Рет қаралды 349
Tumefanikiwa kumtembea mzee maarufu kama babu kijiji cha Itunduma eneo Wangama kona ambaye anatibu majerha na kuunga mifupa ya binadamu iliyovunjika kwenye matukio mablimbali zikiwemo ajali
tumezungumza naye ametueleza mengi lakini si yeye pekee gata wagonjwa na mashuhuda wamezungumza kuhusu huduma hiyo ambayo siku za hivi karibuni imeokoa maisha ya wengi waliotakiwa kukatwa miguu au mikono na hata waliopata ajali mzee ameokoa
Ametueleza kuwa baadhi ya wagonjwa hutoka hospitali na na kisha kuja kupata matibabu kwake ambao hupona kwa muda wa wiki tatu tu, tafadhali tupe maoni yako ikiwa umetazama video hii