Msikilize hapa mtaalamu wa maswala ya fedha ambae pia ni mwekezaji akizungumza kwa undani zaidi kuhusu faida za uwekezaji na manufaa atakayopata mtu kwa kuwekeza kwenye mfuko wa FAIDA.
Пікірлер: 9
@user-tb7pi5wm4m7 ай бұрын
kujiunga nirahisi kweli Sasa ukiweka pesa wakati wa kutoa pesa ndo shida na simu hawapokei kutoa msaada
@kevymwinuka7849Ай бұрын
vipi ulijaribu kutoa na ikagoma..???
@dn.n498311 ай бұрын
Hipi nzuri hisa au vipande
@edisonmaliva17199 ай бұрын
Safi sana
@doikulwa11658 ай бұрын
Ok. Ata Mimi naitaji. Kujiunga
@dn.n4983 Жыл бұрын
Wekezaji pamoja asilimia ngapi
@daudkanyelele4862 Жыл бұрын
Kaka ndahani nimekuelewa naomba ushrikiano tu ili vijana tujiepushe mifumo mibovu ya maisha na kukalili pesa
@user-qg1iy5ov3uАй бұрын
Kuwekeza kwa ajiri ya kujenga nyumba unaanza na sh ngapi?