Mungu alikuteua iliniokolewe Mtume, Hellen from Kenya
@tatumluv60542 жыл бұрын
Amen Amen barikiwa sana Mtume wa BWANA na akuinue viwango vya juu zaidi
@hellenmnyazi2208 күн бұрын
Amen Mungu akubariki sana nimejifunza ubarikiwe sana
@janetisaac10842 жыл бұрын
Ameen,ubarikiwe sana mtume,ninabarikiwa sana,na mafundisho yako,Mungu akupandishe viwango vya juu,naomba uniombee sana mtume,natamani kuwa na nguvu za Mungu sana,nashindwa,najikuta nakata tamaa,baba natamani sana,nijae nguvu za Roho mtakatifu,nahitaji kufunguluwa
@filemonmpenda31142 жыл бұрын
Siri ya Mungu ipo katika maombi mazito na kufunga kwa bidihi
@lightness1832 жыл бұрын
AMEN APOSTLE TUNAMSHUKURU MUNGU KWA NENO LAKE.
@roseandala6281 Жыл бұрын
Amen, hapa mlima wa kweli nalishwa chakula cha kiroho na ni naendelea kukua Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@user-fs3me5sm2f14 күн бұрын
Ninapo sikiza hii ujumbe ndipo napata elimu ya kiroho kwamba kuna kumlilia Mungu, tena kumuambia Mungu mahitaji,... Wako watu Wana ishi vizuri Kisha hawana ushuhuda kumtolea Mungu, heri kuishi kumtegea Mungu Kwa kila jambo, Asante, mtumisi wa bwana, mimi Sammy wa Kenya
@jesusfirstchurch41622 жыл бұрын
Leah Enoch BARIKIWA tuko pamoja kutoka DAR...hata Mimi nabarikiwa Sana. Mungu amlinde
@henrykigugwe51122 жыл бұрын
Ameen ! Kutoka Tanzania Arusha
@nisetameena92762 жыл бұрын
Amen, barikiwa mtumishi wa BWANA unanishibisha sana barikiwa kwa neema hii vile uliigharamikia karama hii kwa bidii
@rosemuduwa8401 Жыл бұрын
Barikiwa sana mutumish mimi nakusikiliza kutoka Kenya, nina barikiwa sana kwa ujumbe wako
@user-fs3me5sm2f14 күн бұрын
Amen Mungu azidi kukutumia
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Nakusikiliza Mtume Meshaki kutoka Dar es Salaam Tanzania
@DOTSConnect2 жыл бұрын
Mungu wetu si mnyonge, anatutaka tumtumikie kwa Ubora.
@marykassanga53742 жыл бұрын
Amina Mtume wa Bwana ubarikiwe sana kwa kutuambia kweli ya Neno la Mungu yatupasayo kufanya niko Dar es Salaam.
@neemangowo14532 жыл бұрын
Sema utusaidie mtumishi ,ameen ,kilimanjaro Tanzania
@phaniceariviza43992 жыл бұрын
may God bless you my dear brother in your ministry
@elizabethmushi7562 Жыл бұрын
Barikiwa mnooo
@mimmosaf.a5971 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na wewe Mtumishi
@gambonmgaya1286 Жыл бұрын
Mungu bariki huduma hiii tunaipenda
@ketsiaviendah1361 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi namba yako naeza ipataaje na taka maombi sana kutoka Kenya
@irenemorris9996 Жыл бұрын
Nko Saudi Arabia, napenda mwongozo wako kwa mungu
@Sara-ne3xl2 жыл бұрын
Tanzania Dar es salaam,barikiwa sana Mtume wa Bwana.
@kweliyakristoyesu2 жыл бұрын
Neno ni nzuri sana kweli kabisa mtume meshak, Yesu kristo azidi kukutumia katika viwango vya kimbingu.
@MadrineMurugi5 ай бұрын
Amen nimebarikiwa na neno
@issacksanga9617 Жыл бұрын
Mungu akubalik Mutumish Wabwana
@johnkagoma281 Жыл бұрын
Endelea kutupa neno zuri la mungu mtumishi
@casiphaabdi3896 Жыл бұрын
Mungu akufunike Na damu yko takatifu
@josephnkwamino6509 Жыл бұрын
Hakika huyu ni mtume wa mungu!!! Thank you lord
@devidamasian54772 жыл бұрын
Nakupenda Sana mtume meshaki mungu azidi kukutia nguvu katika huduma yako uzidi kusonga mbele napenda aina ya mahubiri yako nipo Tanzania natamani Sana kujaz wa nguvu za roho mtakatifu.naomba uniombee pia natamani kuchangia kipindi
@marymgumia77152 жыл бұрын
Asante mtume wa Bwana naomba maombi nataka sana utakatifu wa ndani
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Sema mtume wa Bwana Wetu Yesu Kristo tupone na Mungu azidi kukutumia isivyo kawaida watu tuokolew
@barakanyamafu59372 жыл бұрын
Naitwa baraka nyamafu from Tanzania nakufatiliaga Sana kila siku uko vizur Sana mtumishi
@marykassanga53742 жыл бұрын
Amen mtume
@perrywanjiru27542 жыл бұрын
Amen and Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu Mungu akuzindichie marifa yake siku zote
@magrethjoseph55362 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu napendezwa na Roho mtakatifu anavyokutumia kwa viwango vya juu,Bwana Yesu nikumbuke na mimi unijaze zaidi nisijiongoze mwenyewe bali niongozwe na wewe Roho mtakatifu
@HALLELUY292 Жыл бұрын
Amen sana
@happynesskimt62492 жыл бұрын
AMINA,AMINA! MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI
@julianawanjala6495Ай бұрын
Amen
@jesusislord......13442 жыл бұрын
More grace man of God I’m blessed
@ambokilegwakisa35262 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana,Mungu hats kuacha.
@anjelanimunga23622 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa bwana kwa mafundisho yako
@angelanaftael79652 жыл бұрын
Barikiwa mwana wa Mungu tunajifunza sana sana.arusha tz
@jolemerci21552 жыл бұрын
Asante sana baba shauria hawa watu wana ishi kanisani na bila ndowa Halali bila ndowa a wana watoto hawa wata pâta wapi ufalme wa mungu ?
@restutasamuson8152 жыл бұрын
Nabarikiwa sana nawe mtumishi,namwomba Yesu Kristo aongezeke kwako na wewe upungue ili huduma iliyomo ndaani yako idumu nasi tuendelee kufaidi
@scholastiquengorwanubusa27662 жыл бұрын
Ubalikiwe mutumishi,Mungu wa Israël Yukon pamoja naweemtoto wa Bwana.
@rufinamartins6755 Жыл бұрын
Amen, amen, ubarikiwe ntume wa mungu, ninalimika kwa mafundisho yako, mungu akwengezee maisha hili uzidi kutufundiswa, nipo Mozambique Mueda, ntume uko wapi? Unapatikana channel gani kwenye tv?
@godifreymasawe51372 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka na mtume meshaki nabarikiwa na kufunguliwa fahamu zangu mungu azidi kukubariki na kukuinua baba yetu wa kiroho
@josephinekahandali11802 жыл бұрын
Asante sana mtumishi Kwa mafunzo haya yananielekeza katika jia ya ufalme
@barakanyamafu59372 жыл бұрын
Swali yesu aliomba chakula samaki wengi wakashuka je sasaiv mtuakiomba Pesa zinaingia papo hapo kwenye sm za watu wenye shida wakapata pesa inakuwaje hizo pesa zinakuwa za kichawi au nizakweli naomba utusaidie najua najua wewe huongea na MUNGU wetu alie Hai tuweke wazi hii imekaaje
@moyojubeki63302 жыл бұрын
And gress Mungu akupe ujasiri Kama Alina Paulo nasila
@ndayeoliver9412 жыл бұрын
Watching 👀 from Washington Mungu akubariki mtume wetu
@robertmwithuimwendwa43612 жыл бұрын
Zidi kabisa hadi kila nafsi imujue Yesu
@badeuxmlondani72642 жыл бұрын
Amen 🙏🏻 kubwa Mungu akubariki sana
@kizajacqueline85832 жыл бұрын
Amena Amena alleluia Alleluia
@dieudonne7242 жыл бұрын
Amena
@charitymuema98232 жыл бұрын
Amen amen
@casiphaabdi3896 Жыл бұрын
Nabii enyewe unaenda kupatilisha roho yangu katika Jina la baba ameni
@Senga.W4 ай бұрын
Amina
@liesharehema51932 жыл бұрын
Aminaaa mtumishi
@janetisaac10842 жыл бұрын
From RukwaTanzania,natamani kusimama sana ktk wokovu,naomba uniombee sana,mlima wa ukweli nimependa sana,mafundisho yenu
Kweli mtumishi....unayosrma. MUNGU huwagusa watu wake wafanye kazi yake,.
@frankmshana13312 жыл бұрын
ameeeeeen tuko pamoja APOSTLE
@samsonomuya40512 жыл бұрын
Naitaji nikuwe zaidi kama wewe nifanyeje
@UkweliMinistries2 жыл бұрын
Soma sana neno. Alafu omba sana maombi yakutaka kumjuwa Mungu.
@stephanosospeter170911 ай бұрын
Ameen
@tundalawokovu2 жыл бұрын
Amen 🙏
@doricemrema21772 жыл бұрын
Nazidi kujifunza vizur na kupata majibu ya maswali yangu mengi, kweli wapendwa kama unamasalwi jaribu kupitia mafundisho yake yooteee ya nyuma utapata majibu,
@lourennetv37782 жыл бұрын
Hello everybody how can I help Mlima wa Ukweli help me to find out
@lourennetv37782 жыл бұрын
Hello sister and brothers help me find out How can I help Ukweli minister please help me