MSUKUMA AONGEA KWA HASIRA BUNGENI "Unanisikiliza au unachart, Huu ni utapeli mnataka mtuchonganishe"

  Рет қаралды 810,855

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 391
@johnck5269
@johnck5269 2 ай бұрын
Huyu ndiye kiongozi tunae hitanji Afrika,umepanda bei,,hoja zako ni za kipekee.twakupenda sana
@SimonRichard-lb3go
@SimonRichard-lb3go Ай бұрын
Brother msukukuma unatiaha mungu ukupe maisha malefu uwatumikie wananshi wa jimbo lako na tanzania kwa ujumla
@FrolaCharzy
@FrolaCharzy 2 ай бұрын
Kweli msukuma umechaguliwa kutete sisi wananchi mungu ukubarki sana
@FrolaCharzy
@FrolaCharzy 2 ай бұрын
Hongera Sana umeongea vizur mh msukuma
@RobertGalus-c5t
@RobertGalus-c5t 24 күн бұрын
Msukuma abarikiwe Sana mwenyez mungu ambark Sana n mbunge anaejitambua na analitambua analofanya na Ana uchungu na nchi yetu
@fatmamuyinga5195
@fatmamuyinga5195 Жыл бұрын
Safi sana msukuma,uko vizuri Sanaa unatetea kila sekta
@filbertshija2556
@filbertshija2556 Жыл бұрын
Hongera sana Mungu asimame na maisha yako yote mh Msukuma
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania Жыл бұрын
Msukuma is no longer a PHD holder. Now is a professor. Kajamaa kanaakili ya kuzaliwa everything is point anaongea na asomi. He is IQ is very higher.
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Dr.Musukuma piga kazi Ndugu Mweheshimiwa Mbunge mchongo wako ni makini sana. Huja zenye mshiko na ushauri yenye hoja safi ya kizalendo
@SaidiMboga-ts4re
@SaidiMboga-ts4re 2 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri katika kutetea wapiga kura wake kwa wengine wasimfanye kuwa mwalimu wao.
@martinshija5497
@martinshija5497 2 ай бұрын
Big up mheshimiwa Msukuma
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Kazi ipo kweli kweli . Hii serikari imezidi kunyanyasa wananchi.
@SalomeMasolwa
@SalomeMasolwa Жыл бұрын
wasukuma mungu awakirimie neema na baraka tele katika kazi yako ameeen
@eliassirocha3988
@eliassirocha3988 Жыл бұрын
Msukuma ubarikiwe sana umesema vzr kuwa nyasiii zinapoota ndooo unakwenda kwer kabsa hujakosea
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 Жыл бұрын
Msukuma Akili nyingi sana 👏👏👏👏👏
@ulimwengu5599
@ulimwengu5599 Жыл бұрын
'You can buy education but wisdom is earned' Ahsante msukuma
@saitotimollel-8995
@saitotimollel-8995 Жыл бұрын
You can buy education but wisdom is earned ahsante msukuma
@nartumuvazerh6714
@nartumuvazerh6714 Жыл бұрын
@@saitotimollel-8995 p
@LazaroMtunguja
@LazaroMtunguja Жыл бұрын
@@saitotimollel-8995 Xmas
@geofreykangaho1149
@geofreykangaho1149 Жыл бұрын
Me mwenyewe nilishangaa hiri swala la hereni/kupiga ng'ombe mihuri ni upigaji tu Asante saana Musukuma👏👏
@stevensimtowe
@stevensimtowe Жыл бұрын
Wasukuma kweli niwashamba ila Wana Akili Ile Mbaya alafu ndani yake Kuna Malengo,
@nivangondya5279
@nivangondya5279 Жыл бұрын
Upo vizuri sana msukuma wa ambie ukweri
@emmanuelsanareemmanuelsana9137
@emmanuelsanareemmanuelsana9137 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢sijui kina nani Tena watatutetea kama sio watu walio Toka maisha magumu ya Kijijini 😢
@user-pn1bl7xf9f
@user-pn1bl7xf9f 8 ай бұрын
Huyu miaka ijayo anaweza kutuongoza mungu akuweke🎉
@CapestronaLagawa-ro2qn
@CapestronaLagawa-ro2qn Жыл бұрын
Upo vzur sana msukuma wa geita nimeipenda🔥🔥🔥
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Safi sana jembe letu msukuma unaongea point tupu, unatetea wafugaji kwa point kuliko wabunge wasomi wapiga dili. VIVA MSUKUMA
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Nakukubali mbunge wangu sera zako kama Magufuli waambie ukweli hao matumbo kushiba na ukisema ukweli wanakutafutia kifo
@user-xi7fb3zb5m
@user-xi7fb3zb5m 5 ай бұрын
Mbunge wangu msukuma upo vizuri Mungu akutetee sana tunaimani kubwa na wewe
@SaruniChristophersabaya
@SaruniChristophersabaya 15 күн бұрын
Mh msukuma wewe ni mwanaume mungu akubariki Sana mkuu
@AlexMwenda-hm2wu
@AlexMwenda-hm2wu Жыл бұрын
Wangekuwa kama msukuma nchi basi ingekuwa imara👏👏
@makobe.23
@makobe.23 5 ай бұрын
Unakila sababu kuchukua fomu ya uraisi ❤❤
@dottokulwa7075
@dottokulwa7075 Жыл бұрын
Huyu jamaa nampenda sana mungu amlinde
@FiniasEnock-uv7lo
@FiniasEnock-uv7lo 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu hampi mtu kila kitu. Wasukuma ni washamba lakini wana IQ ya hatari sana. They're natural gifted na mifano ni mingi, eg. President JPM, MP msukuma, Jenerali Silas Mayunga, Rev. Josephat Gwajima, this is just a few to mention. Much respect to them, I real appreciate this tribe they always think in extra mile.
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 Жыл бұрын
Mambo yote amesema ni yamsingi, tatizo wizara husika tayari inamamboyake , ukichanganya na Dili Dili, kazi itakua ngumu sana.
@zingatiabita4426
@zingatiabita4426 Жыл бұрын
Msukuma uko sawa,kweli vijana wapo wengi wafanye kz hiyo
@pandajilala3741
@pandajilala3741 Жыл бұрын
Msukuma nakubari mzee kwa hoja yako ya msingi
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 Жыл бұрын
Minamkubali sana msukuma oyee!!
@phelimonnestol9994
@phelimonnestol9994 Жыл бұрын
Namkubali sana msukuma
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Жыл бұрын
Mungu akulinde uishi miaka kama yote tuu endelea Kaza mwendo babaa
@kelvinpaul2464
@kelvinpaul2464 Жыл бұрын
Umeongea point Sana msukuma
@user-uu1nx8lj7f
@user-uu1nx8lj7f Ай бұрын
Hongera Sana msukuma,akili sana ndugu yangu
@NzumbiRichard-bo2sc
@NzumbiRichard-bo2sc Жыл бұрын
Asante Sana mh msukuma ukweli serikali haimthamin huyu mfugaji masikini swala la kuwafunga ng'ombe heleni ni hasara kwa serikali bajeti hiyo bora ipelekwe zahanati au waongeze majosho na dawa
@MalakiMemussi
@MalakiMemussi 4 ай бұрын
Msukuma kauli yako imenyooka baba good blessing you
@MarkoZimamoto
@MarkoZimamoto 7 ай бұрын
I appreciate you Msukuma coz things which you say is true
@user-md2ic9pd1u
@user-md2ic9pd1u Жыл бұрын
Good leader thanks l very happy for your speech
@AlexMwenda-hm2wu
@AlexMwenda-hm2wu Жыл бұрын
Kweli kabisa huo nimtego ila kutambua baathi wanaona kama jambo la kwaida sana kumbe jamani mungu atusaidia .
@user-og3nt3uh1m
@user-og3nt3uh1m Ай бұрын
Uongozi ndo huu sio wa kuungaunga mungu kakupa kipawa kuongoza sio lazima uingie Kwa darasa
@user-dh9zg2py5k
@user-dh9zg2py5k Жыл бұрын
Thanks 🙏 Mr. Msukuma you're responsible leader
@AmosMwita-og4vw
@AmosMwita-og4vw 7 ай бұрын
Xam
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 Ай бұрын
Hongera Sana Msukuma
@SanziNzige
@SanziNzige Ай бұрын
Bunge linatia kichefu chefu kabisa bafala mjadili maisha ya wanamchi mnajadili mtu.hovyo kanisa ma hawA akina msukumaa wasiludi tena bungeni.25.nawambia.
@KideshenJaphet
@KideshenJaphet Жыл бұрын
Hogera Sana mh msukuma kwaushauri yako mungu akuongeze ushujaa
@marthafundi4293
@marthafundi4293 Жыл бұрын
Pambna msukuma mngu akupe maisha marefu
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md Ай бұрын
Kusema kwel wabunge na wapenda sana asa msema ukwel
@user-se8vf8ew4s
@user-se8vf8ew4s 5 ай бұрын
Msukuma sema kweli acha kuogopa maana viongozi wengi wamekua wanawaza maslai yao wenyewe wakizani wataishi milele hy ni laana
@yusrakilowela962
@yusrakilowela962 2 ай бұрын
Ubarikiweee sana mheshimiwa msukuma
@catherinekihengu2420
@catherinekihengu2420 Жыл бұрын
😀😀😀 Msukuma kweli ni noma
@ElishaJohn-zm6ek
@ElishaJohn-zm6ek 3 ай бұрын
Uko sawa msukuma ❤❤
@user-lz7rh1vr2y
@user-lz7rh1vr2y 3 ай бұрын
Abalikiwe mheshimiwa msukuma hakika wange kuwa watano kama msukuma bunge letu lingepata weredi wakutufikisha mbali balikiwa sana msukuma iko siku
@ShijaMakeleja-vn9hs
@ShijaMakeleja-vn9hs Жыл бұрын
Mungu akuzidishie msukuma uzidi kuwaelimisha
@MwanduKashinje
@MwanduKashinje 9 ай бұрын
Yanga mbele nyuma mwiko 🎉
@ChristinaMuhamad
@ChristinaMuhamad 2 ай бұрын
Hongera mueshimiwa
@ZAKAYOMASOTA
@ZAKAYOMASOTA 2 ай бұрын
Congraturation king msukuma
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Жыл бұрын
Unanisikilizaa au unachati🤣🤣🤣 kijamaa kibabe hiki kha!🤣🤣🤣
@user-nw1gd8qi9s
@user-nw1gd8qi9s 8 ай бұрын
Muheshimiwa nakubali xan Kauli zako na unatuwakilixha xan xx wasukumu
@abdulkarimmdoe6721
@abdulkarimmdoe6721 Жыл бұрын
sichoki kukusikiliza mkuu mungu akuobgoze kwa hekima
@youngchuda1568
@youngchuda1568 Жыл бұрын
Usikubali huu ni mtego😅😅😅😅
@tensotv
@tensotv Жыл бұрын
HUWA SICOMMENT NIKIANGALIA VIDEO..ILA MSUKUMA KANIFANYA NICOMMENT, ANA AKILI SANA MPENI MAUA YAKE
@user-vn3qo3uw3z
@user-vn3qo3uw3z 2 ай бұрын
Umeongea poind nzuriiiii
@ChrisTeleba
@ChrisTeleba 3 ай бұрын
Respect msukuma 🫡🫡🫡🫡
@user-ik1jq9gx6j
@user-ik1jq9gx6j Жыл бұрын
Hakika mungu akubariki
@mwinyisechenga
@mwinyisechenga Жыл бұрын
AISEE HAWA JAMAA BUNGENI WANAFANYAGA NINI MBONA WASHENZI
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Жыл бұрын
safi Sana,msukumu
@SalumKwirasa
@SalumKwirasa Жыл бұрын
Huyu jamaaa ana akiri sana apewe wizara ya maliasiri maana huko wafugaji hawana aman ifakara
@user-ym6ib8kg3j
@user-ym6ib8kg3j 13 күн бұрын
Pamoja sana ni kweli
@EliudNdidi-it9yy
@EliudNdidi-it9yy 10 ай бұрын
Bravo msukuma
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 Жыл бұрын
Ur amazing guy ur not talking always but when ur talking in red carpets always ur saying point note work hat off dear
@clintonmkingaboy6048
@clintonmkingaboy6048 Жыл бұрын
Msukuma mungu akubaliki unaongea point sana
@MercyMaganga-iv4jl
@MercyMaganga-iv4jl 11 ай бұрын
Tunazidi kukuombea msukuma tunakupenda
@YusuphramadhaniYusuph
@YusuphramadhaniYusuph Ай бұрын
Upoo sawaa mzee
@PoulOOdira
@PoulOOdira 2 ай бұрын
Hahahahaha sijapenda huyo mbuge alivyo mgusa Chege kisa kizungu cha Msukuma
@SalomeSululu-be5wg
@SalomeSululu-be5wg Жыл бұрын
Asantee baba wasaidie wanyonge wenzio
@Jamila-qf2dp
@Jamila-qf2dp 2 ай бұрын
Waoo mashallah mungu akulinde
@user-lz2iq6hz4o
@user-lz2iq6hz4o 5 ай бұрын
I appreciate you msukuma
@eliakisinga5360
@eliakisinga5360 Жыл бұрын
Nyie mungu anawaona mmeacha kufanya vya maana herein za nini acha kutuchezea
@FrankMkwanda
@FrankMkwanda 2 ай бұрын
Kuna aina ya watu ambao huongea kwa uchungu sana kwakua tu hapati maslahi pale anapopaongelea.
@emmanuelmabalahungwe2800
@emmanuelmabalahungwe2800 Жыл бұрын
Dr Msukuma safiiiii
@AmaniHeriHalisi
@AmaniHeriHalisi 29 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@JapharyAdam-se3ph
@JapharyAdam-se3ph Жыл бұрын
umetisha msukuma endelea ivyoivyo
@queenthebosschickgeorge2982
@queenthebosschickgeorge2982 Жыл бұрын
Kwa mbali naisikia sauti ya hayati magufuli
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 6 ай бұрын
Mungu akubarik msukuma
@LucasShija-cw2ei
@LucasShija-cw2ei Жыл бұрын
Nice I angre your point
@JohnnyAlex-nk5ip
@JohnnyAlex-nk5ip 6 ай бұрын
Dah msukuma anauchungu na wa2 wa ali ya chini masikini naiona sura ya ayati jpm kwa mbali
@laurentnkoko9122
@laurentnkoko9122 Жыл бұрын
Safi sana Mh.msukuma
@SmilingLobster-ws3mg
@SmilingLobster-ws3mg 8 күн бұрын
Upo sawa
@ChrisphineDonardp.v.g-bl-ko7md
@ChrisphineDonardp.v.g-bl-ko7md 7 ай бұрын
25©✓ "uko vizuli katika maongez yako
@user-kc6id5oi6i
@user-kc6id5oi6i 7 ай бұрын
Msukuma anakubalika ❤
@user-sf9cg2xi5e
@user-sf9cg2xi5e 5 ай бұрын
Msukuma ni 🔥🔥
@user-jt5vl7zu5g
@user-jt5vl7zu5g 7 ай бұрын
Big,up my brother❤
@Luhende1
@Luhende1 Жыл бұрын
Waziri unasikiliza au unachat! 😂😂😂
@maasaipembechama
@maasaipembechama Жыл бұрын
Namkubali sana
@AishaAbdallah-ki3tu
@AishaAbdallah-ki3tu Жыл бұрын
Hongera sn msukuma 🙏🙏
@emanuelandrew5419
@emanuelandrew5419 Жыл бұрын
Uko vizuri msukuma
@PeterBayyo-dn2qx
@PeterBayyo-dn2qx Ай бұрын
Hahahah 😂😂😂 ilasua bwana umeitisha bunge kiukwel nakupenda San jmniiiiii daaah unajua kuongoza watu hahaha 🤣🤣
@user-vn3qo3uw3z
@user-vn3qo3uw3z 2 ай бұрын
Safiiiiiii msukumaaaaaaa
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 121 МЛН
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 647 М.
KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE
5:00
Mwananchi Digital
Рет қаралды 630 М.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН