Uko vizur kikeke ww na zuhura yunus mko juu sana Nawapenda sana
@epifaniamponda44915 жыл бұрын
Huyu brother kikeke bhana nampenda wallah dah sauti yake tu mimi ndoinanikoshaga ameenda nje lakn kiswahili kipo vzr hakija haribikiwa na rugha ngeni 💪💪💪💪💪🙏🙏🙏💕💕💕💕
@muuchaynampembammoja75815 жыл бұрын
Sas ukute mtu ameend cku 3 tu yaan amesahau had kiswahil
@edson_6195 жыл бұрын
Saut nzuri,,,,
@elenzianjk55435 жыл бұрын
Epifania mponda wewe upo ndani lakini unaandika "rugha" badala ya "lugha" ukisafiri si ndio itakua taabu!?
@mr_yassinofficial5 жыл бұрын
Burundi tunampenda saana salim kikeke ❤🇧🇮
@juniormsisi8345 жыл бұрын
Asanteni Sana kwa kunipenda
@aslamrashid76904 жыл бұрын
Ndio tuko pamoja
@goodnessmchome24295 жыл бұрын
Kikeke napenda utangazaji wako upo vizuri kwa kweli
@djfiremoto34295 жыл бұрын
HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂
@saheedali74675 жыл бұрын
MBONA amekwepa suali LA uraiya.
@shabanmliuka21784 жыл бұрын
Safi. Kwa maelezo hayo
@kasimuyahaya40105 жыл бұрын
Umetufunza mengi kwenye interview yako unaitangaza Lugha ya Kiswahili vizuri
@mimosapudica18945 жыл бұрын
Ukimsikiliza Kama anatangaza kumbe yeye ndiye anahojiwa...GOT
@frankmandaya41415 жыл бұрын
Wanaojua kiingeraza hawajisemi, ingekuwa waswahili wenzangu na Mimi ingekuwa yes, no, uknowoo mbwembwe nyingiiiiii pumbavi zenu
@ibrahimhungu47835 жыл бұрын
Frank Mandaya 😂😂😂
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Umeona ee
@omeysuper5 жыл бұрын
kwel kbsa
@josephramadhan7675 жыл бұрын
mara as you know ,may be ,oh this is impossible upumbavu mtupu ,lkn hawa wanaojua kiingereza hawazungumz wala hawajionesh
@lwihokajigili245 жыл бұрын
wandali mko wapi gonga like hapa
@thomasraiton77605 жыл бұрын
Unatakiwa nawewe uwe connected, nimeipenda sana hii kauli, lazima ujue KUJIONGEZA
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Umeonaee
@ayoubfrank25725 жыл бұрын
Hahaha
@amanikinisa58645 жыл бұрын
Hongera sana kaka salim kike kwa kweli kazi yako ya utangazaji unaifanya vema sanaa.Lakini Tanzania ndio nchi yako hapo uwe wazi.
@malidimkungu51552 жыл бұрын
9
@maanomohammed16195 жыл бұрын
One day ntafanya nae kazi inshaallah
@allyhamad7805 жыл бұрын
Ameen
@frankmnale19005 жыл бұрын
Kiswahili pure Hakuna kujifanyisha KiswaEnglish kama wenzetu walivo
@grecioussilas98855 жыл бұрын
Salim kuhusu urai umetukwepa...hapo sema ukweli nikikutazama uingereza pameshakumeza sana
@ismailbuchwa3985 жыл бұрын
Hilo linaeleweka kabisa mana ukitumia passport ya uingereza una opportunites za kuzunguka takriban dunia nzima bila visat
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Love you Brother *KIKEKE* napenda kazi yako, uko vizur sana.
@adilhabib8988 Жыл бұрын
Nic
@norbethathuman97395 жыл бұрын
Sijasikia kizungu hapa ila angekuwa mtu anayeishi tz shida kwa kweli ze is kibao kwenye maelezo
@janestanslaus25175 жыл бұрын
Do you have something against the English language?
@shumamasima67475 жыл бұрын
Heheee duu kwel the, is, OK kibaaao du
@brownjulius85144 жыл бұрын
Atar
@tumainlyimo92305 жыл бұрын
Bro kikeke unaishi maisha ya kiualisia,safi Sana kaka nmefurahi
@nan87315 жыл бұрын
Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos
@SuperKibwana5 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana kuhusu Ndugu Kikeke. Asante sana Milad Ayo, Asante sana Salim Kikeke.
@thegirl14055 жыл бұрын
Masha Allah hongera sana yaani nimeipenda story yako 💪 💪 💪
@hashimsalim42285 жыл бұрын
Ukhty, asalam alaykum!
@Bensonfrank255 жыл бұрын
KIKEKE ANA SAUTI NZURI SANA! Dope voice
@jaybrown9338 Жыл бұрын
Tapeli tuu uyo uku UK Maneno mengi bila vitendo
@abdallaramadhan38505 жыл бұрын
Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.
@bitequity8455 жыл бұрын
Yaan BBC akitangaza yey napenda sana..love this guy so Munch
@yassinm695 жыл бұрын
Kumbe sauti yake ya utangazaji kazaliwa nayo huyo ni Salim kikeke
@Diamondvideomix5 жыл бұрын
Talented one 🤩
@helenamwaipopo9675 жыл бұрын
Ni mtangazaji mzuri pia sauti yake inavutia kuendelea kusikiliza BBC in Swahili big up bro
@shumamasima67475 жыл бұрын
Kikeke saut inakubeba xaana hongela saana bg
@jplanbaharia97034 жыл бұрын
Kwel
@massawejacob Жыл бұрын
Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂 Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana
@eliazarinyakiema19694 жыл бұрын
Bora tukalee watoto England,, paundi 15 kwa SAA😁😁😁
@bakilingwelegulile40624 жыл бұрын
Inshaallah A dream a coming to be a true my brother from another mother
@furahambwembwe80055 жыл бұрын
Presenter,are u from Forest Kongowe Kibaha??
@festohamad41745 жыл бұрын
Namkubali brother salim kikeke
@khadijak30655 жыл бұрын
Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana
@khadijak30655 жыл бұрын
@likoni tv salaama alleyko daaa asanteee nashkuru sijui atanisikilza nakuomba mungu anisikilize anatumia jina hilihili.
@khadijak30655 жыл бұрын
Asantee tayari nimesha mtumia ujumbe asantee nashkuru sana
@maryammaram26125 жыл бұрын
Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman
@khadijak30655 жыл бұрын
@@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa
@juliusjohn94535 жыл бұрын
Mwanao utamuachaje?
@yusuf02said65 жыл бұрын
Maswali yamezidi kuwa personal sana duu. Huyu
@amenyemwansile79434 жыл бұрын
Aah kumbe ni mnyakyusa wa mbeya big up Kaka mkubwa
Ndo maana wazungu hawazaani, maana kwa jinsi alivohadithia malezi ni changamoto.
@canaltanganyika2672 Жыл бұрын
Hongera sana, kwa kazi zako bwana Millard Ayo. Ninaïtwa Madiba niko DRC kama muandishi wa habari.
@masuseleman9785 жыл бұрын
Kamanda kikeke.one love bro
@roseswai55705 жыл бұрын
My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.
@ashatabibu79515 жыл бұрын
safi kikeke mashaaallh
@estargabriel83625 жыл бұрын
huyu jamaa yuko vzr sana sio mtu wa kujikweza wala hana majivuno ww ndo mzalendo
@amourzubeir73064 жыл бұрын
"Wakupe muda ambao unarandana na kazi yko" dah!! Big up kiswahili hicho yani yupo sawa huyu kaka
@eliasaharuna45065 жыл бұрын
Wauuuu salim
@philimonphilipo725 Жыл бұрын
Salam kike nakuomba njoo msadie mama kuendesha Tbc pls
@happinesstesha70612 жыл бұрын
Nakupenda sana kikeke nisipo kuona unatangaza bbc dahhh, kazi yako naipenda.
@jerryalfredngailo61065 жыл бұрын
Uko poa brother salim nakukubali kabisa ndagha mwalyafyale ila kaa sawa na mkeo mtunze watoto vizuri
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akulinde
@josej98885 жыл бұрын
Safi sana Brother.
@sheisgodorait57215 жыл бұрын
Yaani Wewe nakukubali nimtangazaji moja wapo wa mfano ubarikiwe
@ntemilimbu41975 жыл бұрын
Upo vzr sanaaa
@gidionmsuya53405 жыл бұрын
Huyu bro akitangaza gem za epl ni balaa anajua na sauti yake amazing sanga nampenda 😍
@agapesaligawesasaligawesa27815 жыл бұрын
Yes Maischa ya uku ukizaaa mtoto mnalea wenyewe
@isayajuma66355 жыл бұрын
Safii kaka
@laurentmaganga1027 Жыл бұрын
Kikeke you are a star
@mohamedmohamed6145 жыл бұрын
Duh umenifurahisha hapo kusema raia wa ulimwengu kikeke heshima kuwako;because wewe umetembea na huuna akili za kikaburu za watu wa bwani
@elicatustryphone79494 жыл бұрын
Ayo tv juuu sana Salim kikeke juuu zaidi
@flaviousbenedict64895 жыл бұрын
Huyu jamaa nampenda sana kwakweli ni mtangazaji mzuri sana. Siku hizi mtu unaishi popote kikubwa ni pesa na uhai
@JacksonJohannes-ui2gw Жыл бұрын
Nihoji mimi niwape hakiya salimu kikeke kuacha kazi nitashirukiana na prophesied 11 katega kuwafunua ufahamu tunampa hongera
@janethpallangyo26334 жыл бұрын
Nakukubari sana brother
@ashuashu38435 жыл бұрын
Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.
@ithnaothmani49914 жыл бұрын
Uko vizuri sn
@fextomaturo78155 жыл бұрын
Daaah me nataman ligi ya EPL ianze tyu nimemic Sanaa's hyo ligi
@micamathew64335 жыл бұрын
Dahhhh hapana, mimi siwezi kwenda kuishi kule, dahhh, maisha ni magumu mno...
@timezonlinemedia26655 жыл бұрын
Realistic
@njembeyehaonga5837 Жыл бұрын
❤❤❤❤kaka safari njema
@elimishanyamoga13015 жыл бұрын
Uwa namuelewa sana uyu brother
@melitusflorence86435 жыл бұрын
Kumbe from Mbeya!!! Oooh good
@brother_majesty5 жыл бұрын
Nice
@bm10tv813 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@sarahwafula7455 жыл бұрын
Sauti nzuri mno
@stanslausangelus87145 жыл бұрын
Salim hongera,ila kuhusu mwanao uraia Mmh!
@gerardnibikora8395 жыл бұрын
Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .
@kharounngavason79305 жыл бұрын
Jay z watanzania huyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 love u my bro
@ericmasumbuko50915 жыл бұрын
Unaweza kk
@magessamagessa55025 жыл бұрын
Kikeke upo vzr lkn nakushauri pata mtoto mwingine tz ikibidi oa tz kwavile dini yako inakuruhusu
@sylvesterjose32863 жыл бұрын
Ushauri unaompa kigezo ni Kwa kuwa dini yake inaruhusu! Hii ni sababu ya msingi kweli? Aaah ha ha! Ebu toa sababu yenye mashiko!
@jastinefaustin99825 жыл бұрын
Nzur sana lakin fupi Nataman niendeleee kusikiliza
@fredmgimba17095 жыл бұрын
✊
@EnockpetroKiswalucha Жыл бұрын
Hongera Sana Salim kikeke kwa utangazaji mzur wa shirika la habar bbc
@amourzubeir73064 жыл бұрын
Ukimsikiliza ni sawa na kuwepo ktk tukio halisi ,yani ana kipaji sna
@kisangakisanga5960 Жыл бұрын
Salimu Yuko vizuri
@royalmirage20055 жыл бұрын
Unakubalika kaka.
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Yakhe ww kake amba ankukubali ile mbayaaaaaa kwa kwel unatukosha soote Na dada yetu pale bi Zuhra zaman ndio nikifkir ni mke wako kbs maana mnaendana Na kazi zenu kwa ubara woote mko vzr.
@olarivolariv1313 Жыл бұрын
Jamaa achanganyi maneno ya kingereza na kiswahili.
@jumakapesa7265 жыл бұрын
Heshima yako kaka S.Kikeke
@benderamateso82445 жыл бұрын
Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)
@gayanimwansasu5 жыл бұрын
salam anajua sana najivunia mtanzania wewe
@kassimkinonono14665 жыл бұрын
Brother unakwepa swali kuhusu uraia...
@vakwawesanga7335 жыл бұрын
Duuh asnte bro salim kikeke
@hamadeddy80895 жыл бұрын
Chukua mfanyakazi mtanzania halafu unakuwa unamlipa tu vzr tena ela ya kawaida
@janealoyce38665 жыл бұрын
Salim sauti safi sana unafaa sana kutangaza.
@simonnyasa50414 жыл бұрын
Good
@moseshaonga6625 жыл бұрын
Wanajua siku zote Hayanaga mbwembwe, sjasikia English hata kidogo mkuuu, vzr Sana 😂
@emanuelmushi68785 жыл бұрын
Angekua mzaramo hapo!tungekoma! U nkow a mm ma'am mm!kiswanglish kama chote;samahani lakini'
@aneymaalim7042 жыл бұрын
Salim wwe ni mzalendo mpka ukona jezi hongera
@rahabujohn26914 жыл бұрын
Naipenda BBC na hawa Watangazaji Zuhura,Salim,Sam Awami,Zawad, Esther kahumbi na wengine wote wa BBC Nawpenda sana
@SubilagaKabango-bu8tu Жыл бұрын
Nilimsikia mtangazi KIKEKE akiaga BBC je amepata Kazi wapi? Au ndo kusema amestaafu?
@evaristmahumbi47282 жыл бұрын
he is best presenter ever🌍
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz9 ай бұрын
Sio kweli
@kassymanyota2835 жыл бұрын
Nakupenda bure kikeke
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana
@MtuSafi5 жыл бұрын
Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
@@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana
@MtuSafi5 жыл бұрын
@@deboramatpapaztv basi vizuri
@annagesura83752 жыл бұрын
Mimi naipenda sana sauti yako sauti inahamashisha sana