KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 134
@iddkawozya37143 ай бұрын
Hongera Sana KISUGU tunawaomba viongozi wetu watuachie kocha wetu JUMA MGUNDA
@AkramIbrahim-c8w2 ай бұрын
Wewe Kisugu Mwizi Was Fadhila Inaelekea Wewe Kl CK Unapata Rizki CK Moja Ukikosa Hata Mungu Umshukuru
@SeniSalam3 ай бұрын
Aende tu Simba haiwez kuwa na chama milele,
@BarakaGilbart2 ай бұрын
Nimemkubali mwamba kaongea ukweli ilove you simba
@cosfubile78593 ай бұрын
Bora chama aondoke tu, nitafurah mno akiondoka tunataka simba mpya hiyo ela anayo taka chama bora mkamchukue feisal.
@ezradaudi70243 ай бұрын
Na Mimi natamani chama aondoke simba maana ameiaumbua simba kwa mda mlefu na ndo chanzo cha kuuza ile mechi ya 5 _1 alihusika % 100
@aminaomary55672 ай бұрын
Kisugu umesema kweli kabisa. Kwanza simba ijayo hatuwataki makocha wa nje. Mgunda moto moto❤❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍
@AllyMwinyi-rx8gr3 ай бұрын
ninachosema chama msaliti aende safi nimefurahi sana mimi naamini hii simba itafika mbali sana inshaallah
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Tawile
@TomasiklistophaMwinuka3 ай бұрын
Waende tu wanatuharbia Tim yetu hawawachezaji tunao waabudu Hawa ndo wanatuharbia Tim yetu ya Simba
@muhurumatiku12263 ай бұрын
Exactly
@BakaliBakali-r1f3 ай бұрын
Nakubaliiiiiiiiiiiiii
@mrliverpoolynwa76413 ай бұрын
Kisugu nakupenda sana,ww ni msema ukweli na unajua mpira#SIMBA nguvu moja
@YohanaJumanne-v3v3 ай бұрын
Chama aende akibaki Simba ataendelea kusaliti team kwa kiburi chake chama huyo aende zake tu huko
@mrliverpoolynwa76413 ай бұрын
Tarehe 8 SIMBA day MUNGU akipenda nitakuwepo TAIFA💪💪💪#SIMBA nguvu moja
@AmiryHamza-gs8pp3 ай бұрын
Chama aende kwani yeye simba inaweza bila chama kikubwa tunawaomba viongozi wetu watuachie kocha wetu juma mgunda atutaki kocha mwingine naselemani matora nae apewe thank you alafu kocha wetu mgunda aletewe msaidizi mwingine
@AkramIbrahim-c8w2 ай бұрын
Chama Amefanya Mengi Simba Leo Hukumbuki Kisugu Usiwe Mwizi Was Fadhila SI Kisugu Simba Wt Msaiwe Wezi Was Fadhila
@aminaomary55672 ай бұрын
Mo Boss wetu Yote kwa yote tafuta majembe na utuachie Kocha wetu Magunda ili waone magoli mwaka huu. Chama nenda salama tu.
@yusufmruma28702 ай бұрын
Simba is bigger than Chama, let him go wherever he wants, let us rebuild our team.
@MsouthChilala3 ай бұрын
Waambie wengine wanatumiwa chukua mauwa yako🎉
@brownmasai7743 ай бұрын
Kwa midomo michafu kama wa kisugu msimu huu, tutashuhudia wanachama kwa viongozi wakiondoka Simba kwa mamia, ukianza na kisugu mwenyewe.
@Bornwizer3 ай бұрын
HUYO ATAKUA SIO MSHABIKI WA SIMBA 😂😂. AONDOKE TU
@AkramIbrahim-c8w2 ай бұрын
Wana Simba Msipende Kutia Ulimi Kinywani Vibaya Mseme I Na Mazuri Yake Chama Msimshutumu Kwa Mabaya Mchezaji Sio Mwanachama Anachagua Anapotaka Kwenda
@BakaliBakali-r1f3 ай бұрын
nakubaliiiiiiiiiiiiii mm Simba dam dam kaka kisugu
@albertvalentino1303 ай бұрын
Jiandaeni na vipondo tu --- hamna timu ninyi.
@mr.lawimagupa39143 ай бұрын
😅😅😅😅😂Team mnayo nyie ambao hamjawahi kosa ubingwa tangu utopolo ianze
@galosmsangawale38303 ай бұрын
Kila mwaka anasajiliwa yanga alafu kapewa mwaka mmoja why?
@paschaziaalobati99462 ай бұрын
Umesema ukweli kisugu moyo wa mwana Simba ni Simba mchezaji anaungwa mkono kwa kucheza vzr
@abdulhalimsalim13863 ай бұрын
Bravo kisugu wape ukweli hao chama chama uto washazoeya kula matapishi ya simba
@hamisiabdallah69612 ай бұрын
Tuko pamoja kisugu chama ninani wamepita wakina okwi mafisango sembuse chamba
@MfaekaMwiyi2 ай бұрын
Hongera Sana Sana kisugu
@Luganoamos-jv5in2 ай бұрын
Aende zake huko,hatumutaki hyo Chama aende tu
@omarymtotela37513 ай бұрын
Mbona mechi 50 goli moja bado yupo
@WestonMbadame3 ай бұрын
Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu
@saidsalum61012 ай бұрын
Huyu dada sijui nimtangazaji wakituo gani cha habari maana hajui kabisa kuhoji anahoji kama mshabiki anaizalilisha kazi yake nawaliyo mpa kazi
@muyongahassan21883 ай бұрын
Chama nimchezaji mzur anawez kwend time yoyote mpira ni biashara
@jamalhussein34353 ай бұрын
Simba nguvu moja tu waende zao kuma ndegerez KISUGU i love your speech wape ukweli wao as we SIMBA IT'S BIG CLUB THAN EVERYONE IN EAST AFRICA
@FelixZelote2 ай бұрын
Isiwe maneno iwe kweli
@MickJ-kv7iv3 ай бұрын
Max Lengo ni chama wanane
@dismascosmas78603 ай бұрын
Chama sio simba mwache atembee watauza jezi tu mafanikio zerooòooo
@noorbazaar90633 ай бұрын
Kumng'ang'ania Chama ndani ya Simba SC ndio kumeibomoa klabu ya Simba SC.
@PhilomenaSteven-x9h2 ай бұрын
Midomo yenu michafu iyo ndomana wachezaji wanaondoka kusaliti nini mbona ulipigwa nje ndani km ulisalitiwa labda na mkeo 😂😂😂😂
@paschaziaalobati99462 ай бұрын
Alafu Simba hatuna ubinafsi kama wenzetu
@antonicyprianmsamati88192 ай бұрын
Hamna mchezaji mkubwa kuliko Simba
@JoelyEmmanuel3 ай бұрын
Boss ajitaindi aboreshe timu
@JuhudiKasanga-yq5ks3 ай бұрын
Sizitaki mbichi hizi MANENO ya sungura anapokosa jambo
@hamisiabdallah69612 ай бұрын
Nasisi hatuchukui uchafu kutoka kwa wachafu pumbavu zao
@MichaelKulonzya3 ай бұрын
Aende tu wanini Simba the big team
@MalikiKavindi3 ай бұрын
Waandishi hawa wanafiki sana kama makota vile
@edwardmizambwa2373 ай бұрын
Yaani chama ni kama Imonga, utofauti ni kwamba, Inonga alikua ameihujumu Simba wazi wazi wakati Chama alikua anahujumu kichinichini na hadhareni.
@Elphas-gl5lg3 ай бұрын
Kisugu unaongea point kwer kwer
@IssaOmary-r7h3 ай бұрын
Chama yanga daima mbele nyuma mwiko
@JeckaNobeth2 ай бұрын
Chama hatumtaki mda wakuchezea Simba umekwish aende kwa majirani nao wakutane na gori tano
@Istqamagrapher3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 sw bro umezaminia🤗
@JonathanMgaiwa3 ай бұрын
Simba ipo tangu miaka kibai huyu chama ana miaka 5 tuu simba aende huko alikokuwa anapokea hongo. Huyu mwandishi pia boya tuu wakala wa utopolo
@ashakusiluka92173 ай бұрын
Chama akweendee huko kwani yeye nani
@AdamSaidhangolwa3 ай бұрын
Upo sahihi kisugu
@zainabuBotto2 ай бұрын
Wakwanza chama msariti
@DidreAndrea2 ай бұрын
Wambie awo adi wakome simba nitaipenda adi nakufa ❤❤
@tuweniomary42323 ай бұрын
Eti namchukuru mwenyezi mungu
@mzeebabumzee3 ай бұрын
nini chama kaondoka mtoto wetu mkude tena wa kumzaa sembuse uyo mtoto wa kambo mwache aende chama nani kaseja okwi ajibu amisi tambwe na wengitu mwache aende tena fasta
@benjamanigabriel33493 ай бұрын
Jamn na aende hawa ndo waliotuhujumu kwenye zile tano. Tukiendelea kumng'ng'ania atazid kutufelisha .viongoz nawaomba watujengee tim bora chama nenda utakapo baba ila siyo simba please
@CastoUgo3 ай бұрын
Muacheni. Jamaani anaumia Na chama wake 😂😂😂😂😂 Tuna muweka bench chama. Wenu apati number pale ..😂😂😂 sema Tuna wakomoa.makolo..pumbavu zao 😅😅😅😅😂
@dismascosmas78603 ай бұрын
Aoondokeeeee tu
@zainabuBotto2 ай бұрын
Sense chama Nani kwani wameondoka watu shembuse wewe
@HolelaJohn3 ай бұрын
Aende aendako , sio kila siku yy tu. Who is he?
@nassoroathuman51613 ай бұрын
Kwan dd umetumwa nn mbn umekua nausenge fulan hiv
@thomaskitemi32833 ай бұрын
Wewe nawe kazi kuandama wachezaji badala machawa viongozi ndani ya simba
@dstaroficial2 ай бұрын
Masnich hao
@petro80103 ай бұрын
Kwa kikosi cha kina Jobe hiki ndo urudishe vikombe
@AbisinaRashidi-wg5jt3 ай бұрын
Chama nani aende tu kashazeeka
@GOLDIANEDRICK-sm6xk3 ай бұрын
Mmmm mdomo unalipa kwakweli
@MeksonyJoseph3 ай бұрын
Hahahaha ime penya hiyooo tulieni tume waporaa
@ommymp90583 ай бұрын
Mchezaji Yuko huru mkataba umekwisha,hujapora bado
Badala umtakie heri raisi wako wa heshima mo dewji unamtia nuksi mama etu na meno yako machafu yasiyojua mswaki na colgate
@rehemamejja83422 ай бұрын
Mgunda Hana mbinu
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
Ooh Yanga hawana hela ya kumnunua chama sijuwi kibu haya kiko wapi?? Tajiri kavaa hadi taulo kama kipindi kile lakini wapi mpunga haujatosha...chama kashusha hadi dau lakini wapi. Tushajua sasa kumbe GSM ndiye tajiri wa ukweli...chama kawaweka madunduka na tajiri yao ooh sorry bilionea wao vikao 10 lakini wapi
@DeusiMorisi3 ай бұрын
Wamesubiri mpaka amalize mkataba
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
@@DeusiMorisi kama timu aliyokuwa anachezea walivyosubilishwa hadi amalize mkataba
@hafidhnzota21423 ай бұрын
Maduka yabomolewe
@ShabaniMussa-f3k3 ай бұрын
Uongo
@Niika8703 ай бұрын
Tatizo Simba hatuna msemaj, semaji wetu anazidiwa na propaganda za Yanga achangamkeeeee
@josephchales64783 ай бұрын
Wewe kisugu mwehu kwr wachezaji muhimu tegemezi mnatoa mnaleta wapya kuja wakaungane ni leo yani nyie
@HildaRugee3 ай бұрын
Hao walioungana wametufikisha wapi '
@SudibillyKatembo3 ай бұрын
Simba nikúbwa kuliko mchezaji hizo pesa anazotaka chama akazifuate yanga tuu,Wacha bilionea aijene timuuu
@omarymtotela37513 ай бұрын
Bilionea anashindwa kumpa bilioni chama ili abaki
@user-princs3 ай бұрын
Nikweli wanavunja vunja kuja kuunganika sio Leo!!! Kuunga tumu inachukua muda Sio kitu Cha Siri inajulikana acha wapayuke
@athmanimkangara92903 ай бұрын
Chama ni Msumbufu pale ni bora kuanza upya
@YussufKhamis-n4c2 ай бұрын
Bado na wewe .
@evansmoshi19233 ай бұрын
Achape mwendo
@rahplenyengerahplenyenge7223 ай бұрын
Kisugu wewe ni ndume lakini unapenda kumusiviya uyu mujiga anaitwa samiya
@jamalhussein34353 ай бұрын
Wewe una mtaja mama wetu ana husika na nn wacha upumbavu usa your brain sisi tunaogea mambo ya mpira Samia ame tokea wapi kama huna story shut up your mouth
@IsaacPhilemon-mt7bk3 ай бұрын
Kisugu umeongea vzr sana tena sana,hongera,❤️❤️,wachane na hao wachambuzi hewa.
@WestonMbadame3 ай бұрын
Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu
@petro80103 ай бұрын
Kwa kikosi cha kina Jobe hiki ndo urudishe vikombe
@athmanimkangara92903 ай бұрын
Jobe Thank you inamuhusu
@SalvatoryMtunga3 ай бұрын
Nendeni katengenezeni timu, watu wanamalizia kuijenga timu yao, mwaka wa nne unakuja.
@LassonDominick3 ай бұрын
DAAAH KUNA POINT HAPO YA MAANA NIMEIKUBARI!!!!!!! AMBAYO NI----"WAANDISHI WANATUKOSEA HESHIMA SIMBA---" YAANI HY NI KWERI BILA CHENGA! waandishi wanatoa hoja za kijinga sana kuhusu SIMBA 😅😅
@WestonMbadame3 ай бұрын
Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu
@DeusiMorisi3 ай бұрын
Chamaa ameingia tamaa siyo desturi ya wazambia ameiga tabia za kiswahili sasa amepotea
@JeckaNobeth2 ай бұрын
Simba ni nguvu moya nanguvuhiyo mo,dewij,asante kwa kubomoa na kujenga naamini wanna simba tutafurahi na tutashangiria kwa furaha
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Naamini chama kama ataenda yanga hatocheza raund2 atagwa nakitu kixito naatapigwa nakitu kixito kama manara
@vitalismakyaohamnakitu17143 ай бұрын
We chupi tu
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Nipo palee👉
@ashakusiluka92173 ай бұрын
Kabisaaa
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Anaixumbua sana Simba naitakua yeye ndoanatoa xiri za Simba
@JacobKapinga-x5z2 ай бұрын
Kisugu nakukubali
@GodPetro2 ай бұрын
chama nenda inatosha hatukuhitaji tena wape hii uto
@DeusiMorisi3 ай бұрын
Walikuwa wasaliti kama yuleee wacha wamfate
@FumaoFumao-d8w2 ай бұрын
Tuko pamoja
@ayubuchaula71873 ай бұрын
Aende tu
@KATEGILEMABADA3 ай бұрын
Simba tungefadhaika iwapo Chama angeondoka pasipo kuisaliti timu yetu
@YohanaJumanne-v3v3 ай бұрын
Medy kagere alipendwa sana Simva ila yuko wapi leo na huyo Chama ndo anaenda kuishaaaaa
@mrliverpoolynwa76413 ай бұрын
CHAMA na INONGA ni miongoni mwa wasaliti,acha waende hatuwezi kuendelea kuwakumbatia wasaliti#SIMBA nguvu moja
@nassoroathuman51613 ай бұрын
Yan wachambuzi wabongo ni hovyo sana nani alimju chama kabla yasimba kumleta tz achen propoganda kuangalia mnchokipewa simba walikuja wengi na wameondoka iwechama ss siokama wale waliochoma jezi ss niwaungwana sana chama aliitumikia simba namudawake umeisha tafuten mengine haya yachama yatawapotezea muda haswa ww baamed imetumwa ww sio mwandishi ww nichawa
@muhamedjaffar56533 ай бұрын
Nbc ili tuchukue lazima TFF Wabadilishe sheria mdhamin wa team wasidhamin team zaid ya mbili.vinginevo kuna uhujum wa mechi.
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
GSM hadhamini madunduka na bado mkapigwa goli 7....acheni makelele tengenezeni timu...Azam anadhamini ligi nzima ila bado Yanga bingwa acheni visingizio
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
Mna ukubwa gani hata nusu fainali CAF....baada ya chama kusepa mmekuja ni kwamba amejisafisha mwenyewe maana timu yenu ilikua inamchafua na matokeo mabaya
@mrliverpoolynwa76413 ай бұрын
Wana SIMBA tupo pamoja sana na big boss MO na management yake yote💪💪💪#SIMBA nguvu moja
@Elphas-gl5lg3 ай бұрын
Kawaida ya Simba kionesha wachezaji wa viwango ndo yanga anawapata hapa simba
@JoelyEmmanuel3 ай бұрын
Waende tuu chama chama ni mungu sasa ameenda mbona hatujafa mbona