Pole sana, siyo kosa lako tatizo unatumia akili ya kawaida kuelewa mafumbo ya Mungu kamwe hutaelewa, Tena pole!
@hadijaismail36194 ай бұрын
Napenda tuu wanavyotikisa mabega laini km yana grease
@patrinraura13975 ай бұрын
Hakika wanastahili kupewa TUZO Lugha sio Rafiki lakini wanaudhamini,uheshimu na kupenda asili yao kama utambulisho Hauna nakshi yoyote ya utamaduni wa nje Tuige hawa mabalozi wanaotangaza vizuri asili yetu Waafrika
@DaywellKitomari2 ай бұрын
wadudu
@DaywellKitomari2 ай бұрын
mm
@DaywellKitomari2 ай бұрын
maxhag
@ElizabethSimon-r8j2 ай бұрын
Amen
@EsterAugustine-b4f2 ай бұрын
Nzuri sana
@paulinaobiria96495 ай бұрын
Wapo vizuri
@Fortune-x5qАй бұрын
Ushindi kwao
@RosemaryEnock-z6j4 ай бұрын
Ameni mbarikiwe xna watumishi wa mungu nimewapenda
@amonnsekulo2 ай бұрын
Mungu wetu Kristo ahimidiwe na makabila yote
@Wakazimusic5 ай бұрын
Nimewapenda. Wanamanisha walichokiamini.
@MathayoMngongo4 ай бұрын
Aminaaaaaaa sana jamani
@ClaltionLogisticsltd4 ай бұрын
siku zote jasiri haachi asili na hawa ndio asili yao wanafunzi tamaduni zao cka xx wabogo tunapiga tuuuuuuu❤
@JumaKamasa-kl6pz3 ай бұрын
Mungu asaidie
@elizabetwilliam-g9h2 ай бұрын
😢😂😂😂😂😂😂😂😂mungu..tusaidie...jamani..ndugu.zetu
@mercynina62884 ай бұрын
That part of shoulder shaking kills me ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MagrethYakobo2 ай бұрын
hadi raha nimependa jaman🤣🥰🥰
@margaretmuruga4 ай бұрын
Ameeeeen
@MariaMsenga-o5f2 ай бұрын
Hongeleni wamasai
@DeograsiaNziku-d7q2 ай бұрын
Mungu azidi kukuza kipaji kwako
@EsterFiloteus-i2yАй бұрын
Mbalikiwe na mungu
@fatumamakwaia11264 ай бұрын
Hakika mungu anatisha
@JohnNdunguru-x9u4 ай бұрын
Nimewapenda Watumishi hawa mpaka basi.
@EliwadaKikoti2 ай бұрын
Jaman wimbo mzuri tazreta jaman wengine pia tuelewe
@STEPHANIGHUSTAPH5 ай бұрын
Good performance
@IshakaMohd-t5c4 ай бұрын
Mm cjaelewa
@JumaJoelObai2 ай бұрын
Ipo ck Tutakua 2 kama wao tukaz moy
@kanankirannko61745 ай бұрын
Wenzetu wanakunywa uji ,maziwa na dawa hawana mafuta kwenye makoo sauti soft ,tamu sana
@israelkisaila84015 ай бұрын
Hata mikorogo hawajuwi Hawa Wala ma skin care,wapo so so natural yani
@jenyyusuph49735 ай бұрын
Sauti tamu mabega laini hata bila gym
@kanankirannko61745 ай бұрын
@@jenyyusuph4973 wamenoga hatariii
@EdsonLufunyo4 ай бұрын
Wazuri sana kwa nyimbo na sura natamani mjuku wangu aowe mmojawapo je wanakubali kuolewa na mswahili?
@kasyaniTv4 ай бұрын
Ndiyo
@blessed5454 ай бұрын
The way they are painful 😅😢
@gidongailo71745 ай бұрын
Gudi sana Masai styles ya kutikisika mashingo
@user-us7re2fi4s5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@NeemGabrel18 күн бұрын
🤷🙉🤔💪🙋🌺🌺
@YasiniMfangavo5 ай бұрын
Wako vizur
@kasyaniTv5 ай бұрын
❤❤❤❤🎉
@SamwelLodorumbe3 ай бұрын
Wachanganye na kiswahili
@zahoronassoro47585 ай бұрын
Haki yao wapate ushindi hongereni sana
@Hellen-gw5cb4 ай бұрын
Wanasema ruto must gooo
@GraceNgimbudzi4 ай бұрын
😮😂😂
@mushtaqahmedkadiri25754 ай бұрын
Innalilahi waina ilahi rajiun
@shupanamugala62662 ай бұрын
Utukufu na amani kwenu
@marryngaiza20615 ай бұрын
SAFI SANA
@OsumalyShola-o9t5 ай бұрын
KTV TUNAKUSHUKURU SANA KUWAINUA WAIMBAJI WA MOROGORO ❤❤❤❤❤❤❤
@deokanyerere9794 ай бұрын
Mi naona sio kwaya ila ni mziki wa dunia
@janechengula28335 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@GetrudaLenand2 ай бұрын
Mko wap jaman nimependa sana naomba namba zenu
@RutehuzaMuganga2 ай бұрын
Kijana umejitahidi sana kufanyakitu bora lakini sikunyingine halibut kufanya kweli na kwaubora zaidi mfano mziki wako nibora lakin kamera iliyotumika sijaipenda na producer hakuwa makini. Kazabuti utatoboa mwazo humtoa mtu na mwanzo humkatisha Tamaa mtu
@SebaragirwaRuhangaАй бұрын
Ubarikiwesana kwawimbo wakupendeza
@dorahsaria77084 ай бұрын
Wow!!! Safi sana!!!
@clauschaula20504 ай бұрын
Wasanii someni nyakati.
@EliyaKudaga-u4q4 ай бұрын
❤ambae HAJUI maana AjE in box mkaliman nipo
@boncatyfinance23354 ай бұрын
Mimi hapa nipe tafsiriii
@GraceInnocent-nw9yn20 күн бұрын
Nikiwahitaji nawapataje
@avelinabaluhya28042 ай бұрын
Anapitia ktk magumu yake ya kidunia nae aombewe maana hatujui ya kesho
@R_Sanyo_finest4 ай бұрын
Kuna bando wa shinyanga halafu Kuna bando wa tz nzima huyu ni bando wa tz nzima ina muelewa
@devisjoseph57875 ай бұрын
Sielewi lugha lakini nimenogewa sana
@ruthkyambila3975 ай бұрын
Safi sana mdumu uweponi.mwake
@EsterDododo5 ай бұрын
Mungu awe pamj nany sku zot🙏🙏
@SaidiAlly-l1z4 ай бұрын
Kwa hali hii tunawapiga kwenye mitaa tunawanyosha vitongojini