Jikaze mwanaume hakuna kisichokuwa na mwisho. Kuuza Figo Ni ufinyu wa kufikiria, mlilie mungu, fanya kazi Kwa bidii Amini kabla ya mwaka huu kuisha Utayashinda.
@joycemkeka37696 ай бұрын
🙏🙏
@deogratiusyudatadei56586 ай бұрын
Hakijakukuta ww shida isikie kwa mwenzio asilimia 90 sisi binadamu tunaingia kwenye viapo na kila kiumbe Kama uchawi au kuuza madawa nikwa sababu ya maisha magumu
@DavalsonMarlony6 ай бұрын
acha kbonga ovyo Mt kapta na mlion kazaa syo kt cha kawaida kwanza pongez kwake ad Sasa yupo hai
@LucyCornery6 ай бұрын
Kabisaaa@@deogratiusyudatadei5658
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Kikubwa hapo mim naona achangiwe tu ili aondokane na maden na changamoto za maisha
@hadijauledi69956 ай бұрын
Haya maisha ni bora uliye njaa kuliko madeni kakaangu pole sana mwenyezi mungu atakufanyia wepesi ila maisha magumu sana sana huku uswahilini tupo ishi watu kibao wanalia njaa maisha magumu sana sana 😭😭😭😭
@juliusdonard9336 ай бұрын
Kulia huyu n ishara tosha maisha n magum kwa sasa jaman daaaa mungu atulinde kipindi hikii kigumu
@MerryRenatus-ck4lz6 ай бұрын
Amina😢
@daudimwidimakihanda53866 ай бұрын
Huyu jamaa namjua nilikua namuona, napishana nae kama anapitia haya kweli mungu amsaidie.
@marrykanyipa96996 ай бұрын
mm pia cjui nilimwona wap sura si ngen
@HalimaSalehIssa6 ай бұрын
@@marrykanyipa9699huyu ni msanii wa komedi
@EddahBure-te7ft5 ай бұрын
Msanii uyo @@marrykanyipa9699
@saididodi39886 ай бұрын
Usikate tamaa mungu yupo pamoja nawew utafanikisha malengo yko Ila usiuze figo hatar sana
@saimonwantango95696 ай бұрын
Mzee makulusa pole sana,na wanawake wa kuokota okota wa mjini ni shida hawataki kuona hela ndo maana baadh yao hawafai hata kuomba ushauli,
@lameckaloyce16156 ай бұрын
Pole sana bwana makulusa Mungu akutie nguvu uanze upya
@samwelnaal79526 ай бұрын
Napata huruma ila nimegundua mshikaji hana plan za maisha....mil 20 ndo pesa pekee uliyonayo lakini unataka kununua gari....hauko serious kwa kweli Then una 37 bado unalalamika huna wazazi! Hata wangekuwepo ungewategemea? Hii siyo sawa kwake Anahitaji kubadili mtazamo wake kuhusu maisha
@israelkisaila84016 ай бұрын
Hakika kuna shida kwenye mtazamo wake miaka 37 unatakiwa uwe full independent aise
@damariszuckschwert94896 ай бұрын
Umeongea kama watu mia
@jamilajamila45726 ай бұрын
Aisee wanawake wengine mtian pole sana
@siriyangu47246 ай бұрын
Subhana Allah chozi hilo uyo mwanamke ajirundi tu coz dunia duwara
@JonathanNelson-l8h6 ай бұрын
Chifu mi nadaiwa balaaa na sijakata tamaa na naamini Mungu anatupenda na atatusaidia kuvuka.....mawazo uliyofikia ni umeruhusu akili yako kufika mwisho... Jikaze hakuna gumu linalodumu( ALAFU BORA WEWE UNADAIWA HUKU UMENENEPA MI MWENZIO NADAIWA NA NIMEKONDA😢😢)
@DativaMbowe2 ай бұрын
😢😢😢😢 pole
@marychuwa81596 ай бұрын
Nakuelewa Kaka😭😭😭natamani sana Walichofanya kwa ajili ya fomu ya Urais basi tusaidiane kwa watu kama hivi
@allybinnseif18166 ай бұрын
Mwanamke kumbe hakuwa wa ndoa mmeokotana tuu mitaani mkawa mnazini mbaya zaidi unamuachia pesa zoote hizo utadhani kwao wanakutambua Poleee Sanaa rejea kijijini ukaanze kulima utapata pesa za kulipa madeni na mambo mengine
@hanifa91536 ай бұрын
Ni tabia mbovu sana kwa watu weusi kuishi bila ndoa imekua kitu cha kawaida innalillah wainna ilayh rajioun😢😢😢
@annaezra23446 ай бұрын
Jamani mungu akusaidie kaka, lakini pia wanaomdai huyu tumsamehe tu hatutapungukiwa
@user-cd6yy3pz9w6 ай бұрын
Nkwely
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Sana na Mungu atawaxidishia
@RabiaIddi-ci2uz6 ай бұрын
We kuweza?
@daudimwidimakihanda53866 ай бұрын
Comment Ina nguvu sana hii
@sadikiissa77566 ай бұрын
Sahihi.
@fadhilmandaliabdalla67366 ай бұрын
Pole saana, Allah akuruzuku kikubwa zaidi ya ukichokipoteza inshaallah, ila pesa milion 20 kweli unashindwaje kuweka Bank, hata iwe mnamipango ya biashara! Huo ni uzembe tosha bro. 😢
@DavalsonMarlony6 ай бұрын
usiongee ivyo man unaweza ukamuamn mkeo ndyo akakzr
@ommimg24676 ай бұрын
Ni darasa unapita ili uache kuwa kilaza bank zote zimejaa, vyanzo vyote hivyo unaenda kumpa mwanamke hela yote! ila kwasasa huwez kushaurika tukio ushapigwa tyr, ila inshu ya wazazi achana nayo kbs we umeshazeeka
@user-bh1sy9ox9w5 ай бұрын
Kabisa mzee
@halimasawa6116 ай бұрын
Wekeni numbr tuchangia 😢😢Allah akutaksdiaa kakngu
@Boniphaceshayo56 ай бұрын
Kweli 😢
@cosmaslunyembeleka2516 ай бұрын
Inavoonesha uyu jamaa anashida kubwa sana Naweza kushilikiana naye kubadilisha mtazamo. Naomba tushilikiane jamani kumnusuru uyu jamaa hata kwa miatano miatano tu atapona. Aweke namba yake tumchangie chap. #Tanzania is for real Love.
@mwarabuofficial52416 ай бұрын
Makulusa miaka 37 unasema huna baba wala mama huko ni kutia huruma sasa mtandaoni maana hata wangekuwepo wewe bado ungekuwa ndio msaada wao mkubwa maana wangekuwa tayar age agooo! All in all huyu mwamba asaidiwe jmn pia Tz ni nchi ya watu wenye huruma sana ukiachana na watu kila jambo kuchukulia utani ila hii talent tusiipoteze asaidiwe kwa namna yoyote ile iwe kwa kupewa misaada au kupewa kazi mean aajiliwe.
@LeilaWilfred-zc7gn6 ай бұрын
Hakikaaa
@Sisopotashiumz6 ай бұрын
Anzaa ww!
@HamisMghuna-fj3vz6 ай бұрын
Allah akusitiri hilo ulokaa nalo n jizi Pole,jipange, Mzee baba cm haipatikani, jipange,
@beratsanoo57784 ай бұрын
Mungu atakutia nguvu ndugu yangu,Kuwa na Imani,Na pole sana.
@maimunaulotu20756 ай бұрын
😒😒😭😭mpka Mwanaume analia hivi dah😪😪😪😪so sad
@RickshabyVlogs6 ай бұрын
Mlaini huyo si aje migodini kwenye kazi za kiume hata aibu hana alitumwa ampe huyo dem wake
@user-tg2mn3xu1y6 ай бұрын
Nyinyi wanawake ndio chanzo
@tinnahagustinolyelu42476 ай бұрын
Jamani mnaomdai msameheni lakini unauza figo unajua afya yako inaruhusu kutoa figo jamani mwee hapana kaka omba msaada mwingine sio kuuza viongo vyako uwiii naogopa mweee
@omanoman20446 ай бұрын
Wanawake wallah machozi yamtuy ambae ka dhulumiw unaweza pata mtihan san unaweza kupata shida san
@linnusaloyce65596 ай бұрын
Haya maisha magumu sn ndg zangu ukicheki heka heka za kifamilia bora mtu kujitoa muhanga ili kupushi familia mimi mwenyewe nikipata mteja wa figo nauza nibadili upepo wa maisha ya familia yngu
@aminakipande56456 ай бұрын
Hata mm jman nimechoka nam haya maisha
@arafakiloli7496 ай бұрын
Subhanallah pole sana ALLAH akufanyie wepesi.
@RickshabyVlogs6 ай бұрын
Uliwekewa dawa hadi ukampatia mwanamke pesa duuh pole sana
@ziggertv31856 ай бұрын
Hapo sasa yani angenunua kiwanja saiv asinge waza sana
@Ambeniwatano6 ай бұрын
Bandugu acha hakili nyepesi kudaiwa ni jambo la kawaida kwa kuwa wanao kudai ni binadamu si unawambia tu una muona mungu mjinga kuweka Figo 2 mdaiwa afungwi
@salekhvidal83466 ай бұрын
Ungekuwa ww ungeweza kumvumilia na jua ili
@azuma71666 ай бұрын
Na wenye matatizo ya Figo na wenyew pia wanahitaji
@Ambeniwatano6 ай бұрын
@@azuma7166 kiungo alichokujalia mwenyez mungu ni halamu kuudha ni Halali kusadia Bure kwa binadamu mwenzako rejea watu waliuza Figo Leo wana Nini?
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd6 ай бұрын
Hama huko na ukatafute maisha sehemu nyingine. Kuuza figo sio suluhisho la kutatua hizo changamoto, hata ukiuza bado unaweza kujisababishia kifo na hizo pesa zisikusaidie chochote
@asiahamis78936 ай бұрын
Kaka ang naomba usifanye kitu km hicho fanya kaz kwa nguvu zako zote achana na hilo ndugu yang
@merckmdamu29426 ай бұрын
Jamani tukiwa mjini maisha yakatushinda njooni mashambanihuku kujitafuta tena😢😢
@kingmsanya35246 ай бұрын
Uko sahihi
@hajially45276 ай бұрын
Heheheee fingo elfu 7 watu wadharau
@noelphilipmollel63556 ай бұрын
Tuache maigizo.....lengo la hiyu jamaa lilikuwa lipi kuchukua hela kwa watu tofauti tofauti kwa kiwango cha laki mbili hadi tatu mpaka kufikia milioni 12? Inamaanisha hakuwa na mpango au mkakati nazo. Hapo anatafuta huruma kwa watu....aseme tu alikuwa na matumizi makubwa kumuhudumia mwanamie na ndio sababu iliyomfanya akope kwa hao watu.. pengine alitaka kumuaminisha mwanamke anauwezo wa ki super star ukizingatia yeye ni muigizaji...haya sasa mfano angenunua gari ikapata majanga au angefungua biashara ikafa je, asingelipa hela za watu? Asikwepe wajibu wake.
@AzzatyAbdallah6 ай бұрын
Acha kujifanya unajua hata wewe unahitaj watu ili kuishi... Litakurudia kwa nduguzo
@noelphilipmollel63556 ай бұрын
@@AzzatyAbdallah hongera na wewe kwa kujua maisha ya pande zote
@UPAKOMINISTRYTV6 ай бұрын
Ee mwenyezi Mungu mruhumie mja wako uyu hakika ukiona mwanaume analia ujue ana wakati mgumu sana uyo mwanamke machozi hayo hayatamuacha salama
@lyrics_forum6 ай бұрын
Huyu Jamaa kama niliwahi kumuona Akiigiza na Timamu Comedy.
@marrykanyipa96996 ай бұрын
ni kwel
@user-cg1vd5jr8t6 ай бұрын
Mdaiwa hafungwi kaka maisha hayaitaji unyonge jua tu mjini hapa anaekudai nae anadaiwa
@hajially45276 ай бұрын
Huyu nimsanii sasa hata wanii wetu hawana ushirikiano ila wangemchangia tu
@beratsanoo57784 ай бұрын
Huyo mwanamke alaaniwe na mwenyezi mungu,
@EsteR-dt9iw6 ай бұрын
Daaa nilikuwa nakupita tu ila jamani wa Tanzania hatushindwi tumchangie naamini tunaweza
@khadijahamisi55616 ай бұрын
Maisha magumu Tanzania akuna ata viwanda vyakutosha hatar san kwahaya maisha😢😢
@abdulymaeda26976 ай бұрын
We ndo unsmaisha magumu
@HajiOmary-jz7ce6 ай бұрын
Allah atakujalia kila la kheri kk
@omanoman20446 ай бұрын
Pesa.hiz zina mashaka san utampaje mtuy pesa naumri huu
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Pole.sana kaka Allah akufanyiewepesi apatikane wakukusaidia au wakusamee. tu Omba Mungu sana imeniuma sana😢
@saidjelani15666 ай бұрын
Akili kama sima unachukua pesa unampa hela zote halafu baya zaidi unakopa ili umtafute sasa waoza figo mungu ataku saidia
@mellahbrain2956 ай бұрын
Uyu doctor sijamuelw hajaelezea efect
@AziziMapunda-vt4nv6 ай бұрын
Ameona kujihuwa kwajili yadeni bolaaseme kijacho musibu serikali itazameili watuwengi wanamambo mengi nawanakufa kwakutunza sili yeye kasema ukweli naona asaidiwe kabula ajajiuwa
@jrsaid42706 ай бұрын
Huyu si yule yupo kwenye comedy
@abdibilali41866 ай бұрын
Ni yeye
@ireneshao79506 ай бұрын
Ndio ni yeye
@Jacklinejohn76 ай бұрын
Daah aisee kweli maish haya
@ayubleo6 ай бұрын
Mdaiwa afungwi mzee tafut kazi acha mambo ya ajabu
Dunia inamapito sana😭 acheni tu jamani,ee Mungu naomba mwisho mwema🙏🤲
@johnmalembo64646 ай бұрын
Linda sana moyo na akili yako kuliko vyote uvilindavyo..... Shida akili na moyo vinachanganywa na vitu vingi
@HashmanMakungu6 ай бұрын
Daa pole sana kaka maisha ni magumu sana lakini isiuze Figo kwani unajizulumu
@laylayl51666 ай бұрын
Jamani viongozi WA serikali msaidieni huyu kijana kulipa deni mama Samia msaidie huyu kijana mungu atakuwrka katika pepo ya jannat firdaus mama
@DelightfulMacawBird-tl5hf6 ай бұрын
Pole sana mzee makulusa
@user-tg2mn3xu1y6 ай бұрын
Ukiuza figo kweli bado uko hai
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Iyo ndio faida ya kushobokea wanawake
@user-tg2mn3xu1y6 ай бұрын
Kwani apenda wanawake
@hallin95616 ай бұрын
Ukiona adi mwanaume analia ujue kuna jambo zito mno ndani ya moyp wake
@rubensaitoti68396 ай бұрын
Pole san
@meshackthomas13416 ай бұрын
Huyu jamaa anahitaji kusaidiwa kwanza huyo mwanamke atafutwe pia Asaidiwe. Kimahitaj nk
@thescop10036 ай бұрын
Pesa zangu nitaweka mwenyewe
@saidthuwein79506 ай бұрын
Dah! Eti figo yako inakaa na chaji mda gani😂😂😂😂
@GoodluckAmos6 ай бұрын
😂😂😂😂 dah Weee jamaa wewe mm nimecheka bila kutaka banaaa😂😂
@estakapufi75826 ай бұрын
Sasa na wewe kaka utampaje huyo mwanamke ml 20 ulishindwa kuweka banca, isitoshe hunabudi kuuza figo kwaajili ya madeni, omba watu wanaokufahamu wakusaidue kupata ajila ili upate pesa ulipe kidogo kidogo, sio unajiliza muda wote uku muda unakwenda.
@PaulinaSemindu-ob3de6 ай бұрын
Ni bora ungefungua acaunt uweke hy pesa yote ss kina mama hatutabirik
@bahatielias64436 ай бұрын
Kuna kiumbe naishigi nacho Kila pesa nayo ingiza kinataka kijue na kitunze pesa chenyewe
@bahatielias64436 ай бұрын
Sijawahi mwamini hata
@hatjjuma61506 ай бұрын
Ndo maana mnambiwa muoe kuna busara maana baraka kwa Allaah na kingine familia itakujua.
@ImanSaid-ox3po6 ай бұрын
Kuwa Mwislamu ndani ya uislam Zipo dua ukisoma Unalipiwa madeni hata yawe makubwa kiasi gani
@trophywilson72116 ай бұрын
Kabisaa Duuh Kwa Mungu nimjuaye si Hivyo ,Na labda Muislamu wa Africa mbona Wa huku niliko wanatafuta misaada ya kupata pesa walipe madeni wao hawajui hiyo Dua??
@ImanSaid-ox3po6 ай бұрын
@@trophywilson7211 Si kila Muislamu amesoma na si kila aliye soma anajua kila kitu {Huwenda sisi tunajua ktk elmu kile wasicho kijua wao nawao wanajua kile tusicho kijua sisi} Na ndomana kutafuta elmu kwa Muislamu ni wajibun {nilazima, hatukai kibubusa}
@udatuonna9055 ай бұрын
Lipieni sasa nchi madeni😅
@ImanSaid-ox3po5 ай бұрын
@@udatuonna905 Nenda kabadilishe Mfumo Badala ya Dola ya kidemo clasia iwe dola ya kiislam ili tuiyombee Allah ailipie Madeni yake {ili uondoke ktk shaka na uthibitishe tuliyo yasema}
@juliusdonard9336 ай бұрын
Wanawakee tuish nao kwa akil sanaa
@Tom_city_home6 ай бұрын
Uyy jamaa sijui niseme nini ila mm naona upumbavu tuu kama shida na matatzo watu wanapia magumu zaidi yakee .. kwaiyoo maisha ayanaga balance ⚖️ tokea hapo kikubwa uhai tuu na kuomba mungu lia na mungu wako pambana una viungo kamili alfu unalia na maisha mungu amekupa akili telee unashindwa itumia .why . Je unge kuwa mlemavu . Daaah . Mm sina uruma na mtu mvivu wa maharifa.
@feyxalbarry45956 ай бұрын
Lakin Analia mm wakat mtu anaviungo vyote vizima anaweza hta kubeba zege asa Analia nn na istoshe kipaji anacho aendeleze kaz zake na pia Kwa nn uishi na mwanamke AmBAR hujamuoa na hata kwao hukujui Wacha yakukute wabongo mmezoea sana mtelezo Yan mtu uwezo wa kuoa unao ww unafuga demu tu alafu kwao hukujui
@BonifaceJoseph6 ай бұрын
Watanzania wengi bado wanadhani unaweza kuuza kiungo chako kama Karanga, Elimu inahitajika sana aisee
@user-ye4iy8jy2z6 ай бұрын
Wangapi unaowajua wewe wamejitangaza kama hivi ! Oya kama halijakukuta usimlaumu mwenzako mzee mshukuru Mungu kwa kila aliliokujaalia
@BonifaceJoseph6 ай бұрын
@@user-ye4iy8jy2z Halijanikuta?? How can you be so sure lil bro? Kuna binadamu asiye na changamoto dunia hii?
@aishakambenga61916 ай бұрын
Ukiona mwanaume analia ujue kuna jambo 😢😢
@bijou50386 ай бұрын
Sasa mzee Kama wewe unasema huna mama na baba
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Kudaiwa hakujufanyi upate shida hivo😅😅😅tunadaiwa na tunainjoi tu😅😅
@lyidiajuakaly33356 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 dar mungu awe pamoja na wewe ila usiwaze kuuza kiungo chako jipambanie na mungu atakusaidia 🙏🙏
@afropanorama47306 ай бұрын
ukiona mwanamme analia hadharani ujue kuna jambo
@labunaabouna61226 ай бұрын
Dagh mtihani Allah akusimamie
@bahatimellita66196 ай бұрын
Huyuuuu 😂😂😂😂makulusa huyuu kuchekesha tuuu
@JacquilineNoah6 ай бұрын
😂😂😂😂
@saraphillipo90826 ай бұрын
Ndio Ni mwigizaji huyu bhn
@vagashappnecy48506 ай бұрын
Pole sana makulusa
@SaumuSaidi-z2v6 ай бұрын
Huyo anayemdai si amsamehe jmn
@michaelsamson96636 ай бұрын
😂😂awa samei wanadai tu
@SalumuRamadhani-ct2iv5 ай бұрын
Pole Sana kaka mkubwa
@magdalenajoel44096 ай бұрын
MUNGU mfanyie wepesi huyu baba jamani daah😢😢😢
@kheiramour29735 ай бұрын
Docta kaulizwa madhar kazunguuka mwsh tumetajiw kaz za figo
@AziziMapunda-vt4nv6 ай бұрын
Kaka pole Sana apokinacho mutesa nideni analodaiwa 😢😢😢😢😢
@SarahElias-kv2fu5 ай бұрын
Madeni madeni madeni😭
@shefukoro69686 ай бұрын
Huyu msanii wa comed anaitwa mzee makulusa anafanya vichekesho na mkaliwenu
@josemangula88066 ай бұрын
Kumbe hata wewe unamjua
@user-dm4uu9mi5m6 ай бұрын
pole kaka angu mungu akusaidie
@fatimajuma333024 күн бұрын
Huyu si mzee ni kijana mdongo
@chimamilion6 ай бұрын
Uyu si ndo yule msanii ama
@YasmeenKhalifa-zq1zk6 ай бұрын
Ni yeye
@jenyyusuph49736 ай бұрын
Kaka nakusihi Tafazali soma comments zetu bora tuombe Mungu awajalie watu wakusaidie feza kuliko kuuza Figo utatatakuzoofika zaidi ya 12 million
@AishaNayimana-pp2pu5 ай бұрын
Pesa iyo ndogo saana watanzania mnajenga nyumba za million 300 kwaiyo hamuwez mlipia mbona tu pesa ndogo
@NyamkechaTv6 ай бұрын
Mbona anauza bei sana mm mwenye M10 aje
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
😂😂
@sophsoph47406 ай бұрын
😂
@IreneMacha-g8o6 ай бұрын
😂😂😂
@AyubHaji-j9b6 ай бұрын
Huyo fala na wewe muandishi fala eti anauza figo kisa madeni unalilia mtoto wa kiume mdeni hafungwi waambie waende mahakaman utalipa kwa awamu na uwezo wako kila mwezi elfu 50 shida ipo wapi usituchoshe sie kihazi wewe unampa ela mwanamke ambae hata kwao hupajui hawara na hii story ya kutunga upate maokoto tunaijua hiyoo 🏃🏃
@edlumala94286 ай бұрын
Mfanyabiashara tu huyu, si uza figo mil 12 ili ulipe deni? Why unataka 270? Mimi niko tayari kuuza kwa 70 milioni “ vunja bei”
@neemakiria44166 ай бұрын
Duh... Mungu wangu
@khadijayusuph26346 ай бұрын
Dah pole sana
@user-yj3gy4jc1t6 ай бұрын
Pole sana
@MsNajma-e6e6 ай бұрын
Maisha magum haya tz wengine wanajinyonga na wengine wanataka kuza Figo aisee kungekuwa na hajira tz tusingefkia hapa turipo Sasa hajila chache watu tupo wengi serekari inadri na wacheza mpila na wasani tu mungu tusaidye waray nchi ngumu hii?