Ni vyema tukifahamiana wakulima wa hii miti.. tujiunge kwenye hili group la whatsapp chat.whatsapp.com/IgZ4jHLEJCnHT04U6QyGRJ
@BitBroh4 жыл бұрын
hawa matanda jiunge group la whatsapp tufahamiane chat.whatsapp.com/IgZ4jHLEJCnHT04U6QyGRJ
@charkeskagama3884 жыл бұрын
Nitumie namba zako kk nikucheck
@billionstrillion3507 жыл бұрын
Hii miti inaweza kuota maeneo ya pwani mkuranga
@mandyfitnesstv67387 жыл бұрын
inaota Lakini haikuwi kwa wakati. inadumaa
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Watqfute wataalam.wa ardhi na mazaoyqke stahiki
@veniusstanslaus75213 жыл бұрын
Kwenye sehem maji yanayotuwama kwa kipindi cha miez 3au hii miti inastawi au
@richardndunguru99947 жыл бұрын
mbona mtaalamu asikiki vzr
@jonathankiula81235 жыл бұрын
A very lucrative and a must done business!
@abrahamsingano53724 жыл бұрын
Katika eka (acre) moja inakuwa na miti mingapi
@maliyotebundala67564 жыл бұрын
Nimeelewa na kwa muda mrefu Nina ndoto za kumiliki shamba LA miti
@richardndunguru99947 жыл бұрын
huyo mtalamu Wa miti ya mipaina asikiki kbsa
@kilimobiashara93617 жыл бұрын
Tunafanya maboresho tunaandaa kipindi kipya kwa kushirikiana na wakala wa mbegu za miti Tanzania mtaalamu atakuepo na sauti pamoja na maudhui yatakua bora zaidi subscribe ili usipitwe,
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
Kuna kipindi kipya unaweza tazama tumeweka tayari
@ibrahimalexander46534 жыл бұрын
@@kilimobiashara9361 link yake please
@jellynesssemu94062 жыл бұрын
Je mwanza au kagera unaweza ukapanda
@saidmohammed77586 жыл бұрын
Hiyo miti inaitwa "Mivinje" kwa kiswahili!!!
@BitBroh4 жыл бұрын
Hilo eneo lake lina ukubwa gani?
@Chiombola854 жыл бұрын
Shamba linauzwa sh.200m, hilo ni heka ngapi?
@atuganilemwakipesile49794 жыл бұрын
Hii miti mkoa wa tabora inafaa?
@loner_wolf4 жыл бұрын
Elfu yine 🙄🙄🙄🙄
@felixbeliummbembela935 жыл бұрын
Hii miti Singida itafaa?
@straitnews34416 жыл бұрын
Maeneo gani inaota miti hii kwa urahisi
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
njombe iringa na mbeya
@frankbubahe2 жыл бұрын
Ngara vipi inakubali???
@veniusstanslaus75213 жыл бұрын
Nimeipenda elimu hi nauliza je sehemu zenye maji mengi Kama kwenye tinga tinga inaweza kustawi vizur au nipo kagera karagwe???
@emmanuelsimeo Жыл бұрын
Hii miti inafaa kangera
@jonepomsonmshuti683022 күн бұрын
Mbona KAGERA hii miti NI mingi? Uko KAGERA ya nchi gani
@maverickcreativesolutions82854 жыл бұрын
Habari Nimevutiwa na elimu inayotolewa na hii channel. I hope itasaidia hasa kwenye upataji wa masoko hasa mimi ni mkulima wa Mipaina ila ninapata tabu kupata masoko kutokana na ulanguzi wa bei. Kama kuna mtu yuko interested tafadhali tuwasiliane kupitia mail address yangu. louikametta@gmail.com serious buyers only shamba lina zaidi ya miaka 10
@daudisanga4724 жыл бұрын
Mambo vp ndugu. Sorry et mti mmoja wa mpaina ni sh ngap?
@khanifakassim89403 жыл бұрын
Hii miti pwani ya rufiji itweza kuota nauliza nataka kujuwa
@BitBroh4 жыл бұрын
Ni vyema tukifahamiana wakulima wa hii miti.. tujiunge kwenye hili group la whatsapp chat.whatsapp.com/IgZ4jHLEJCnHT04U6QyGRJ