Hakun nchi ino uwezo wa nyuklia ikawa maskini duniani❤❤
@ebengapierre88263 ай бұрын
Wamarekani ivyo wao wivu umeshahanza uyu raisi wakorea ni fimbo sheria zake ni nzuri Korean kaska zini ni inchi nzuri ❤❤❤❤ apewe mahuwa yake
@user-ql6hg7fy9p3 ай бұрын
Vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa kwetu Afrika, Afrika na Tanzania tunakwama kwa sababu tuna viongozi washereheshaji, ili tuendelee tunahitaji viongozi watendaji kama alivyokuwa JPM.
@user-ii6gs2jg4g3 ай бұрын
Haya Mambo wamagharibi Hua hawazipendi kabisa wao wanataka waone kila siku binadamu wanateseka
@abdulhamis98253 ай бұрын
Endeleeni Kumuita Dikteta Lkn Yy Anajenga Nchi Yake
@nizarrama2253 ай бұрын
Hiyo gari ina ubora kuliko gari ya rais wa marekani, point of correction
@sund25533 ай бұрын
Tanzania bado tuna Tajirisha viongozi washibe kwanza 😅
@mohammedmfamau433 ай бұрын
Aisee vyombo vya habari vya magharibi ni watu wabaya sana sasa nani dikteta kim au wao?
@noelimori46213 ай бұрын
Ndio ushangaeh magharibi sio watu
@mohammedmfamau433 ай бұрын
@@noelimori4621 😃😃👊
@mohamedmbalazi7483 ай бұрын
Magu aluanza hizi mishe sema ndo ivo
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Nchi ambazo zimekata na kupoteza culture Yao siku zote Huwa ni WA kuyumba yumba,,,ndio sawa na tz,n.korea ni nchi ambayo IPO connected na asili yake hivo lazima wawe na umoja na nguvu
@johnmichaellukindo213 ай бұрын
Jamaa anajitahidi aendelee kujifunza. Kutupa habari za aina. Hii
@btsanime61383 ай бұрын
Marekani ni wapotoshaji wameisema vibaya north korea rais kim jung un vibaya nawakati yeye anapenda wanainchi wake vizuri sana.
@muksinimbaruku12333 ай бұрын
Wamarekani hawapendi haya mambo ya free maana maisha yao wanategemea sana, hawana vyanzo vingine vikubwa vya mapato
@salehkhalfan73453 ай бұрын
Halaf kuna Muafrika mwenzetu kaaminishw kua Korea Kaskazini ni nch maskin kupita kias
@OmarySamata3 ай бұрын
Daaah kiduku ana akili nyingisana
@rashadally68713 ай бұрын
Kwani kuna ulazima kupata like... Acheni ujinga mama...
@SM-fu1yv3 ай бұрын
Mmarekani ni mdomo wala hawezi kupigana
@Supershopdubai-ck8td3 ай бұрын
Skayi izimambo tunazipenda sana tenasan najiskiafalaja San kwaiyistoli naomba muendelezo 🇧🇮💐👊👊👊👊
@CharafimalisalimoAli-qw3hk3 ай бұрын
DUNIA BILA WA MAGHARIIB INGEKUA PEPONI. WANAOWEKEWA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANASTAREHE. WANAOWEKA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANATAABIKA.
@braystuskibassa38423 ай бұрын
Halafu utasikia Korea Kaskazini ni masikini hana lolote ni nchi nzuri tatizo ni nchi za magharibi zinatengeneza maneno ya hovyo
@Supershopdubai-ck8td3 ай бұрын
Pamoja San from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi
@festohaule97163 ай бұрын
Viongozi wa Afrika Wanawaongoza Wafu.... Vikwazo vyote na Bado Korea inasonga mbele kijeshi na kisayansi....
@user-id8ys3lg5d3 ай бұрын
Hata Gaddafi alifanya zaidi yahayo lakini wakamsaliti nilisikia story yake nikaishia kulia tu..Sasa wamlinde kiongozi wao wakimsaliti tu tutasaidia umaskini..maana binadamu wakipata raha wanatafuta shida
@Baday_83 ай бұрын
Wakijaribu chamoto watakiona😅😅😅
@omarmussa57553 ай бұрын
Naomba likes zenu
@meekman18053 ай бұрын
Asanteni wana Simulizi. Nawaelewa sana.
@nicholasmkama28773 ай бұрын
Si kwanba wana mabomu ya nyuklia,wana kiwanda cha kutengeneza makombora ya nyuklia.
@pharesdismas88763 ай бұрын
Iyo gari aliyopewa kim ni kama anayotumia putin ina safety na ina features zote kwa mtu wa level ya putin the beast ya marekani aina tofauti na iyo gari kwenye ubora
@SaidiMohammed-ge5ot3 ай бұрын
Safi sana
@Nzirubusaabudara-nb1bm3 ай бұрын
Niko burundi nawapenda sana
@bekamicky10713 ай бұрын
Mmmh
@omaryluhanga93873 ай бұрын
Muengereza Alisha sema tuwafanye Africa wasipande kiuchumi, Ili waweze kututawala, na wamefanya sisi tuwe wa kupewa misada na sisi tunachekelea
@sumakitengo13563 ай бұрын
Kidukuuu
@charlesadolf10623 ай бұрын
❤
@emmanuelfari89243 ай бұрын
Kuomba like mbona ni kama ujinga na kutojitambua....! au ni mawazo yangu tu🤔 Mapovu luksa lkn kwa alie mgando...🤯
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Wala sio uongo ni ufala wakutupwa.
@sonnyr18993 ай бұрын
Inatakiwa ipigwe marufuku kabisa huyu ni upambavu wa hali Ya juu.
Song la afande sele limejaa ujumbe mzito mno ndio maana likafungiwa fasta. . Andika Afande sele BILA MAREKANI
@petermwamanga7243 ай бұрын
Ally nataka ufanye research chanzo cha mapato cha North Korea halafu utakuja kujua. Kwanini na vikwazo bado wanafanya matukio kachimbue zaidi
@user-ej2th7jc9k3 ай бұрын
Nyumba alishajenga Ghadaf huko libya. Hakuna aliyesema na watu waliishi for free. Tatizo pia waafrika tunapenda kushadidia vitu vya weupe...sijapenda. next makala nendeni libya mtuambie Ghadaf alifanya nini?
@Baday_83 ай бұрын
Wewe nae au unafatilia chanel moja mbona habari ya ghadaf hipo lakin sio chanel hii naish inay ongelewa hap mpya ya ghadaf ni zaman kuna utofaut kidog hiyo habar yamotoooh yan
@evaristmbuya62203 ай бұрын
Kijana mdomo mzito sana huyu
@lifeuptv63533 ай бұрын
🎉🎉
@ebengapierre88263 ай бұрын
Vikwazo vyamarekani avina yeyote inakua mdomo tu kwanza inchi ambazo zina vikwazo watu wao wako vizuri kuliko wale ambao wana vikwazo
@djb2kzer03 ай бұрын
Kwaiyo mchambuzi ana ilinganisha korea na bongo 😟😟😳
@godfreyalphonce56463 ай бұрын
My lord I wonder 😮
@kodakblack38363 ай бұрын
Congratulations mr kipanki ✌️
@alfasafaraja85153 ай бұрын
Sasa bro kwanini inji zingine aziwapigi vikwazo inji za magaribi ?? Mpaka waho tu ndo wakupana vikwazo
@samiraabdimahamed44493 ай бұрын
❤❤❤❤
@MHDFURNITURE-jn2rx3 ай бұрын
kaka minaomba unifanyia mpango kwa alikiba nipate kazi ya utangazaji ndio kipaji pekee nlicho balikiwa namungu
@giuseppemanaos753 ай бұрын
Mda sio mrefu Korea kusini aturudi kwa Korea kasikazini
@aleyidukury83333 ай бұрын
Tz wakijenga wanawapa wahindi alaf mnadanganywa Korea ni masikin amken waafrica
@RamadanPaul3 ай бұрын
Afrika tukienderea kuamini kuwa marekan na washirika wake ndo baba wa democrasia, tutabaki kuwa masikini na wenye roho mbaya sisi kwa sisi miaka 💯💯
@MHDFURNITURE-jn2rx3 ай бұрын
sauti nzuri na mzigo ninayo lakini pia nim.bunifu wavipindi tofauti tofauti
@yayananajota58383 ай бұрын
King Kim the men,
@Badvoice7073 ай бұрын
Soon tanzania na sisi tutajengewa inshalaa
@chingaboy11493 ай бұрын
😂😂😂😂unaota weee
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Mchana kweupe😅😅😅😅
@chingaboy11493 ай бұрын
@@MiriamAbdallah 😂😂😂😁😁🙏asaivi kunisaidi nchi inaambiwa inauhuru ila hajitawali niuhuru or uhuni kuharibu pesa zetu tu ety wanasherekea uhuru usiokuwepo hii miccm kama mijinga eehe😁😁😁hao wanamiaka 50 wapo navikwazo ila kwa Tanzania nikama kichwa na tako😁😁😁
@hasanimkamba83773 ай бұрын
ndiomana Mimi nikiwasikia wamerekani wakisema nidikiteta nawaona niwajinga tu
@ismailabbas41973 ай бұрын
Ulaya na marekani ndio aduwi wa hii dunia, nadhani bila wao na rohozao mbaya za kishetani nahisi duniani pangekuwa ni mahali salama. sasa ukitizama nchi kama North Korea bila ubabe wao wasingefika hapo walipo leo lakini Je ni nchi ngapi za kiafrica zilitaka kupiga hatua zikarudishwa nyuma? Wanachokifanya wazungu ni kuwauwa viongozi ama wataalam wenye akili na maarifa.
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👊✌️👍.
@aliabdallah84563 ай бұрын
Marekani kisha sema nchi yoyote ile haiwezi kuwa na urafiki nayo kama itakataa ushoga lazima hiyo nchi hatoipenda na hatoipa msaada lazima mruhusu ushoga katika nchi yenu
@user-lc9zf6jw1r3 ай бұрын
iv kweli kwa huyu jamaa,raia na watumishi wa umma gharama za maisha zikoje? maana mi naona hela zimewekezwa kwenye mabomu tu ya nyuklia
@barakakusa76063 ай бұрын
Kiduku anatoa hizo pesa maana hata USA hawajafanya mradi mkubwa kama huu😮😮
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
Alaf uyo markan kama nn mnamuona labda
@karimhamisi46272 ай бұрын
Wizi wa mitandao
@lugelosanga57983 ай бұрын
Nchi za wanaumeeee hizooo sio kwetuuu huku tunaaangaika na wamama wAnazururaaa kusaini tuuu hakuna ubunifuuu
@salehkhalfan73453 ай бұрын
Ww unachuki tu, nch hii ina mika zaid ya 60 tangu Uhuru huyo mama ndo kwnza ana miaka mi3
@user-ii6gs2jg4g3 ай бұрын
@@salehkhalfan7345hakuna kitu mama yenu kutwa nzima kuzulula na kwenda kusaini mikataba ya ajabu. Sasa kaeni muanze kuoana men to men
@salehkhalfan73453 ай бұрын
@@user-ii6gs2jg4g miaka zaid ya 50 ya waliopita kabla ya Mama unaionaje, au ww Chuki zko n kw Mama tu Suala la kuoana Men to Men tu Uamuz wa mtu mwnyw hay mambl yalianzia Zaman xan na sio lazim kila Sharia ya Mzungu ufuatwe Ss kwtu Sharia wa4, atakae fata hayo Mamb ni Ujinga wke mwnyw
@Baday_83 ай бұрын
Wewe mshamba kwel kwan Tanzania ni yakwanza kuwa na rais wa kike😂😂 hii sio nchi ya kwanz bro nyie ndio magaid wa nchi kilakitu mnaping ayasasa kagombee ww uone kama huto semwa vibaya😅😅
@Torono_953 ай бұрын
Ongea taratibu
@swahilitherapytv38463 ай бұрын
Why skyworker....??
@bakariomary57813 ай бұрын
Huyu sasa ndo anaishi Uongozi
@shaviercharvinho183 ай бұрын
Imejirudia hukuikaguwa SNS
@ibrahimmakungu97113 ай бұрын
Hivi Marekani akizindua makombora yake mbona hatusikii popote?
@ManOfSteel-2ruku3 ай бұрын
Hivi unajua hata Bomu la nuclear alilotumia marekani kuipiga japan 1945 aliiba teknoljiia kutoka kwa mjerumani, kipindi cha allies walipoingia ujerumani kuangusha utawala wa hitler marekani aliwakuta wajerumani wanamalizia kitengeneza bomu la nyuklia ndipo akachukua teknolijia hiyo na kuihamishia kwake hatimae akalitumia 1945
@user-tn4ny3ii2t3 ай бұрын
Iyo eps yakongo inatokalin
@jumabee98903 ай бұрын
6
@ISSACKRICHARD3 ай бұрын
Izo begi walinzi wamebeba ni zann msaada plizi
@AbdalallaBrahimam3 ай бұрын
Hizo silaha mkuu zinauwezo kuzuia milipuko
@user-eb2el9kw6m3 ай бұрын
Propaganda ndo kitu pekee kinachofanya Western countries wasikilizwe. Ukiwapuuza ukaendelea na mambo yako Hawa watu wa magharibi ni takataka kabisa
@JohnMhagama-cr7yn3 ай бұрын
Shida ni kwamba waafrika tumeaminishwa siasa za propaganda za kimagharibi,ndo maana afrika Kila uchwao hatundelei
@christopherjoseph83303 ай бұрын
Ukifanya yako wazungu hawafurahi ndo maan Magu aliwakataa
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Huyu mchambuzi yupo objective ila kama akisoma vitabu sana atakua mchambuzi nguli badae
@cidewashington6703 ай бұрын
ndugu zetu wa Magomeni mpaka leo havieleweki?
@issahilali94213 ай бұрын
Tatizo wa president wa African wanajipenda wenyewe
@benhamza56493 ай бұрын
Sera zipo hivi:: Ikiwa hukubaliani kua chini yao wakuhukumu, basi wewe ni dikteta na mwenye kuathiri democracy. Wa Africa tuamke ! Watu Kama hawa wachambuzi ni watu muhim sana kuweza kutupa maono ya pande zote. Brother ubarikiwe sana sababu western media are controlled and therefore we get what they want us to get. “ The best and true story is told by the unknown story teller “ Benh
@ngendakumanajeanmarrie74903 ай бұрын
Afrika rushwa ndio inatumaliza viongozi wetu hawaonihayo nahizinika kirasiku maji umeme miaka nenda rudi niaibu
@IsmailiNiraji3 ай бұрын
Sky kwema mimi ni shabiki mkumbwa Sana nilikuwa naomba link ya WhatsApp
@josephatjordan21503 ай бұрын
Hyo apo
@aminaali7923 ай бұрын
Big up Korean shame on America yeye kazi yake kugawa kodi za wananchi wake tu 🙄😏hawana muda wa kuangalia mwananchi wake yaani mpaka mikopo ya elimu hawawapi insurance za hospital ni tabu kwao ila kuwakata kodi tu ndo kazi yake mbwa yule 😡
@jumalihumbo53143 ай бұрын
Mwamba kim jong Un piga kazi dogo janja😅😅😅
@CharafimalisalimoAli-qw3hk3 ай бұрын
😂😂😂😂😂AISEE KIDUKU YUKO VIZURI. MAANA ANAKUAMBIA YEYE MKILIAMSHATU ANAANZA NA KUBWA KWANZA YAANI NYUCLIA, BADAE MNAMALIZIA NDOGONDOGO.
@dominicksangu89343 ай бұрын
Magufuli hata sisi tz 6:28 hatukumpenda,kabsaaa
@atutweve41603 ай бұрын
WEWE HUKUMPENDA POLE SANA
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Sema ww choko hujampenda wapende ao mashoga wenzako
@miltonjohn97793 ай бұрын
Sema wewe ndo hukumpenda
@thelonewolf44293 ай бұрын
Ujamaa ndio habari ya mjini wamagaribi na democratia yao ushetani tu hawana maajabu yeyote zadi ya propaganda
@user-rv9rk2jb9q3 ай бұрын
Leo mimi watano nipeni like zangu sasa na mimi
@yussufritzy76843 ай бұрын
Alaf unaenda kuzipika na kula??
@sonnyr18993 ай бұрын
Mnakera nyie watu wa kuomba omba vitu hewa 😢
@Baday_83 ай бұрын
Atutakiiih😅😅
@deathrow80043 ай бұрын
That's child & ushamba.. Umenunua simu leo
@jogechi21053 ай бұрын
Siwezi tamani kuishi huko hata iwe bure
@edwardtrigga57013 ай бұрын
Wamarekani wamekubrainwash na unaamini marekani ni sehemu Salama
@jogechi21053 ай бұрын
@@edwardtrigga5701 Mitandao ipo wazi jifanyie research
@ChalomeJunior3 ай бұрын
mchambuzi unaboa!!!..kwakifu unauwezo wa kuelezea atakama unajua history..sky tafuta mchambuzi mwingine
@iambaizo3 ай бұрын
Kuna documentary inayoekezea n vp serikali ya north korea inapataje pesa huku vikwazo kutoka nchi za magharibi. Kwanza mafuta hawana ila wanapata kutoka nchi za uarabuni na wanawasaidia silaha na mafuta yanaingizwakimagendo. Issue nyingine kuna wafanyakaz raia wa north korea nchi nyingne wanafanyakaz kazi na pesa zinapelekwa norh koreakwa njia za magendo kufadhili miradi ya nuclear. Kuna wengine wapo kwenye viwanda vya china familia zao zpo chni yauangalizi na pesa wanazopata zinatumwa so he not just little rocket man as refered by pres Trump but hes very intelligent man.
@songamberetv22193 ай бұрын
North Korea ina maka ya mawe wanauza china ndo vitu vinawaingizia pesa
@iambaizo3 ай бұрын
Ni kweli Wana source nyingi za fedha ikiwemo deal Haram na halali pia hata ofisi zao za balozi mfano katika nchi nyingine hupangisha waingize fedha Wana mighahawa ya kiasili Cambodia ambayo wanaendesha kwa miaka 5 mitano ni yao then mgahawa wanakuachia so Wana mbinu nyingi pia teknolojia wanapewa na urusi
@ismailabbas41973 ай бұрын
We nae hujuwi chochote kumbe, wale wanauza makaa ya mawe mpk baadhi ya nchi za ulaya. Na silaha wanauza pia
Mdogo wangu unafahamu mambo mengi lakini haujui namna ya kusimlia na ukamsisimua au kumvutia msikilizaji
@abelmbilinyi12623 ай бұрын
Kwa upande wako huyu sio mtangazaji boss , Sky sio boya ndugu mpk kumtumia huyu Mwamba
@Zuu6733 ай бұрын
Jamani sasa tunafikaje huko😂😂😂
@user-ii6gs2jg4g3 ай бұрын
Piga chini fisi emu
@Zuu6733 ай бұрын
@@user-ii6gs2jg4g sijakuelewa
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Uwiiiiii😅😅😅😅😅
@Zuu6733 ай бұрын
@@MiriamAbdallah hahaha
@hamudshabani78013 ай бұрын
Hata Tanzania viongoz wetu wajifunze maana nchi hii ina rasimali lukuki but it's people they are poor economically just bcoz uroho wa viongoz wetu kujineemesha wenyew na vizazi vyao
@festohaule97163 ай бұрын
Viongozi wengi wa Afrika wanawaongoza Wafu 😂😂😂😂..
@hamudshabani78013 ай бұрын
@@festohaule9716 si hivyo festo issue ni kwamba most of African leaders ni walafi wa Mali ndiyo maana hawapo tayari kufanya kazi kwa ajili ya maslahi ya watu.
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
@@hamudshabani7801na pia wako chini ya hao manyangau wa magaribibi
@salymsuleiman20353 ай бұрын
Putin kahusuka hpo bro
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Us huo ni dictator
@atutweve41603 ай бұрын
KUNA WATU NDANI YA NCHI NDO HUWA WANAPELEKA PROPAGANDA ZA KUMFANYA RAIS FULANI WA NCHI KUWA MTU MBAYA, NA MBAYA NI MTU WA NDANI ANAEKUJUA KUKUHARIBIA SIFA 😊
@atutweve41603 ай бұрын
KUNA WATU NDANI YA NCHI NDO HUWA WANAPELEKA PROPAGANDA ZA KUMFANYA RAIS FULANI WA NCHI KUWA MTU MBAYA, NA MBAYA NI MTU WA NDANI ANAEKUJUA KUKUHARIBIA SIFA
@betinvestment32043 ай бұрын
Uyu jamaa yupo tna huku tunataka mtu mwingine tafadhali mwana SNS
@CharafimalisalimoAli-qw3hk3 ай бұрын
HALAFU MASHOGA WA MAGHARIBI WANADANGANYA KUA WAATU WANAKANDAMIZWA NA HAWANA UCHUMI 😂
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Hizo ni propaganda za west
@chancekambale34983 ай бұрын
Uyu jama sio mchambuzi nagisi anaongea nikama hana uhakika wa mambo anayo ongea 😢😢😢😢😢😢😢😢
@husseinhussein99713 ай бұрын
Kwa ujuaji sasa, yupo vizuri sana
@user-cw8zn2dn6m3 ай бұрын
We ndo hujui kitu
@ismailabbas41973 ай бұрын
Yani we kondoo kweli, sasa hapo kipi hujaelewa?
@HamzaMbasha3 ай бұрын
Nchi ina vikwazo lakini ina maendeleo kuliko hizi nchi zetu ambazo hata barabara wanashindwa kuzijenga
@joshuaswai82033 ай бұрын
Kwani wewe utamwitaje mwendazake
@ebengapierre88263 ай бұрын
Vikwazo vyamarekani avina yeyote inakua mdomo tu kwanza inchi ambazo zina vikwazo watu wao wako vizuri kuliko wale ambao wana vikwazo