Рет қаралды 683,227
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ametoa sharti gumu kwa serikali baada ya kusema kama aiwezi kuwarejeshe kazini watumishi wa darasa la saba walioachishwa kazi, basi iwaachishe pia ubunge wabunge walioishia elimu hiyo akiwemo yeye mwenyewe.
Msukuma ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma leo.