KIJANA HUYU AJITOKEZA HADHARANI KUUZA FIGO YAKE MIL. 270, ANADAIWA NA WATU

  Рет қаралды 57,987

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 372
@charlesobinya
@charlesobinya 6 ай бұрын
Jikaze mwanaume hakuna kisichokuwa na mwisho. Kuuza Figo Ni ufinyu wa kufikiria, mlilie mungu, fanya kazi Kwa bidii Amini kabla ya mwaka huu kuisha Utayashinda.
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 ай бұрын
🙏🙏
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 6 ай бұрын
Hakijakukuta ww shida isikie kwa mwenzio asilimia 90 sisi binadamu tunaingia kwenye viapo na kila kiumbe Kama uchawi au kuuza madawa nikwa sababu ya maisha magumu
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 6 ай бұрын
acha kbonga ovyo Mt kapta na mlion kazaa syo kt cha kawaida kwanza pongez kwake ad Sasa yupo hai
@LucyCornery
@LucyCornery 6 ай бұрын
Kabisaaa​@@deogratiusyudatadei5658
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 6 ай бұрын
Kikubwa hapo mim naona achangiwe tu ili aondokane na maden na changamoto za maisha
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 6 ай бұрын
Haya maisha ni bora uliye njaa kuliko madeni kakaangu pole sana mwenyezi mungu atakufanyia wepesi ila maisha magumu sana sana huku uswahilini tupo ishi watu kibao wanalia njaa maisha magumu sana sana 😭😭😭😭
@juliusdonard933
@juliusdonard933 6 ай бұрын
Kulia huyu n ishara tosha maisha n magum kwa sasa jaman daaaa mungu atulinde kipindi hikii kigumu
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 6 ай бұрын
Amina😢
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 6 ай бұрын
Huyu jamaa namjua nilikua namuona, napishana nae kama anapitia haya kweli mungu amsaidie.
@marrykanyipa9699
@marrykanyipa9699 6 ай бұрын
mm pia cjui nilimwona wap sura si ngen
@HalimaSalehIssa
@HalimaSalehIssa 6 ай бұрын
​@@marrykanyipa9699huyu ni msanii wa komedi
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 5 ай бұрын
Msanii uyo ​@@marrykanyipa9699
@saididodi3988
@saididodi3988 6 ай бұрын
Usikate tamaa mungu yupo pamoja nawew utafanikisha malengo yko Ila usiuze figo hatar sana
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 6 ай бұрын
Mzee makulusa pole sana,na wanawake wa kuokota okota wa mjini ni shida hawataki kuona hela ndo maana baadh yao hawafai hata kuomba ushauli,
@lameckaloyce1615
@lameckaloyce1615 6 ай бұрын
Pole sana bwana makulusa Mungu akutie nguvu uanze upya
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 6 ай бұрын
Napata huruma ila nimegundua mshikaji hana plan za maisha....mil 20 ndo pesa pekee uliyonayo lakini unataka kununua gari....hauko serious kwa kweli Then una 37 bado unalalamika huna wazazi! Hata wangekuwepo ungewategemea? Hii siyo sawa kwake Anahitaji kubadili mtazamo wake kuhusu maisha
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 6 ай бұрын
Hakika kuna shida kwenye mtazamo wake miaka 37 unatakiwa uwe full independent aise
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 6 ай бұрын
Umeongea kama watu mia
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 6 ай бұрын
Aisee wanawake wengine mtian pole sana
@siriyangu4724
@siriyangu4724 6 ай бұрын
Subhana Allah chozi hilo uyo mwanamke ajirundi tu coz dunia duwara
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 6 ай бұрын
Chifu mi nadaiwa balaaa na sijakata tamaa na naamini Mungu anatupenda na atatusaidia kuvuka.....mawazo uliyofikia ni umeruhusu akili yako kufika mwisho... Jikaze hakuna gumu linalodumu( ALAFU BORA WEWE UNADAIWA HUKU UMENENEPA MI MWENZIO NADAIWA NA NIMEKONDA😢😢)
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 ай бұрын
😢😢😢😢 pole
@marychuwa8159
@marychuwa8159 6 ай бұрын
Nakuelewa Kaka😭😭😭natamani sana Walichofanya kwa ajili ya fomu ya Urais basi tusaidiane kwa watu kama hivi
@allybinnseif1816
@allybinnseif1816 6 ай бұрын
Mwanamke kumbe hakuwa wa ndoa mmeokotana tuu mitaani mkawa mnazini mbaya zaidi unamuachia pesa zoote hizo utadhani kwao wanakutambua Poleee Sanaa rejea kijijini ukaanze kulima utapata pesa za kulipa madeni na mambo mengine
@hanifa9153
@hanifa9153 6 ай бұрын
Ni tabia mbovu sana kwa watu weusi kuishi bila ndoa imekua kitu cha kawaida innalillah wainna ilayh rajioun😢😢😢
@annaezra2344
@annaezra2344 6 ай бұрын
Jamani mungu akusaidie kaka, lakini pia wanaomdai huyu tumsamehe tu hatutapungukiwa
@user-cd6yy3pz9w
@user-cd6yy3pz9w 6 ай бұрын
Nkwely
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 ай бұрын
Sana na Mungu atawaxidishia
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 6 ай бұрын
We kuweza?
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 6 ай бұрын
Comment Ina nguvu sana hii
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 6 ай бұрын
Sahihi.
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 6 ай бұрын
Pole saana, Allah akuruzuku kikubwa zaidi ya ukichokipoteza inshaallah, ila pesa milion 20 kweli unashindwaje kuweka Bank, hata iwe mnamipango ya biashara! Huo ni uzembe tosha bro. 😢
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 6 ай бұрын
usiongee ivyo man unaweza ukamuamn mkeo ndyo akakzr
@ommimg2467
@ommimg2467 6 ай бұрын
Ni darasa unapita ili uache kuwa kilaza bank zote zimejaa, vyanzo vyote hivyo unaenda kumpa mwanamke hela yote! ila kwasasa huwez kushaurika tukio ushapigwa tyr, ila inshu ya wazazi achana nayo kbs we umeshazeeka
@user-bh1sy9ox9w
@user-bh1sy9ox9w 5 ай бұрын
Kabisa mzee
@halimasawa611
@halimasawa611 6 ай бұрын
Wekeni numbr tuchangia 😢😢Allah akutaksdiaa kakngu
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 6 ай бұрын
Kweli 😢
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 6 ай бұрын
Inavoonesha uyu jamaa anashida kubwa sana Naweza kushilikiana naye kubadilisha mtazamo. Naomba tushilikiane jamani kumnusuru uyu jamaa hata kwa miatano miatano tu atapona. Aweke namba yake tumchangie chap. #Tanzania is for real Love.
@mwarabuofficial5241
@mwarabuofficial5241 6 ай бұрын
Makulusa miaka 37 unasema huna baba wala mama huko ni kutia huruma sasa mtandaoni maana hata wangekuwepo wewe bado ungekuwa ndio msaada wao mkubwa maana wangekuwa tayar age agooo! All in all huyu mwamba asaidiwe jmn pia Tz ni nchi ya watu wenye huruma sana ukiachana na watu kila jambo kuchukulia utani ila hii talent tusiipoteze asaidiwe kwa namna yoyote ile iwe kwa kupewa misaada au kupewa kazi mean aajiliwe.
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 6 ай бұрын
Hakikaaa
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 6 ай бұрын
Anzaa ww!
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 6 ай бұрын
Allah akusitiri hilo ulokaa nalo n jizi Pole,jipange, Mzee baba cm haipatikani, jipange,
@beratsanoo5778
@beratsanoo5778 4 ай бұрын
Mungu atakutia nguvu ndugu yangu,Kuwa na Imani,Na pole sana.
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 6 ай бұрын
😒😒😭😭mpka Mwanaume analia hivi dah😪😪😪😪so sad
@RickshabyVlogs
@RickshabyVlogs 6 ай бұрын
Mlaini huyo si aje migodini kwenye kazi za kiume hata aibu hana alitumwa ampe huyo dem wake
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 6 ай бұрын
Nyinyi wanawake ndio chanzo
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Jamani mnaomdai msameheni lakini unauza figo unajua afya yako inaruhusu kutoa figo jamani mwee hapana kaka omba msaada mwingine sio kuuza viongo vyako uwiii naogopa mweee
@omanoman2044
@omanoman2044 6 ай бұрын
Wanawake wallah machozi yamtuy ambae ka dhulumiw unaweza pata mtihan san unaweza kupata shida san
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 6 ай бұрын
Haya maisha magumu sn ndg zangu ukicheki heka heka za kifamilia bora mtu kujitoa muhanga ili kupushi familia mimi mwenyewe nikipata mteja wa figo nauza nibadili upepo wa maisha ya familia yngu
@aminakipande5645
@aminakipande5645 6 ай бұрын
Hata mm jman nimechoka nam haya maisha
@arafakiloli749
@arafakiloli749 6 ай бұрын
Subhanallah pole sana ALLAH akufanyie wepesi.
@RickshabyVlogs
@RickshabyVlogs 6 ай бұрын
Uliwekewa dawa hadi ukampatia mwanamke pesa duuh pole sana
@ziggertv3185
@ziggertv3185 6 ай бұрын
Hapo sasa yani angenunua kiwanja saiv asinge waza sana
@Ambeniwatano
@Ambeniwatano 6 ай бұрын
Bandugu acha hakili nyepesi kudaiwa ni jambo la kawaida kwa kuwa wanao kudai ni binadamu si unawambia tu una muona mungu mjinga kuweka Figo 2 mdaiwa afungwi
@salekhvidal8346
@salekhvidal8346 6 ай бұрын
Ungekuwa ww ungeweza kumvumilia na jua ili
@azuma7166
@azuma7166 6 ай бұрын
Na wenye matatizo ya Figo na wenyew pia wanahitaji
@Ambeniwatano
@Ambeniwatano 6 ай бұрын
@@azuma7166 kiungo alichokujalia mwenyez mungu ni halamu kuudha ni Halali kusadia Bure kwa binadamu mwenzako rejea watu waliuza Figo Leo wana Nini?
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd 6 ай бұрын
Hama huko na ukatafute maisha sehemu nyingine. Kuuza figo sio suluhisho la kutatua hizo changamoto, hata ukiuza bado unaweza kujisababishia kifo na hizo pesa zisikusaidie chochote
@asiahamis7893
@asiahamis7893 6 ай бұрын
Kaka ang naomba usifanye kitu km hicho fanya kaz kwa nguvu zako zote achana na hilo ndugu yang
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 6 ай бұрын
Jamani tukiwa mjini maisha yakatushinda njooni mashambanihuku kujitafuta tena😢😢
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 6 ай бұрын
Uko sahihi
@hajially4527
@hajially4527 6 ай бұрын
Heheheee fingo elfu 7 watu wadharau
@noelphilipmollel6355
@noelphilipmollel6355 6 ай бұрын
Tuache maigizo.....lengo la hiyu jamaa lilikuwa lipi kuchukua hela kwa watu tofauti tofauti kwa kiwango cha laki mbili hadi tatu mpaka kufikia milioni 12? Inamaanisha hakuwa na mpango au mkakati nazo. Hapo anatafuta huruma kwa watu....aseme tu alikuwa na matumizi makubwa kumuhudumia mwanamie na ndio sababu iliyomfanya akope kwa hao watu.. pengine alitaka kumuaminisha mwanamke anauwezo wa ki super star ukizingatia yeye ni muigizaji...haya sasa mfano angenunua gari ikapata majanga au angefungua biashara ikafa je, asingelipa hela za watu? Asikwepe wajibu wake.
@AzzatyAbdallah
@AzzatyAbdallah 6 ай бұрын
Acha kujifanya unajua hata wewe unahitaj watu ili kuishi... Litakurudia kwa nduguzo
@noelphilipmollel6355
@noelphilipmollel6355 6 ай бұрын
@@AzzatyAbdallah hongera na wewe kwa kujua maisha ya pande zote
@UPAKOMINISTRYTV
@UPAKOMINISTRYTV 6 ай бұрын
Ee mwenyezi Mungu mruhumie mja wako uyu hakika ukiona mwanaume analia ujue ana wakati mgumu sana uyo mwanamke machozi hayo hayatamuacha salama
@lyrics_forum
@lyrics_forum 6 ай бұрын
Huyu Jamaa kama niliwahi kumuona Akiigiza na Timamu Comedy.
@marrykanyipa9699
@marrykanyipa9699 6 ай бұрын
ni kwel
@user-cg1vd5jr8t
@user-cg1vd5jr8t 6 ай бұрын
Mdaiwa hafungwi kaka maisha hayaitaji unyonge jua tu mjini hapa anaekudai nae anadaiwa
@hajially4527
@hajially4527 6 ай бұрын
Huyu nimsanii sasa hata wanii wetu hawana ushirikiano ila wangemchangia tu
@beratsanoo5778
@beratsanoo5778 4 ай бұрын
Huyo mwanamke alaaniwe na mwenyezi mungu,
@EsteR-dt9iw
@EsteR-dt9iw 6 ай бұрын
Daaa nilikuwa nakupita tu ila jamani wa Tanzania hatushindwi tumchangie naamini tunaweza
@khadijahamisi5561
@khadijahamisi5561 6 ай бұрын
Maisha magumu Tanzania akuna ata viwanda vyakutosha hatar san kwahaya maisha😢😢
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 6 ай бұрын
We ndo unsmaisha magumu
@HajiOmary-jz7ce
@HajiOmary-jz7ce 6 ай бұрын
Allah atakujalia kila la kheri kk
@omanoman2044
@omanoman2044 6 ай бұрын
Pesa.hiz zina mashaka san utampaje mtuy pesa naumri huu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 ай бұрын
Pole.sana kaka Allah akufanyiewepesi apatikane wakukusaidia au wakusamee. tu Omba Mungu sana imeniuma sana😢
@saidjelani1566
@saidjelani1566 6 ай бұрын
Akili kama sima unachukua pesa unampa hela zote halafu baya zaidi unakopa ili umtafute sasa waoza figo mungu ataku saidia
@mellahbrain295
@mellahbrain295 6 ай бұрын
Uyu doctor sijamuelw hajaelezea efect
@AziziMapunda-vt4nv
@AziziMapunda-vt4nv 6 ай бұрын
Ameona kujihuwa kwajili yadeni bolaaseme kijacho musibu serikali itazameili watuwengi wanamambo mengi nawanakufa kwakutunza sili yeye kasema ukweli naona asaidiwe kabula ajajiuwa
@jrsaid4270
@jrsaid4270 6 ай бұрын
Huyu si yule yupo kwenye comedy
@abdibilali4186
@abdibilali4186 6 ай бұрын
Ni yeye
@ireneshao7950
@ireneshao7950 6 ай бұрын
Ndio ni yeye
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 6 ай бұрын
Daah aisee kweli maish haya
@ayubleo
@ayubleo 6 ай бұрын
Mdaiwa afungwi mzee tafut kazi acha mambo ya ajabu
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 6 ай бұрын
Acha kuzinguwa bro waambie wanaokudai waambie umewadhurumu
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 6 ай бұрын
Hali ni ngumu jmn mpk mwanaume analia hivi
@judithminja6386
@judithminja6386 6 ай бұрын
Me nadaiwa hela kibao lakin hapana jaman ntalipa ivo ivo kidogo dogo ila syo kuuza kiungooo😊😊
@twahahamidu6246
@twahahamidu6246 6 ай бұрын
Usiamin mwanamke wadau
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 ай бұрын
Sio mwanamke tu ndugu yangu usiamini mtu
@rahmaismaily3358
@rahmaismaily3358 6 ай бұрын
Mwanamke ....sio mke wake....hela ukampa ....ukaanza kumtafuta..... Ukaamini utampata .... Duh pole sana...lakin ungeoa huyo mwanamke ungempata....
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 6 ай бұрын
Dunia inamapito sana😭 acheni tu jamani,ee Mungu naomba mwisho mwema🙏🤲
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 6 ай бұрын
Linda sana moyo na akili yako kuliko vyote uvilindavyo..... Shida akili na moyo vinachanganywa na vitu vingi
@HashmanMakungu
@HashmanMakungu 6 ай бұрын
Daa pole sana kaka maisha ni magumu sana lakini isiuze Figo kwani unajizulumu
@laylayl5166
@laylayl5166 6 ай бұрын
Jamani viongozi WA serikali msaidieni huyu kijana kulipa deni mama Samia msaidie huyu kijana mungu atakuwrka katika pepo ya jannat firdaus mama
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 6 ай бұрын
Pole sana mzee makulusa
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 6 ай бұрын
Ukiuza figo kweli bado uko hai
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Iyo ndio faida ya kushobokea wanawake
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 6 ай бұрын
Kwani apenda wanawake
@hallin9561
@hallin9561 6 ай бұрын
Ukiona adi mwanaume analia ujue kuna jambo zito mno ndani ya moyp wake
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 6 ай бұрын
Pole san
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 6 ай бұрын
Huyu jamaa anahitaji kusaidiwa kwanza huyo mwanamke atafutwe pia Asaidiwe. Kimahitaj nk
@thescop1003
@thescop1003 6 ай бұрын
Pesa zangu nitaweka mwenyewe
@saidthuwein7950
@saidthuwein7950 6 ай бұрын
Dah! Eti figo yako inakaa na chaji mda gani😂😂😂😂
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos 6 ай бұрын
😂😂😂😂 dah Weee jamaa wewe mm nimecheka bila kutaka banaaa😂😂
@estakapufi7582
@estakapufi7582 6 ай бұрын
Sasa na wewe kaka utampaje huyo mwanamke ml 20 ulishindwa kuweka banca, isitoshe hunabudi kuuza figo kwaajili ya madeni, omba watu wanaokufahamu wakusaidue kupata ajila ili upate pesa ulipe kidogo kidogo, sio unajiliza muda wote uku muda unakwenda.
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 6 ай бұрын
Ni bora ungefungua acaunt uweke hy pesa yote ss kina mama hatutabirik
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 ай бұрын
Kuna kiumbe naishigi nacho Kila pesa nayo ingiza kinataka kijue na kitunze pesa chenyewe
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 ай бұрын
Sijawahi mwamini hata
@hatjjuma6150
@hatjjuma6150 6 ай бұрын
Ndo maana mnambiwa muoe kuna busara maana baraka kwa Allaah na kingine familia itakujua.
@ImanSaid-ox3po
@ImanSaid-ox3po 6 ай бұрын
Kuwa Mwislamu ndani ya uislam Zipo dua ukisoma Unalipiwa madeni hata yawe makubwa kiasi gani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Kabisaa Duuh Kwa Mungu nimjuaye si Hivyo ,Na labda Muislamu wa Africa mbona Wa huku niliko wanatafuta misaada ya kupata pesa walipe madeni wao hawajui hiyo Dua??
@ImanSaid-ox3po
@ImanSaid-ox3po 6 ай бұрын
@@trophywilson7211 Si kila Muislamu amesoma na si kila aliye soma anajua kila kitu {Huwenda sisi tunajua ktk elmu kile wasicho kijua wao nawao wanajua kile tusicho kijua sisi} Na ndomana kutafuta elmu kwa Muislamu ni wajibun {nilazima, hatukai kibubusa}
@udatuonna905
@udatuonna905 5 ай бұрын
Lipieni sasa nchi madeni😅
@ImanSaid-ox3po
@ImanSaid-ox3po 5 ай бұрын
@@udatuonna905 Nenda kabadilishe Mfumo Badala ya Dola ya kidemo clasia iwe dola ya kiislam ili tuiyombee Allah ailipie Madeni yake {ili uondoke ktk shaka na uthibitishe tuliyo yasema}
@juliusdonard933
@juliusdonard933 6 ай бұрын
Wanawakee tuish nao kwa akil sanaa
@Tom_city_home
@Tom_city_home 6 ай бұрын
Uyy jamaa sijui niseme nini ila mm naona upumbavu tuu kama shida na matatzo watu wanapia magumu zaidi yakee .. kwaiyoo maisha ayanaga balance ⚖️ tokea hapo kikubwa uhai tuu na kuomba mungu lia na mungu wako pambana una viungo kamili alfu unalia na maisha mungu amekupa akili telee unashindwa itumia .why . Je unge kuwa mlemavu . Daaah . Mm sina uruma na mtu mvivu wa maharifa.
@feyxalbarry4595
@feyxalbarry4595 6 ай бұрын
Lakin Analia mm wakat mtu anaviungo vyote vizima anaweza hta kubeba zege asa Analia nn na istoshe kipaji anacho aendeleze kaz zake na pia Kwa nn uishi na mwanamke AmBAR hujamuoa na hata kwao hukujui Wacha yakukute wabongo mmezoea sana mtelezo Yan mtu uwezo wa kuoa unao ww unafuga demu tu alafu kwao hukujui
@BonifaceJoseph
@BonifaceJoseph 6 ай бұрын
Watanzania wengi bado wanadhani unaweza kuuza kiungo chako kama Karanga, Elimu inahitajika sana aisee
@user-ye4iy8jy2z
@user-ye4iy8jy2z 6 ай бұрын
Wangapi unaowajua wewe wamejitangaza kama hivi ! Oya kama halijakukuta usimlaumu mwenzako mzee mshukuru Mungu kwa kila aliliokujaalia
@BonifaceJoseph
@BonifaceJoseph 6 ай бұрын
@@user-ye4iy8jy2z Halijanikuta?? How can you be so sure lil bro? Kuna binadamu asiye na changamoto dunia hii?
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 6 ай бұрын
Ukiona mwanaume analia ujue kuna jambo 😢😢
@bijou5038
@bijou5038 6 ай бұрын
Sasa mzee Kama wewe unasema huna mama na baba
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Kudaiwa hakujufanyi upate shida hivo😅😅😅tunadaiwa na tunainjoi tu😅😅
@lyidiajuakaly3335
@lyidiajuakaly3335 6 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 dar mungu awe pamoja na wewe ila usiwaze kuuza kiungo chako jipambanie na mungu atakusaidia 🙏🙏
@afropanorama4730
@afropanorama4730 6 ай бұрын
ukiona mwanamme analia hadharani ujue kuna jambo
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 6 ай бұрын
Dagh mtihani Allah akusimamie
@bahatimellita6619
@bahatimellita6619 6 ай бұрын
Huyuuuu 😂😂😂😂makulusa huyuu kuchekesha tuuu
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@saraphillipo9082
@saraphillipo9082 6 ай бұрын
Ndio Ni mwigizaji huyu bhn
@vagashappnecy4850
@vagashappnecy4850 6 ай бұрын
Pole sana makulusa
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 6 ай бұрын
Huyo anayemdai si amsamehe jmn
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 6 ай бұрын
😂😂awa samei wanadai tu
@SalumuRamadhani-ct2iv
@SalumuRamadhani-ct2iv 5 ай бұрын
Pole Sana kaka mkubwa
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 6 ай бұрын
MUNGU mfanyie wepesi huyu baba jamani daah😢😢😢
@kheiramour2973
@kheiramour2973 5 ай бұрын
Docta kaulizwa madhar kazunguuka mwsh tumetajiw kaz za figo
@AziziMapunda-vt4nv
@AziziMapunda-vt4nv 6 ай бұрын
Kaka pole Sana apokinacho mutesa nideni analodaiwa 😢😢😢😢😢
@SarahElias-kv2fu
@SarahElias-kv2fu 5 ай бұрын
Madeni madeni madeni😭
@shefukoro6968
@shefukoro6968 6 ай бұрын
Huyu msanii wa comed anaitwa mzee makulusa anafanya vichekesho na mkaliwenu
@josemangula8806
@josemangula8806 6 ай бұрын
Kumbe hata wewe unamjua
@user-dm4uu9mi5m
@user-dm4uu9mi5m 6 ай бұрын
pole kaka angu mungu akusaidie
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 24 күн бұрын
Huyu si mzee ni kijana mdongo
@chimamilion
@chimamilion 6 ай бұрын
Uyu si ndo yule msanii ama
@YasmeenKhalifa-zq1zk
@YasmeenKhalifa-zq1zk 6 ай бұрын
Ni yeye
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 6 ай бұрын
Kaka nakusihi Tafazali soma comments zetu bora tuombe Mungu awajalie watu wakusaidie feza kuliko kuuza Figo utatatakuzoofika zaidi ya 12 million
@AishaNayimana-pp2pu
@AishaNayimana-pp2pu 5 ай бұрын
Pesa iyo ndogo saana watanzania mnajenga nyumba za million 300 kwaiyo hamuwez mlipia mbona tu pesa ndogo
@NyamkechaTv
@NyamkechaTv 6 ай бұрын
Mbona anauza bei sana mm mwenye M10 aje
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 ай бұрын
😂😂
@sophsoph4740
@sophsoph4740 6 ай бұрын
😂
@IreneMacha-g8o
@IreneMacha-g8o 6 ай бұрын
😂😂😂
@AyubHaji-j9b
@AyubHaji-j9b 6 ай бұрын
Huyo fala na wewe muandishi fala eti anauza figo kisa madeni unalilia mtoto wa kiume mdeni hafungwi waambie waende mahakaman utalipa kwa awamu na uwezo wako kila mwezi elfu 50 shida ipo wapi usituchoshe sie kihazi wewe unampa ela mwanamke ambae hata kwao hupajui hawara na hii story ya kutunga upate maokoto tunaijua hiyoo 🏃🏃
@edlumala9428
@edlumala9428 6 ай бұрын
Mfanyabiashara tu huyu, si uza figo mil 12 ili ulipe deni? Why unataka 270? Mimi niko tayari kuuza kwa 70 milioni “ vunja bei”
@neemakiria4416
@neemakiria4416 6 ай бұрын
Duh... Mungu wangu
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 6 ай бұрын
Dah pole sana
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 6 ай бұрын
Pole sana
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 6 ай бұрын
Maisha magum haya tz wengine wanajinyonga na wengine wanataka kuza Figo aisee kungekuwa na hajira tz tusingefkia hapa turipo Sasa hajila chache watu tupo wengi serekari inadri na wacheza mpila na wasani tu mungu tusaidye waray nchi ngumu hii?
@NuruNyanja-kz1qr
@NuruNyanja-kz1qr 6 ай бұрын
Aweke namba tumchangie asiuze figo jamani atapata mazala ndugu kaeni nae karibu mumfariji anaweza akajizuru huyu
МАИНКРАФТ В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ!🌍
00:31
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 34 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 47 МЛН
Riggy G Ananyolewa Bila Maji!! - Eugene Wamalwa
43:17
Radio Maisha
Рет қаралды 336
Boche Visited Sruthi and Relatives at Leo Hospital Kalpetta Today.
5:29
Mediawings Digital Solutions
Рет қаралды 1,1 МЛН