Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Пікірлер: 42
@athumanimsangi70925 ай бұрын
Salimu gwao jitahidi katika kazi zako...mfano hapa hata sauti haiwiliki
@Saidy-mpoma5 ай бұрын
INSHAALLHAH Allah akujaalie maisha marefu muft wetu
@selemaniyabbi59425 ай бұрын
Mashaallah kazi nzur ila tujitahd ubora wa sauti bado siyo mzur kwenye hizi video
@abdallahmmary85915 ай бұрын
Bakwata hii nimpango st Nyerere hakuna kitu hapa waislamu kwahapa kunshida kubwano uislamu umedorora
@user-ox1md2jx9o5 ай бұрын
Assalamu Alaykum,ebu Heshimu mufti,mungu ndio upeana uongozi
@AbdulKadirYoweriMahmud5 ай бұрын
Dua ya sheikh isha wafikia wenye hasadi roho mbaya mwenyezi mungu awape kazi yakufanya😂😂😂😂
@mbwnanyuki-gg1ot5 ай бұрын
Namuelewa sana
@hanspop69615 ай бұрын
Mashallah! Ashukuriwe Allah Mwingi wa Rehma Allah Akuhifadhi Mufti wetu
@mtutulaclassic62075 ай бұрын
sauti mbaya sana inaumiza masikio
@salimually57164 ай бұрын
Naomba kufahamu je vile vyeti tulivyopewa baada ya kufanyiwa majaribio na taasisi yetu ya darulmaarifa havitamb buliwi tena nikweki?
@ayubutwalbu65945 ай бұрын
Muft endelea kuunganisha watu
@pavillioncry52415 ай бұрын
Abuu hashim jamaa zako wote maghurafiii Halafu unawatukana watu wa sunna
@alimwawema99325 ай бұрын
Hiyo sio dalili. Mtume Nuuh mke wake na mtoto wake watakuwa motoni. Mifano ni mengi. Ukiwa huna elimu nyamaza.
@AffectionateFood-rz5sv5 ай бұрын
Roho mbaya na choyo hakifai ktk uislam Kwan wewe siyo ndugu yake mufti? Au siyo miongoni mwa waislamu? Mufti endelea kuunganisha waislam
@hassanbakari45255 ай бұрын
MNAOSHUT NA KUEDIT TUJITAHIDI KIDOGO KWENYE SAUTI,,AU MM KIZIWI LABDA
@yusufmohamed88745 ай бұрын
Sheikh Comedian
@jumakapilima72955 ай бұрын
Kungetakiwa kuwe na uchaguzi kila baada ya kipindi Fulani, sio kufanya cheo cha milele mpaka kufa
@matataoneproduction53555 ай бұрын
Ukiweka uchaguzi ni siasa tena na kutakua na fitna sana katika dini ndio maana kwenye nafasi hizo kunafanyika uteuzi na sio uchaguzi
@adkajisi45365 ай бұрын
@@matataoneproduction5355 kwa kweli, kampeni zitaingia msikitini.
@mokitaa87505 ай бұрын
sauti mbovu
@AbdulKadirYoweriMahmud5 ай бұрын
Alhamdulillah nayo ni sauti❤❤
@user-iw5hu3mc7l5 ай бұрын
Yani mufti kaweka nduguzqke watupu
@Chemba675 ай бұрын
🙄🙄
@jumakapilima72955 ай бұрын
Kama amefanya hivyo amekosea sana
@nouraynaasheikhunkabir37495 ай бұрын
Muislam ni ndugu wa Muislam mwenzake
@swalehemrombo93015 ай бұрын
Mfano nani na nani hao ndugu zakee.!?
@mtutulaclassic62075 ай бұрын
alicjozungumza sheikh Kipozeo hata sijasikia hata kidogo
@AbdulKadirYoweriMahmud5 ай бұрын
Rudia tena😂😂😂
@user-uw8pg9ju5s5 ай бұрын
Hapa ndio tunapofeli waislam natuna Libya zaidi ya ghului
@user-uw8pg9ju5s5 ай бұрын
Natuna jipya
@user-zs7eq8up5s5 ай бұрын
Kipozeo ni mtu mzima hovyo hana mshipa wa aibu ana manen ya hovyo hana hekima
@jumakapilima72955 ай бұрын
Amekukosea wapi?
@user-su7np6sn7s5 ай бұрын
Wewe mwenyewe pia huna hekima soma ufike kama kipozea Kwahiyo mufti Na kipozeo pia Ni ndugu?
@user-su7np6sn7s5 ай бұрын
Mbona wapo masheikh wenu pia wanamambo ovyo Tu hawana haibu pia au umemuona kipozeo Tu Hizo Husda sasa
@user-zs7eq8up5s5 ай бұрын
@@user-su7np6sn7s kuonekana ktk tv ndo kufika ,??kuna masheikh wakubwa matunda yanaonekana mitaan..huyo mtu mzima wa mizigo na commed
@user-zs7eq8up5s5 ай бұрын
@@jumakapilima7295 sipendi maneno yake ya shombo ya kimtaani