyow Karibuni Sanaaa Silent Ocean
@maryamhussen4331
@maryamhussen4331 5 жыл бұрын
Tupatie nambq kaka
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 жыл бұрын
Tamim: +8615975300400
@maryamhussen4331
@maryamhussen4331 5 жыл бұрын
@@ramadhannasibu7753 asante
@umuvugaukurilaveritejustel2621
@umuvugaukurilaveritejustel2621 5 жыл бұрын
@@ramadhannasibu7753 viipi kuusu uagizajyi wa mzigo adi Burundi Bro ?!
@yasintaisaya6045
@yasintaisaya6045 2 жыл бұрын
Wengne mataleli humu
@MathiasLukanda
@MathiasLukanda Жыл бұрын
Watukumbuke na watu wa Egypt hata mara 1 kwa mwaka
@isackcharles3310
@isackcharles3310 4 жыл бұрын
Nitumie no ya mmoja mtz
@muharamkigogo2955
@muharamkigogo2955 5 жыл бұрын
Hivi miladi ayo tulizie kiasibganinkusafirisha mzigo au garama zao
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 4 жыл бұрын
Niko senegal vipi wanatuma mzigo west africa au east africa tu
@kingaweys
@kingaweys 4 жыл бұрын
Kumbe kuna wacheina wabeba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaaisharagp9381
@aishaaisharagp9381 3 жыл бұрын
Sasa mmnatamani kufanyahio biashara nahitaji niwenakiasi gani kwaajili hakutuma hela bilayamm kufika namba ya cimu yahuko naomba jamani
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын
Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean
@rukiyahussan4190
@rukiyahussan4190 5 жыл бұрын
Naomba unisaidie namba ya uyo meneja
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 жыл бұрын
Tamim: +8615975300400
@atubeka9317
@atubeka9317 5 жыл бұрын
safi
@juliusringo2493
@juliusringo2493 5 жыл бұрын
Millard Ayo tutafutie contact za kuwasiliana na Ahmed Tamim
@mywater6796
@mywater6796 5 жыл бұрын
wanatuma na accessories kama simu na laptops tusaidie na address yake au wechat
@moviesentertainment3953
@moviesentertainment3953 5 жыл бұрын
+8615571693022
@keagleeagle821
@keagleeagle821 5 жыл бұрын
Daah so sad tumeshindwa kushona nguo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Huwezi fanya vyote,material hatuna
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 жыл бұрын
Huyu anaongea kam ayo
@burudani9901
@burudani9901 5 жыл бұрын
Wanatumia app gan
@rajabuhassani4504
@rajabuhassani4504 4 жыл бұрын
Ayo bwana we acha 2
@davisamark8515
@davisamark8515 5 жыл бұрын
Tunapataje mawasliano ya cm ili tuweze kuwatafuta hiyo kampuni
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 жыл бұрын
Tamim: +8615975300400
@wizydeko1496
@wizydeko1496 5 жыл бұрын
Makuli adi China waapo sio poa
@petermarco9559
@petermarco9559 5 жыл бұрын
😁😁😁
@wizydeko1496
@wizydeko1496 5 жыл бұрын
@@petermarco9559 awee acha tu
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
Njaa iko kila sehemu duniani
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 5 жыл бұрын
We Unajua China Ndio Yenye Population Nyingi Duniani Asa Hao wote wawe Matajiri Mhhh! 😂
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Wizy Deko
@juliusringo2493
@juliusringo2493 5 жыл бұрын
Ahmedi Tamim niapatie contact yako
@nuhurajai1992
@nuhurajai1992 5 жыл бұрын
Miladi acha ubaili ongeza bum kule ili Mambo yaende sawa bin sawiya
@hamadndege9016
@hamadndege9016 5 жыл бұрын
Galama za usafirikwenda na kurudi pesa NGAPI za madafu nataman kufika
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 11 ай бұрын
Weka milion tano kwenda juu mbali ya mzg maana tiket huwa inafika mpk milion tatu kupanda na ikate tiketi mapema huwa bei inashuka
@walterswai6829
@walterswai6829 5 жыл бұрын
Kama nilivyokwambia
@stevngota1038
@stevngota1038 5 жыл бұрын
Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup
@islamubakarpba9561
@islamubakarpba9561 5 жыл бұрын
Huyo meneja ni wawapi mbn anaongea kipemba
@salumjadi4938
@salumjadi4938 5 жыл бұрын
Pemba sio ktk Tanzania ????
@jumbeink3173
@jumbeink3173 4 жыл бұрын
Mtu wa songea huyo
@yasinhamis7060
@yasinhamis7060 4 жыл бұрын
Nivizuli
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
WHAT ABOUT SENDING TO KENYA
@moviesentertainment3953
@moviesentertainment3953 5 жыл бұрын
+8615571693022
@hassanpyallah8750
@hassanpyallah8750 5 жыл бұрын
Kwann weng walio uko ni waislam
@christianalex341
@christianalex341 5 жыл бұрын
Itabidi nije huko nitafute kibarua hata cha kusafisha godauni
@hamadndege9016
@hamadndege9016 5 жыл бұрын
Hoyamirad badojapan
@rozmihambo1935
@rozmihambo1935 4 жыл бұрын
Tuko njiani
@lawrencejohnson5537
@lawrencejohnson5537 5 жыл бұрын
Mko vzr kaka
@ranger_2134
@ranger_2134 5 жыл бұрын
Mnipe ata kitengo kam iko Ayo
@ranger_2134
@ranger_2134 5 жыл бұрын
Nakbal san AyO tv
Bagamoyo Sugar || Kiwanda cha sukari cha Said Salim Bakhresa
18:31
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
USIWACHUKULIE POA WAMAMA WA KITANZANIA WAKIWA CHINA
11:23
Millard Ayo
Рет қаралды 24 М.
WATANZANIA WANAZIDI KUZIPAMBANIA FURSA WAKIWA CHINA
17:01
Millard Ayo
Рет қаралды 53 М.
Jinsi Silent Ocean Ilivyoanza ( With Our CEO - Salaah S. Mohammed )
8:01
Silent Ocean Limited
Рет қаралды 12 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН