KILA MWEZI ATATOA MILIONI MPAKA KUFA KWAKE, SHEIKH JALALA AMSHAWISHI MBUNGE KUCHANGIA, DARU DAY 2024

  Рет қаралды 28,272

Jua la Elimu

Jua la Elimu

Күн бұрын

Пікірлер: 199
@HassanIbrahim-w5b
@HassanIbrahim-w5b Ай бұрын
Mnalalamika mashia mashia kwani hawamwani mtume na kitabu tueleweshane
@ramadhanitawaqal8958
@ramadhanitawaqal8958 Ай бұрын
Njaa mbaya Sana yaani mko tayari kushirikiana na Mashia Kwa sababu ya pesa
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 Ай бұрын
Njaa zinatuponza
@ShabaniKibwana-z7d
@ShabaniKibwana-z7d 25 күн бұрын
Mashallah ❤❤
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 Ай бұрын
NJIA KUU WANAYOITUMIA MASHIA KUSAMBAZA DINI YAO NI KWENYE NJAA ZA WAISLAMU WASIOKUWA NA UFAHAMU WA IMANI YAO AU WENYE HULKA YA KIPATO KAMA TUONAVYO HAPO.
@dauddavid6837
@dauddavid6837 Ай бұрын
Achauongo mashia sio dini nimadheheb kama ilivyo kwa sunni ,ibadhi ,wahabi
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Ай бұрын
@@dauddavid6837SIO DHEHEBU ILA NI MASHETANI KULIKO SHETANI MWENYEWE 😢😢😢😢
@AbuuSaad7
@AbuuSaad7 Ай бұрын
Hakika!
@arafatali1327
@arafatali1327 Ай бұрын
Kama unajua uhakika na malengo ya ushia Wallahi utaikimbia hio dhehebu kwa kasi nyingi kwa kua malengo ya ushia ni kuipotosha dini ya Allah kwa jina la hilo dhehebu fasidi la kishia.
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 Ай бұрын
Hao ndo masufi ambao Dini yao haina mipaka yoyote mwenyekujinasibisha na kundilolote bc yumo miongoni mwa kundi hilo
@MohammedSaid-zk7yg
@MohammedSaid-zk7yg Ай бұрын
Acha chuki mbwa wa kiwahabi wee
@allyfundi6405
@allyfundi6405 Ай бұрын
Mawahabi ni mbwa za motoni
@i.dclassic116
@i.dclassic116 Ай бұрын
​@@allyfundi6405ninyi mnashida dini cyo matusi dini cyo kupelekana motoni nina anawapeleka moton waja kama cyo ALLAH muachen yeye ndo anaye jua mkamilifu
@AnwaryKweka-yf9xm
@AnwaryKweka-yf9xm Ай бұрын
Wallahi ni mtihani
@suodymmbaga6583
@suodymmbaga6583 29 күн бұрын
Wallah mtihani mkubwa yani kujichanganya na makafiri wa kishia ndio uwana chuoni huu nimsba kwa sababu ya matumbo yao wana jumuika na kila mtu sasa mashia wana uislamu gani?
@Kusag-i9z
@Kusag-i9z Ай бұрын
Mungu anawaona
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Ай бұрын
BAKWATA &SHIA WOTE NI TAQIYAAAA NI WATU WA MASLAHI TU KULIKO KULINGANIA DINI YA ALLAH
@alyo.j9511
@alyo.j9511 Ай бұрын
Shia ni kafiri....mpende msipende.....kama hawataturudi kwa ALLAH.fi nnnar
@babajay3445
@babajay3445 Ай бұрын
Huyo tarimba cheo chake ni Mwenyekiti wa wacheza kamari nchi nzima huyo ndie mkurugenzi wa sports pesa
@hassanbilali1697
@hassanbilali1697 Ай бұрын
Baada ya kutatua changamoto za waislam wenzetu duniani nyie mnafanya kazi ya kuingiza Watu motoni? Na nyie kujiweka firdaus😂 Acheni chuki
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
NDUGU ZANGU SIYO PESA ZOTE ZA KUBETI, KUMBUKENI HUYO NI MBUNGE NA ANA MSHAHARA ANALIPWA KAMA MBUNGE, NA HAPO HAKUALIKWA KAMA BOSI WA KAMALI YA SPORT PESA ILA AMEALIKWA KAMA MBUNGE NA AMETOA KAMA MUISLAM NA KAMA MBUNGE.
@NdiyembukeJr
@NdiyembukeJr Ай бұрын
Anaanza kusafishwa
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Na ww wkibinadamu unashilikiana
@JumaMaulidi
@JumaMaulidi Ай бұрын
Mashekhe mtusaidie kama hizopesa niza sportpesa inakuaje
@hamenyimanasalum7289
@hamenyimanasalum7289 Ай бұрын
Wajinga sana mfi Lofa sana unauza dini kwa gharama ndogo bumbafu wew
@NassirSaidmassoud
@NassirSaidmassoud Ай бұрын
Mashia siwaislam mwislamu nimamayako aliyezini ukazaliwa wewe?
@JailaniRamadhan-it3kp
@JailaniRamadhan-it3kp Ай бұрын
Wallah shekhe jalala ni kiongozi ahsante angekuwa shekhe mwingine hapo angekuja na vimikadima vyake na vinahu vya kunga unga Hali yakuwa watu hawaelewi😅😅😅 ahsante mawlana
@HudhaifaRajabu
@HudhaifaRajabu Ай бұрын
Acha kutetea ujinga kweny ukweli wacha watu waweke ukweli na wew sijuw umesom akida gani?
@MshihirDguyya
@MshihirDguyya Ай бұрын
Hiyo shegh wako unaemtii wewe kasomea wapi kama sio Kwa masufi
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 Ай бұрын
Wakati wake ukifika Allah haongezi hata sekunde baba kwa mbunge muombeeni aupate mwisho mwema tu ndio dua kubwa hiyo ila ya umri mrefuuuuu😢😢
@HabibuMakoja-y3f
@HabibuMakoja-y3f Ай бұрын
Shia ni makafiri jamani vp tena, we mufti gani huna lolote
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Ай бұрын
YANI WATU TWARIQA NI MTIHANI SANA. HUYU DAMPO JALALA ANAWATUKANA MASWAHABA WA MTUME KILA KUKICHA LAKINA NYINYI HAMUONA TATIZO HILO. WAKATI KILA SIKU MNASEMA MNAMPENDA MTU
@abdulkarimmavuo645
@abdulkarimmavuo645 Ай бұрын
@@Al.habeebAl.habaaib eti ..unawaona walivyo wanafik hawa watu .
@tyackhhawn5912
@tyackhhawn5912 Ай бұрын
Me nikajua anamtukan mtume wetu mtukufu kumb maswahab tu 😅
@ZuberiGau
@ZuberiGau Ай бұрын
mtihani kwakweli
@medimisi6930
@medimisi6930 Ай бұрын
jalala shekh kwa bakwata
@abdul-qadirkhamis2518
@abdul-qadirkhamis2518 Ай бұрын
Uyo mbunge Mungu amsimie, kwa hakika pesa anazo... Ila kitu ahadi dahhh, nasema Tena kitu ahadi ni mbaya Sana... Istoshe hadi mwisho wa maisha yake 😅..... Mungu akusimamie Mbunge
@saidiomar6642
@saidiomar6642 Ай бұрын
Jalala sifuati madhehebu yakini jamaa namkubali sana ni mwenye lafudhi
@GhaniaSaid-u5k
@GhaniaSaid-u5k 26 күн бұрын
Hkn mufti hp
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 Ай бұрын
Kheri in sha Allah.ila iwe kwa ajili ya Allah ....ikiwa nikujifahkarisha basi hapo hamna kitu
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t Ай бұрын
Nyie nany mtu akitoa mnahukm asipotoa mnasema
@aliaden5512
@aliaden5512 Ай бұрын
Shia watawanunua na njaa yenu
@MaalimShabani
@MaalimShabani Ай бұрын
Waisilam tusibaguane kwa haya mazehebu
@omari-vo7dy
@omari-vo7dy Ай бұрын
Ukitaka kujua usufi ndio huu huwa hawabagui panapapo posho...angaalia mufti wao anavyo dhalilika mbele yao!! Mtihan
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Ай бұрын
MBUNGE anayeimiza kamar toka miaka namfahamu Huyu BAHATI NASIBU YA TAIFA NA SASA SPORTS PESA.INNALLILAH MNATUKUZA MASHEKH WETU ATOE KIDOGO DOGO?
@gift-AA
@gift-AA Ай бұрын
Kwani Hawa Mashia ni Waislam??? Mko tayari kuuza dini yenu kwa ajili PESA!!!!?
@abumuhsinminaniabdoullahas9185
@abumuhsinminaniabdoullahas9185 Ай бұрын
Allah awaongoze hasa huyo anaekaribisha watu maana hajielewi
@i.dclassic116
@i.dclassic116 Ай бұрын
Jalala nimsomi mkubwa san sema kinacho mponza niushiya 2
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Ай бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚
@AliyyAli-ii1uz
@AliyyAli-ii1uz Ай бұрын
Hawa mashekh waki yahudi mashia ni makafiri nahawa wanashirikiana nao nao wanaingia humo humo pia kwasababu mtumewetu alyh salatu wasalam anasema mwenye kuji fananisha nawatufulani naeatakua miongoni mwao
@nurdinimzimbiri
@nurdinimzimbiri Ай бұрын
Ndiyo hiyo mcheza Kamari mkubwa anaitwa tarimba abasi
@ramadhanikambalame5185
@ramadhanikambalame5185 Ай бұрын
Tatizo liko pale unapowaona watoto wanaosoma na kujifunza kitabu cha ALLAH wanalishwa haramu kutoka kwa mcheza kamali na kiongozi anayesimamia waislamu Tanzania akijumuhika na watu wapuuz wanaowatukana maswahaba wa mtume na wake wa mtume ambao sisi ni mama zetu,, subbuhanallah
@drsaeedherbs
@drsaeedherbs Ай бұрын
Wewe mwehu kbs ww hela uzitumiazo unajua upatikanaji wake kama nikamali anacheza yeye wewe fanya yakwako naww asiecheza kamali utatoa ngapi kusaidia hao wanafunzi wasome bila Shaka
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 Ай бұрын
Huyo ni mbunge ana mshahara wake mbali na kamari ana miradi mingine mbli na hiyo kamari Acha atoe Allah ndio ataenda kuhukumu, jambo lingine zuri ulopaswa kufanya ilikua ni kumpa nasaha kwanza kabla ya kumshutumu
@AbuuSaad7
@AbuuSaad7 Ай бұрын
​@@drsaeedherbsAcha kutetea kwa ajili ya maslahi yenu, haki na batwili havikai pamoja
@SukariSukari-sq9tf
@SukariSukari-sq9tf Ай бұрын
Mufti, mufti ya aina gani huyo akikaa na masufi wakilazimisha watu kutoa sadaqa
@abdulkhaliqmuhammed456
@abdulkhaliqmuhammed456 Ай бұрын
Anaeliona hilo jambo ni baya, Hakika Ana maradhi katika moyo wake.
@AthmanMhapa
@AthmanMhapa Ай бұрын
yaan hawa nikitu kimoja mashia na masufi lao moja mashia siyo ndugu zetu ndugu wa masufi
@habibuhaji-j8t
@habibuhaji-j8t Ай бұрын
ndio mana imam shafi akasema masufi ni wenda azim kumbe kwel
@abdulkarimmavuo645
@abdulkarimmavuo645 Ай бұрын
Eti chief khadhi mkuu wa waislam akaa meza moja na watu wanao mlaani mama Aisha, Amiril muuminin Omar, Abubakar naUthman. Alafu watuu kimyaaa... subhanallah hawa masufi sio waislam musidanganywe na Kanzu na vilemba.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Muislam ni wewe peke yako
@salehemtoro6423
@salehemtoro6423 Ай бұрын
Sawa we si Ndio Hakim wa mahakim.
@hamisishabani8346
@hamisishabani8346 Ай бұрын
Wewe ndiye muislamu pekee, hongera
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 Ай бұрын
Yawezekana ukaona haq ila ukashindwa kuifikisha maneno yako nimakali mno kuwa muadilifu japo kweli wanafanya makosa ila usiwatoe kwenye uislam
@TaqqyTakila
@TaqqyTakila Ай бұрын
Elimu yako ya miezi sita ndo inayo kusumbua..rudi tena ukasome😂😂
@hamisibakari5003
@hamisibakari5003 Ай бұрын
Huyo mbunge ni mkurugenzi wa sportpesa jamani njaa mbaya
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Jamani masheikh wetu mbona mnataka kulisha watoto wetu mali za haramu huyo mbunge si anachezesha kamari? Na tunaambiwa dua haipandi kwa kula na kuvaa haramu !
@kunsule9261
@kunsule9261 Ай бұрын
Vp itokee ukutane nae akupe hiyo m 1 uanze biashara je utaikataa? Au utamuuliza Pesa hii umeipataje
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
@@kunsule9261 sitaichukua sababu najua anaipataje ningekuwa sijui labda ningechukua.
@abousalim4621
@abousalim4621 Ай бұрын
Fatma Abdallah Katoe Yako ya halali nafasi Bado ipo wazi Sana
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
@@abousalim4621 sio lazima nitangaze sadaka yangu akijua mungu inatosha
@KibwanaSimba
@KibwanaSimba Ай бұрын
Yani kwakweli kwamfumohuu na kwakuendekeza njaa tulizo nazo sio kutokanwa wake na swahaba wamtumetu atatukananwa mtume mwenyewe khaswaaa
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty Ай бұрын
Hyo mbunge sindio yule wa sport pesa
@ZuberiGau
@ZuberiGau Ай бұрын
subuhana allah hawaonishida kuwa na mashia
@nurdinimzimbiri
@nurdinimzimbiri Ай бұрын
Mkitoka hp maashia wanawatukanamaswahaba
@habibuhaji-j8t
@habibuhaji-j8t Ай бұрын
acheni njaaa ndugu zangu na umoja wenu wakinafiki
@FatumaMwaluhanga-ui3kl
@FatumaMwaluhanga-ui3kl Ай бұрын
Shekhe jalala tunashukuru sana acha wapge kelele maana wakisoma hawasom ushia pale bali huo nimsaada tu
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Ай бұрын
Hela zakubeti kamari wanalishwa waislaam Subhannallah.
@kugotwa004
@kugotwa004 Ай бұрын
Acha ujinga
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Ай бұрын
@@kugotwa004 mjinga kwako kwa Allah ni mwerevu Alhamdulillah.
@Kusag-i9z
@Kusag-i9z Ай бұрын
Madui wamaswahaba wanaungana nao
@NtakarutimanaHassan-q9l
@NtakarutimanaHassan-q9l Ай бұрын
Duuuh hao ndo watu wa sunnah wakishirikiana na na mashiaa Allah akbar
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Ай бұрын
Hakuna MTu WA Sunna hapo kasome uajue watu WA sunna
@abdullatif053
@abdullatif053 Ай бұрын
mashaAllah
@jumaomari3842
@jumaomari3842 Ай бұрын
Njaa vipi mbona atukuelewi😊
@ZuberiAbasi-ee2vr
@ZuberiAbasi-ee2vr Ай бұрын
Hukumu kwa allah😊
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me Ай бұрын
Mashia sio wenzetu ila nawashangaa viongoz wa bakwata kuwakumbatia mashia
@NtakarutimanaHassan-q9l
@NtakarutimanaHassan-q9l Ай бұрын
Wallah bwana Kassim huyu ni mswiba
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Ай бұрын
Mufti ni sufi jalala ni Shia hujui km hao ni ndugu
@alyo.j9511
@alyo.j9511 Ай бұрын
Makadhi sii waislamu
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Ай бұрын
أنا الله وانا اليه راجعون
@RajabuBabu-c9y
@RajabuBabu-c9y Ай бұрын
Haogopi ee Hawa ndio mashia njaa mbaya
@dhannunimkwama1101
@dhannunimkwama1101 Ай бұрын
Asante sana Shekh Jalala
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Ай бұрын
@@dhannunimkwama1101 Shia ndugu yake shia. Na muislam ndugu yake muislam
@halifambega
@halifambega Ай бұрын
Allah akubariki shekh jalala
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 Ай бұрын
Mashaa Allah
@AbdulkarimMnokote
@AbdulkarimMnokote Ай бұрын
Masufi kwa misaada ni kama vile panya kwenye mtego wa samaki ananaswa haraka
@dauddavid6837
@dauddavid6837 Ай бұрын
Kwani nyie simnapewa misaada
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Ай бұрын
Huo ni uvundo juu ya mapapishi wananunuliwa na mashia allah awaangamize
@abiabi9353
@abiabi9353 Ай бұрын
Kununuliwa na mashia maanake nini?
@SwabihaAhmed
@SwabihaAhmed Ай бұрын
maana yake ni kuuza akhera na kwakununua dunia ​@@abiabi9353
@RAKIIMRAKIIM
@RAKIIMRAKIIM Ай бұрын
Pumbavu Zako Nini Maana Ya Ushia !!!!!
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Ай бұрын
@@RAKIIMRAKIIM ushia maana yake ni ukafiri ewe mtoto wa mutaaaa
@saidiomar6642
@saidiomar6642 Ай бұрын
Ww jamaaa ni mjinga mtu anatamka shahada kwanini unamchukia
@habibuhaji-j8t
@habibuhaji-j8t Ай бұрын
dini gani ya umoja ya kuwatukana maswahaba au na nyinyi mafuf munaungana na mashua kuwatukana maswahaba
@KoleYasini
@KoleYasini Ай бұрын
Nenda kasome dini iliyosahii.
@KoleYasini
@KoleYasini Ай бұрын
Hakika mnaangalia pesa tu sio imani mimi simuogopi mtu mbona amepata pesa..
@HamadHamduni
@HamadHamduni Ай бұрын
Hapo hakuna dini zaidi ya unafiki na ukafiri,ama kweli waislaamu mnajidhalilisha na hao makafiri wa kishia, mufti muogope Allah.hakuna umoja wa uislaamu.njaa na kula kutawaangamiza. Mashia ni makafiri tu mtake msitake,na nyie mnaoshirikiana nao kwa ajiri njaa ni wanafiki wakubwa.
@RajabJr-r6y
@RajabJr-r6y Ай бұрын
Maneno makali km dimu ya jangwani ,hiyo ndio dini !unatukana tu. Mungu hajakataza kukaa na asiyekua muislam hata ck 1 itakua kukaa na mashia !! ukafir unaujua ww acha itikadi zilipopitiza maarifa na hekma ww Mtume Muhammad hajaleta dhehebu lolote apa ispokua uislam na hayo majidhehebu yakwenu nyie na lau km engelikua na moyo mgumu km mioyo yenu nyie watu wacngelisilimu
@binseif2216
@binseif2216 Ай бұрын
​@@RajabJr-r6yHuyo salafy asikusumbue
@abiabi9353
@abiabi9353 Ай бұрын
Wewe ni jahili tu wakiwahabi wala huna uwezo wakuthibitisha ukafiri wa mashia. Bali mashia wanauwezo wakuthibitisha ukafiri wa mawahabi
@HamadHamduni
@HamadHamduni Ай бұрын
@@RajabJr-r6y lakum diinikum waliyadiin. Mtume s.a.w hakufanya dini kama Hawa masheikh wa kinafiki, alifanya dini kwa mujibu wa Quran na suna, uislaamu hauendeshwi kwa matamanio ya nafsi isipokua una taratibu zake kwa mujibu wa Quran na suna
@DivNg27
@DivNg27 Ай бұрын
Mashia sio Makafikiri sheikh wangu,sijui unaeza kutuambia kigezo cha mtu kafiri??Mashia ni Waislam
@SefoAdelino
@SefoAdelino Ай бұрын
MA SHÁALLAH
@abdallaabdi5159
@abdallaabdi5159 Ай бұрын
Acheni kupandiza chuki baina ya Waislam , nanyie toeni michango yenu kama kweli mna uchungu kabisa na vijana wetu, kazi kukatisha watu Tamaa tu kwa maneno ya dhihaki.
@habibuhaji-j8t
@habibuhaji-j8t Ай бұрын
leo nimeamini kama masuf wamezaliwa na mashia
@ibrahAjili
@ibrahAjili Ай бұрын
NJAA SASA IMEFIKIA KICHWANI
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Ай бұрын
Masufi na mashia ni ndugu hawa waja wa laaana
@mrafm7285
@mrafm7285 Ай бұрын
Sawa pokeeni tu pesa za mashia na kamari
@Claudius-sm4rg
@Claudius-sm4rg Ай бұрын
Masufi ndio punda wa mashia. Hapo wanajua kila kitu na uovu wa huyo jalala ila sijui kwanini wanamuweka kipaumbele. Na huyo mbunge ndio mwenye SPORT PESA. Jitu la kamari mnalialika lichangie elmu. Haya bwana mawalii nyie mnajua tusiyoyajua
@DivNg27
@DivNg27 Ай бұрын
Hapo kwenye masupi NI punda haupo sawa sheikh wangu,ila hapo kwenye lijitu la kamari kuchangia kwenye elim ndio kidogo upo sahihi
@ShabanAbdulrahman-b6r
@ShabanAbdulrahman-b6r Ай бұрын
We kachangie wewe Sasa🤗
@feisalally8912
@feisalally8912 Ай бұрын
MASHIA TENA KWELI?!
@Kusag-i9z
@Kusag-i9z Ай бұрын
We njaa zitakuuwa
@frpbypass6812
@frpbypass6812 Ай бұрын
Me sielew wanaolalamika njaa uislam njaa sijaona hapo kosa n Nini watu wasipochangia lawama wakichangia mnasema mashekh njaa
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 Ай бұрын
No comet
@abuusaalimalmasasiyyu9421
@abuusaalimalmasasiyyu9421 Ай бұрын
Hao ndio masuf na namna wanavyoiuza din kwa thaman ndogo ya kidunia
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
Wema tu kumbuka Leo palestina wanaonewa na watu pekee wanaojitoa kuwasaidia wala sio iyo Saudia yenu wanasaidiwa na hao hao mnaowaita Shia
@abuusaalimalmasasiyyu9421
@abuusaalimalmasasiyyu9421 Ай бұрын
@@FahadAbubakari sasa ndugu yang ktk ihmaan tumeamrishwa kua waadilifu mm sijakoment kuhusu saudia na kingine nassuport msaada n kheir lakin ninachopinga maneno ya hao masheikh zenu kuna kuwapamba mashia katika maneno yake hili ni jambo baya mcheni Allah
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
@@abuusaalimalmasasiyyu9421 Saudia nmeitaja kwa kua ni mabwana zenu nyie wahabi , umeona Kuna mtu kashawishiwa awe Shia hapo hiyo ni miingiliano yakawaida tu hapo , kapambwa Nani hapo
@abuusaalimalmasasiyyu9421
@abuusaalimalmasasiyyu9421 Ай бұрын
@@FahadAbubakari laa ilaaha illah allah wew bila shak si mtu muelew huon kuna maneno yanayoonesha umoja wa kiislaam wakiwemo mashia? Au mwenzetu n mshia au sufi usiye jielewa kama wenzako hao
@omaryissa2562
@omaryissa2562 Ай бұрын
​@@FahadAbubakari mche Allah usiongelee ushabiki ktk jambo kutukuzwa Allah ivi shia anahusika vip kwenye miamala yetu ya ki elimu, ikiwa wao wanapinga baadhi ya aya kwenye Quran na hadithi kikubwa tusiwe mashabiki kwenye hii Dini.
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 Ай бұрын
Umoja fake
@abiabi9353
@abiabi9353 Ай бұрын
Wewe ni jahili tu wakiwahabi huna ujualo
@RAKIIMRAKIIM
@RAKIIMRAKIIM Ай бұрын
Tengeneza umoja wako wa ukweliii kenge weweee!!!
RADDI YA KIMBUNGA FEKI CHA JADIDA SOLOKA || Muhammad Bachu.
57:10
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 19 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 26 МЛН
Yanga SC 6-0 Vital'O FC | Highlights | CAF CL 24/08/2024
11:56
NINI HUKUMU YA MTU ANAEMUOA MWANAMKE ALIYEZINI NAE
3:04
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 135 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН