Mpina anafaa sana Tanzania ni Roho wa Mungu aliyezaliwa aheshimiwe Kwa Ujasiri wake.
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Mpina ni mzalendo sana yuko tayari kwa lo lote. Na wewe mwandishi ni mchaw tu. Huko duniani si ajabu walitoa cho chote kwa sababu kweli watanganyika wanateseka sana. Hatuna wabunge zaidi ya Mpina
@Uhuru12343 ай бұрын
Weka utaratibu tufanye contribution hata kidogo,ili mpina aendelee kuishi bila stress
@makerenyarugezi3 ай бұрын
Mimi nafikiri hapa ni Tulia kukosa uzalendo, ukitaka kuona mambo ni ovyo angalia bajeti ya muungano na ya Zanzibar hapo utagundua kitu,kama uelewi nitafute nikueleweshe,,,
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Tunamzungumzia Mpina ndiye tunayemjua.Hawo wengine ni wabunge wa Samia wala hawana shida na matatizo ya wanainchi au lasilimali ya Tanganyika.
@malugukushaha67643 ай бұрын
Mpina ndiye tunamkubari sisi kwani ameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
@josephkadeghe47203 ай бұрын
Speaker anaweza kuwa Rais wa Mabunge si kwasababu ya umahili wake, ni kwasababu wazungu wanataka kutuibia mali zetu zaidi.
@AlanMbilinyi3 ай бұрын
MPINA NI MZALENDO HALISI BUNGE LA SASA SI CHOCHOTE LIPO KWA AJILI YA KULINDA WEZI TU ANAYE WAKOSOA KAMA MPINA WANAMWONA WA HOVYO KUMBE WA HOVYO NI NI WAO TU MSEMA KWELI SIKU ZOTE HAPENDWI.
@SarahSwale3 ай бұрын
Mmmmh 😊😊😊😊😮😮😮
@josephgermanosanga92653 ай бұрын
Josephkadeghe unaweza kuwa 100% correct in a sense that hawahitaji mtu ambaye anaweza challenge wizi. Wazungu kimsingi africa ndio shamba lao la bibi . Tunatakiwa kizazi cha sasa tufikiri nje ya box , loans and grants are key weapons to africa from western nations, wanatupa ili kusoften power na wao ndio njia kuu kuweka mambo yao kilaini
@NixonJohnson-r4m3 ай бұрын
22:24 hapo ni point kabisa
@judicalosika76423 ай бұрын
Point kabisa MaKiti moto ni mabaya sana.
@HamisLeo3 ай бұрын
Naungana kumchangia mpina, ufanyike kampeni umma wote ujue kwamba ambao hawaungan na bunge na spika wachange
@SalvatoryMtunga3 ай бұрын
Mwandishi wa ovyo kabisa, issue za kanda ya ziwa, kanda ya mashariki, kanda ya magharibi nk yanatoka wapi?
@Teddy-z4i3 ай бұрын
Nami ntamchangia mpinaaaaaaaaa
@josephkidima-nc3di3 ай бұрын
Hongera Sana kijana Nkindikwa unatelimisha vizuri Sisi watanzania kudai haki zetu❤
@mariamumechara33983 ай бұрын
Uko sawa kaka
@AlHamra-k4u3 ай бұрын
Kweli kabisa mpina ndiyo Mwamba wengine vichuguu 😅😅😅😅Safi sana kijana 💪💪💪💪 vichuguu mpooo 😅😅😅 🤸🤸🤸🤸 mpina km magufuli mpina km Makonda wengine vichuguu
@amaniamani63912 ай бұрын
*Mpina safi100%Hamia chadema*
@OS-pf6op3 ай бұрын
Huyu spika sio! Mtakuja kuona huko baadae.
@wanguwangu343 ай бұрын
Uko sahihi sana, mbunge pekee wa watanzania ni Mpina pekee wengine wapo Kwa ajili ya matumbo Yao.
@SamwelMdamanyi3 ай бұрын
Mwanadamu anaweza kumchagua mtu HATA kama hafai ila Mungu huchagua anayefaa maana anijua Hadi mioyo ya waovu sijawahi msikia spika wa bungu aongee lolote kuhusiana na vitu mbalimbali kupanda Bei bati ciment nk lakini kuchaguliwa mbunge wa bunge la.
@PhilkevinFelix3 ай бұрын
Bahati mbaya mtangazaji umeegemea upande fulani tofauti na hitaji la kutoegemea upande wowote hivyo unafanya mahojiano hayo yapungue ladha.
Huyo muandishi Hana ueledi kwenye kuuliza Maswali ya kisiasa au ni muoga anaogopa kuuliza maswali kwa faida ya watazamaji
@tausikiyabo63022 ай бұрын
Mwandishi sijamuelewa mbona kama 😢😢😢
@MagrethKatondo-qs9oz3 ай бұрын
Mmmhhh ngoma ni nzito. Tanzania tumwogope Mungu. Tuombe huruma ya Mungu pekee.
@samsonhamery38093 ай бұрын
Mwaka 2017 ilipopitishwa sheria kwamba mikataba inayohusu raslimali ya nchi ipitishwe na Bunge ulikuwa wakati wa Mwaminfu Magufuri ambaye hakutaka kujitajirisha Wabunge wetu mwaka 2017 walipiga makofi kupitisha sheria ya ulinzi wa raslimali za Nchi leo tena wanageuka wanasariti kile walichokipitisha 2017 huu Ni udhaifu mkubwa Sana wa Bunge linaloitwa la awamu ya sita japo tunajua Ni Bunge lililochaguliwa awamu ya tano
@josephinepancrasy31943 ай бұрын
❤
@joycmsokile92203 ай бұрын
Yuko wapi polepole humfrey?
@MashakaKalamba3 ай бұрын
Sijasomea uandishi wa habari, lakini ninaona kasoro KUBWA kwako mwandishi.
@sandaymgunyi62683 ай бұрын
sawa
@gaspercharles22443 ай бұрын
Nahisi tukiendelea hivi GEN - Q itaanza Tanzania
@ZephaniaNdaki-vq1ti3 ай бұрын
Ikitokea Mpina kuchangiwa, hata mimi nijulishwe nitachangia kwa change kidogo!
@FestusJchunya-hc3hv3 ай бұрын
kifupi tulia sijawahi kumuelewa!! tangu alipoingia kwenye siasa!!
@ceciliamagalabajimmy43913 ай бұрын
Mimi ni chadema lakini naungana na Mpina . Ni mtu anayewakilisha wananchi.
@johnmawewebusobe71383 ай бұрын
Tunaomba namba tuanze kumchangia
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Speaker wa kucheka na kufurahisha wageni na kuumiza wanainchi ili wasipate nafasi. Angekuwa ni mtanganyika angekiona cha moto.Kwa kweli hapa hatuna Speaker bali ni Speaker wa wageni wanaotoka Inchi za Inje ndiyo sababu aliongwa tu.
@EmmanuelMagadula-f1y3 ай бұрын
Good
@JOSEPHMwakibinga2 ай бұрын
Mwandishi usihoji sana huyo msemaji Yuko vizuri,Huyo msemaji ndio wanaotakiwa kuongoza nchi.yuko vizuri..mwandishi wewe mwenyewe ni waoga.hamko huru kutangaza maovu ya viongozi.Angalia madereva wa tanzania wanalia na mikataba lakini makampuni ni yao
@AbelJohn-tx4in3 ай бұрын
Huyo siyo spika wa bunge, ni spika ya redio
@raykas99763 ай бұрын
Kuwa spika wa mabunge Duniani ata msukuma anaweza kuwa. Huko kuna utaratibu miongozo ilishawekwa , lkn kwetu utaratibu uliopo ni wa kukilinda chama Tamara.
@IsayaKivambilo3 ай бұрын
Kwa anae ijua siasa hapa waheshimiwa wawili spika Kwa nafas yake yupo sahihi na mpina yupo sahihi Ila Hana sapota
@DeusdeditMichael3 ай бұрын
MWANDISHI NI MBOBEVU WA MAJADILIANO. MAANA KUTOKANA NA MASWALI ALIYOULIZA NDIYO MSEMAJI AMEPATA KUELEZA MAENEO MBALIMBALI.
@mvunge71083 ай бұрын
Kweli kabisa Tulia hovyo mno, walitizama vigezo gani?
@maclaudismail66063 ай бұрын
Kwanini mumeongeza tozo kwenye bili za Tanesco maisha kwa sasa.magumu na munaongezea tena ugumu. Wabunge hamutendi haki kutotetea hali za watu munaowawakilisha
@TM-zs3rm3 ай бұрын
Amesema mambo mawili, kujitambua na kujithamini. Na si ukabila kujipigania. Ni uzalendo. Mwondoeni Samia hana uchungu nanyi sababu anafaidi Zanzibar kwao na sasa anauza Tanganyika. Wanaccm Watanganyika, machawa wa CCM , wabinafsi wafaidi wachache waunga mkono wa Samia wote wasiokuelewa ni mazuzu kama ulivyowaita bila kumung’unya.
@charlessheks71662 ай бұрын
Hata mimi nikotayar kumchangia mpina..
@issacklyandala70233 ай бұрын
Hatuna spika, kwakweli
@danielkanso3 ай бұрын
Mpina ni mbunge kweli kweli kuhusu haki huyo jamaa hana lakupoteza spika ameingia chaka
@kambalakafuko76953 ай бұрын
Weka namba tuanze mchango
@nakalikyumile32343 ай бұрын
Dunia ipi imemchagua?wazungu wanafiki mno,humpa cheo mtu hata fala,ilimradi alinde maslahi yao tu,huyo watampa kila aina ya sifa na tuzo"huyu wazungu wanajua yeye na serikali nzima wanalinda maslahi yao,ko lazima wampe hivyo vyeo,ila kiuhalisia pale hayupo mtu,
@JosephKembe-ee6bd3 ай бұрын
Kwakweli mpina ni mbunge anatakiwa kuwa mpinzani ili wananchi fufatirie binge kama awali
@mosesmaduhutv79853 ай бұрын
Tukipata wasukuma kama huyu 8 tu mbona banachimbika
@estachengula390221 күн бұрын
Bunge hatutaki kuliangalia wote lwasababu wanaangalia mambo Yao wenyewe halina mvuto kwa watanzamaji hamna kitu
@janiafaomaa51202 ай бұрын
HUYO MWANAHALISI TV WA MIDIA MWAMBIENI ARUDI AU AENDE TENA AKAJIFUZE KUHUSU UWANAHABARI ANAULIZA MASWALI YA UPUZI
@hamidabarraball31623 ай бұрын
Alishinda u spika wa wabunge duniani kwa sababu wabunge wa mataifa makubwa hawajagombea kwa sababu wameona ni upuuzi aliowashinda ni spika wa Ethiopia na malawi
@TNgwale-eu3xl3 ай бұрын
Hili suala la Sukari toka nje ni uhujumu uchumi. Ingekuwa nchi zenye watu wanaojielewa hawa mafisadi wa CCM wangewajibishwa tena haraka tu. Inashangaza wanafanya mambo ya kuua viwanda na Raisi anazunguka duniani kukopa 😂😂😂
@AzizihFarijala3 ай бұрын
Izalendo siyo kutetea makosa kila.mtu ni mzalendo mpina alikosea pale kuzungumza nje ya bunge kama alivyoagizwa.
@MalandoJilala3 ай бұрын
Waacheni tu sheria wanatunga wenyewe halafu wakiukaji ni wao pia, halafu hii tanzania viongoz hawatak kuambiwa ukwel, tukutane 2025
@abrahamnyagawa13043 ай бұрын
Tunataka mpina awe raisi wa nchi hii ya Tanganyika.
@sifunimelkizedeck8823 ай бұрын
Kwa yeyote mwenye mapenzi mema na hili taifa tuko tayari kumchangia mweshimiwa Mpina
@2003hintay3 ай бұрын
Hapo ni kujitangaza lakini hakuna kitu hapo wachangie wajiorodheshe mawakili lakini utashuhudia watakapoachwa utashangaa, waliungana akina mwambukusi walivochemka. Hakuna kitu hapo ni kutafuta umaarufu tu
@AbelJohn-tx4in3 ай бұрын
Na wewe mtangazaji uliza vitu vya pointi, tusije hasira zote tutazihamishia kwako, angalia sana hayo maswali yako, usiyaegemeza saaana kwenye uchawa, watu tumevurugwa
@RobertBitambaOfficial3 ай бұрын
Wabunge tunawajua wanaotutetea wengi wapo Kwa ajiri ya maslahi Yao.
@sainatv26883 ай бұрын
Mimi waga nawaza hawa viongozi tunawapa sisi kazi kwa kutuomba kura lakini wakishapewa uongozi wanakuwa juu yutu wakisikia unahoji kitu hata mwenyekiti wakitongoji anaweza kukupiga makofi badala sisi ndo ikibidi akizingua kiongozi tumchape hata viboko maana sisi ndo mabosi wake
Unajuaje kama hao mabeberu wamemzadia kwa sababu anakuulizia bunge kuhoji serikali na wao wanapata faida ya kuiba rasilimali zetu.
@Niika8703 ай бұрын
Yaani Basi tu, tunaumia sana raia wa kawaida, Dawa zilizo expered zinauzwa kweny maduka ya madawa, unanua mseto hupon maralia kumbe zilisha expere , zimejaaa, Hospital za uma hazina madawa kabisa, Ajira hakuna vijana wanazagaaa tu
@epafraditopajenga46503 ай бұрын
Dunia kumuona sio shida wala sisi sio wa Dunia sisi watanzania,na Duniani wanapendwa wanawauzia vipande vya nchi yetu
@musamhaya53193 ай бұрын
Boss kwa mbuge msukuma ni mnafiki kabisa,anahongwa hela kwenda kuuza bandari zetu----huyo msukuma ni fisadi,jizi na anahongeka sana kuihujumu nchi na wananchi.
@AlexIbrahim-m2j2 ай бұрын
Spika kupata nafasi ya uongozi wa mabunge ni njama Za majambazi na wezi wa maliasili Za nchi yetu kumpa offer kuwakubalia kuitafuna nchi yetu kupitia bunge la CCM ambalo haliwasaidii watanzania wanyonge
@joycmsokile92203 ай бұрын
Yaani, watanzania tuna ushabiki Sana na Mambo ambayo hatuyajui,, wengi tunafuata mikumbo tu, inakuwaje mwenzio anatoa mawazo yake,then unatukana au unamtukana mtu huyo
Mpina na mtetezi wa wa Tanzania, wengine wanajijua wenyewe wanacho kifanya
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Watanzania tunajua fika kwamba serikali ya ccm awamu ya 5 ilimuweka huyu Spika kwa maslahi mapana ya Waheshimiwa sana wa nchi na sio kwa faida yetu wananchi. Mambo aliyokwisha pitisha kwa nguvu kinyume kabisa na maana ya chombo hiki ni mengi akishirikiana na wingi wa wabunge wa ccm tunaowapa ridhaa,ama kupora uchaguzi nk
@gracemairusya29503 ай бұрын
awamu ya tano alikuwa ndugai huyu gender ndo ilimbeba.akawa naibu Uliona Ndugai alikataa kupitisha tozo wakamuengua
@AlHamra-k4u3 ай бұрын
@elibarikimolle awamu ya 5 alikuwa Ndugai. Huyo tulia kawekwa na Samia
@Jumacharlesmadale29583 ай бұрын
Awamu ya tano alikuwa Job ndugai
@hajihassan54333 ай бұрын
Mimi kufaa kwa Spika Tulia nakupima kwa kulalamiwa kwake. Binaadam kaumbwa mlalamishi! Bunge ni sehemu 2, Wabunge na Rais, Rais ni 51% ya Bunge anachokitaka ndio kitakuwa unamlaumu vipi Mhe. Spika. Bunge kwa ujumla ni dhaifu ni kundi tu la Mafisadi waliorasimishwa Kikatiba sio udhaifu wa Spika. Yupo makini na nusu Dr. Tulia.
@peterdaimon-ug6fd2 ай бұрын
Mpina mzalendo
@chaleteubadi45303 ай бұрын
Dunia wamemchagua wazipendi nchi za Africa ndo maana wamechagua sipka asiye faa
@SebastianNgimba3 ай бұрын
mtoe namba haraka ya kuchangia tumchangie mwamba wa magufuli wako wawili2 mpina na makonda japo makonda ni muoga kidogo
@karimmveyange2803 ай бұрын
FANYENI CHAP. TUNAELEKEA GIZA NENE MNOOO
@HonorataMafala3 ай бұрын
Zungumzieni tena vifaa. Vya ujenzi
@janethpallangyo38553 ай бұрын
Mpina ndio mwamba
@shabaniathumani17893 ай бұрын
Kuchaguliwa kwake ni kiini macho ili tijue tuna spika imara lakini ndio tunauzwa hongera ya kuwakingia kifua mabeberu kutupora mali wakaona wampe zawad ya cheo
@jesaminzo3 ай бұрын
Nami pia huwa najiuliza, hao wabunge duniani wanatumia vigezo gani? Au weusi wake ulimbeba? Kumbuka sujasena, "uafrika"
@issamustapha77003 ай бұрын
Haina sauti
@marandoruzali19463 ай бұрын
Mpina ndo kiongozi
@yunusimchala65693 ай бұрын
Mwizi tu huyo imetoka hiyo labda ahame chama ww fala tu mbona juzi mapato yameongezeka
@melkiorndemera64743 ай бұрын
Ata Mimi pia
@AbelJohn-tx4in3 ай бұрын
Alitumia nguvu za giza, vinginevyo asingechaguliwa, kifupi aliwapumbaza wajumbe, mpaka sasa wanajuta kumchagua, lakini imeshatokea hawana jinsi, maana hata wao wanashangaa walimchaguaje
@FatumaHizza3 ай бұрын
Usngee
@asteriashios18523 ай бұрын
Watanzania karibia wote wanapenda uzalendo tunaona yote yanayoendelea hivyo mpina ni mzalendo sana tunaempenda mpina kuliko wabunge wote maana Yuko sawa alivyosema juu ya bashe na mwigulu kwanza mwigulu hatumtaki kabisa sijui kafanya Nini rais
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Wao wakikchagua wanaona anawafs mbona hawachagui viongozi WA Bukinafaso akili ndogo utaeelewa hao ni wezi
@dostovan51423 ай бұрын
Tz chama kwanza nchi baadae
@tausikiyabo63022 ай бұрын
Muansishi unaonekana unamuuliza maswali unayopaswa kumuuliza spika usimtoe kwenye mstari
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Viongozi wa Tanzania wanawaonea wananchi kwa upole wawo. Wanafanya wanavyotaka bila wasi wasi kwa kujuwa kuwa hatuelewi na wala hatujuwi haki zetu.
@SanziNzige3 ай бұрын
Watanzania sijui tuna Nini jamani.hivi mzungu kabiss na akiri take atupe uspika wa mabunge duniani sisi! na sisi tukubali tu.eee.hawa wazungu wanatupiga upofu ili wazoe Mali ZETU kila kitu wanakijua sio WAJINGA hao mpaka tuwazidi akiri usomi na watupe uspika wa mabunge duniani.siamini HATA kido hicho kitu na kinanifanya nicheke TU.