🙄🤸🤸♀️, but huyo mama Dangote mwisho watu watamuhisi vibaya yaani ye kila mwanamke wa mtoto wake hamtaki mmmm 🤔🤔 mtihani 👀👂👂🤸🤸♀️🤸🤸♀️
@jaberjohn75562 жыл бұрын
God have mercy. Zuchu kindly chase your career avoid this family drama.
@siyabongakzn98642 жыл бұрын
Mama Dangote anamuogopa sanaa Zarina. Ki ukweli Zuchu she is young. Good luck Zuchu.
@dottohamisi98442 жыл бұрын
Kwani zuchu sio mwanamke au kama wenyewe wamependana huyu mama dangote kila mtu hamtaki
@_.Queen_Aiisha_ross2 жыл бұрын
Please Zuchu don't make that mistake if this news is true!!!
@annewakevo26342 жыл бұрын
Why am I crying surely??? She should not dare if n must she beter leave wcb
@_.Queen_Aiisha_ross2 жыл бұрын
@@annewakevo2634 She necessarily don't need to quit her job but stay professional with her boss... Diamond is not for her she can do better...
@gloriasabanya76782 жыл бұрын
Hallo sioni ubaya D akimuoa zuchu Penzi halichagui. Ndoa ni andiko
@priscamlyuka55312 жыл бұрын
Haiwezekan kwan zuchu sio mwanamke
@mwanasharashid74172 жыл бұрын
Hatukatai lkin ajiandae tu kuwa single maza😂😂😂😂😂💃🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣maana hakuna muoaji hapo
@muzneali3872 жыл бұрын
Sio wanatamani kuolewa na Diamond wanatamani kuolewa na pesa za Diamond hizo ndio fikra zao
@monicagerald66762 жыл бұрын
Wanataka urahisi wa maisha, huyo Diamond asingekuwa na hela wasingemuangalia mara mbili
@justinamarco28842 жыл бұрын
It's true
@WORDOFMYCREATOR2 жыл бұрын
Zuchu anataka kujiuwa na am so disappointed with her mother she can't advice her rightly.PLUS THEY SAID DIAMOND CAN'T A DARK SKINNED WOMAN.ON LOKOLE VOICE HE SAID NI RANGI CHAFU.AM SO SAD FOR ZUCHU
@lindaouma53372 жыл бұрын
Black is sweet ...
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Mmh kuwa mke wa Diamond ni kama kutembea na kitandi shingoni uku unakikaza taratibu. Sithubutu!!!
Mange sio mungu kama kila kitu anachosema ndo sawa huo ungo
@greyson672 жыл бұрын
Kama Solomon alikua na wake 700 je Diamond ninani
@maryamm77652 жыл бұрын
Awezi kumuowa zuchu mondi ashindana na hamonaiz atatafuta wa mbali huyo adanganywa tu apewe mimba awe makini
@fuadmohanna10892 жыл бұрын
You go for personalities Zari boss lady is the best.you going down with inpersonality person
@Georges.Kitchen2 жыл бұрын
Mtoto akililia wembe mpe ajikate kwani zuchu ajui kwamb diamond so mtu mzur 🤣😂🤣
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
Hahaha nikweli Bi Fatma uyo mama ajakosea ata mi natamani kua mke wa Chibu🤣
@fuadmohanna10892 жыл бұрын
Even Alya is good with good love and personalty
@maryamm77652 жыл бұрын
Mondi anamdanganya tu huyo zuchu kama alivyowadanganya hao wengine apewe mimba atulie #awe makini zuchu
@Jamillahs12 жыл бұрын
Dah hapana mwanangu bora aolewe na mfanyakazi wa kawaida tu na pia ukoo uliojaa sitoweza kukubali
@marylwanalo61152 жыл бұрын
Diamond doesn't need to marry, he should just continue populating the earth with all the children he needs. He cannot settle with any woman, he is not husband material. Women are just after His fame and money. Character matters! Even of he marries he will still chase after other women.
@siyabongakzn98642 жыл бұрын
Zuchu hongera sanaa.
@clementsemizigi71502 жыл бұрын
Kivutio cha app iyo mange mmbea jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Zuchu listen to your heart 💖
@halimarehani71672 жыл бұрын
Waache aolewe hakuna cha ajabu apo Kwan wamezaliwa tumbo moja??
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
Apo sasa,atami nashanga watu wanatoa povu nakum judge monde utasema aliwah kunya kweny sahani
@alhamdullilla51082 жыл бұрын
Tumaaaa tumaaaa uwatupe umbeyaaaa🥰🥰🥰😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Hakuna muoaji hapo leten habar zingne msitumalizie bandle
@rashdiyange77582 жыл бұрын
Mm nacho sema mama dangoti ww mama kila mtu umtaki una nn ww mama mpka unaboa kashakua mtu mzima uyo acha mama mambo ayoooo
@sheilakanege96182 жыл бұрын
Wana endana ,wana fanya couple bora... ila habari ya uwongo🤣🤣🤣 Mange ata wa leteya habari zote ili mu download App yake na mu mu ingiziye hela 🤣🤣🤣
@zou74702 жыл бұрын
Ivi alia na zuchu ni maji na mafuta kisa dudu layuyu🤣🤣🤣
@kudratyramadhan36782 жыл бұрын
😂😂
@bimumaulid11712 жыл бұрын
NITAFURAHI SANA MAANA HADIJA KOPA ATAMFUNGA DOMO LAKE MAMA DANGOTE 😆😆😆😆
@michelinemapendo66522 жыл бұрын
kiboko yake 🤣😂😂😂
@lifestylereviews24862 жыл бұрын
Hahahahah
@missmwayway47042 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@angelangelica53422 жыл бұрын
kama mm tu
@rashdiyange77582 жыл бұрын
Ata kuwa mwanae ana mlala sio bule uyo mama jaman daaa amisa mchawi aya zuchu sijui tambiwaje
@esthermutabuzi45822 жыл бұрын
Habari za Diamond kuoa kila mwisho wa mwaka tumeshazizoea. Diamond hawezi kumuoa Zuchu maana ataonekana ni boss ambaye hawezi kuajiri msanii wa kike bila kulala nae. Kwa mfano Aliyaah na Zuchu ambao anasadikika kutoka nao kimapenzi. Yaani atakua mtu wa ajabu sana na brand yake inaweza kushuka na Zuchu ndio kwanza anaanza kujibrand muziki wake sidhani kama ana akili ndogo kiasi hicho...not possible!
@zabibuamissi11412 жыл бұрын
Kama ni kweli Aliya atakuwa na hali gani
@judyngowi3912 жыл бұрын
Jamani hata mimi natamani kuolewa na chiba akishamuoa Zuchu anioe na mie
@rashdiyange77582 жыл бұрын
Sasa mondi ana oa namwambieni iko kibibi kizeeee icho kita stajabu mwanae akioaaaa shez uyo
@azizasaid52552 жыл бұрын
Subiri aolewe. Ndiyo mtamjua khadija ni nani .mumnyanyase mtoto wake.
SI diamond alisema hawezi howa mwanamziki kama yeye
@fauziakarama85812 жыл бұрын
Huyo Diamond ni muharibifu Zuchu usikubali atakuchezea tuu na atakuacha kama hao alietembea nao na akawaacha.
@menyajoseph97292 жыл бұрын
Diamond ni player, huyo simba hana mpango ya kuwoa
@user-id1me9ve1o2 жыл бұрын
Yani nanyie waandishi waongo haaa 😳😳
@kwazulu52402 жыл бұрын
Sikubali binti yangu aolewe na Casanova.
@theopistakajuna26192 жыл бұрын
Diamond Awez Oa kajitu ka ajabu Sura mbaya n kk
@khadijamohammed28552 жыл бұрын
Mpaka ndoa hawataki kweli hao mashetwani washazoea uzinifu anapenda mwanae aendelee kuzini na kuzaa zaa ovyoo
@scollantandu62782 жыл бұрын
Mh wanzanzibar hao jamani
@thuvakonde25842 жыл бұрын
Basi diamond siangemuoa mamake bi Sandra
@jamilahhassan1722 жыл бұрын
Bahati niake zuchu
@zuleikhaali6362 жыл бұрын
Km kweli Waache waoane....maan maandiko yamesem "oeni mnaowapend..." km wao wanapend ww nan ht upinge...km imeandikw bac hakn wakuft...
@lifestylereviews24862 жыл бұрын
Hiyo ndio level yake diamond .zuchu is his class not super heavy bosses like Zari.watawezana uswaili kifamilia
@michelinemapendo66522 жыл бұрын
kumekuchaa
@nickalekix63002 жыл бұрын
Yangu macho
@meirenatus56832 жыл бұрын
Jamaniii ni kweliiiii habarii zimetufikia ivi punde mkasema mangi muhongo kumbe kweliiii leta umbeya mpya
@hassannyoka13042 жыл бұрын
Wacheni kuteseka bure Diamond hata owa maishani mwake yeye ni kuonja tuu kama mgema tembo kuowa hapana na akiowa ameporomoka kwa hiyo msitegemee maishani mwake kama ataowa.
@missmwayway47042 жыл бұрын
Umeonaeee unajua watu bado hawajamjua Mond yupo kwenye mazingira gn .....!! Hawezi kuoa mpka aachane na hayo mambo alionayo
@abdulab62022 жыл бұрын
Jamani wanawake wengine wanajidhalilisha nafsi zao mtu unajuwa kuwa mtu huyu ameshatembea na wanawake wengi hajawaowa kazi kuzalisha watoto wa watu kesho kuna mambo wanawake tujitambue ni bora mtu ukae bila kuuolewa kuliko kudanganywa jamani kwani wanawake hatuafuti wanume wanajitambuwa Mimi kama ningekuwa mama au baba nisinge mruhusu mwanangu kuolewa na Dimond kwa sababu anapesa jamani pesa situtie motoni
Jaman zuch sI mwanamke ajabu gan kuolewa na dimond Kila la kher
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
Naam,ikiwa ni kweli tuwape tu Baraka zetu,sabb wangapi walikuwa wahuni na leo wapo kweny ndoa zake na wametulia ata uyo monde anaeza akaowa na akakwa good husband na watu tukashanga!
@AL-hm2nv2 жыл бұрын
Zuchu ananyonga babu. Mond ni mwislam ataweza owa Wake waine.
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
🤣😆😂hahaha,kwahiyo monde anuoa zuchu sabb ya kunyonga?
@umutoni-roussel52332 жыл бұрын
I thought they just like sister and big brother this is just crazy , she should not make the mistake ,this guy is not ready to settle ,and for now is not husband material at all and he has much going on, she should just focus on her music , that's my advice Fatima .
@fahminasser38552 жыл бұрын
Chiting za kumla uroda tu kisha kibuti akaimbe taaran na kopa awaulize wezie kimoko kisha shughuli imeisha diamond hawezi kuoa mpaka anakufa sahau
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
So kweli Bro,huezi kum judge mwenzio kiivo na kwanini asiowe mpaka kufa?!ni wasanii wangapi ambao awajaowa mpaka sasa na hawana scandal kma za monde na wana uwezo
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Eti mondi nioe niache kula raha) bado sana
@wivinemwamini91102 жыл бұрын
tambiyambaya diamond
@tabynas44852 жыл бұрын
We muandishi mwenyew chibu akikutokea huwezi kuchomoa betre.....
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
MTAWAJUA WA ZANZIBAR AU HAMJUI
@divinebernard10472 жыл бұрын
Uongo uongo uongo kweli
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
😬😬😬😬😀😁eti ndoa
@tatutatu15702 жыл бұрын
ndomaana hawana ukaribu na Zari
@shadyakimaro32452 жыл бұрын
Mmmh kiki tuu hakna lolotee
@allthingdranabeauty2 жыл бұрын
Tatizo sio DiAmond tatizo mama yke mbona kwa wema alitulia ni yule mama anamcontrol mwanae sana
@jacquemushi63292 жыл бұрын
Wafanye yote ilimradi tuu awe mzima isije kuwa ni sadaka takatifu inàandaliwa hiyo ukute nyota ni zuchu anatakiwa Mara usikie kapata ajali Mara kaumwa kichwa kafa akuu Mungu amsaidir
Amazing how mtu America anavyo wa control Tanzania walahi mko nyuma sana mtaanza lini kufikiria
@rehemaissa3582 жыл бұрын
Diamond atatulia tuuu, bi Khadija hawezi ruhusu adange dange akishaoa mwanae. Atapigwa tu na mambo ya Zanzibar, hana namna... sasa mama dangote atapata size yake. Mdomo, uswahili etc... yani ukisha zaa mwanaume jua kuna familia ya mwanamke itafaidika, regardless how hard it was to raise your child and aquire the wealth.
@LadyR1022 жыл бұрын
aaah jamani hii nayo kali.
@christinatemba62282 жыл бұрын
Diamond hajaoaga. Amezaa tu. Zuchu bahati yako hiyo usiiiiachie.
@watuhuru61282 жыл бұрын
Ndoa hupangiwa na mungu. Kama ameondoka atakuoa tu. Kwani wao wana Bora gani. Wote awake dini yake inamruhusu
@rosahlees55202 жыл бұрын
Zuchu wewe olewa, hata kama ni mimi Niko nangoja zamu yangu, hata mimi nitaolewa na simba, najitayarisha tu. Nipate moto na yeye. Hata kama zuchu utaolewa hamtakaa sana, ukishapata mtoto unatupwa na Mimi naolewa nipate mtoto pia nitupwe, kwa hivyo Kila mtu lazima angojee wakati wake.
@salamashabani79222 жыл бұрын
😂😂😂😂 Rosah umenichekesha mno na nimekupenda sana kipenzi😂😂😂😂 namimi nipo kwenye foleni ukitoka wewe nakuja mimi hapa ndio itakuwa mwisho wa kuowaowa na nitazeeka nae aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
😂😂😂 We umujuw kunichekesh
@elizabethchebby26072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Ndio mana Aaliyah anakuwaga na wivu na Zuchuuu mmmh leo ndio nimejumlisha 2+2 nikapata 4. Kuna kipindi Zuchu alivaa mchuchumio akawa anatembea kwa tabu Aliyah akawa kavaa sura ya mbuzi nyuma yake🤣🤣
@RandB_Channel2 жыл бұрын
Mbona HUYO MANGE mnamwamini sana kama vile mungu?? Hayo ni Habari yakuambiwa. Sio kweli
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Hakuna kitu kama hichi Thubutu anataka amkabidhi mikono tuu Sadala sio muowaji jamani Kamchatka miaka 4 akiwa anasubiri kusajiliwa kwenye level ya wcb siku mno pa
Ao alizaa nao yy anaolewa kama kweli mwacheni aolewe kilakitu kina mda wake
@AL-hm2nv2 жыл бұрын
Wote ni wana musik wataweza fika mbali. Illuminati njo itamuchaguliya mke.
@navokisembo2 жыл бұрын
Mhhh hapana Zucchu sio type za Daimond hapo anaosha rungu lake tuu believe me. Hiki ninkitu kizito mnoooooo
@eyabdimaha36982 жыл бұрын
Sio Type yake kivipi tufafanulie
@misrahmisrah87612 жыл бұрын
Mama dangoti ndo anaefanya mwanae achezee wanawake na kuzaa ovyo maana diamond kwa bitukinao sio type yake ila mama dangoti analazimisha eti kazaliwa tifa, kwani tifa ndo wa kwanza? Wakati kuna dada zake kaka zake kabla yeye au kwakuwa tifa mweupe na kuongea ENGLISH huu sasa ubaguzi kwa mama dangoti. Ndo maana anamuharibu mwenyewe mwanae azae ovyo watoto tofauti.
@aminarashidi89032 жыл бұрын
Mh
@mediayote30012 жыл бұрын
Si ilisemekana Diamond hatakikani awe mwimbaji ?
@neydaniel88502 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@randx11582 жыл бұрын
Uongo tena uongo
@mkasiali69562 жыл бұрын
Kuolewanibaati yawezekana
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
Ndio na kujenga ni majaliwa
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
I mean na kudumu kweny ndoa ni majaaliwa
@AL-hm2nv2 жыл бұрын
Hamna kipya kwa Zuchu Na Diamond kufunga ndoa, ju Illuminati njo inaamuwa kuwatu wawo.
@irenewilfred77672 жыл бұрын
Sitaman aise
@princesdidak10632 жыл бұрын
Sasa kwani ni ndugu ata wasi oane jmn mtu ana olewa na bosi wake wa ndani sembuse uyo
@khadijahamisi24732 жыл бұрын
Daa Zuu usipige teke bahati ako olewa mama usitishike na mbwembwe za watu wivu wote uo wala ucjal mpenz nakupenda wewe na boss wko kuhusu mamamkwe ucjal atakupenda badae olewa bby zuu