Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu
@janerosejohn83737 ай бұрын
Yote Ni ubatili mtupu
@emmanuelfari89247 ай бұрын
Amen UBARIKIWE zaidi 🙌🙌🙌
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Hakika, yote ni ubatili mtupu pasipo *Yesu Kristo*
@kazimilykulwa25167 ай бұрын
Fact kabsa,
@saidjuma97827 ай бұрын
Yesu ndo nani??? Nyie hapa duniani hakuna maisha bora tufanye ibada tukaishe maisha ya milele
@Babuu2007 ай бұрын
Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥
@ndayisengaamissi61027 ай бұрын
anajua na anajua tena😊
@cosmasjulius7 ай бұрын
AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)
@johnsonchonja40327 ай бұрын
Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯
@Rmkh886 ай бұрын
Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui
@EliahParpulisEvalyneMkulati7 ай бұрын
Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.
@user-oo7vr4cb7r7 ай бұрын
Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk
@alhabibsudi79977 ай бұрын
“Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako. Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani, Well done Kikeke
@athmanmzee71447 ай бұрын
He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.
@deodartngaiza66647 ай бұрын
Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.
@banguha7 ай бұрын
Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku
@melkizedeckelsonmbise44247 ай бұрын
One of the best interview.. Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.
@severinmbanza49507 ай бұрын
Hata mm kabisa, BBC sifatilii tena
@barakafundo92087 ай бұрын
One of the coolest interviews Big up mwandishi
@sylvestercameo62637 ай бұрын
Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!
@malimachacha45007 ай бұрын
Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake
@ephrahimmasiko98737 ай бұрын
Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.
@waltergilbert39677 ай бұрын
kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu
@annasolomon98557 ай бұрын
@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅
@nancyg86647 ай бұрын
@@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza
@ireneseth7 ай бұрын
Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko
@paulalove12237 ай бұрын
@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂
@damariszuckschwert94897 ай бұрын
Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂
@atenionesmo_A102 ай бұрын
hiki ndo nachojiuliza
@mohamedmacha7 ай бұрын
Hongera sana Salim Kikeke. Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.
@stevenvictor4377 ай бұрын
Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.
@martinsntonyo85377 ай бұрын
Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya
@user-pj1tb5xz1t7 ай бұрын
Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.
@victorsabuni68017 ай бұрын
very professional interview congrats🎉
@gasperymisungwi9607 ай бұрын
Kikeke is a star, inspirational and talented
@monicasimpilu62577 ай бұрын
Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤
@winnerjudith20077 ай бұрын
ni mtu wa mbeya?
@monicasimpilu62577 ай бұрын
@@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi
@MrNdanguza7 ай бұрын
@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.
@UsafiMichael-mc8kt7 ай бұрын
@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy7 ай бұрын
Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.
@kekiplus1andonly7 ай бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken. No wonder tunampenda,
@EstherKisandu7 ай бұрын
Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌
@user-to9ci3ng3z7 ай бұрын
Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu
@lusekelogerald47147 ай бұрын
one of the best interview in this year🔥🔥🔥
@nobody072417 ай бұрын
Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji
@lelomellowtz7 ай бұрын
• Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.
@kautharyhamza67317 ай бұрын
Well said
@mandalorian_4.117 ай бұрын
Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.
@UsafiMichael-mc8kt7 ай бұрын
Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje
@aciamwinyi39917 ай бұрын
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.
@SalamaNauthar7 ай бұрын
Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥
@dreamboy56747 ай бұрын
Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis
@SalamaNauthar7 ай бұрын
Salim Kikeke ❤️
@annamussa1857 ай бұрын
Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍
@robertlinuma60517 ай бұрын
Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .
@joshck41177 ай бұрын
kwake ni sababu za msingi
@lydiabandio94166 ай бұрын
Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.
@augustuss45037 ай бұрын
Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.
@khamisjuma85017 ай бұрын
Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home
@chibunews56427 ай бұрын
Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna
@khamisjuma85017 ай бұрын
@@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania
@kdloon20307 ай бұрын
@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!
@mpwaguzipwagu31997 ай бұрын
😂😂😂
@JacoboleKampuni-px9rd7 ай бұрын
Legendary
@gigoyrn43947 ай бұрын
😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania
@abelianraphili51507 ай бұрын
,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe
@mayaally25127 ай бұрын
Njoo upauke pumbu
@edwinkinyamagoha12287 ай бұрын
IGA ufeee 😅😅😅
@Pedeshee017 ай бұрын
Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.
@emilysanga76627 ай бұрын
Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana
@OteshaTime_Services7 ай бұрын
Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni
@ayrunyjtayruny2797 ай бұрын
Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿
@JackobGalish-ky3no7 ай бұрын
A very good interview
@ztvonline25237 ай бұрын
Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥
@anthonygenge43667 ай бұрын
Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉
@victoriaowen9097 ай бұрын
Role model💕🥰
@user-hq8fo4ph4p7 ай бұрын
Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo
@starlonejadamskp82247 ай бұрын
Genius man🎉
@godfreychaula39697 ай бұрын
interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea
@joelsamwel25807 ай бұрын
Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo
@wahapahapa32797 ай бұрын
Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations
@neema_mollel7 ай бұрын
Nampendaga sana kikeke
@user-hq9jf5gs5w7 ай бұрын
Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari
@VicentMark7 ай бұрын
Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother
@egbertcharles7 ай бұрын
Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu. Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@SaadIssa-mw4gh7 ай бұрын
Tanzania very social country ❤
@nahlahassan-fd6le7 ай бұрын
Point❤
@winfridamwigilwa21077 ай бұрын
Kabisa yaaani ulichoandika
@samwelmichaelchangarawe58007 ай бұрын
nakumbuka enzi za covid kuna siku nimeingia kwenye lift kaihong mall wachina wakatoka wote 😄😂
@egbertcharles7 ай бұрын
That was normal. ... Which city were you living ? @@samwelmichaelchangarawe5800
@user-qf3so2qk6l7 ай бұрын
Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara
@geofreygomela21187 ай бұрын
I learn alot
@kamikazisalma52097 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@barakarobertmochungu7 ай бұрын
Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke
@vt-kn6qf7 ай бұрын
Sio nguri Brother ni nguli ok
@salhamrishoi49437 ай бұрын
Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤
@user-xq4en6qt7e7 ай бұрын
Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media
@hassanabuu67 ай бұрын
Awesome interview ❤
@samwelnaal79527 ай бұрын
Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania
@josephlorri4317 ай бұрын
Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw
@petermanala61383 ай бұрын
@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂
@user-fc3og1eo3x7 ай бұрын
Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro
@medardsotta52117 ай бұрын
Legendary Kikeke!
@amibeamibe72617 ай бұрын
hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.
@user-di8me2wb7p7 ай бұрын
Masha ALLAH
@NuelyAlphonce-ts2dx7 ай бұрын
Namkubar sana salim kikeke noma kweli
@user-fb9tp8ol1s7 ай бұрын
Mwenyewe niliishi pale Sheffield ila siku ya mwisho nikarudi nyumbani
@kekiplus1andonly7 ай бұрын
Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza
@elsonkingtz45067 ай бұрын
😂😂, salm twambie ukwel, sema hivi nimefanya kaz kwa muda mrefu kila nikitaman kua mtu mkubwa mwenye pesa nashindwa nikaamua Nije Tanzania kutoka na kias cha pesa nilicho nacho nikirud tz ni pesa ya kutosha😂😂😂😂😂
@ndayisengaamissi61027 ай бұрын
@DENISDIGITAL😂😂😂eti:"sawa Salimu."😂😂😂😂😂
@pceodhc7 ай бұрын
Great interview! 👏🏾
@Stan-1037 ай бұрын
Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅
@songweforecast96857 ай бұрын
MTANGAZAJI YUKO SO SMART,ANAULIZA MASWALI STANDARD,AMETULIA,HANA PAPARA...... NAKUONA MBALI..
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Anaye muhoji pia ni nguli
@israelkisaila84017 ай бұрын
Elimu pia zinasaidia sana
@veniciacharles88517 ай бұрын
Interview nzuri nimeipenda,
@annamussa1857 ай бұрын
Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗
@ndukulusudikucho_7 ай бұрын
Ila suala kutunza ahadi wageni wengi hulalamika juu ya Wtz kutokutunza ahadi pindi wanapo ahid kukutana na mtu mwingine, lingine ambalo bovu ni customer care ni mbovu mno
@salminasalim56307 ай бұрын
Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho
@mweusisimba71857 ай бұрын
Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya
@khamisjuma85017 ай бұрын
Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar
@akleiludovick98537 ай бұрын
Seriously 😮 binafsi naplan za ku relocate USA.
@helenarhobi12507 ай бұрын
Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!
@j4amas57 ай бұрын
Sunnah hiyo
@mustavic77507 ай бұрын
Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti
@rahmahersi65847 ай бұрын
Very sad.. We.missed Night News!!!!!. Kila la kheri...
@kdloon20307 ай бұрын
Ni kweli tulioko nnje ya Africa tunaishi maisha ya upweke mnoo,kuongea ni ukiwa kazini,ukirudi home huna wakuongea nae,ni kutazama TV tuu,au kutazama vituko vya bongo kwenye sim.Madem nao wakisha fika huku,nyodo nyingi kama madem wa bongo movie.😢
@personpeter22217 ай бұрын
Nmechoka kukaa bongo miaka 27 bado cjafankiwa au ndo bongo bahati mbaya??? Nataman niende ulaya nkaishi maisha ya kipweke kuliko hiz shobo zero
@marianneadams14437 ай бұрын
😂😂
@DoreenMwakibinga7 ай бұрын
Umetumia akili kurudi ili kuinteract earlier na Jamii waone ulichonacho hukusubiri na hukusita Big up
@user-bu7rq6tk2c7 ай бұрын
Karibu nyumba mpendwa wetu
@TheboyTz1-yf3xl7 ай бұрын
Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu
@aminanamoyo837 ай бұрын
❤🧡
@vascostanleymbise89937 ай бұрын
Una kitu kaka, Utafika mbali
@WorshippersofGodarmy-ot1mk7 ай бұрын
Hongera rafiki yangu, katk radio
@lusianbenedict61667 ай бұрын
Nimeipenda hiyo narudi nikiwa na Nguvu Bado
@nancyg86647 ай бұрын
Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.
@elishasamwely87127 ай бұрын
Hongera sana kaka nakukubali
@umsulaiman74687 ай бұрын
Kikeke tunakumiss kwenye dira ya dunia ww na Zuhra imekuwa siku hizi hatuangalii dira ya dunia mlikuwa vizuri sana tunawapenda sana na kuwatakia kila la kher
@MK-mz8bz7 ай бұрын
Kwa hao waupe muda ni pesa lakini waafrica muda ni kuonana tu
@khadejakhadeja97137 ай бұрын
Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka
@SaadIssa-mw4gh7 ай бұрын
Home sweet home,Bongo tamu kwa mwenye akili huenda ughaibuni kutafuta kisha unarudi Home kula chafi
@barakajonas32097 ай бұрын
Karibu sana nyumbani Arusha
@lyrics_forum7 ай бұрын
Millard Umetisha sana Huyu dada anayeongea Voice Over yuko vyema sana, nadhani maskio yangu ndio mara ya kwanza namsikia Mwanamke akireport katika Media yako. Kongole sana
@MusaMkembela-ex6ev7 ай бұрын
Mwanamke gan?
@SOMEtimeTV-qw3wq7 ай бұрын
That is
@Wajiz07147 ай бұрын
Huy jamaa msomi Nana wangekuw wenzet wa bongo neno Moja kingereza , Lakin jamaa aongea kiswahili kitupu
@halimamremi53757 ай бұрын
NAKUPONGEZA NDUGIANGU KWA KURUDI NYUMBANI NA KUTHANI UTU WAKO NA TAIFA LAKO KILA LA KHERY INSHAALLAH!!! ❤❤❤
@davidole82577 ай бұрын
Yupo vizuri sana natamani ningekuwa na kituo changu ningemleta huyu mwamba lkn kwenye zile 5G daaaaah kaumia kweli lkn kasema ukweli kwamba Simba walizidiwa
@kafwimbimilambo85567 ай бұрын
Ongera saana salim kikeke
@mohamedhamad23747 ай бұрын
MTANGAZAJI ANAULIZA VIZURI NA SALIM KIKEKE ANAJIBU VIZURI. MMEFANYA POA SANA KIUFUPI MNAJUA MNO.