Amazing 😍 majournalist wang I love from my heart ❤️ I believe one day yes like zuhura yunus 😍
@allykindamba98004 жыл бұрын
MA SHA ALLAH Nimependa Hapo kwenye kusoma Qur'an ALLAH afanye wepes ktk hilo
@mohamedwarsame23544 жыл бұрын
Anasoma Quran na pia anasema anacheza mziki badala kufanya istighfaar
@safiaothman10982 жыл бұрын
AAMIIN
@kareemnduma22784 жыл бұрын
Mashaa Allah umepndeza na mnaendana sana nyie watu❤❤❤❤♥♥♥♥💖💘💘💘💘💘💘💘💘❤❤❤❤💋💋💋💋💋
@hassanmsipi40944 жыл бұрын
Daaah wallah Raaahaa mapenzi Mubashara
@abdulkaole20114 жыл бұрын
My 2 favourite news anchors. Kale kasauti ka Zuhra akitaja “twira”. But Maa Sha Allah I love them, habari zetu zinatiririka fresh .
@maswamills3161 Жыл бұрын
Nawapendaga ,mkiongea Ni Kama hamjui kiingereza, dah!!! Kiswahili kimenyooka hakuna michanganyo.Hongereni saaaaaana.
@khadijaomar27234 жыл бұрын
Maa shaa Allah zuhura yuunuss
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Jamani nawapenda nyie,hamjui tu walaah ❤ from swiss
@migwa1004 жыл бұрын
mash_Allah nimependa conversation yenu nawasikia vizuri sana kutoka U.S. Da Zuhura kama hakuna mtu let me know nije huko London lol.
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Mashallah, nawapenda sana nyie watu 😄❤️
@juliusmangombela43964 жыл бұрын
Hongereniii sanaaa, mko vzr u make my day!!!
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Mashallah zuhura ila ingependeza sana mkawa mke na mume mmependezan sn
@hajivuai34544 жыл бұрын
Wahida kwani huyu Zuhura hana mume kweli?
@zulfahhussein5054 жыл бұрын
TItizo Salam yuko na mke Kwakweli Salim na zuhra ni tim zuri sanaa MashaAllaah
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
@@hajivuai3454 hana mume na hajawahi kuolewa na ktk interview zake kasema bado sana
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
@@zulfahhussein505 na mkewe kikeke ni mzungu ndo kabisa hawezi kua pa1
@Pedeshee014 жыл бұрын
Mathna
@winfredcanaan5824 жыл бұрын
Safi sana mpo vizuri ndugu zangu
@hemednassour47634 жыл бұрын
KAKA SALUM fanya usfanye nusra kwa DA ZUHURA tule biriani
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
ana mke na mkewe mzungu hawezi
@ilovejesus93034 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mariammussa25404 жыл бұрын
@@@zuleikhakhamis3303 Dini siyaruhusu uo uzungu kwio
@mamusmama28824 жыл бұрын
Iv Mke Mzungu Hua hawana mathna? ??
@abdulnaseerabdulhakeem9302 Жыл бұрын
@@mamusmama2882 ni kosa kisheria kwenye hizo nchi kuwa na mke zaidi ya mmoja
@juhudiacademy21704 жыл бұрын
"Eti mpaka mm nikaulizwa kwann sijafanya chocho." Salim Kikeke
@chidboy59034 жыл бұрын
Salimu kikeke A! wachekesha kwel ww mmh lakn poa tukopa1 sana yan nimekumiss sanatu
@tumainielishangwe86534 жыл бұрын
Nawakubali Sana salim an zuhura mwambie zuhra napenda Sana anavyocheka we nawe kwa vituko uko vizuri kila siku atacheka aspokuskia uyo Hana rahaaa
@abdallahali39244 жыл бұрын
Nimefurahi kukuona anti Zuhra bt ngoma usicheze ni haramu kwetu waislamu
@kamikazisalma52092 жыл бұрын
Manshallah tabarakallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 da Zuhura nimpenda cheko kama mimi manshallah 😂😂😂😂😂😂😂
@sleyumomar36374 жыл бұрын
Salum unakwama wpi chukua mzigo huo kila siku unapiga domo tuu Au unaogopa
@mshumbusideogratias95674 жыл бұрын
Kikeke sema ukweliii unakapenda sana haka kadada
@ilovejesus93034 жыл бұрын
😂😂😂 jmn sijui kwanini hawakupandiana jmn. Ila Mungu akakuwaga na mipango yake
@deogratiusdaud35774 жыл бұрын
Nyie watu Nawapendaaaaaaaaa Dah! Kikeke najuwa umeowa Ila dini inaruhusu chukuwa jiko Hilo kka
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
mzungu mkewe hawezi
@zuhuramuhanga54004 жыл бұрын
Wajina na mr kikeke owaneni itapendeza zaidi
@zumamarande32424 жыл бұрын
Mmependeza sanaaa nimewapenda chapeni kazi Achaneni na watu wanao wabeza hawajui uandishi nini piga kaziiii
@hakizimanasaidi49764 жыл бұрын
Asww vip ndugu zangu. Hakia mung Munatuchekesha sn kwakweli 😀😀
@majirakusagajnr44494 жыл бұрын
Mpo vizuri lkini sasa mpo kama MAKUADI, hakika kwa sasa bro KIKEKE nikikuona nahisi kichefuchefu kwa jinsi unavyoandika taarifa kanjanja za nchi yetu Tanzania. Go east, Go west, home is the best brother!!
@saidjuma97824 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Ama kweli Ujinga ni Donda la Kichwa alonalo Halioni... Pumbav wee 😂😂
@Hassanmofty4 жыл бұрын
Nawapenda jaman mungu awawekee sana
@farhiyachina63084 жыл бұрын
mashaAllah
@omaryshabani47044 жыл бұрын
Ni zaidi ya urafiki
@kharounngavason80122 жыл бұрын
SALUM Nnahuzuni sana ZUHRA nntapataje Naomba hata nimsalimie kwanamba BBC ctomwona ntamwona wap
@othmanal-nabhany92434 жыл бұрын
Salim vipi ww unafanya ibada unasoma Quran?? Jitahid kama nduguyako hapo Dadaa Zuhra
@davidmrisho75884 жыл бұрын
Interview safiiiiiii nawapata vizur
@samanthaali8734 жыл бұрын
Masha Allah hadi raha
@kimweritz63642 жыл бұрын
Our Great Journalist in Tanzania
@noonoom90164 жыл бұрын
Kwa raha zenu wenyewe...... 👌
@benjaminkapelah76642 жыл бұрын
Hawa ndugu zetu Wana chemistry na wanatuwakilisha vyema
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Nice...
@yusuphathuman92404 жыл бұрын
Nawakubali wandugu zangu
@hassanmsipi40944 жыл бұрын
Wallah ninawapenda buree ila Zuh nilijua unakatoto kakike,, Mimi nilianza kupenda kutazama habari za BBC kwasababu yako na baadae nikamuelewa kikeke na wengine
@mrj53224 жыл бұрын
That's Fantastic,, Zuhra na Salim,,
@kungwabaruani45593 жыл бұрын
from karen nairobi here following you thank you for joining us
@christinelema58954 жыл бұрын
😍😍😍
@zeanamuhsin90054 жыл бұрын
Zuhra kama khalti yng
@twayibmood73194 жыл бұрын
Salim muowe uyo mtoto wa kizanzibar anakupenda sana Na ww zuhura umri uwo upo single haiwezekani unafanya amali gani ww na unakaribia kuzeeka tena matamanio yako unayapeleka wapi
@zubedaseif29504 жыл бұрын
Salim kikeke ameoa mke wa kizungu na ni mtangazaji mwenzake hapo hapo BBC unawajua wazungu kwa sheria hakuna mkato. Kwa hivyo haiwezekani.
@sakinat25274 жыл бұрын
Hhhhhh eti anapeleka wapi
@capronsuri40614 жыл бұрын
Salim you telling her ready
@florakankutebe39874 жыл бұрын
KIKEKE, huku ZUHURA safi sana
@QueenLady45-hh5dhАй бұрын
❤❤❤❤❤kaka naomba namba yako kuna kitu nahitaji msaada wako tafadhali
@kharounngavason80122 жыл бұрын
Maashallah najikumbusha dahhh
@samoocoolingsystem934 жыл бұрын
Nyie Watu ❤️💑🥰🥰😍😍😍
@jamessiame41744 жыл бұрын
Nawapata vizuri apa Lusaka zambia
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Maasha Allah Bi Zuhura Yunus.❤❤❤
@damasiuspetro51783 жыл бұрын
Ilikuwa show ya hatari sana Ilipendeza
@isayaloliti93084 жыл бұрын
Salim nawapata nikiwa Norway hiyo naelewa vizuri ndoo maisha yetu pia hapa Norway. Nawapongeza kwa kazi izuri sana BBC na poleni sana kwa hili janga la Corona.
@mutaremwabusoni72874 жыл бұрын
Zuhura yunus Ni ninamupenda sana Tena sana kwakweri Naomba niongena.kwasimu nitafura.mungu anisaidie Mimi Naishi.rwanda nimezariwa Tanzania ina itwa Mutaremwa
@jafethpeter57064 жыл бұрын
Kweli
@Omanomanoman-zw5un4 жыл бұрын
We Kaka unajua unajukumu km hukuuowa huyu dada km nae atakutaka
@somandamwenyemvutotz84952 жыл бұрын
Mambo nimoto mko vizuri
@chunanachu25294 жыл бұрын
Raha sana kuwangalia hawa watu mnapendeza kuwa mke na mume na mke
@jarsjam88944 жыл бұрын
Unatakiwa usome Kila siku sio ramadhani tu. Jitahidi mamangu
@simonkaggwanjala95974 жыл бұрын
Itakua anasoma sema kwa Ramadhan ndio anajitahid kumaliza msahaf wote
@fatmamagingi86964 жыл бұрын
Yes truth
@alhabibnachoaly30184 жыл бұрын
Vchwa vwili hapa zuhra pale Salim aisee inapendeza sana
@sullypandu1854 жыл бұрын
Da Zuu inakuaje apo tena kusoma Qur ani na kucheza mziki duh apo sio dada
@jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын
Kasema kabla ya ramadhan
@ibrahimaboker90864 жыл бұрын
Salim kama zuhura hana mtu basi mi niko tayari tufanye sunnah ya mtume wetu MUHAMMAD Pbuh. Mi ni mzaliwa wa pangani
@emmanuelzao4 жыл бұрын
Bro mligongana mbezi beach?😀
@jinaali43704 жыл бұрын
Mashaallah! Tanzania inatisha popote, mko vyema wapendwa!
@jarsjam88944 жыл бұрын
Pia Wacha kusikiliza music ni haramu
@kareemnduma22784 жыл бұрын
Mashaa Allah mwenyezi mungu akupeni afya njema na umri mrefu pia ❤♥💘😗😘😙💋❤💘♥❤♥
@saidmsuya82764 жыл бұрын
Nic
@aishasaid57024 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha mmenichekesha nyinyi
@ibrahmizambwa51934 жыл бұрын
Kikeke unawahojigi kina samata, wanyama obua na wengine.. Strikers... Em na we maliza bas kwa huyu, mbona mtamu sana!
@gidiyonibucumi13604 жыл бұрын
Hello
@aminaally2424 жыл бұрын
Kiswahi kimefika sehem pake
@kinogekimbeho37814 жыл бұрын
Pumu mbona ugonjwa mdogo sana njoo ntakutibu bure
@nasramasimba35324 жыл бұрын
Kinoge Kimbeho unatibuje
@hajiha65074 жыл бұрын
Acha mihemko utakufa
@joemaabdarha97954 жыл бұрын
MNAPENDEZANA SANA MIMI NILIJUA MTU NA MKE WAKE. OWANENI ITAKUWA POA SANA
@kennedyjohn67884 жыл бұрын
Ebu tuambieni ukweli mligongana vip maana mnaendana kwelikweli kwaiyo semeni ukweli mbona mnatufumbafumba
@sheddykayanda43694 жыл бұрын
😀😁😂😂😃corona bhanA nooomaa
@linkreuben58044 жыл бұрын
Kumbe mnakujaga Tanzania Kwanini mnaibebesha Tanzania zigo la corona corona corona kila siku. Hao Wazungu mnao watumikia ona wanavyo waua watu kama kuku! Mlaaniwe katika Jina la Yesu. Ameni!
@rahmaabdillahi27954 жыл бұрын
heee.....laana tena?
@linkreuben58044 жыл бұрын
@@rahmaabdillahi2795 we unaonaje? Kama Tanzania ungekuwa nchi yako unaona inachafuliwa....tazama uone habari bbc swahili, utadhani corona ilianzia Tanzania. Hao Wazungu wenye corona, tena wanaua watu hadhalani, bbc hamuwasemi. Laana juu yao katika Jina la Yesu! Tunaipenda Tanzania na Raisi wetu! Watuache!
@aswamsumohd58634 жыл бұрын
Unapomuombezea laana mwenzko na akawa hastahiki ile laana bc unalaaniwa ww kuwa makini
@linkreuben58044 жыл бұрын
@@aswamsumohd5863 usinifundishe hayo mambo, hauijui misimamo yangu. Najua fika nilichokiandika! Tanzania sio nchi ya kichafuliwa musimu huu, elewa hilo!
@aswamsumohd58634 жыл бұрын
@@linkreuben5804 pamoja na ivo tumia hekima na busara na sio kulaani wenzko
@nassabtransportation70244 жыл бұрын
As,alyekum Mimi namtafuta nimpose kwao wapi namba zake zipi
@hassanmsham97224 жыл бұрын
Alishasema "Single but not available" mm mwenyewe nilikuwa namtaka lkn ndio ivyo
@nassabtransportation70244 жыл бұрын
tumia mbisi za baharini nalimau pumu zina kwisha au ulizia kariako maduka yakienyeji nataka Dawa yapumu mbisi zabarini watakupatia siku tatu bai bai inakwisha pumu
@zarcokundy16684 жыл бұрын
we kikeke
@shadowmedia76444 жыл бұрын
Kupata zaid vitu bora twmbelelea channel yetu shadow official TV
Masudi Chukuwa mzingo huo weka ndani nafasi unayo ya kutosha tu.
@ilovejesus93034 жыл бұрын
😂😂😂😂
@capronsuri40614 жыл бұрын
Salim
@abuusuleym36764 жыл бұрын
owaneni tu nyie mtazidi kupendeza
@hamisimkulupalile94614 жыл бұрын
Zuhura
@zahranmimibahamasnawimbled65464 жыл бұрын
SIO ZUHURA ZAHRA AU ZUHRA
@mariammussa25404 жыл бұрын
@@@zahranmimibahamasnawimbled6546ZUHURA
@twayibmood73194 жыл бұрын
H
@hasnuuomar80804 жыл бұрын
Mshll zukhr vs salim
@mamunote35072 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Tabaraka Rahman Mungu awabarikie sana Ameen
@salum63343 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@miracleslike37754 жыл бұрын
wataalam
@iddysaleh60504 жыл бұрын
Kaka silim nahitaj mazungumzo na ww
@hamisimkulupalile94614 жыл бұрын
Zuhura
@hemedjackson22614 жыл бұрын
Nyie washenz tu munatomika na wazungu.
@mishiwamunyu70634 жыл бұрын
you are very stupid and arrogant mshahara wao wa mwezi ni wako wa mwaka nkt
@rahmaabdillahi27954 жыл бұрын
kuna ambao wakohuku na wanafanya unyapara zaidi yao.....
@samiralaakif82714 жыл бұрын
Hemed jiheshimu uheshimiwe. Sio sawa kuwatukana wanaotafuta rizki zao popote hiyo ni hasada.
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
jealous never win ndo mn umeandika hivi ila jiheshim sisi wenzako tupo ulaya tunalipwa kwa kila lisaa 1 wee ngojea mshahara mpk mwisho wa mwezi ata cjui km unafanya kazi na cc wa ulaya kila wiki hela inaingia benk isitoshe saiv mishahara iko kiwango cha juu pia hatuendi kazini na tunalipwa
@errydeo88654 жыл бұрын
Saaaana tu yaani ni wasenge sana,they are used by biased BBC!they are fools! You may think they are not Tanzanians,wanavyoreport abt TZ.Naishi UK pia,wamekufa hapa kama kuku na lockdown Yao!ila ikifika kuhusu Tz,utafikiri wamekufa millions!be patriotic fools
@ramadhanisamata74854 жыл бұрын
Zuhura,kuhusu Pumu. Niruhusu nikupe Dawa up one kabisa Inshaallah!! Kama utapenda!
@ELLYSTVONLINE4 жыл бұрын
Naomba nitafute whatsapp +919512244726
@juliusmangombela43964 жыл бұрын
Dada Zuhura, unaongea vzr pia tumia neno asthma na sio pumu
@TamuzaKale4 жыл бұрын
Pumu Kiswahili. Asthma Kiingereza. Kwanini atumie neno la Kiingereza wakati lipo la Kiswahili?
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Saasa akisema.pumu.kakosea wapi wacheni ushamba huo
@farhatfatma124 жыл бұрын
Atumie Asthma? Mswahili kindakindaki , anaeishi maisha yake kwa KISWAHILI antumie neno la kizungu. Wazungu wenyewe hawa wanaotuuwa kila siku? Mental slavery.