KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...

  Рет қаралды 14,808

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...
Kijana wa kitanzania Gadios Mangani ambaye amewahi kutengeza mashine ya kujifukiza(Sanitizer), amekuja na ugunduzi mpya baada ya kutengeneza mashine ya kutengenezea mipini ya jembe na mop za kufanyia usafi.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 110
@khatibabdi
@khatibabdi 3 жыл бұрын
Huyu jamaa hodari sana. Namkumbuka kipindi cha korona na uvumbuzi wake
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 3 жыл бұрын
Unajitahidi Sana Mungu akuwezeshe zaidi. Kweli pengine Tanzania hamna lkn nchi nyengine zipo. Maendeleo ni mazuri sana
@clementmsenga2485
@clementmsenga2485 3 жыл бұрын
safi sana big up mzee usikate tamaa jina lako litaandika historia kwenye kitabu cha mama Tanzania
@jellysonmsokele4188
@jellysonmsokele4188 3 жыл бұрын
Hakika Mungu anataka kututumia watanzania,Mungu akujalie na vingine pia,nanikupongeza kwa uzalendo Wa kuandika kwa lugha ya kiswahili
@brithonmjema2833
@brithonmjema2833 3 жыл бұрын
Kwa sisi tunaojua mambo ya teknolojia huyu jamaa anauwezo mkubwa sana sio wa kumbeza,na tukichelewa wenzetu watambeba,hongera broo big up.
@chikunijunior9362
@chikunijunior9362 3 жыл бұрын
'Our future is a race between the growing power of technology and the wisdom with which to use it'
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 3 жыл бұрын
Hivi hawa jamaa wa COSTECH hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii jamani!🤔
@chikunijunior9362
@chikunijunior9362 3 жыл бұрын
Big up sana kazi nzuri,.ndoto kubwa,.tuchangamkie fursa kwenye huu ulimwengu wa teknolojia👌
@jeannemaya2539
@jeannemaya2539 3 жыл бұрын
Mungu akulinde naujilinde, usiwafiche vijanawako ujuzi ndio maendeleo usifanye ubinafsi,sababu iyo ndio inayo fanya kutoendelea,kwaiyo Mungu kakupa bure nawe towa bure
@eliasmahenge9919
@eliasmahenge9919 3 жыл бұрын
Broh nakubari maneno yako CNC machinel ni ghali sana
@gaudenceassenga1900
@gaudenceassenga1900 3 жыл бұрын
Hiyo car wash ni noma sana. Mkurugenzi wa jiji fanya haraka mpe eneo fasta
@abuumariam2259
@abuumariam2259 3 жыл бұрын
Serikali imuangalie huyu jamaa imuwezeshe kufanya mambo makubwa.
@emmanuelmnzava7159
@emmanuelmnzava7159 2 жыл бұрын
Nakupongeza Sana kijana wangu. Tuko pamoja. Zao la Wilaya ya Mwanga. I feel proud
@jellysonmsokele4188
@jellysonmsokele4188 3 жыл бұрын
Serikali muunge mukono jitihada hizi,watanzania wameanza kuonyesha mambo.
@joycemwanga226
@joycemwanga226 2 жыл бұрын
God bless you more my brother
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mbunifu wa vitu vingi sana kipindi cha corona alibuni mashine ya kupima corona na sasa hivi kaibuka na chengine
@harounali9057
@harounali9057 3 жыл бұрын
Napenda kumpongeza kwa kazi nzuri ulio ifanya hongera sana. Mimi kama mimi najiuliza hapo kuna sharft mbili za Aluminium hapo hizo tu ndio zime nipa masuali aliwezaje kuzichonga mpaka zikafikiya kiwango cha kuzifumga hapo. Itakuwa huyu mtu ana akili sana. Kuvumbuwa kitu kwa akili yangu huwa ina nambia kuwa: 1) Ufikirie Vipi una taka kiwe 2)Uweke michoro yake. 3)utafute material chuma, bati na waya uje uzi unganishe itimie kuwa mashine sikazi ndogo. Hongera sana kijana wa ki Tanzania 🇹🇿
@Itarusii
@Itarusii 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu.
@gibsonkitwaro953
@gibsonkitwaro953 3 жыл бұрын
Waziri wa viwanda unasubiri nini Kutengeneza Taasisi ya watu wabunifu kama hawa tupate kuongeza uzalishaji tuifikie ndoto ya Raisi wetu mtukufu ya kufanya TANZANIA ya VIWANDA.?
@gildopitapita1383
@gildopitapita1383 5 күн бұрын
Kazi zuri
@damalisjonathan8070
@damalisjonathan8070 3 жыл бұрын
Hiyo ndio Tanzania ya viwanda mungu akuongoze uzidikufanya vikubwa zaidi ya hivyo broo
@morjanoman5181
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Ongera sana kwa ufumbuzi huu mimi naona wezetukuna mashine au jembe linasehem ukibonyeza unalima bila kutumianguvu naunawezalima kw sk ekamoja
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 жыл бұрын
Hongera sana Huo ndio UBUNIFU inatakiwa Mungu akutangulie Na ufanikishe malengo yako
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 3 жыл бұрын
Vizuri sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 3 жыл бұрын
Mashaalha kaka.mungu akusimamie
@sultansaid992
@sultansaid992 3 жыл бұрын
Nakukubali kakamkubwa hongera sana
@rizikimvungi5262
@rizikimvungi5262 3 жыл бұрын
kiongozi nayaona mambo yako nimakubwa sana mungu azidi kukutangulia sana kwenye kipaji chako,mm nakujua ukiwezeshwa hata ndege unaweza kutengeneza.
@eliasmahenge9919
@eliasmahenge9919 3 жыл бұрын
Broh inabid siku moja tupate nafas tukamshaur raisi juu ya CNC machinel
@kitogowakitogo9206
@kitogowakitogo9206 3 жыл бұрын
Safi sana!
@barakangahala2914
@barakangahala2914 3 жыл бұрын
Umetisha bro
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 3 жыл бұрын
Umetisha
@arnoldkimaro3887
@arnoldkimaro3887 3 жыл бұрын
Hongera kijana Mtanzania
@issaibrahim5319
@issaibrahim5319 3 жыл бұрын
Upo vizuri sana jamaa
@nautharinalapa5107
@nautharinalapa5107 3 жыл бұрын
We noma kaka
@kondehistory6283
@kondehistory6283 3 жыл бұрын
How much for that
@adamdeus6015
@adamdeus6015 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hiyo
@emmanuelmnzava7159
@emmanuelmnzava7159 2 жыл бұрын
Mimi Mchungaji wako. Mungu azidi kukuinua
@kato_tz
@kato_tz 3 жыл бұрын
Brother ubarikiwe sana, nakukumbuka kipindi cha corona ulitengeneza mashine ya korona
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 жыл бұрын
Kweli kijana una uwezo! Mungu azidi kukuwezesha kwa uwezo ulio nao.
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 3 жыл бұрын
WATU KAMA HAWA NDO WANATAKIWA KUPEWA SUPPORT NA SERIKALI ILI AFANYE MAMBO YA UBUNIFU YASIYO YA KAWAIDA. HONGERA SANA
@emmanuelowiti8217
@emmanuelowiti8217 3 жыл бұрын
Mungu ampe maono mengine mengi ya kibunifu,na siku moja aje na mashine za kutengeneza nguo.
@mohamedmustafa278
@mohamedmustafa278 3 жыл бұрын
Hongera saana, naomba nikumbushe kile kiwanda cha MANG'ULA habari zake zikoje !! Haya ndo mabo ! jamani. Kile kiliandaliwa kwa ajiri ya kuchonga vipuli vya machine mbalilimbali. Tanzania kuna baadhi yetu ni VICHWA ambavyo vinahitaji kuwa supported.
@festochinyele1477
@festochinyele1477 3 жыл бұрын
Nimeguswa sana kwa kweli jamaa yupo vzr sana pia ana uzalendo ndani yake kwahyo tunaomba serikali imshike mkono na wengine watajitokeza kwa wingi yan huyu jamaa n zaidi ya dhabau endapo serikali itachukua hatua za kshika mkono
@mshindikaheza8281
@mshindikaheza8281 3 жыл бұрын
Niwaombe global tv kitu kimoja tu ,,,emu muunganisheni serilalini ili wamjue ,,inshallah huyu jamaa anaweza sana
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Ukimpeleka mjanja kwa wapumbavu watamuua
@adamdeus6015
@adamdeus6015 3 жыл бұрын
Safi sana huo ndio uzalendo tunaotaka ili nchi isonge mbele
@nautharinalapa5107
@nautharinalapa5107 3 жыл бұрын
Nenda maeneo yenye wakulima Kama mtwara itakua vizuri zaidi au vep jaman
@zefamange7281
@zefamange7281 3 жыл бұрын
HONGERA WATANZANIA WAZARENDO, JPM JUUU
@adamtzmbogo1694
@adamtzmbogo1694 3 жыл бұрын
Wachaga bwana.....minikiingiaga dukani nikigundua muuzaji nimchaga tu. Naohopaga kupigwa kitu kwabei juu kitu kinauzwa elf 5 ukinwambua nipunguzie anakwambia yani hapo faida yangu nimia5 tu babangu.
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 3 жыл бұрын
Napenda sana kuona watanzania wenzangu wawe kama huyu jamaa lakini je hayo matrio ya hizo machine zimetengenezwa wapi? Au ni kama ilikuwa ni machine ya kusaga mahindi ikabadilishwa mwelekeo au wametengeneza wao wenyewe chuma kimoja kimoja?
@reginautou4163
@reginautou4163 3 жыл бұрын
Hapo ni chuma kimojakimoja hakuna mashine iliyobadilishwa ndugu yangu
@temkezatv4381
@temkezatv4381 3 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@meshackmwilongo9793
@meshackmwilongo9793 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kipaji Hazina ya nchi Anastahili recognition and backup
@michaelzunzu8126
@michaelzunzu8126 3 жыл бұрын
UK kuna kipindi chinachoitwa "Busses Angles" yaani watu wenyepesa kukutana na watu wenye ideas za business au ufumbuzi, wanatoa maelezo ya biashara yake anayoiwaza wakiona inafaida wanajafiliana na mtu anayebuni biashara au uvunjifu wa kifaa, mashine, na jamaa wanajitosa ku finance hizo shughuli kwa makubaliani wataksuoyafikia.
@caristomwango937
@caristomwango937 3 жыл бұрын
Am zambian nimevutiwa sana.nakuja kumuona uyu jama.
@damalisjonathan8070
@damalisjonathan8070 3 жыл бұрын
Wew unaesema carwash kwenu ipo kwani mwenzetu unatokea nchi gani maana hapa tz sijaiona
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 3 жыл бұрын
Ni wazo zuri sana, kwa sababu unapobuni teknolojia moja inasababisha uwe na uwezo wa nyingine kubwa zaidi! Ila niwafahamishe tu kwamba mwishoni mwa miaka ya tisini palikuwa na car wash automatic pale Magomeni mwembe chai, kwenye sheli ya jamaa wa super doll, kwa sababu hiyo hii haitakuwa mpya kwa Tanzania. Hebu nisaidieni ninyi mnaojua, hivi COSTECH(TUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA) hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii?
@mtindamtinangi346
@mtindamtinangi346 3 жыл бұрын
Sasa hapo ndokatengeneza wapi au kaagiza toka nje
@annakisiga889
@annakisiga889 3 жыл бұрын
Hiyo mashine yakuosha bila mtu ipo China Africa hakuna
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Uyu jamaa nahis sio kizazi cha Tanzania hii bara la Giza,,. Lakin serikali zetu sijui kwanin hainaga time kuboresha vya nyumban na kuunda product zitangazwe
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 3 жыл бұрын
Broo angalia serikali isije ikakupoteza maana ukigundua kitu wanakuuwa, maana hata mm nnauwezo wakubuni mavitu kibaao ila sifanyi maana naogopa kupotezwa, (sema mm huwa nabuni vitu vya hatar , (silaha) kwahi nimeona bora niendee na mambo yangu kuliko kupotea
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Pongezi kwa ubunifu na usanifu. Hakika una hadhina ya uvumbuzi mara ya kwanza kukuona ilikuwa wakati ule wa Corona, japo mataifa mengine bado wanaimba huu wimbo wa Corona. Tumshkuru Mungu kwa kutuvusha kupitia uongozi Bora wa Jpm.
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Safi sana Ila please achana na story za wakurugenzi wa jiji au serikali, you have a brain brother sasa deal na bankers wakupe loan ufanye vitu vyako au watu binafsi wanaotaka kuwekeza na wewe...sahau serikali hawana msaada wote watakurudisha nyuma tuu
@therealomisakulu5416
@therealomisakulu5416 3 жыл бұрын
Huyu jamaa atanzania wasipomtatia kazi wazungu watamchukua baadaye tunakuja kujuta
@DanielNelson-oq5qs
@DanielNelson-oq5qs 6 ай бұрын
Tanzania kunawatu tunaweza ila hatuwezeshwi
@adamdeus6015
@adamdeus6015 3 жыл бұрын
Ushauri wangu vitu vyote anavyobuni vipewe jina lake ndio wazungu wanavyofanya hivyo ili kuweka kumbukumbu ya jina lake,kama unavyosikia majina ya matreka Massey furggason ni majina ya watu hayo
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 3 жыл бұрын
Umefanya kazi nzuri sana. Ila ukisema hakuna nchi yoyote ambayo ina car wash ya kujiendesha yenyewe si sahihi. Zipo car wash za kisasa sana.
@reginautou4163
@reginautou4163 3 жыл бұрын
Umesikiliza kipande au hujamuelewa
@faithngasoma6733
@faithngasoma6733 Жыл бұрын
Mm nahitaji mipini.ya moop.3/4
@faithngasoma6733
@faithngasoma6733 Жыл бұрын
Nitapata
@BarakaMentorship
@BarakaMentorship 3 жыл бұрын
Twende taratibu, kavumbua kweli au ni kitu toka nje?
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Uyu jamaa ni genius kupita kiasi.. tatizo nchi hii ndio tatizo.. mzungu mweusi
@raykas9976
@raykas9976 3 жыл бұрын
Sasa mkurugenzi namba mpeni huyo Gadiosi nafasi hiyo stand mpya.
@user-vl9uw4tu4n
@user-vl9uw4tu4n 10 ай бұрын
Jamaaa ni ginius wa hatari duniani sio Africa tu duniani ni watu wachache serikari mpeni nafasi jamaaa afanye maajabu
@bonnytvchannel4807
@bonnytvchannel4807 3 жыл бұрын
Uwanga zijutiangi kumaliza bando langu kuangaliaga vitu kamaivi
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 3 жыл бұрын
Mipini ya majembe!!! Kumbe jembe la mkono bado linaenziwa!!
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 3 жыл бұрын
Tanzania Bado jembe linadili maana technolojia ya matrekta Bado pia kiufupi Bado sana ko jembe Bado tunalo na lipo sana
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 3 жыл бұрын
Nimeridhika na ubunifu kwanza unakisi harakati zetu za uzalishaji. Ningekuwa raisi ningekupa zawadi nono sana
@missmoona4497
@missmoona4497 3 жыл бұрын
Usiseme hakuna nchi iliofanya carwash kama hiyo nchi zenye uwezo wake ndio zinatumia hizo uzisemazo, mzee bb ni semetu hongera kwa mashine ya mipin
@gibsonkitwaro953
@gibsonkitwaro953 3 жыл бұрын
Angeangalia hata final destination kuna car wash ya ivyo...
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Umefeli kumuelewa, amesema kwa Afrika, wacha kudandia vitu kwa mbele
@emanuelmgote5957
@emanuelmgote5957 3 жыл бұрын
Huyu jamaa mzalendo,anahitaji kuungwa mkono.
@cashone988
@cashone988 3 жыл бұрын
Dah naskitika yuko nchi isojali vipaji masikin
@mohamedbohari7236
@mohamedbohari7236 3 жыл бұрын
Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za rais wetu mpendwa JPM?
@adamdeus6015
@adamdeus6015 3 жыл бұрын
Watanzania tunaweza sio wazungu tu
@victorwanzagi6417
@victorwanzagi6417 3 жыл бұрын
Kuna mtu anauliza eti huyo ni kijana kweli? 😅😅
@adamdeus6015
@adamdeus6015 3 жыл бұрын
Serikali isiwabanie watu kama hawa ndio uchumi wetu unavyokuwa hivyo
@jovinjulius9852
@jovinjulius9852 3 жыл бұрын
Mashine nzuri lakini hajazingatia kuweka emergence stop 🛑 switch na ku cover rotating parties
@clifordmsongole1134
@clifordmsongole1134 3 жыл бұрын
Wewe huna cha kukosoa hapo
@denismassawe9255
@denismassawe9255 3 жыл бұрын
Kila kitu ni taratibu bro hata ndege ya kwanza kuruka ilikua hovyo sio kama za leo
@halidiomari1377
@halidiomari1377 3 жыл бұрын
@@denismassawe9255 its true bro.
@abdilehussen2123
@abdilehussen2123 3 жыл бұрын
Mimi naona wangebuni kitu cha maana
@afrohomeofsuccess2359
@afrohomeofsuccess2359 3 жыл бұрын
Buni bas na wew icho cha maana
@erickwanjarajr5707
@erickwanjarajr5707 3 жыл бұрын
Ubunifu kama uhu ndiyo unatakiwa
@othmanally1230
@othmanally1230 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 safi Sana
@ziongate5464
@ziongate5464 3 жыл бұрын
Ndugu wewe ni mtanzania mwenye akili sana na watu Kama nyinyi ni vizuri kuomba nafasi ya kukutana Na Raid JPM na kuzungumza ma swala ya maendeleo hizo ndizo akili za mtanzania na siyo ku kaa kwenye mitandao na kuongea utumbo tu eti serikali ya Magu haijafanya kitu
@msingida33
@msingida33 3 жыл бұрын
huyu jama kaunganisha tu lakini siyo kagundua , kuwa tu mkweli hii mashini niliiona kwa wachina web site Aliexpress, kwa hiyo hakuna alicho gundua bali kaunganisha
@reginautou4163
@reginautou4163 3 жыл бұрын
Hivi unamjua huyu jamaa au ni marayako ya Kwanza kumuona kwenye mtandao?
@msingida33
@msingida33 3 жыл бұрын
@@reginautou4163 alitakiwa aonyeshe kuanzia alipoanza kuiunda hapo ndipo naweza kumuelewa, lakini hata kama kaunda bado nampongeza sana tu kwa juhudi yake
@saidsalim8079
@saidsalim8079 Жыл бұрын
sizani kama analala huyu mwamba
@saheedali7467
@saheedali7467 3 жыл бұрын
Hiyo carwash unayo Sema huku kwetu ni vitu vya kawaida brooo
@clifordmsongole1134
@clifordmsongole1134 3 жыл бұрын
Kwenu wapi ?
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 3 жыл бұрын
Kakojoe ulale
@gjdvdksjs5960
@gjdvdksjs5960 3 жыл бұрын
@@clifordmsongole1134 Dubai
@hamzamwilaphy2902
@hamzamwilaphy2902 3 жыл бұрын
Huyu atakuwa Mkenya mmjaa wivu
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 3 жыл бұрын
Safi sana.... Kijana
@mohamedbohari7236
@mohamedbohari7236 3 жыл бұрын
Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za Rais wetu mpendwa JPM ?
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
ZIFAHAMU MASHINE ZITAKAZOKUWEZESHA KUTENGENEZA FAIDA KWA MWAKA 2023
15:19
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 379 М.
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 780 М.