Рет қаралды 7,027
Mbunge wa Kigoma Mjini, Kilumbe Ng’enda akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
Ng’enda ameitaka wizara hiyo kuangalia tena sera zake za kifedha (kodi) ambapo amedai biashara Kariakoo imekufa kutokana na ubovu wa sera hizo.