USIOYAJUA KUHUSU SALIM KIKEKE "NINGEKUWA TANZANIA NINGEKUWA MILIONEA"

  Рет қаралды 317,330

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 304
@jofleyshiuga5573
@jofleyshiuga5573 5 жыл бұрын
Kama unamkubali Mr kikeke gonga like twende sawa
@peterkyese4516
@peterkyese4516 5 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@khadijajuma3887
@khadijajuma3887 5 жыл бұрын
Uko vizur kikeke ww na zuhura yunus mko juu sana Nawapenda sana
@epifaniamponda4491
@epifaniamponda4491 5 жыл бұрын
Huyu brother kikeke bhana nampenda wallah dah sauti yake tu mimi ndoinanikoshaga ameenda nje lakn kiswahili kipo vzr hakija haribikiwa na rugha ngeni 💪💪💪💪💪🙏🙏🙏💕💕💕💕
@muuchaynampembammoja7581
@muuchaynampembammoja7581 5 жыл бұрын
Sas ukute mtu ameend cku 3 tu yaan amesahau had kiswahil
@edson_619
@edson_619 5 жыл бұрын
Saut nzuri,,,,
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 5 жыл бұрын
Epifania mponda wewe upo ndani lakini unaandika "rugha" badala ya "lugha" ukisafiri si ndio itakua taabu!?
@mr_yassinofficial
@mr_yassinofficial 5 жыл бұрын
Burundi tunampenda saana salim kikeke ❤🇧🇮
@juniormsisi834
@juniormsisi834 5 жыл бұрын
Asanteni Sana kwa kunipenda
@aslamrashid7690
@aslamrashid7690 4 жыл бұрын
Ndio tuko pamoja
@goodnessmchome2429
@goodnessmchome2429 5 жыл бұрын
Kikeke napenda utangazaji wako upo vizuri kwa kweli
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 5 жыл бұрын
HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂
@saheedali7467
@saheedali7467 5 жыл бұрын
MBONA amekwepa suali LA uraiya.
@shabanmliuka2178
@shabanmliuka2178 4 жыл бұрын
Safi. Kwa maelezo hayo
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 жыл бұрын
Umetufunza mengi kwenye interview yako unaitangaza Lugha ya Kiswahili vizuri
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 5 жыл бұрын
Ukimsikiliza Kama anatangaza kumbe yeye ndiye anahojiwa...GOT
@frankmandaya4141
@frankmandaya4141 5 жыл бұрын
Wanaojua kiingeraza hawajisemi, ingekuwa waswahili wenzangu na Mimi ingekuwa yes, no, uknowoo mbwembwe nyingiiiiii pumbavi zenu
@ibrahimhungu4783
@ibrahimhungu4783 5 жыл бұрын
Frank Mandaya 😂😂😂
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Umeona ee
@omeysuper
@omeysuper 5 жыл бұрын
kwel kbsa
@josephramadhan767
@josephramadhan767 5 жыл бұрын
mara as you know ,may be ,oh this is impossible upumbavu mtupu ,lkn hawa wanaojua kiingereza hawazungumz wala hawajionesh
@lwihokajigili24
@lwihokajigili24 5 жыл бұрын
wandali mko wapi gonga like hapa
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 5 жыл бұрын
Unatakiwa nawewe uwe connected, nimeipenda sana hii kauli, lazima ujue KUJIONGEZA
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Umeonaee
@ayoubfrank2572
@ayoubfrank2572 5 жыл бұрын
Hahaha
@amanikinisa5864
@amanikinisa5864 5 жыл бұрын
Hongera sana kaka salim kike kwa kweli kazi yako ya utangazaji unaifanya vema sanaa.Lakini Tanzania ndio nchi yako hapo uwe wazi.
@malidimkungu5155
@malidimkungu5155 2 жыл бұрын
9
@maanomohammed1619
@maanomohammed1619 5 жыл бұрын
One day ntafanya nae kazi inshaallah
@allyhamad780
@allyhamad780 5 жыл бұрын
Ameen
@frankmnale1900
@frankmnale1900 5 жыл бұрын
Kiswahili pure Hakuna kujifanyisha KiswaEnglish kama wenzetu walivo
@grecioussilas9885
@grecioussilas9885 5 жыл бұрын
Salim kuhusu urai umetukwepa...hapo sema ukweli nikikutazama uingereza pameshakumeza sana
@ismailbuchwa398
@ismailbuchwa398 5 жыл бұрын
Hilo linaeleweka kabisa mana ukitumia passport ya uingereza una opportunites za kuzunguka takriban dunia nzima bila visat
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Love you Brother *KIKEKE* napenda kazi yako, uko vizur sana.
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Жыл бұрын
Nic
@norbethathuman9739
@norbethathuman9739 5 жыл бұрын
Sijasikia kizungu hapa ila angekuwa mtu anayeishi tz shida kwa kweli ze is kibao kwenye maelezo
@janestanslaus2517
@janestanslaus2517 5 жыл бұрын
Do you have something against the English language?
@shumamasima6747
@shumamasima6747 5 жыл бұрын
Heheee duu kwel the, is, OK kibaaao du
@brownjulius8514
@brownjulius8514 4 жыл бұрын
Atar
@tumainlyimo9230
@tumainlyimo9230 5 жыл бұрын
Bro kikeke unaishi maisha ya kiualisia,safi Sana kaka nmefurahi
@nan8731
@nan8731 5 жыл бұрын
Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana kuhusu Ndugu Kikeke. Asante sana Milad Ayo, Asante sana Salim Kikeke.
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Masha Allah hongera sana yaani nimeipenda story yako 💪 💪 💪
@hashimsalim4228
@hashimsalim4228 5 жыл бұрын
Ukhty, asalam alaykum!
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 жыл бұрын
KIKEKE ANA SAUTI NZURI SANA! Dope voice
@jaybrown9338
@jaybrown9338 Жыл бұрын
Tapeli tuu uyo uku UK Maneno mengi bila vitendo
@abdallaramadhan3850
@abdallaramadhan3850 5 жыл бұрын
Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.
@bitequity845
@bitequity845 5 жыл бұрын
Yaan BBC akitangaza yey napenda sana..love this guy so Munch
@yassinm69
@yassinm69 5 жыл бұрын
Kumbe sauti yake ya utangazaji kazaliwa nayo huyo ni Salim kikeke
@Diamondvideomix
@Diamondvideomix 5 жыл бұрын
Talented one 🤩
@helenamwaipopo967
@helenamwaipopo967 5 жыл бұрын
Ni mtangazaji mzuri pia sauti yake inavutia kuendelea kusikiliza BBC in Swahili big up bro
@shumamasima6747
@shumamasima6747 5 жыл бұрын
Kikeke saut inakubeba xaana hongela saana bg
@jplanbaharia9703
@jplanbaharia9703 4 жыл бұрын
Kwel
@massawejacob
@massawejacob Жыл бұрын
Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂 Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 4 жыл бұрын
Bora tukalee watoto England,, paundi 15 kwa SAA😁😁😁
@bakilingwelegulile4062
@bakilingwelegulile4062 4 жыл бұрын
Inshaallah A dream a coming to be a true my brother from another mother
@furahambwembwe8005
@furahambwembwe8005 5 жыл бұрын
Presenter,are u from Forest Kongowe Kibaha??
@festohamad4174
@festohamad4174 5 жыл бұрын
Namkubali brother salim kikeke
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
@likoni tv salaama alleyko daaa asanteee nashkuru sijui atanisikilza nakuomba mungu anisikilize anatumia jina hilihili.
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Asantee tayari nimesha mtumia ujumbe asantee nashkuru sana
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
@@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa
@juliusjohn9453
@juliusjohn9453 5 жыл бұрын
Mwanao utamuachaje?
@yusuf02said6
@yusuf02said6 5 жыл бұрын
Maswali yamezidi kuwa personal sana duu. Huyu
@amenyemwansile7943
@amenyemwansile7943 4 жыл бұрын
Aah kumbe ni mnyakyusa wa mbeya big up Kaka mkubwa
@mako331
@mako331 5 жыл бұрын
We love you bro, unatuwakilisha vyema
@meddyyassin4741
@meddyyassin4741 5 жыл бұрын
Angekua mhaya huyu jamaa,,basi chamoto tungekiona hapa😄😄
@davidmalangahe4712
@davidmalangahe4712 5 жыл бұрын
Kikeke uko vizuri hongera bro
@sabinandunguru1422
@sabinandunguru1422 4 жыл бұрын
Sana
@sadickadriano2073
@sadickadriano2073 5 жыл бұрын
Ndo maana wazungu hawazaani, maana kwa jinsi alivohadithia malezi ni changamoto.
@canaltanganyika2672
@canaltanganyika2672 Жыл бұрын
Hongera sana, kwa kazi zako bwana Millard Ayo. Ninaïtwa Madiba niko DRC kama muandishi wa habari.
@masuseleman978
@masuseleman978 5 жыл бұрын
Kamanda kikeke.one love bro
@roseswai5570
@roseswai5570 5 жыл бұрын
My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.
@ashatabibu7951
@ashatabibu7951 5 жыл бұрын
safi kikeke mashaaallh
@estargabriel8362
@estargabriel8362 5 жыл бұрын
huyu jamaa yuko vzr sana sio mtu wa kujikweza wala hana majivuno ww ndo mzalendo
@amourzubeir7306
@amourzubeir7306 4 жыл бұрын
"Wakupe muda ambao unarandana na kazi yko" dah!! Big up kiswahili hicho yani yupo sawa huyu kaka
@eliasaharuna4506
@eliasaharuna4506 5 жыл бұрын
Wauuuu salim
@philimonphilipo725
@philimonphilipo725 Жыл бұрын
Salam kike nakuomba njoo msadie mama kuendesha Tbc pls
@happinesstesha7061
@happinesstesha7061 2 жыл бұрын
Nakupenda sana kikeke nisipo kuona unatangaza bbc dahhh, kazi yako naipenda.
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 5 жыл бұрын
Uko poa brother salim nakukubali kabisa ndagha mwalyafyale ila kaa sawa na mkeo mtunze watoto vizuri
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akulinde
@josej9888
@josej9888 5 жыл бұрын
Safi sana Brother.
@sheisgodorait5721
@sheisgodorait5721 5 жыл бұрын
Yaani Wewe nakukubali nimtangazaji moja wapo wa mfano ubarikiwe
@ntemilimbu4197
@ntemilimbu4197 5 жыл бұрын
Upo vzr sanaaa
@gidionmsuya5340
@gidionmsuya5340 5 жыл бұрын
Huyu bro akitangaza gem za epl ni balaa anajua na sauti yake amazing sanga nampenda 😍
@agapesaligawesasaligawesa2781
@agapesaligawesasaligawesa2781 5 жыл бұрын
Yes Maischa ya uku ukizaaa mtoto mnalea wenyewe
@isayajuma6635
@isayajuma6635 5 жыл бұрын
Safii kaka
@laurentmaganga1027
@laurentmaganga1027 Жыл бұрын
Kikeke you are a star
@mohamedmohamed614
@mohamedmohamed614 5 жыл бұрын
Duh umenifurahisha hapo kusema raia wa ulimwengu kikeke heshima kuwako;because wewe umetembea na huuna akili za kikaburu za watu wa bwani
@elicatustryphone7949
@elicatustryphone7949 4 жыл бұрын
Ayo tv juuu sana Salim kikeke juuu zaidi
@flaviousbenedict6489
@flaviousbenedict6489 5 жыл бұрын
Huyu jamaa nampenda sana kwakweli ni mtangazaji mzuri sana. Siku hizi mtu unaishi popote kikubwa ni pesa na uhai
@JacksonJohannes-ui2gw
@JacksonJohannes-ui2gw Жыл бұрын
Nihoji mimi niwape hakiya salimu kikeke kuacha kazi nitashirukiana na prophesied 11 katega kuwafunua ufahamu tunampa hongera
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 4 жыл бұрын
Nakukubari sana brother
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 жыл бұрын
Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.
@ithnaothmani4991
@ithnaothmani4991 4 жыл бұрын
Uko vizuri sn
@fextomaturo7815
@fextomaturo7815 5 жыл бұрын
Daaah me nataman ligi ya EPL ianze tyu nimemic Sanaa's hyo ligi
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Dahhhh hapana, mimi siwezi kwenda kuishi kule, dahhh, maisha ni magumu mno...
@timezonlinemedia2665
@timezonlinemedia2665 5 жыл бұрын
Realistic
@njembeyehaonga5837
@njembeyehaonga5837 Жыл бұрын
❤❤❤❤kaka safari njema
@elimishanyamoga1301
@elimishanyamoga1301 5 жыл бұрын
Uwa namuelewa sana uyu brother
@melitusflorence8643
@melitusflorence8643 5 жыл бұрын
Kumbe from Mbeya!!! Oooh good
@brother_majesty
@brother_majesty 5 жыл бұрын
Nice
@bm10tv81
@bm10tv81 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@sarahwafula745
@sarahwafula745 5 жыл бұрын
Sauti nzuri mno
@stanslausangelus8714
@stanslausangelus8714 5 жыл бұрын
Salim hongera,ila kuhusu mwanao uraia Mmh!
@gerardnibikora839
@gerardnibikora839 5 жыл бұрын
Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .
@kharounngavason7930
@kharounngavason7930 5 жыл бұрын
Jay z watanzania huyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 love u my bro
@ericmasumbuko5091
@ericmasumbuko5091 5 жыл бұрын
Unaweza kk
@magessamagessa5502
@magessamagessa5502 5 жыл бұрын
Kikeke upo vzr lkn nakushauri pata mtoto mwingine tz ikibidi oa tz kwavile dini yako inakuruhusu
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 3 жыл бұрын
Ushauri unaompa kigezo ni Kwa kuwa dini yake inaruhusu! Hii ni sababu ya msingi kweli? Aaah ha ha! Ebu toa sababu yenye mashiko!
@jastinefaustin9982
@jastinefaustin9982 5 жыл бұрын
Nzur sana lakin fupi Nataman niendeleee kusikiliza
@fredmgimba1709
@fredmgimba1709 5 жыл бұрын
@EnockpetroKiswalucha
@EnockpetroKiswalucha Жыл бұрын
Hongera Sana Salim kikeke kwa utangazaji mzur wa shirika la habar bbc
@amourzubeir7306
@amourzubeir7306 4 жыл бұрын
Ukimsikiliza ni sawa na kuwepo ktk tukio halisi ,yani ana kipaji sna
@kisangakisanga5960
@kisangakisanga5960 Жыл бұрын
Salimu Yuko vizuri
@royalmirage2005
@royalmirage2005 5 жыл бұрын
Unakubalika kaka.
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Yakhe ww kake amba ankukubali ile mbayaaaaaa kwa kwel unatukosha soote Na dada yetu pale bi Zuhra zaman ndio nikifkir ni mke wako kbs maana mnaendana Na kazi zenu kwa ubara woote mko vzr.
@olarivolariv1313
@olarivolariv1313 Жыл бұрын
Jamaa achanganyi maneno ya kingereza na kiswahili.
@jumakapesa726
@jumakapesa726 5 жыл бұрын
Heshima yako kaka S.Kikeke
@benderamateso8244
@benderamateso8244 5 жыл бұрын
Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 5 жыл бұрын
salam anajua sana najivunia mtanzania wewe
@kassimkinonono1466
@kassimkinonono1466 5 жыл бұрын
Brother unakwepa swali kuhusu uraia...
@vakwawesanga733
@vakwawesanga733 5 жыл бұрын
Duuh asnte bro salim kikeke
@hamadeddy8089
@hamadeddy8089 5 жыл бұрын
Chukua mfanyakazi mtanzania halafu unakuwa unamlipa tu vzr tena ela ya kawaida
@janealoyce3866
@janealoyce3866 5 жыл бұрын
Salim sauti safi sana unafaa sana kutangaza.
@simonnyasa5041
@simonnyasa5041 4 жыл бұрын
Good
@moseshaonga662
@moseshaonga662 5 жыл бұрын
Wanajua siku zote Hayanaga mbwembwe, sjasikia English hata kidogo mkuuu, vzr Sana 😂
@emanuelmushi6878
@emanuelmushi6878 5 жыл бұрын
Angekua mzaramo hapo!tungekoma! U nkow a mm ma'am mm!kiswanglish kama chote;samahani lakini'
@aneymaalim704
@aneymaalim704 2 жыл бұрын
Salim wwe ni mzalendo mpka ukona jezi hongera
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 4 жыл бұрын
Naipenda BBC na hawa Watangazaji Zuhura,Salim,Sam Awami,Zawad, Esther kahumbi na wengine wote wa BBC Nawpenda sana
@SubilagaKabango-bu8tu
@SubilagaKabango-bu8tu Жыл бұрын
Nilimsikia mtangazi KIKEKE akiaga BBC je amepata Kazi wapi? Au ndo kusema amestaafu?
@evaristmahumbi4728
@evaristmahumbi4728 2 жыл бұрын
he is best presenter ever🌍
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 9 ай бұрын
Sio kweli
@kassymanyota283
@kassymanyota283 5 жыл бұрын
Nakupenda bure kikeke
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 жыл бұрын
Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana
@MtuSafi
@MtuSafi 5 жыл бұрын
Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 жыл бұрын
@@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana
@MtuSafi
@MtuSafi 5 жыл бұрын
@@deboramatpapaztv basi vizuri
@annagesura8375
@annagesura8375 2 жыл бұрын
Mimi naipenda sana sauti yako sauti inahamashisha sana
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 52 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 159 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
KIKAO NA KIKEKE - ZUHURA YUNUS NA LOCKDOWN
19:33
Salim Kikeke
Рет қаралды 87 М.
SALIM KIKEKE APINDUA KUINGIA KWENYE SIASA
2:51
Jambo FM Radio Tanzania
Рет қаралды 769
Tanzanian's and their English "struggles" - MC Pilipili
13:45
Churchill Television
Рет қаралды 493 М.