KIMEITIKA KENYA, RUTO ATANGAZA MAAMUZI MAGUMU/KUHUSU KUJIUZULU

  Рет қаралды 70,349

TimesFMTZ

TimesFMTZ

6 күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 73
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 күн бұрын
dahh mambo ni hot Kenya..mabadiliko kwenye nchi yao yanasomeka vizuri kwa sasa...Mungu ibariki nchi ya Jirani../Tukumbuke nasi Mungu wetu Bariki Samia
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 4 күн бұрын
Hilo la kuondoa malipo ya wenza wa Viongozi Wakuu (mke/mme wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu), malipo hayo yako pia Tanzania. Hivyo, Viongozi wa Tz bila shaka wajiandaye.
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 2 күн бұрын
very wise people in Kenya
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 2 күн бұрын
very wise people in Kenya
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 4 күн бұрын
Alilazimisha kushinda uchaguzi kimagumashi, cha moto amekiona. Majogoo wa Kenya maua yenu jamani💪💪💪💪💪
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 күн бұрын
Wewe ni mjinga kiongozi ambaye hakuwa rais anawezaje kulazimisha ushindi? Haya yanayoendelea ke
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 3 күн бұрын
​@@George-jz3jgWhen the U.S is fully behind u to use u as a puppet,,hata kupindua serikali is not an issue
@MareMa-kb3iy
@MareMa-kb3iy 2 күн бұрын
Ruto must goooo
@laburmoses6797
@laburmoses6797 4 күн бұрын
Thank his Excellency for admitting for Kenyan cry especially gen Z. This time round you become sober. I appreciate you Ruto. First time the president has been very far from kenyan. I'm appealing to you sir lopetun/lopeitwaan. Turkana people from Turkana west has been cut short from 5000/_2000.where is the problem sir. Thank you. Turkana west sub county.
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 3 күн бұрын
Talk about the oil money that's being drilled
@tobiusjtz7607
@tobiusjtz7607 4 күн бұрын
#RUTO must goooo
@KADALAtv255
@KADALAtv255 3 күн бұрын
Katika Ugtuzi anaozungumzia hapo akitaja Kaunt kwa Tanzania ni region/ Mikoa lakini wao Kaunt hizo hizo ni majimbo kwa hiyo magavana ambayo huku kwetu ni majimbo so magovana kwao huwakilisha kaunti kama jimbo
@piusmwinzi178
@piusmwinzi178 4 күн бұрын
Ruto must go ruto must go ruto must go
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Uiii tret la misyer vann nation nwa pour lajean avek Obama
@TeamKRX
@TeamKRX 3 күн бұрын
Wanasema hawataki posho waongo wezi wakumbwa mauwaji jamani poleni eee 😬😬😬😬daah police hata huruma hawana wamenda achia risasi za moto aaah mungu atawauwa na nyie
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 2 күн бұрын
Jambo zitooo ila uamuzi ni wako,kuachia ngazi,au kupambania kiti chako huku amani ikiwa hakuna nchini kwako,kipi bora kwa upande wako? Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏
@mbegembege
@mbegembege 4 күн бұрын
Good choice
@TonyTony-tg1nz
@TonyTony-tg1nz 2 күн бұрын
Kaza kijana wangu by Warumi
@NaomiAwuorOnyango-jr5vf
@NaomiAwuorOnyango-jr5vf 3 күн бұрын
Never lose Hope Jesus is available every moment of day to give us guidance and direction through prayer Amen!
@hassanirambona7520
@hassanirambona7520 4 күн бұрын
RUTO must goo
@NdakiDoyi
@NdakiDoyi 3 күн бұрын
pole sana rais ruto
@RitaLoice
@RitaLoice 4 күн бұрын
Ruto ni mwongo sana hatwezi amini mambo yake
@user-hm9ve4ug3n
@user-hm9ve4ug3n 3 күн бұрын
Oii hiyo Ngoma hapo background ni gani
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 4 күн бұрын
MNAKUMBUKA ALIILANI URUSI (PUTIN) HUYU RUTO' HAKUMALIZA ATA MWEZI TAYARI LAANA IMEMRUDI
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 2 күн бұрын
Ndio ni mnafiki anangata na kupuliza hapo ndo nilimshangaa san ruto
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 3 күн бұрын
Tatizo waandamanaji hawana shida na haya anayorekebisha Ruto waandamanaji wanataka aachie ngazi of which wanaye president wao wanayemtaka na wameshamwandaa!
@user-xr4cd3ki4i
@user-xr4cd3ki4i 4 күн бұрын
Laana tupu
@ruginavenance3042
@ruginavenance3042 3 күн бұрын
Bado kwetu sisi watanzania kupinga Kodi ya jengo ya Tanesco
@ConsolathaKicheleri
@ConsolathaKicheleri 3 күн бұрын
MUNGU IBALIKI TANZANIA MUNGU MLINDE RAIS WETU.MUNGU TULINDE WATANZANIA WOTE. MUNGU ILINDE MIPAKA YETU NA WANA JESHI WETU WOTE.
@margymuasa977
@margymuasa977 4 күн бұрын
Ruto must go. Can' t be trusted. Too much cheating.
@INNOCENTMOKUA
@INNOCENTMOKUA 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ubahamisi431
@ubahamisi431 4 күн бұрын
Aamue yuendelee na maisha kama wakati wa kibaki au ajiuzulu
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Aleeee
@josephwabita8662
@josephwabita8662 2 күн бұрын
Kaka please be corrected because wamuratha has boy child mission for a very long time
@user-tf7hz6mw1o
@user-tf7hz6mw1o 4 күн бұрын
Kitakuramba ruto enda ukapumzike
@dareenpetro338
@dareenpetro338 2 күн бұрын
kama alisema, kwa nini hamtaki afanye references? Mpeni nafasi afanye utekelezaji. hivi vurugu na kelele, na madai yasiyokuwa na kikomo, wala lengo la reconciliation, na matusi na ku kaza rais sijui nini matusi ya ku attack personality hadi imani ya Rais inachukua suala hili katika sura ya ujinga na vita kwa kanisa. Remain focused on the points, mwache afanye kazi, muendelee kumonitor na kussuport mipango ya mabadiliko. mkikataa reconciliation ninyi mnataka kuuana na kumpa faida shetani. mtaona nimewaonya mara nyingi
@TeamKRX
@TeamKRX 3 күн бұрын
Huyu ruto ana akili lakini damu si resign
@JesicahMoraa
@JesicahMoraa 4 күн бұрын
Ruto must go home tumechoka na yenye
@user-yj7vu1oe7j
@user-yj7vu1oe7j 4 күн бұрын
Roto mast go
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 күн бұрын
Ile Katiba Mpya vipi?
@augustinekaio411
@augustinekaio411 4 күн бұрын
😂😂😂
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 4 күн бұрын
hio laana hata bongo ipo viongozi na wake zao wanalekebishiana shelia ili wapige mihela mungu ikumbuke nasi tz. hayo matumizi yabanwe
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Ayiti gen plis tret wi
@samnice5ify
@samnice5ify 4 күн бұрын
Acha udaku baba.
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Se ale liye
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 4 күн бұрын
Ruto LBQT na NATO wako wapi una support....Putin atakuondoa hao vijana sio Gez
@user-zc6gb5fk3q
@user-zc6gb5fk3q 4 күн бұрын
Hii kitu itupiliwe mbali nchini Kenya.
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Күн бұрын
katiba yetu hatar sana kwa Rais ambae ni mtawala asiye na uongoz ndan ake
@nassirmasoud2545
@nassirmasoud2545 4 күн бұрын
Haki itendeke sio serikali itawaangalia
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Wiii Ansyen dirijean sayo toujour nan koken Avek American se Ale viv pep kenya 🇰🇪
@ShomarRajabu
@ShomarRajabu 3 күн бұрын
Atoke2
@MartiniEnock-e2e
@MartiniEnock-e2e 3 күн бұрын
Wakenya mtamkumbuka huyu ruto Mtaniambia Nchi inaenda kwenye mkono wa chuma
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 3 күн бұрын
What are u talking about? Who really cares about what happens? Utawala mtu akichukua kwa wizi na uwongo,mungu mwenye ndio huondoa amani na akaweka chuki na dharau katika roho za watu kwa ajili ya huyo kiongozi. Its better we all die kuliko kubebwa ufala na mtu mmoja,kibaka wa wazungu
@TeamKRX
@TeamKRX 3 күн бұрын
Mtanzania niko dar ila niko Kenya ruto must go atupishe uko ata uyu samia aende nae waizi hawa
@AlimasiMalembe
@AlimasiMalembe 4 күн бұрын
NA WALIOKUFA WATARUDISWA AMA AJE???
@INNOCENTMOKUA
@INNOCENTMOKUA 4 күн бұрын
Ruto must go
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Se voye vacabon saa ale tret
@levissamweli9005
@levissamweli9005 4 күн бұрын
Waliokufa wanashughulikiwaje?
@gisthevictorperiod.9763
@gisthevictorperiod.9763 4 күн бұрын
Yaani serikali itawalipa family za walotoweka Dunia fidia au malipo ya damu.wengine majeruhi pia watalipwa fidia.. Amani itawale Kenya amani itawale Africa and the whole 🌎 world 🌎
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Misyer mechan
@user-gb9oo7hn2k
@user-gb9oo7hn2k 4 күн бұрын
This g.ment I say I don't no why why hi miskiniy people why killed Ruto know is dawn !!!
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 4 күн бұрын
HUYU NI KINARAKA MTIIFU WA MARECANI
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r 4 күн бұрын
Ale
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 3 күн бұрын
Sasa huo ndio uchungu wetu kabisa. Hiyo finance bill imeandikwa na I.M.F. Vipengele mukichelewa kulipa deni wachukue mashamba. Raisi mwenyewe anakodisha ndege ya 2 million akisafiri kwenda kusamilia wazungu na waarabu wake almost every month. Halafu hati pandisha bei ya bread,diapers and every other basic commodity. This man is a curse to the land
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 2 күн бұрын
Na wakenya wamejichanganya kuingilia vita yemen
@dareenpetro338
@dareenpetro338 2 күн бұрын
mnamwtwisha lawama kwa maisha magumu , rushwa na kukosa ajira ambako kumedumu kenya miaka mingi sana. hamwoni hilo, mnamsakama Ruto aliyeingia madarakani juzi, atekeleze mabadiliko yote na kufanya kenya kuwa paradise kwa miaka miwili. you re very irrational. Mpeni nafasi afanye kazi, muangalie na msim squeeze arekebishe makosa yote aliyoyakuta kwa muda wa miaka 2. yeye si Mungu. Acheni kumtesa huyu baba kwa sababu mnakwenda mbali hata kuattack kanisa na sasa mnakuwa Anti-Christs. Ishieni tu kudai haki na kuhakikisha mabadiliko yanafanyika lakini achni matusi na kuattack kanisa.
@user-xn3uu5el7l
@user-xn3uu5el7l 4 күн бұрын
Ruto is not going anywhere,bado 50tena,we kalenjins ate behind him
@onpurpose292
@onpurpose292 4 күн бұрын
@user fine if 43 tribes ni wakale. Mtujua hamjui
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 4 күн бұрын
Daah, nimesikitishwa na bajeti ya serikali kwa mke wa raisi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 күн бұрын
Unalijuwa analofanya mke wa Rais?
@MareMa-kb3iy
@MareMa-kb3iy 2 күн бұрын
Ruto must goooo
KENYA WANAANDAMANA TENA! RUTO AFANYEJE TENA?
15:17
TimesFMTZ
Рет қаралды 20 М.
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
😁💸 @karina-kola
0:16
Andrey Grechka
Рет қаралды 4,6 МЛН
Ужасное свидание🤯 #стальноймужик #жиза #еда
0:50
SteelMan XXL | Стальной мужик
Рет қаралды 2,1 МЛН