Hatari! Ukikiuka sheria hizi 18 nchini Korea Kaskazini ni adhabu ya kifo au Maisha Jela

  Рет қаралды 74,434

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Makala 360 inakuletea mambo ya kustajabisha kuhusu baadhi ya sheria kali na za ajabu ambazo zipo nchini Korea Kaskazini, sheria hizi pengine hukuzijua na ungetamani kuzifahamu. Tega sikio lako mpaka mwisho, ukizisikia sheria hizi hakika hutatamani kukanyaga korea kaskazini, na pengine unaweza kushukuru kabisa kwamba hukuzaliwa na kuwa raia wa nchi hiyo.
Ndani ya mipaka ya Korea Kaskazini

Пікірлер: 193
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Жыл бұрын
Mungu Ibariki Tanzania 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Insha'Allah ipo siku Mungu atawauliza unyama huyo kuua watu bila hatia
@LigandukaOfficia
@LigandukaOfficia Жыл бұрын
TANZANIA tuna amani hata kama Maisha yanatubana ❤️Jah bless brother sky
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Жыл бұрын
Dah Allahmdhulilah nashkuru kuwa mkenya
@chunanachu2529
@chunanachu2529 Жыл бұрын
Unasimulia vizuri hongera bro sky unatufanya tuskilize
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 Жыл бұрын
Yaaan kwa sheria ya kucheka mi nisingevumilia nahisi ningeuwawa mchana kweupeeee kwa jinsi ninavyopenda kucheka
@bashirumkopi2638
@bashirumkopi2638 Жыл бұрын
NAKUPENDA NCHI yangu 🇹🇿🇹🇿
@user-px6fq9fb2d
@user-px6fq9fb2d 7 ай бұрын
Daaaah iyo mzuri iyo Sheria ya Korea kaskazini ingekuwepo na apo nchini kwetu Tanzania Yani nchi ingekuwa na adabu sana
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
wewe akili zako hazifanyi kazi
@dieudonneniyotwizeye5955
@dieudonneniyotwizeye5955 Жыл бұрын
La!!! Sio inchi hii ni gereza tayari, tuna bahati sisi wenye tulizaliwa inje adhabu mpaka vizazi vitatu jamani...
@officialkamdudu
@officialkamdudu 11 ай бұрын
Wangeruhusu Raia kusafiri huyo kiduku angebaki peke yake wallahi maana kumbe huko ni sawa na kuzimu tu
@edwinikhanje5153
@edwinikhanje5153 Жыл бұрын
N sawa tu maana bnadamu tukipewa uhuru sana tunajisahau
@VellonicaClement-lb8fq
@VellonicaClement-lb8fq Жыл бұрын
Nilitamani kuwa mwingizaji wa kolea ila mh nimeghaili😂😂😂😂😂😂
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Kutoka nairobi nilichelewa kuingalia ihii video . Karibu crown media Fredrick budala❤
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz Жыл бұрын
Namshukuru sana Mungu kwa kunifanya nizaliwe Tanzania 🇹🇿 🙏 😢
@josephjulio6112
@josephjulio6112 11 ай бұрын
Hii inchi naipenda sana
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 Жыл бұрын
Uyu atafrauni anaafadhali mungu saidia
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Dah acha nibaki kwetu😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️
@fzlcomrajabu9514
@fzlcomrajabu9514 Жыл бұрын
God bless sns 🙏
@thierrybisimwa3312
@thierrybisimwa3312 Жыл бұрын
Izi sheria ni nzuri kuzidi ushoga. Ila wazungu watulewesha upumbafu. Kim ni mwanaume.
@jesusezra3678
@jesusezra3678 Жыл бұрын
Hii nchi nilitamani sana kwenda nashukuru kwa hii tarifa
@bahatymchezo4227
@bahatymchezo4227 Жыл бұрын
Nenda South Korea soul
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 2 ай бұрын
😅
@francisjackson6524
@francisjackson6524 Жыл бұрын
Siokilakitu unachoambiwa kuhusu Korea kaskazi nichakweli, vingine vinachochewa na inchi za maghalibi
@albert-kkitwenga4889
@albert-kkitwenga4889 Жыл бұрын
Sio vyote. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao, utagundua Wana hadithi za kutisha na kuvunja moyo.
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj Жыл бұрын
@@albert-kkitwenga4889 ndo ivyo ww CIA ndo wana fanya ivyo soma historian ya North Korea na south korea
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Siku moja nitakuwa Rais wa Tanzania na nchi ambazo zitakuwarafiki ni 1. Russia,Cuba, Korea kaskazini, Iran na china. Lakini china kunakitu nitaongea nao kama tutakubaliana wakija africa wasitufanye sisi watumwa.
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 11 ай бұрын
Mbona Wana atar Sana duu uyu Kim mbona anawanyima Uhuru sana
@labankarani6973
@labankarani6973 10 ай бұрын
Hii nchi aina uhuru wowote
@mscantraah8210
@mscantraah8210 Жыл бұрын
Wallah mimi natakani nikaishikuko nitakuwa naamani ya ubongo wow very good life 🤲🏻🤲🏻💃🏼💃🏼 insha'Allah itakujakwenda huko milele
@shearyshabani4308
@shearyshabani4308 Жыл бұрын
😂usinisahau na mm
@Nominated207
@Nominated207 Жыл бұрын
Mzee usije ukaniacha mwanao
@sandraechiveraya8570
@sandraechiveraya8570 Жыл бұрын
No freedom of speech, no freedom of movement, no freedom of communication when it comes to foreign countries,,,, weh religion be it Muslim or christian u are not allowed weh,, I choose my country 💯
@mansourabdul3902
@mansourabdul3902 Жыл бұрын
Ubalozi wao uko wapi ni ka apply visa ya kwenda kwenye hii nchi, nchi imenyooka sana unaweza usiawelewe ila kwa upande wangu nimewaelewa
@davidmarik4633
@davidmarik4633 Жыл бұрын
Ukienda na hiyo Ngozi yako utajuwa ujuwi
@AnwarySaid-lj2ve
@AnwarySaid-lj2ve 8 ай бұрын
Safi kabisa
@kihanda2554
@kihanda2554 Жыл бұрын
Mi na urafi wangu wa Movies za Mbele. Sasa hivi ningekuwa Marehem🤣🤣🤣
@habari254
@habari254 Жыл бұрын
Kazi Safi Sana The Sky
@sudeismohamed716
@sudeismohamed716 11 ай бұрын
Thank god for living in tanzania
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 Жыл бұрын
Hilo Ni gereza sio nchi!
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Hizo sheria nyengine km kunyoa kwa kweli mtihani
@ramadhanidaudihaji2174
@ramadhanidaudihaji2174 Жыл бұрын
Hatari Sana daah 🙌🙌🙌
@ashamsusa7617
@ashamsusa7617 Жыл бұрын
naipenda sana iyo nchi iko vizur sana ya kibabe
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 Жыл бұрын
Muongo ww mdogo wangu
@chunanachu2529
@chunanachu2529 Жыл бұрын
Hiyu rais aje Tanzania ataware hata mwaka mmoja watu wanyoke inchi imekuwa ya watu wa hovyo sana
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 10 ай бұрын
Ila dunia hii ina baadhi ya nchi ina sheria zenye masharti ya ajabu ni kichaa tu ndo aweza kuyafanya
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
Duuuu hapo kwenye kucheka jmniiiiiiiiii ningepewa adhabu dk 0 tu mana ile mtu anatangaza kuanzia leo hamna kucheka mie sasa 👉🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Hizi sheria kiduku akifa zitaendelea au...!watafik mbingun hoi Korean kaskzin
@amehassanrehanirehani7906
@amehassanrehanirehani7906 Жыл бұрын
Yani iyo nchi so ya kuishi inawanyima haki zao wananchi wananchi wanaishi kam bado wapo kweny utumwa wapo kweny ukoloni bado maan hawan uhuru kweny nchi yao na yote anafany hayo kw kumuogopa mmarekani inachekesha
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Aaaah hawa jamaa nawakubali sana
@braynbreezyoficial666
@braynbreezyoficial666 Жыл бұрын
Huna hakilii sawaa
@JohnKichiba-yw6eq
@JohnKichiba-yw6eq 11 ай бұрын
hiyo nimeipenda sheria ya korea
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 2 ай бұрын
Mesheria yote hiyo migumu ya kutesa raia wake ni kuiepuka marekani dah!
@aishaafricanas7519
@aishaafricanas7519 Жыл бұрын
Mungu wangu 😪😪😪😪
@highskills5883
@highskills5883 Жыл бұрын
Hyo inaitwa tii sheria bila shuruti
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 2 ай бұрын
Gereza lanye eneo kubwa kushinda yote duniani ni gereza la korea kaskazini😅😅😅
@mussajuma7460
@mussajuma7460 Жыл бұрын
Nahisi hizi habari umezipata kwenye vyombo vya wamagharibi watu ambao wana bifu na kim kiduku mimi siwezi kuamini sheria hizo zote zipo
@gmaillameckmnyika
@gmaillameckmnyika 9 ай бұрын
Ni za ukweli kabsa hizo
@Sadi_Tv
@Sadi_Tv Жыл бұрын
sio kweli,sio sheria zote zlizotajwa ni za kweli.zingine ni propaganda za nchi za magharibi
@albert-kkitwenga4889
@albert-kkitwenga4889 Жыл бұрын
Hapana. Kwa North Korea, yaliyosemwa humu ni kweli kabisa. Tena hapa Kuna baadhi ya taarifa chungu mno za nchi hiyo hazijasimuliwa. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao. Hadithi zao zinavunja moyo na kusikitisha mno.
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 Жыл бұрын
Shukuru mungu amezaliwa nchi ya amani
@rizikivincent5255
@rizikivincent5255 Жыл бұрын
Hajafanya vibaya kujuwa kulilinda taifa lake lisipokonyeke yeye ni mzalendo wa kweli mno mungu amsaidie sana
@NeemaMwita-g1j
@NeemaMwita-g1j 8 күн бұрын
Kwahiyo Wewe unafurahi uwe kama mfugwa
@user-mq6iy4nh6l
@user-mq6iy4nh6l 12 күн бұрын
Lakini kwa hili la kupiga marufuku Biblia takatifu kwa wananchi wake ni kukimyima raia wake sio sawa.
@messaabbas739
@messaabbas739 Жыл бұрын
Mmmh,,🤔,, nchi ngumu hataree
@issakamangila4143
@issakamangila4143 Жыл бұрын
Hao wananchi wanaishi au wanaishiwa
@trillionthamani
@trillionthamani Жыл бұрын
Hapo kwenye bangi wamatisha.hivi hatuna ubalozi wao
@mwalimunaftalirotich6696
@mwalimunaftalirotich6696 3 ай бұрын
daah! maajabu haya
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Mimi naona hizo taarifa za kupikwa na vyombo vya magharibi ni za uongo kabisa mwenyewe nimeona walivyotuzushia tanzania kwamba rais alikua gaidi na wakati sisi hatujaona gaidi
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 5 ай бұрын
Toka lini ukamsikia mtu yeyote kajipost anaenda north Korea ,lini wasanii wakubwa dunian ukawasikia wameenda kutumbuiza north Korea , wap kuna baloz za north Korea ,Vip unajua hta wimbo mmoja wa north Korea ,tuoneshe raia wa north Korea kwenye jamii yako, hta walii Tu, tuambie Imani yao ya kuabudu,kila mnorth Korea anaejitokeza hadharan husema mabaya ya nchi yake na sio wanaikingia kifua nchi yao, kabla ya kujua ni propaganda jiulize hya
@panadomadola3064
@panadomadola3064 2 ай бұрын
Kuhusu Korea kz hili ni kweli kabisa,sababu kuna mtanzania aliye wahi kuishi huko anasema kule hakufai hata kidogo, hakuna uhuru kabisa
@officialnalapa1527
@officialnalapa1527 Жыл бұрын
Ahsante mungu kuzaliwa tz 😁😁
@janifajani8875
@janifajani8875 Жыл бұрын
Apo kwenye bangi lipuka na mibangi yako alafu kifo kikuiteee😂😂😂😂😂😂😂sns kwenye bangi nimecheka sana
@deathrow8004
@deathrow8004 Жыл бұрын
Korea wako sawa nimependa msimamo wao Binafsi
@ambroceharouna1612
@ambroceharouna1612 5 ай бұрын
Jina lako death utakua timamu kweli
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 Жыл бұрын
Atr sna.
@kempanjucharles5786
@kempanjucharles5786 4 ай бұрын
niatali kabis
@fimboezekiel9654
@fimboezekiel9654 Жыл бұрын
Ningekuw nimeshakufa
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
alafu kuna washenzi wa likuwawanasema magufuli alikuwa dikteta come on man
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 2 ай бұрын
Wasira angeshaauliwa mana alisinzia bungeni 😅😅😅
@jaymbawal249
@jaymbawal249 Жыл бұрын
Iyo amna kuchek ndo nime ipenda 😂🤣🤣
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Hahahahaha Hahahahaha serikali iweke sheria kupanga watu wa kuishi Dar
@NeemaMwita-g1j
@NeemaMwita-g1j 8 күн бұрын
Yani nisicheke kwakweli acha niedelee kubaki Tanzania 😂😂😂😂
@issaramadhaniathuman
@issaramadhaniathuman 9 ай бұрын
Aaaah
@ellywillisgotora1473
@ellywillisgotora1473 Жыл бұрын
Ubabe umezidi huko sasa hiyo cio haki kabisa
@louangesid
@louangesid Жыл бұрын
Iyo sheria yakuto kucheka dah😂😂
@johnymathew5697
@johnymathew5697 Жыл бұрын
Kuishi huko ni sawa na utumwa
@zanabuhassan4879
@zanabuhassan4879 Жыл бұрын
Hiyo Si country Iyo ninhell
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Жыл бұрын
Sina Comment, ila, kila nchi ina historia na sheria zake.ziliwekwa ikiwa ni sababu ya kujiham na kulinda raia wake pia.
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
Alafu CHADEMA wanasema Tanzania ina ma dictators
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Yaan hata MUNGU mwenye anagawa pumz kwa Kla mja wake na haban kufkia huko watalpa kwa hayo kuuwana bla 7bu Za mcng MUNGU NLINDIE NCHI YANGU 2WE NA STARA ILA 2CFKIE HUKO.
@geofreymahally7115
@geofreymahally7115 Жыл бұрын
Hy Kim anajiona mungu mtu yn nmestabisha ht biblia jmn
@azamazam3279
@azamazam3279 Жыл бұрын
Kwaiyo raila wetu akekua korea angekua ashauliwa nakusinzia kwake
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 Жыл бұрын
sasa hii ni nchi au jehanamu?
@premier47
@premier47 Жыл бұрын
Ndoto yangu ilikuwa ni kwenda kusoma IT lakni sasa duuu
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
I love yo narration bro, Sky. Keep it up
@abdallahkwekwete1148
@abdallahkwekwete1148 Жыл бұрын
hiyo ya usingizi ni haki kabisa
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Жыл бұрын
Dooooo noma
@marthageorge5043
@marthageorge5043 9 ай бұрын
Duuuh 😢😢😢😢😢
@kassimhashi49
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Sky walker
@japhetlust5050
@japhetlust5050 Жыл бұрын
🙌🙌
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
Hizi Sheria zao Ni nzuli Tena Uwon Watu Wakiandamana Wananchii wake Wapo Pamoja na serkali Yao hii Yote hawataki Nchii Yao Kuingililiwa na Mataifa Ya Magharibi
@panadomadola3064
@panadomadola3064 2 ай бұрын
Wewe unaongea usichokijua ata kama ni kuzuiwa wasingiliwe na nchi za magharibi lakini ubanwe hata usicheke !! Unamaana sheria hizo zingewekwa hapa nchni ungezifurahia?!
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Жыл бұрын
Mbwa wote hao mm ningevunja tu maana najijua nipo vip
@mustmsangi9848
@mustmsangi9848 Жыл бұрын
Uko vzr xn sky worker
@candy9969
@candy9969 Жыл бұрын
Bora ni Baki Tanzania
@Qqambaa
@Qqambaa Жыл бұрын
Apo kw bangi sawa izo sheria zingine tutavumilia 2 ama aje wazimbiting
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Huyu aje atawale Tanzania,,,wala rushwa warushwe kwa simba waliwe
@harleyarvanitis7652
@harleyarvanitis7652 Жыл бұрын
Jeans 👖. Wacha nihame huko
@MikeMwaibanje-nw6oq
@MikeMwaibanje-nw6oq Жыл бұрын
Hilo gereza la sobibo
@moshingobo2430
@moshingobo2430 Жыл бұрын
Ingekuwa bongo hahhahaa cjui ningebakia na nani aiseee
@constancekarisa1605
@constancekarisa1605 Жыл бұрын
Najivunia kua mkenya huko kenya tunatengeneza hata account fake za naibu waraisi kulagai watu watume pesa tunatukana hata raisi
@ibrahimroble3837
@ibrahimroble3837 11 ай бұрын
Millitary country
@shadyabdallah7247
@shadyabdallah7247 Жыл бұрын
Duh usicheke
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 Жыл бұрын
Apo18pakuvaa jinsi nilikuwa china kuna mtaa nilikuwa wanauza nguo frani nikajiuliza wanavaa laia wawapi🤣
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 10 ай бұрын
Kunasheria za kipuuzi sana hasa hii ya kunyoa,na kusinzia
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 2 ай бұрын
ya kucheka je 😅😅😅 watanzania kibao Sasa hivi tungekuwa marehemu
@petermilol2104
@petermilol2104 4 ай бұрын
Huyu Rais atajibu hakika
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 Жыл бұрын
Basi uko wote ni watakatifu mbinguni wataingia kama tu wakimpokea kristo
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 79 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 35 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 22 МЛН
Я купил первый в своей жизни VR! 🤯
1:00
Вэйми
Рет қаралды 2,8 МЛН
Как удвоить напряжение? #электроника #умножитель
1:00
Hi Dev! – Электроника
Рет қаралды 1 МЛН
S24 Ultra and IPhone 14 Pro Max telephoto shooting comparison #shorts
0:15
Photographer Army
Рет қаралды 10 МЛН
Хакер взломал компьютер с USB кабеля. Кевин Митник.
0:58
Последний Оплот Безопасности
Рет қаралды 386 М.
Samsung laughing on iPhone #techbyakram
0:12
Tech by Akram
Рет қаралды 4,3 МЛН