Mnalalamika mashia mashia kwani hawamwani mtume na kitabu tueleweshane
@ramadhanitawaqal8958Ай бұрын
Njaa mbaya Sana yaani mko tayari kushirikiana na Mashia Kwa sababu ya pesa
@salumahmadasalum1556Ай бұрын
Njaa zinatuponza
@ShabaniKibwana-z7d25 күн бұрын
Mashallah ❤❤
@rajabumbendenga5480Ай бұрын
NJIA KUU WANAYOITUMIA MASHIA KUSAMBAZA DINI YAO NI KWENYE NJAA ZA WAISLAMU WASIOKUWA NA UFAHAMU WA IMANI YAO AU WENYE HULKA YA KIPATO KAMA TUONAVYO HAPO.
@dauddavid6837Ай бұрын
Achauongo mashia sio dini nimadheheb kama ilivyo kwa sunni ,ibadhi ,wahabi
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
@@dauddavid6837SIO DHEHEBU ILA NI MASHETANI KULIKO SHETANI MWENYEWE 😢😢😢😢
@AbuuSaad7Ай бұрын
Hakika!
@arafatali1327Ай бұрын
Kama unajua uhakika na malengo ya ushia Wallahi utaikimbia hio dhehebu kwa kasi nyingi kwa kua malengo ya ushia ni kuipotosha dini ya Allah kwa jina la hilo dhehebu fasidi la kishia.
@jumanneissa8226Ай бұрын
Hao ndo masufi ambao Dini yao haina mipaka yoyote mwenyekujinasibisha na kundilolote bc yumo miongoni mwa kundi hilo
@MohammedSaid-zk7ygАй бұрын
Acha chuki mbwa wa kiwahabi wee
@allyfundi6405Ай бұрын
Mawahabi ni mbwa za motoni
@i.dclassic116Ай бұрын
@@allyfundi6405ninyi mnashida dini cyo matusi dini cyo kupelekana motoni nina anawapeleka moton waja kama cyo ALLAH muachen yeye ndo anaye jua mkamilifu
@AnwaryKweka-yf9xmАй бұрын
Wallahi ni mtihani
@suodymmbaga658329 күн бұрын
Wallah mtihani mkubwa yani kujichanganya na makafiri wa kishia ndio uwana chuoni huu nimsba kwa sababu ya matumbo yao wana jumuika na kila mtu sasa mashia wana uislamu gani?
@Kusag-i9zАй бұрын
Mungu anawaona
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
BAKWATA &SHIA WOTE NI TAQIYAAAA NI WATU WA MASLAHI TU KULIKO KULINGANIA DINI YA ALLAH
@alyo.j9511Ай бұрын
Shia ni kafiri....mpende msipende.....kama hawataturudi kwa ALLAH.fi nnnar
@babajay3445Ай бұрын
Huyo tarimba cheo chake ni Mwenyekiti wa wacheza kamari nchi nzima huyo ndie mkurugenzi wa sports pesa
@hassanbilali1697Ай бұрын
Baada ya kutatua changamoto za waislam wenzetu duniani nyie mnafanya kazi ya kuingiza Watu motoni? Na nyie kujiweka firdaus😂 Acheni chuki
@rayisadesigns2646Ай бұрын
NDUGU ZANGU SIYO PESA ZOTE ZA KUBETI, KUMBUKENI HUYO NI MBUNGE NA ANA MSHAHARA ANALIPWA KAMA MBUNGE, NA HAPO HAKUALIKWA KAMA BOSI WA KAMALI YA SPORT PESA ILA AMEALIKWA KAMA MBUNGE NA AMETOA KAMA MUISLAM NA KAMA MBUNGE.
@NdiyembukeJrАй бұрын
Anaanza kusafishwa
@jumamussantuicheАй бұрын
Na ww wkibinadamu unashilikiana
@JumaMaulidiАй бұрын
Mashekhe mtusaidie kama hizopesa niza sportpesa inakuaje
@hamenyimanasalum7289Ай бұрын
Wajinga sana mfi Lofa sana unauza dini kwa gharama ndogo bumbafu wew
Wallah shekhe jalala ni kiongozi ahsante angekuwa shekhe mwingine hapo angekuja na vimikadima vyake na vinahu vya kunga unga Hali yakuwa watu hawaelewi😅😅😅 ahsante mawlana
@HudhaifaRajabuАй бұрын
Acha kutetea ujinga kweny ukweli wacha watu waweke ukweli na wew sijuw umesom akida gani?
@MshihirDguyyaАй бұрын
Hiyo shegh wako unaemtii wewe kasomea wapi kama sio Kwa masufi
@kadiakirua7621Ай бұрын
Wakati wake ukifika Allah haongezi hata sekunde baba kwa mbunge muombeeni aupate mwisho mwema tu ndio dua kubwa hiyo ila ya umri mrefuuuuu😢😢
@HabibuMakoja-y3fАй бұрын
Shia ni makafiri jamani vp tena, we mufti gani huna lolote
@Al.habeebAl.habaaibАй бұрын
YANI WATU TWARIQA NI MTIHANI SANA. HUYU DAMPO JALALA ANAWATUKANA MASWAHABA WA MTUME KILA KUKICHA LAKINA NYINYI HAMUONA TATIZO HILO. WAKATI KILA SIKU MNASEMA MNAMPENDA MTU
@abdulkarimmavuo645Ай бұрын
@@Al.habeebAl.habaaib eti ..unawaona walivyo wanafik hawa watu .
@tyackhhawn5912Ай бұрын
Me nikajua anamtukan mtume wetu mtukufu kumb maswahab tu 😅
@ZuberiGauАй бұрын
mtihani kwakweli
@medimisi6930Ай бұрын
jalala shekh kwa bakwata
@abdul-qadirkhamis2518Ай бұрын
Uyo mbunge Mungu amsimie, kwa hakika pesa anazo... Ila kitu ahadi dahhh, nasema Tena kitu ahadi ni mbaya Sana... Istoshe hadi mwisho wa maisha yake 😅..... Mungu akusimamie Mbunge
@saidiomar6642Ай бұрын
Jalala sifuati madhehebu yakini jamaa namkubali sana ni mwenye lafudhi
@GhaniaSaid-u5k26 күн бұрын
Hkn mufti hp
@ommymehmed8880Ай бұрын
Kheri in sha Allah.ila iwe kwa ajili ya Allah ....ikiwa nikujifahkarisha basi hapo hamna kitu
@FatumaMohamedi-t6tАй бұрын
Nyie nany mtu akitoa mnahukm asipotoa mnasema
@aliaden5512Ай бұрын
Shia watawanunua na njaa yenu
@MaalimShabaniАй бұрын
Waisilam tusibaguane kwa haya mazehebu
@omari-vo7dyАй бұрын
Ukitaka kujua usufi ndio huu huwa hawabagui panapapo posho...angaalia mufti wao anavyo dhalilika mbele yao!! Mtihan
@hafidhnzota2142Ай бұрын
MBUNGE anayeimiza kamar toka miaka namfahamu Huyu BAHATI NASIBU YA TAIFA NA SASA SPORTS PESA.INNALLILAH MNATUKUZA MASHEKH WETU ATOE KIDOGO DOGO?
@gift-AAАй бұрын
Kwani Hawa Mashia ni Waislam??? Mko tayari kuuza dini yenu kwa ajili PESA!!!!?
@abumuhsinminaniabdoullahas9185Ай бұрын
Allah awaongoze hasa huyo anaekaribisha watu maana hajielewi
@i.dclassic116Ай бұрын
Jalala nimsomi mkubwa san sema kinacho mponza niushiya 2
@jimjam-xg7rvАй бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚
@AliyyAli-ii1uzАй бұрын
Hawa mashekh waki yahudi mashia ni makafiri nahawa wanashirikiana nao nao wanaingia humo humo pia kwasababu mtumewetu alyh salatu wasalam anasema mwenye kuji fananisha nawatufulani naeatakua miongoni mwao
@nurdinimzimbiriАй бұрын
Ndiyo hiyo mcheza Kamari mkubwa anaitwa tarimba abasi
@ramadhanikambalame5185Ай бұрын
Tatizo liko pale unapowaona watoto wanaosoma na kujifunza kitabu cha ALLAH wanalishwa haramu kutoka kwa mcheza kamali na kiongozi anayesimamia waislamu Tanzania akijumuhika na watu wapuuz wanaowatukana maswahaba wa mtume na wake wa mtume ambao sisi ni mama zetu,, subbuhanallah
@drsaeedherbsАй бұрын
Wewe mwehu kbs ww hela uzitumiazo unajua upatikanaji wake kama nikamali anacheza yeye wewe fanya yakwako naww asiecheza kamali utatoa ngapi kusaidia hao wanafunzi wasome bila Shaka
@abdulkatalango2890Ай бұрын
Huyo ni mbunge ana mshahara wake mbali na kamari ana miradi mingine mbli na hiyo kamari Acha atoe Allah ndio ataenda kuhukumu, jambo lingine zuri ulopaswa kufanya ilikua ni kumpa nasaha kwanza kabla ya kumshutumu
@AbuuSaad7Ай бұрын
@@drsaeedherbsAcha kutetea kwa ajili ya maslahi yenu, haki na batwili havikai pamoja
@SukariSukari-sq9tfАй бұрын
Mufti, mufti ya aina gani huyo akikaa na masufi wakilazimisha watu kutoa sadaqa
@abdulkhaliqmuhammed456Ай бұрын
Anaeliona hilo jambo ni baya, Hakika Ana maradhi katika moyo wake.
@AthmanMhapaАй бұрын
yaan hawa nikitu kimoja mashia na masufi lao moja mashia siyo ndugu zetu ndugu wa masufi
@habibuhaji-j8tАй бұрын
ndio mana imam shafi akasema masufi ni wenda azim kumbe kwel
@abdulkarimmavuo645Ай бұрын
Eti chief khadhi mkuu wa waislam akaa meza moja na watu wanao mlaani mama Aisha, Amiril muuminin Omar, Abubakar naUthman. Alafu watuu kimyaaa... subhanallah hawa masufi sio waislam musidanganywe na Kanzu na vilemba.
@walidmgonja3644Ай бұрын
Muislam ni wewe peke yako
@salehemtoro6423Ай бұрын
Sawa we si Ndio Hakim wa mahakim.
@hamisishabani8346Ай бұрын
Wewe ndiye muislamu pekee, hongera
@kasimubangu1875Ай бұрын
Yawezekana ukaona haq ila ukashindwa kuifikisha maneno yako nimakali mno kuwa muadilifu japo kweli wanafanya makosa ila usiwatoe kwenye uislam
@TaqqyTakilaАй бұрын
Elimu yako ya miezi sita ndo inayo kusumbua..rudi tena ukasome😂😂
@hamisibakari5003Ай бұрын
Huyo mbunge ni mkurugenzi wa sportpesa jamani njaa mbaya
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
Jamani masheikh wetu mbona mnataka kulisha watoto wetu mali za haramu huyo mbunge si anachezesha kamari? Na tunaambiwa dua haipandi kwa kula na kuvaa haramu !
@kunsule9261Ай бұрын
Vp itokee ukutane nae akupe hiyo m 1 uanze biashara je utaikataa? Au utamuuliza Pesa hii umeipataje
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
@@kunsule9261 sitaichukua sababu najua anaipataje ningekuwa sijui labda ningechukua.
@abousalim4621Ай бұрын
Fatma Abdallah Katoe Yako ya halali nafasi Bado ipo wazi Sana
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
@@abousalim4621 sio lazima nitangaze sadaka yangu akijua mungu inatosha
@KibwanaSimbaАй бұрын
Yani kwakweli kwamfumohuu na kwakuendekeza njaa tulizo nazo sio kutokanwa wake na swahaba wamtumetu atatukananwa mtume mwenyewe khaswaaa
@HafidhOmar-rs4tyАй бұрын
Hyo mbunge sindio yule wa sport pesa
@ZuberiGauАй бұрын
subuhana allah hawaonishida kuwa na mashia
@nurdinimzimbiriАй бұрын
Mkitoka hp maashia wanawatukanamaswahaba
@habibuhaji-j8tАй бұрын
acheni njaaa ndugu zangu na umoja wenu wakinafiki
@FatumaMwaluhanga-ui3klАй бұрын
Shekhe jalala tunashukuru sana acha wapge kelele maana wakisoma hawasom ushia pale bali huo nimsaada tu
@abuumuhammad7133Ай бұрын
Hela zakubeti kamari wanalishwa waislaam Subhannallah.
@kugotwa004Ай бұрын
Acha ujinga
@abuumuhammad7133Ай бұрын
@@kugotwa004 mjinga kwako kwa Allah ni mwerevu Alhamdulillah.
@Kusag-i9zАй бұрын
Madui wamaswahaba wanaungana nao
@NtakarutimanaHassan-q9lАй бұрын
Duuuh hao ndo watu wa sunnah wakishirikiana na na mashiaa Allah akbar
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmАй бұрын
Hakuna MTu WA Sunna hapo kasome uajue watu WA sunna
@abdullatif053Ай бұрын
mashaAllah
@jumaomari3842Ай бұрын
Njaa vipi mbona atukuelewi😊
@ZuberiAbasi-ee2vrАй бұрын
Hukumu kwa allah😊
@KassimSalim-fi1meАй бұрын
Mashia sio wenzetu ila nawashangaa viongoz wa bakwata kuwakumbatia mashia
@NtakarutimanaHassan-q9lАй бұрын
Wallah bwana Kassim huyu ni mswiba
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmАй бұрын
Mufti ni sufi jalala ni Shia hujui km hao ni ndugu
@alyo.j9511Ай бұрын
Makadhi sii waislamu
@hamzakimaro3764Ай бұрын
أنا الله وانا اليه راجعون
@RajabuBabu-c9yАй бұрын
Haogopi ee Hawa ndio mashia njaa mbaya
@dhannunimkwama1101Ай бұрын
Asante sana Shekh Jalala
@Al.habeebAl.habaaibАй бұрын
@@dhannunimkwama1101 Shia ndugu yake shia. Na muislam ndugu yake muislam
@halifambegaАй бұрын
Allah akubariki shekh jalala
@majaliwamussa9268Ай бұрын
Mashaa Allah
@AbdulkarimMnokoteАй бұрын
Masufi kwa misaada ni kama vile panya kwenye mtego wa samaki ananaswa haraka
@dauddavid6837Ай бұрын
Kwani nyie simnapewa misaada
@zuheorsalim7759Ай бұрын
Huo ni uvundo juu ya mapapishi wananunuliwa na mashia allah awaangamize
@abiabi9353Ай бұрын
Kununuliwa na mashia maanake nini?
@SwabihaAhmedАй бұрын
maana yake ni kuuza akhera na kwakununua dunia @@abiabi9353
@RAKIIMRAKIIMАй бұрын
Pumbavu Zako Nini Maana Ya Ushia !!!!!
@zuheorsalim7759Ай бұрын
@@RAKIIMRAKIIM ushia maana yake ni ukafiri ewe mtoto wa mutaaaa
@saidiomar6642Ай бұрын
Ww jamaaa ni mjinga mtu anatamka shahada kwanini unamchukia
@habibuhaji-j8tАй бұрын
dini gani ya umoja ya kuwatukana maswahaba au na nyinyi mafuf munaungana na mashua kuwatukana maswahaba
@KoleYasiniАй бұрын
Nenda kasome dini iliyosahii.
@KoleYasiniАй бұрын
Hakika mnaangalia pesa tu sio imani mimi simuogopi mtu mbona amepata pesa..
@HamadHamduniАй бұрын
Hapo hakuna dini zaidi ya unafiki na ukafiri,ama kweli waislaamu mnajidhalilisha na hao makafiri wa kishia, mufti muogope Allah.hakuna umoja wa uislaamu.njaa na kula kutawaangamiza. Mashia ni makafiri tu mtake msitake,na nyie mnaoshirikiana nao kwa ajiri njaa ni wanafiki wakubwa.
@RajabJr-r6yАй бұрын
Maneno makali km dimu ya jangwani ,hiyo ndio dini !unatukana tu. Mungu hajakataza kukaa na asiyekua muislam hata ck 1 itakua kukaa na mashia !! ukafir unaujua ww acha itikadi zilipopitiza maarifa na hekma ww Mtume Muhammad hajaleta dhehebu lolote apa ispokua uislam na hayo majidhehebu yakwenu nyie na lau km engelikua na moyo mgumu km mioyo yenu nyie watu wacngelisilimu
@binseif2216Ай бұрын
@@RajabJr-r6yHuyo salafy asikusumbue
@abiabi9353Ай бұрын
Wewe ni jahili tu wakiwahabi wala huna uwezo wakuthibitisha ukafiri wa mashia. Bali mashia wanauwezo wakuthibitisha ukafiri wa mawahabi
@HamadHamduniАй бұрын
@@RajabJr-r6y lakum diinikum waliyadiin. Mtume s.a.w hakufanya dini kama Hawa masheikh wa kinafiki, alifanya dini kwa mujibu wa Quran na suna, uislaamu hauendeshwi kwa matamanio ya nafsi isipokua una taratibu zake kwa mujibu wa Quran na suna
@DivNg27Ай бұрын
Mashia sio Makafikiri sheikh wangu,sijui unaeza kutuambia kigezo cha mtu kafiri??Mashia ni Waislam
@SefoAdelinoАй бұрын
MA SHÁALLAH
@abdallaabdi5159Ай бұрын
Acheni kupandiza chuki baina ya Waislam , nanyie toeni michango yenu kama kweli mna uchungu kabisa na vijana wetu, kazi kukatisha watu Tamaa tu kwa maneno ya dhihaki.
@habibuhaji-j8tАй бұрын
leo nimeamini kama masuf wamezaliwa na mashia
@ibrahAjiliАй бұрын
NJAA SASA IMEFIKIA KICHWANI
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmАй бұрын
Masufi na mashia ni ndugu hawa waja wa laaana
@mrafm7285Ай бұрын
Sawa pokeeni tu pesa za mashia na kamari
@Claudius-sm4rgАй бұрын
Masufi ndio punda wa mashia. Hapo wanajua kila kitu na uovu wa huyo jalala ila sijui kwanini wanamuweka kipaumbele. Na huyo mbunge ndio mwenye SPORT PESA. Jitu la kamari mnalialika lichangie elmu. Haya bwana mawalii nyie mnajua tusiyoyajua
@DivNg27Ай бұрын
Hapo kwenye masupi NI punda haupo sawa sheikh wangu,ila hapo kwenye lijitu la kamari kuchangia kwenye elim ndio kidogo upo sahihi
@ShabanAbdulrahman-b6rАй бұрын
We kachangie wewe Sasa🤗
@feisalally8912Ай бұрын
MASHIA TENA KWELI?!
@Kusag-i9zАй бұрын
We njaa zitakuuwa
@frpbypass6812Ай бұрын
Me sielew wanaolalamika njaa uislam njaa sijaona hapo kosa n Nini watu wasipochangia lawama wakichangia mnasema mashekh njaa
@mtindikoja8837Ай бұрын
No comet
@abuusaalimalmasasiyyu9421Ай бұрын
Hao ndio masuf na namna wanavyoiuza din kwa thaman ndogo ya kidunia
@FahadAbubakariАй бұрын
Wema tu kumbuka Leo palestina wanaonewa na watu pekee wanaojitoa kuwasaidia wala sio iyo Saudia yenu wanasaidiwa na hao hao mnaowaita Shia
@abuusaalimalmasasiyyu9421Ай бұрын
@@FahadAbubakari sasa ndugu yang ktk ihmaan tumeamrishwa kua waadilifu mm sijakoment kuhusu saudia na kingine nassuport msaada n kheir lakin ninachopinga maneno ya hao masheikh zenu kuna kuwapamba mashia katika maneno yake hili ni jambo baya mcheni Allah
@FahadAbubakariАй бұрын
@@abuusaalimalmasasiyyu9421 Saudia nmeitaja kwa kua ni mabwana zenu nyie wahabi , umeona Kuna mtu kashawishiwa awe Shia hapo hiyo ni miingiliano yakawaida tu hapo , kapambwa Nani hapo
@abuusaalimalmasasiyyu9421Ай бұрын
@@FahadAbubakari laa ilaaha illah allah wew bila shak si mtu muelew huon kuna maneno yanayoonesha umoja wa kiislaam wakiwemo mashia? Au mwenzetu n mshia au sufi usiye jielewa kama wenzako hao
@omaryissa2562Ай бұрын
@@FahadAbubakari mche Allah usiongelee ushabiki ktk jambo kutukuzwa Allah ivi shia anahusika vip kwenye miamala yetu ya ki elimu, ikiwa wao wanapinga baadhi ya aya kwenye Quran na hadithi kikubwa tusiwe mashabiki kwenye hii Dini.