Royal tour ndogo mpk kisiwani msila manispaa ya bk mjini🔥🔥🔥🔥karibuni sana.
@stevenlazaro91762 жыл бұрын
Kweli wahaya Wana kazi
@kanjostjastin8842 жыл бұрын
Big up🤳
@shaameshaame97212 жыл бұрын
We mlev unaijua Zanzibar?
@williamloma22642 жыл бұрын
Msimbeze huyu Ni maono yake tu Kama ilivyo kwa Hayati Maalim Seif anavyosemaga anataka Zanzibar iwe Singapore ndogo
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Upo sahihi watu hawajamuelewa tu yeye anamaanisha cku moja msila iwe inamaendeleo km ya zanzibar tena kaisifia zanzibar kwa kuona ni kisiwa kilichopo ktk nchi yk ndo maana hakutaja visiwa vingine duniani
@frankkashamakula8382 жыл бұрын
Zanzibar Ndogo unaijua Zanzibar wewe au unaisikia Zanzibar ufananishe Na Upumbavu uo 😂😂😂😂
@hemedytengu57182 жыл бұрын
Njooo zanzibar 🏝️
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
Haikuwa Ndege ya kivita bali ilikuwa Ndege ya mizigo ya kubeba mizigo ya JWTZ.
@HusseinAli-fx1ld11 ай бұрын
Icho ni kisiwa gan
@marianajoachim94112 жыл бұрын
Kwamba yeye si mzee kivileeee ila ni mkubwa ki umri 😂😂😂 muhaya ni muhaya tu
@yassnarynaziru60782 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stephanomoses76942 жыл бұрын
😄😄 wahaya jmn. Masifa
@upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын
Ujue kutofautisha vitu mhaya atabaki kua mhaya na sio mgogo au mpare tofautisha mimba na kitambi bwanaweee
@missmwayway47042 жыл бұрын
@@upendowakwelinaamani1060 Unamaanisha nn tena 😁😁😁
@marianajoachim94112 жыл бұрын
@@upendowakwelinaamani1060 😂😂 Sasa na wewe umeendika nini
@joan132 жыл бұрын
Mtangazaji nae kumbe n muhaya 😂😂😂😂.
@enickosanga49212 жыл бұрын
Sio muzeee kivileeeee noma sana wahayaaa
@husnaameen93092 жыл бұрын
R na L ni tatizo sehem nyingi Tz
@luganomwankyoko26532 жыл бұрын
nani kaona kuwa mwandishi nae ni mhayaaaaaaa😆
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani duni hii imepitiwa na mambo mengi
@maryamconstantine22322 жыл бұрын
Ila watu bana
@geymusic7412 жыл бұрын
Dah mimi siku wahi kujua kama kuna kisiwa kama hiki bukoba
@geraldtarimo3210 Жыл бұрын
Kipo ukiwa beach unakiona
@hemedytengu57182 жыл бұрын
Bwanambwa ww huijui Zanzibar, hapo nikama chumbe tu
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Haikuwa ndege ilikuwa helcopter🤔
@personpeter22212 жыл бұрын
Okay ila wakat mwngine najarb kfkilia inawezekana je tang 1978 had leo
@abdullahabdallah63682 жыл бұрын
Kaka unaijua Zanzibar ya zaman ww...au unasema tu
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Hakuna kibaya amesema
@clementiddi57082 жыл бұрын
Inajulikana vizuri tu acha ukali
@rogermiller1652 жыл бұрын
Umejaa upumbavu hadi kwenye makalio yako fala wewe, kwani Zanzibar kuna nini fala wewe. Pumbavu mkubwa wewe. Umejaa ubaguzi wewe mtwana wa waarabu. Mnajifanya mnajua sana, mnajua nini ninyi low life?
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
@@rogermiller165 Daah acha msitukanane jamani
@storytownTv2 жыл бұрын
Nasikiaga huwa wahaya Wana maji mengi .😁😁... Leo nimeyaona ..na kumbe yakipungua huwa wanaokota mabomu..😁😁
@whitelove_og3692 жыл бұрын
#MBOMU KUBWA LILOKUTWA TEMEKEE HILI HAPA kzbin.info/www/bejne/jnW0nZSDesqhY8k
@hashimking44032 жыл бұрын
Kalikua nikalindi
@jenipherthobias28602 жыл бұрын
Mhojiwa wenikumakweli
@sashahauke20322 жыл бұрын
Kwanini unatukana ndo ukomo wa akili yako siyo
@maryamconstantine22322 жыл бұрын
Sidhan km ni busara kuongea lugha ya matus
@sashahauke20322 жыл бұрын
@@maryamconstantine2232 haipendezi kabisaaaaaa inashusha heshima yako pia mf mimi nilikua nabishana na mtu humu kwaida tuuu lakini chaajabu akaanza kuporomosha matusi ya nguoni si kwamba nilishindwa kumjibu lakini nilimdharau sana na nilimwambia kabisa laiti ningejua naongea na chizi nisinge poteza mda wangu kwake so siyo adabu kutukana tukana
@maryamconstantine22322 жыл бұрын
@@sashahauke2032 hatifanani dear
@venstonvedasto2 жыл бұрын
Amna akili hapa
@wavidunda4782 жыл бұрын
⁹òòoìììi⁹⁸⁸⁷ò⁰ò⁰⁸8ì⁸8iìùojhģý8ùì⁹you ⁹⁹⁰⁰
@mweusiasili83452 жыл бұрын
Mi kuna siku niliokota kisu cha kivita kwenye ufukwe
@seifsoud2662 жыл бұрын
Unacho?
@mweusiasili83452 жыл бұрын
@@seifsoud266 nnacho bado
@geymusic7412 жыл бұрын
Fahamu Bomu Hatari zaidi Duniani #kzbin.info/www/bejne/qnWoaaKre6mnhdE
@whitelove_og3692 жыл бұрын
#MBOMU KUBWA LILOKUTWA TEMEKEE HILI HAPA kzbin.info/www/bejne/jnW0nZSDesqhY8k