Anafanana Konde Boi (utani tu)....East Africa tuwe imara ivo 💪🏿🇰🇪🖤
@aploscoder43582 жыл бұрын
every man was born komandoo , training and exercise adds something am the commando of myself nami ukijichanganganya lazima UCHAFUE PAMPASI
@mkimbizi26882 жыл бұрын
😂
@dannyelias3822 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kagarukifred73722 жыл бұрын
Huko sawa kabisa
@rasheedabby2871 Жыл бұрын
sauwa mzee naona umelewa
@jonaskilomba4094 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@bonifacekcharles2324 Жыл бұрын
alaf unaweza kuta anateswa na mapenzi❤
@Abdallah-tf7mk Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MasterRegan2 ай бұрын
😂😂😂😂
@zachariamtobesya56053 күн бұрын
😂🤣😂
@audiphoncealphonce20792 жыл бұрын
Mungu alivyo waajabu mikogo yote hiyo hapo risasi moja tu chiniii 😅
@aristidestibaijuka34282 жыл бұрын
Nawapenda wanajeshi au polisi wanaompenda Mwenyezi Mungu na si kuonea raia
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Jamani yote sawa,lakini mungu kisu chake ,hatari uchezeshi hata kope hapo ndo ninaposema bola niwe komando wa mungu ,maana sitoogopa hata robo
@devisshirima67802 жыл бұрын
Acheni matisho !! Muulizeni mandonga yaliyomkuta😂😂😂 !! Halafu mwili wa mtu usikufanye ukapata wenge! Kuna vijamaa ni vyembamba vimo humo humo jeshini sasa njoo na kifua chako ujichanganye ndio utajua sisimizi ni mdogo lakini anamkalisha tembo !!
@theoneartist63272 жыл бұрын
Watuletee movie ya makamando wa Tanzania 🇹🇿 mbona tuta- enjoy Sana 👏🤗 tunawapenda makamando mola awajalie kazi njema na uimara wa ulinzi katika nchi yetu I love my Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌷
@godwindishon772 жыл бұрын
Tutacheka san
@angelkavishe52402 жыл бұрын
Uyu Mwamba akikufumania na mke wake akugusi ni kuimba wimbo wa Taifa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@alexdukes55472 жыл бұрын
Hawa huwa wanatoboa macho akikufmania hutasahau
@nasrahassan73462 жыл бұрын
😀😀😀😀
@missangela67202 жыл бұрын
Umewaza nini Angel lakini😂😂😂
@sadatisabihi38182 жыл бұрын
@@alexdukes5547 Daaaah Ahahahaha
@downtoncargocargo41402 жыл бұрын
@@sadatisabihi3818 kwahiyo huyu akikutwa na ukimwi yeye ndo ameuleta nyumbani ?
@mustaphahassan5892 жыл бұрын
Wanasema jeshi sio ukomavu wanakosea, technology haitumiki kila sehemu Kwan matumizi ya technology ya kivita huwez a kuathiri idadi kubwa ya watu wakiwemo wasiokuwa na hatia hivyo lazima. Kuingia kwenye uwanja wa kivita mfano Russia wao Wana deal na wanajeshi hawakushinda kupiga missiles ila wakifanya hivyo missiles zitaua kila mtu.
@abdulmfaume99692 жыл бұрын
Huyo co commando ni Askari wa kawaida ni MILITARY POLICE, commando anakuwa na eagle kwenye combat pia na ballet yake inakuwa brick red
@shaibuselemani21352 жыл бұрын
Comando hawezi kuwa mp?
@dickabuya70302 жыл бұрын
Huyo ni Mp, angalia kwenye bega
@hellohalidi76272 жыл бұрын
Sahihi, MP = Military Police, ni askari jeshi, ni askari wa kawaida
@calvindonalds53732 жыл бұрын
Jichanganye!!!!!
@calvindonalds53732 жыл бұрын
sio kila occasion wanavaa combat zao... i hope ulimuona before this viddeo...
@EsterMakubi-om6hg10 ай бұрын
Ni MP bhn co commando mlinzi TU uyooo 😄😄
@nyamtigaibrahim5302 жыл бұрын
Nyakyusa Boy
@innocentpaul1999 Жыл бұрын
Huyo c commando huyo Ni Military Police(MP) ambaye yupo on special Duty kwaajili ya Kusimamia ulinzi maalum...Komando huvaa Ballet yenye Rangi ya Brick Red na huwa na Eagle badges ukimuona tu utagundua tofauti
@AZAM_MEDIA4 ай бұрын
Halaf cjui Kwa Nini vyombo vya habari vinashindwa kuadress issue kama hizi? Hata barret ni tofauti za MPs na special forces
@olarivolariv13132 жыл бұрын
Duniani ya leo hutumia technologia kwa kila siku,sasa wewe unasema uyo ndio mwanaume, kwa hiyo wengine ni wakina Nani,ni sawa wanafanya mazoezi mana ndio kazi yao ila bado na yeye ni binadamu,
@matipashankanawaaooo11992 жыл бұрын
Uyo yeye mwenyewe kuna mahali anakaa kimia
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Hajamaanisha wengine sio wanaume, amemaanisha huyo amekamilika kwenye mafunzo ya vita ,
@Godgrace672 жыл бұрын
Ujuaji mwingi kupinga tu wewe why always negative mind Nan kasema so binadamu
@devisshirima67802 жыл бұрын
Sasa sijui hiyo sauti inayomsifia mwanaume ni ya mwanamke 😂😂
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Unafikiri ukomando ni mwili mkubwa tu na mbwembwe kama za power mabula au mibuti mikubwa kama mpanda farasi ukomando umebeba vitu vingi na vingine vya siri wanawaitaga tu watu kama hao makomando kwa makusudi lakini wenyewe wametulia tu pembeni na wala hawanaga mwembwe hao wakubwa wao wenyewe wanawaogopa
@winterkasela90332 жыл бұрын
Huyo ndo commando mwenyewe acha ubishi hata ukiangalia siraha zake ni vitu vya ajabuajabu yani kisu kamba tochi kimtungi yani hata kibastora chake nikidogo huwezi kiona wewe huoni hata ma mp wakawaida ni kama wanamshangaa watu hao hawaonekani hovyo.
@johnmike60592 жыл бұрын
Eti ebu mwambie maana anasifia ujinga commando comando
@chidodoozkid11222 жыл бұрын
Raia awezi kuelewa kuna comando wembamba lkn hatareeee
@mombafaraji23942 жыл бұрын
Sure
@Mpakauseme2 жыл бұрын
@@winterkasela9033 Sura , tochi , mtungi na bastora wewe unafikiri huo ndio ucomando 😂😂😂 Comando anaewza akawa ata mwanaume mwenye sura nzuri, sasa tazama warabu wachanese wakorea na Japanese hao asilimia kubwa hao ndio wenye sura nzuri zaidi na pia ndio wenye hatari kubwa katika mambo ya kikomando tena na ndani yake wapo na warembo vile kwani wewe hupo dunia yangapi nduguyangu 😅 Ukomando hupo wa aina nyingi visu bastora wanajeshi wote utumia, ndio nyinyi mkimuona kila mtu mwenye sura mbaya mnafikiiri pia ana roho mbaya vile vile
Maaskari wa bongo wamebaki kuwa wa maonyesho kama ni kamanda kweli hebu mpelekeni ukren ndo mtajua kama ni komando au ni kilaza tu 🤠🤠
@abdulazizmwipi92952 жыл бұрын
Ukraine mh? Hta ungekua ww komando ucngeenda unadhan nan anakubal kule c kama unaplekwa kibiti
@Mpakauseme2 жыл бұрын
@@abdulazizmwipi9295 eti kibiti 🤣🤣🤣🤣
@clementsabuni752 жыл бұрын
Jamani wampeleke hata hapo congo tuu akaoneshe ukomandoo wake kama akiweza kupambana na waasi baasi ndo atakuwa comandoo haswaa.
@mathayokihwelo73902 жыл бұрын
Acheni makasiriko, na nyie mkafanye maonesho kwani mmezuiwa!? Tamaa tu ndio zimebaki
@erickphilipo60582 жыл бұрын
Ukraine kwa nn . Kat yy kaapa kuilinda tz
@believesiwale4404 Жыл бұрын
Jamaa kapungua sana saiz Yupo pale kigamboni marine special force
@danielimeshack37122 жыл бұрын
Chuma hiko hatari sana kama unamkubali gonga like nyingi sana kwake
@BarakerZeonlist2 жыл бұрын
nimeishia kutabasamu
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Hicho chuma Ni made in Tanzania
@amina86652 жыл бұрын
Obadia mzee wa kazi kazi,,ila na nguzu zetu unakuta Mwanamke mdogo anatufanya tunanyooka na kuwa wapole shetani wa wanawake ni noma.
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah maashallah daa mwili Nyumba kifua kalai kono nondo maashallah
@lusajokafuko34502 жыл бұрын
😂😂
@credo78372 жыл бұрын
Mmh
@dullywamashairi1212 жыл бұрын
Lakini pindi muda wake ukifika anaposhukiwa na Malaika anayetoa roho za watu basi hatokuwa na nguvu yakunyanyua hata ukope wake!!
@erickphilipo60582 жыл бұрын
Hata ww vivyo hivyo
@charlesboniphace22492 жыл бұрын
Dunia inawatu wa aina Tatu,waongea pumba ,waropokaji na wale wanaoua watu wanaosema ukweli Katika jamiii Kazi kuongea wivu kazi za watu nakuwaombea vifo tu wakati ukipewa hata ulinzi wa geti kwenu huwezi
@salumumakombo91362 жыл бұрын
@@charlesboniphace2249 😅😅😅😅💯
@khadidjasuleiman80062 жыл бұрын
Kwakweli 🤲 ni mtihani 🤔
@nyokonyoko79902 жыл бұрын
Jiuliza kwnz kwnn umeongea hvy....ndugu yng ww ni mchawi
@isayakihongile49212 жыл бұрын
Hawa kwa wake zao mrenda tu kweli mapenzi nyoko!
@mackdonardnyondo92012 жыл бұрын
Ww ni kenge
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@ambroceharouna364 Жыл бұрын
Sa mapenzi yahusika vipi apo
@fabianndimanya20552 жыл бұрын
Very prestige kwa wazazi wake wanaomwangalia✍️✍️
@michaeljohn90702 жыл бұрын
Kuna watu humu wanatoa kashfa sana,,kuwa eti hamna kitu apo,,,hebu nenda na ww ufanye ili tuone kuwa nikawaida,,,kila mtu nakazi yake,, acheni dharau jmn
@missmwayway47042 жыл бұрын
Kwakweli
@missmwayway47042 жыл бұрын
Tena hakuna mbwa wenye dharau kama Watanzania
@michaeljohn90702 жыл бұрын
@@missmwayway4704 sanaaa,,wanaonaga kila kitu ni rahisi tu
@mananievans36462 жыл бұрын
Ni kama Tanzania mko na Wanajeshi hodari sana Duniani kuliko nchi yoyote ile
@@anoldpotentin2446 ndyo mm si mtanzania lakini kulingana na vle mnajisifia Wanajeshi wenu, ni kama wao ndo hatari kuliko Wanajeshi wowote Duniani
@anoldpotentin24462 жыл бұрын
@@mananievans3646 Yes unafikiri tusipowasifia wanajeshi wetu, nani atawasifia? Watanzania tunapenda vitu vyetu na tuko proudly navyo wakati wote. Alafu fatilia historia ya Jeshi letu hakuna Jeshi lolote la Africa lenye historia iliyo tukuka kama Jeshi la Tanzania
@mananievans36462 жыл бұрын
@@anoldpotentin2446 lakini na mbona Hilo jeshi lenu halijapelekwa huko Ukraine kumsaidia mrusi ambaye anaendelea kuangamizwa ka Kasi mno!
@sponsorboyofficialtz11912 жыл бұрын
Mm uyo namchapa tu asijichanganye kwangu ukomando ni uko mm ndo master
@geraldswai54922 жыл бұрын
Huyu siyo Komando Bali huyo ni MP.maana yake ni military police komando hawezi kupewa kazi ya kulinda uwanja kazi ya komando kubwa ni kusaidia jeshi lake pale ambapo wanajeshi wakawaida wameshindwa pia wamepewa mafunzo Maalumu Tofauti na wenzao.Kwa hiyo huyo hapo ni Askari wa jeshi wanaitwa MP.
@davidmloge72772 жыл бұрын
Hujui jeshi
@jumaramadhani58612 жыл бұрын
@@davidmloge7277 kwani kwenye mkono wake wa kulia kuna kitambaa cha aina gani
@mohammadabdallah21472 жыл бұрын
mm ni mwanajeshu kwenye macomandoo wapo mp kila kikundi jeshini lazima Liwe na mp maana ya mp ni watoaji azabu na mp kwenye Kambi anaweza kumtesa mkubwa wake alomzidikwa cheo
@mahmoudmwamba80142 жыл бұрын
@@mohammadabdallah2147 ....mwambie huyo kakariri hajui kuwa kila kitengo jeshin kina kilanja ambae ndio mp
@rolax19992 жыл бұрын
Hujui jeshi n komando mp dictecive
@goodluckngapulila63792 жыл бұрын
Uyu jamaaa namkubari sana amenifanya nitamani kuwa mwanajeshi na nimeambiwa anaitwa obadia ila natamani kuonana nae
@theosaimon69332 жыл бұрын
Bro ni vizuri kuwa na ndoto hizo na ni vizuri kutembelea ndoto zako ?kama kweli unapenda jeshi ?ulipende kisawasawa? Ila utambue jeshi sio lele mama unahitajika kuwa mkakamvu haswa? Kabla haujavaa hilo kitambaa kigumu ,chanye rangi aina tatu ?nikimaanisha kijani mchanganyiko na nyeusi ikikolezwa na rangi tangawizi?watu wengine wakiita baka baka utambue kuna tanuru kubwa na zito inabidi upite?kwanza Sio rahisi unavyofikiria? Inabidi uwe mkakamavu sio kitoto ila tembelea ndoto zako na siku moja utafika
@mtuiart2 жыл бұрын
Sasa mbona amekaa tenge si atachoka sasa ....hamna mwamba kwenye gogo anakunja sura vzuri tuu chooni 😎 Alafu hilo li fire extinguisher la nn sasa si kuna magari ya zimamoto Bongo bhana
@adamdaudi61912 жыл бұрын
😀😀😀
@andrewbigambo67212 жыл бұрын
Tuwe serious Libya Iraq walikuwepo .mabeberu tunaowakumbatia wakikinukisha hamna kitu kama komando.komando anaweza kwepa risasi tuache kujazana ujinga.ni ajira tu ila siku hizi kinachoangaliwa ni technology tu.makomando kazi kubwa labda wakalinde viwanja vya mpira au mabausa kwa walevi bar
@IsackMosses-sp7ry3 ай бұрын
JWTZ makomando Tanzania inajivunia kuwa na jeshi imaraa.
@westhamtznalenale3093 Жыл бұрын
Huyo pia ni dancer wa kitambo sana kwenye nyimbo ya chibwa ajihiba Dance yupo sasa ni mjeshi na kasoma kawe ukwamani
@liversonmbela2735 Жыл бұрын
hizi ni nguo tu na maonyesho..ila tanzania msiombe vita..hao makomando nguo mnaona ni binadamu..
@kakorejrboyz64472 жыл бұрын
Kapendeza sana vp KUHUSU ELIMU YAKE?
@nelsonthuo50942 жыл бұрын
#wajackoyahband ni #D4
@TonnyMaleko4 ай бұрын
Doctor 😊 kimara
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Makomandoo wa siku hizi wana miili midogo Saaana na wala huwezi wadhania, huyo ni Askari wa Jeshi -MP
@emmanueldrawerhq75262 жыл бұрын
Kweli man MP huyo-yaani military police
@ananiamkasu88472 жыл бұрын
Kwani komando hawatakiwi kuwa Mp?
@shaibuselemani21352 жыл бұрын
Komando hawezi kuwa mp?
@philmoneric62562 жыл бұрын
tatzo unaweza kuja kuwa hvyo alaf ukafaa kwa mapenzii tu ndo ujue maisha yalivyo
@lago74772 жыл бұрын
ana miguu ya kichaga
@scariothagreat11 ай бұрын
unasifiaje mwanume mwenzako et uyu mwanaume kwel kwel every man is strong bro wew tu unachagua uwe feminist ama masculinity
@rogatiusscarion7262 жыл бұрын
Wengi umu naona mnamkandia lakin jamaa Yuko smart,Ni pande la mtu kwelii jeshi.linajivunia kuwa na watu Kama hawa Afu tupende vya nyumbani jamn
@theoneartist63272 жыл бұрын
Nakukubali mwamba watutengenezee na movie ya kikomando 🇹🇿 🌷
@TradingPHD2 жыл бұрын
Don’t bring your karate to a Gun fight 😎 gafla Pahhh.. man down
@missangela67202 жыл бұрын
😂😂😂
@lusajokafuko34502 жыл бұрын
😂
@matthewjohn51082 жыл бұрын
😂😂😂😅🤣
@mrcardano12032 жыл бұрын
Kaka nikuelimishe, ukisikia komando sio wa hivyo ulivyosema et karate, huyo anauwezo wa kupotea kama upepo na usimuone na kuna vifaa vingi wanavyo, commando ni extre physical fitness mkuu
@TradingPHD2 жыл бұрын
@@mrcardano1203 ahahah 🤣🤣🤣 anaweza kupotea kama NINJA.. mara paah komando ka disappear
@FebroniaBakulilehi8 ай бұрын
Nimekubali aisee
@joventbilungi13322 жыл бұрын
Uyo sio komando tutolee umbea apa
@fadhiludumana55242 жыл бұрын
Orbadia From 841 Mafinga KJ Nimekukumbuka Sana kaka Mkubwa
@michaelmgaya51912 жыл бұрын
Majeshi sana msenge uyo 😂😂😂
@shaibuselemani21352 жыл бұрын
Ni komando kweli?
@fadhiludumana55242 жыл бұрын
@@michaelmgaya5191 ahaahahhah kumbe Umemkumbuka 😂😂😂😂 Sema Bado Hajaenda coz ya komando Ujue
@fadhiludumana55242 жыл бұрын
@@shaibuselemani2135 hapan Huyo ni Mp (Military Police...) POLISI WA KIJESHI
@tanzaniaunforgettable44012 жыл бұрын
Huyo n MP bana...... military police
@Mohammed-vy4vw2 жыл бұрын
Kwanguvu yote hii tulonayo kwenye majeshi yetu kama tungeitumia kulinda lasilimali zetu wenyewe zisiende kujenga nchi nyingine tusinge lalamika maisha magumu 🤔😏
@maishastambul13622 жыл бұрын
Daaah braza umenena ukweli salute
@clecencechrispine63962 жыл бұрын
Acha kututisha mwanahabari huyo ni MP😂😂😂siyo mwamba
@allymahiyo24642 жыл бұрын
Mwamba wa nini jamani tusitiane ujinga izo mbavu tu hamna lolote kidole tu tu kikimuuma usk asubuhi anakimbilia hospital.
@japhetjacob76742 жыл бұрын
Jaribu uone
@djwinnertz2 жыл бұрын
ila mbele ya mwanamke ana ujanja akunaga ukomando kule
@emmanuelshayo47032 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaa!!!!!!
@jeffchurum14315 ай бұрын
I find it very funny😂 kamba na fire extiguisher zinatumika wapi hapo.
@vituscharles9029 Жыл бұрын
Anafanana na mandonga
@chamwilambomusa44472 жыл бұрын
Now the world is moving to the war without man kwa kuwekeza kwa technologia xx sisi tunasifiana ujinga. Tho wanakuwa na umuhimu kwa some missions lkn tukaze buti sio muda wa kusifiana kama we are the top in quality aaaa aa nooo
@Users25232 жыл бұрын
Huyo akiingia anga zangu namuikalisha na ukomandoo wake woote💪💪💪
@brownsebastianmwibi56472 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tanzania bhana ukihama uwe na sababu zako
@ambroceharouna364 Жыл бұрын
Nenda
@paschalmahonajulius35302 жыл бұрын
Komando pekee ni JACOB MATATA. kwa hapa Tanzania
@ghost_worker01undetectable632 жыл бұрын
Hiyo mp wa kawaida... Komandoa wana baret ya maroon..
@AZAM_MEDIA4 ай бұрын
Bora useme
@isayadaud14912 жыл бұрын
Huyo tu ndo komando au kuna wengine mbona mna mshobokea sana 🤣🤣🤣🤣
@Fieryvisuals2 жыл бұрын
Huyo siyo commando ni Askari wa kawaida angalia mkononi ni MP (MILITARY POLICE), commando anakuwa na eagle kwenye combat pia na ballet yake inakuwa brick red
@chamwilambomusa44472 жыл бұрын
Mbwembwee nyiiingiii loh now technology
@abdallahsalehe83252 жыл бұрын
Uyoo ni mp bhna acha kudanganaya watu
@NdiyembukeJr8 ай бұрын
Mbwembwe tu hizo wapeleke vitani ndio tuone uKomando wao
@thabitngangila85622 жыл бұрын
Tuwekeze ktk technology
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Dunia ya leo teknolojia ina matter
@abossto2 жыл бұрын
Kama yeye ni kommando mtume huko Somalia kama atakuwa salaama usalama wake
@abdalahasuman87402 жыл бұрын
Awa wanafaa tuwa tume Waka saidie ndugu zetu Congo kupambana na m23
@nassorolikoko39042 жыл бұрын
Vita drc haiishi mpaka wazungu waamue...
@Mpakauseme2 жыл бұрын
@@nassorolikoko3904 Wazungu au wenyewe waache tamaa zao
@nassorolikoko39042 жыл бұрын
@@Mpakauseme kitu hicho hakiwezekani ndio maana nikasema mpaka wazungu waamue
@steventibenda52 жыл бұрын
m23 mpaka leo bado imara na inaendelea kufanya mauaji na uporaji kwahyo wamefeli
@badymedia96482 жыл бұрын
Halafu ukutwe anapigwa vibao na mkewe,mamae
@rahimomary76632 жыл бұрын
Halafuuu unakutaaa anasumbuliwaaa na mapenzi Tena na kitotooo cha 2000😂😂😂😂🤣
@AdventTVOnline7772 жыл бұрын
😂😂😂
@EsterMichael-ke4so Жыл бұрын
Chumbani roond Moja tuu Chali
@shebbythespyro53932 жыл бұрын
Mmmm mwili huo hatoboe nampa dakika 3 tu na mwangusha
@issaathuman7345 Жыл бұрын
sio commando huy kaka n soja wa kawaida tu
@Alllifeneedsislearning2 жыл бұрын
Wapeleke Ukraine wakutane na akina Putin
@sundymolls9673 Жыл бұрын
Komandoo ni Yesu tu
@allykilimanjaro14302 жыл бұрын
Tumpeleke kwa Mr putn
@jastineadrick53432 жыл бұрын
Mh atariii
@martinjames6012 жыл бұрын
MP .tu huyo msimuogope hana ukomando wowote ,komando havai badge ya MP
@fakimaneno893010 ай бұрын
Huyu saluti mzee
@konobao97092 жыл бұрын
Hamna kitu hapo.huyo mbona wa kawaida sana Ajichanganye usandaweni au usonjoni ale nchale wa chumu afe.
@johnmarwa47022 жыл бұрын
Kwann mnapenda kutembelea nyota za wanaume wenzenu.
@Mohammed-vy4vw2 жыл бұрын
Hamna kitu humo pamoja na ukakamavu wote alionao lakin kashindwa kulinda lasilimali za nchi yake zisiibiwe na wapolaji 😎😏😏
@betsonkhanboymtotowababa61632 жыл бұрын
Hatari
@Izzeboy3 ай бұрын
Oya wanangu hii jamaa njemba maninaaa😂😂😂
@rasheedabby2871 Жыл бұрын
Fire extinguisher ya nn???
@conganyoyo31952 жыл бұрын
AyoTv huyu jamaa n noma na nusu
@MrBm3692 жыл бұрын
We usiseme huyo ni mwanaume haswa. Kunawatu tuna ishinao Hulu mtaan n Hao ndo hata nzi hawa gusi Seema tu hawajapata nafasi ya kuonekana
@kuyonza942 жыл бұрын
Mwamba kumbe MP duuh
@khaledsalum8162 жыл бұрын
Sio komando n mp uyo
@masterstyle7850 Жыл бұрын
Nice
@RahimhKhamisi-yw7ez Жыл бұрын
Mtoto mzuri kbsaa uyo
@SundayWanyama-kn6pe7 ай бұрын
Sio kweli
@ayoubdallu44762 жыл бұрын
OGOPA anaye vaa kofia nyekundu
@afwililenisaidie95972 жыл бұрын
Asant tanzania
@audiphoncealphonce20792 жыл бұрын
Maleria tu inalaza mwili wote huo 😁
@pestodave2 жыл бұрын
Rentokil for mice....
@alphakiuyo944711 ай бұрын
Mtungi wa gas wa nini 😂 😂
@kibarabaramalande86172 жыл бұрын
Saa fire extinguisher ya nini bwembwe nyingine bana hazina manaaa
@nardhismhagama62662 жыл бұрын
Elim jee?
@fransissamwel1648 Жыл бұрын
Daha jeshi kweli noma sn
@AlexDitto-qz1hn Жыл бұрын
Huyo namkalisha kwanza mzito utapiganaje kizimamoto