VIDEO YA MAGUFULI itakayokutoa MACHOZI!!

  Рет қаралды 2,500,643

SUPER TAMUTAMU

SUPER TAMUTAMU

Күн бұрын

Пікірлер: 898
@EnthusiasticDrumKit-on1qr
@EnthusiasticDrumKit-on1qr 9 ай бұрын
Huyu ndie raiAfrica ambae❤❤❤❤ Amazing and🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kalamapendo2701
@kalamapendo2701 2 жыл бұрын
Rip baba wewe ulikuwa msada Kwa wengi nikiona venye ulikua unasaidia bila ubaguzi kwakweli umeacha pengo Tanzania ambalo hakuna atakaye liziba 😭😭😭 am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Daudimoll8609
@Daudimoll8609 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 hakika utakumbukwa milele
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
KWA HILO NAGUFULI ULIISHINDA DUNIAA, NA INAKUHESHIMU SANAA. MAANA BAADA YA MUDA MFUPI MPAKA WAZUNGU WOTE NAO WAKAACHANA NA CARANTIINI ZAO. LAKINI HAYO YALIKUWA NI MAONO YAKO MAGUFULI.
@kambalekalemo9903
@kambalekalemo9903 2 жыл бұрын
Nime lia kwasababu alikufa wakati yupo kwa mikakati yakutaka kusaidia Congo🇨🇩 , aka acha akisema tu kwamba sisi wa Congomani tupo wa ndugu nawa tanzania🇹🇿❤️
@felisterjonathan7638
@felisterjonathan7638 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙏
@willistonemnengo
@willistonemnengo 2 жыл бұрын
Huyu ndie Raisi Africa ambae nilimutambua ,aendelee kupumuzika Kwa Amani.🇰🇪🇰🇪
@AthumaniAbdalah-vg5ti
@AthumaniAbdalah-vg5ti Жыл бұрын
Mungu akupumzishe baba, umetutoa gizani ingawa kinachoendelea sasa hapa tz, sijui ndolaana!!.
@JacksonChongela
@JacksonChongela 10 ай бұрын
Namkumbuka sana huyu mwamba JPM! Mwenyezi mungu ailaze mahala pema pe
@NamakoyeMadina
@NamakoyeMadina 7 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@EvalineMashaka
@EvalineMashaka 4 ай бұрын
Amin
@cuthbertsasagu8320
@cuthbertsasagu8320 Жыл бұрын
Magufuli tutaku miss baba yetu kipenzi. Nilikupenda sana upeo. Pumzika kwa amani baba yangu. Ameen. Wote tuko njiani.
@LowassaKipara
@LowassaKipara 11 ай бұрын
🎉😢 2:00
@DavidHubert-pw5lg
@DavidHubert-pw5lg 9 ай бұрын
rest in peace
@Alephideli
@Alephideli 8 ай бұрын
W
@florangido202
@florangido202 2 жыл бұрын
R.I.P. BABA, TUNAKUOMBEA UPUMZIKE SALAMA UKO ULIKO, NASI TUTAKUJA, ILI KWA PAMPJA TUMLAKI BWANA YESU MAWINGINI!! AMEEN
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🙏🙏
@salastinhail5165
@salastinhail5165 2 жыл бұрын
Baba magufuli pumuzika kwa amani tulikupenda sana na mungu akakupenda zaidi
@NolascoMasaule
@NolascoMasaule Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele
@ExavellyWalazy
@ExavellyWalazy 4 ай бұрын
mwenyez mungu akulaze mahari pema peponi mueshimiwa
@RahmaIddi-s2s
@RahmaIddi-s2s Ай бұрын
Nilikuwa nampenda sana Baba Maguful kwa kumtaja Mungu ni hodar sana Masha Allah..... alijuwa yeye kuna Mungu...na Yesu sio Mungu...
@salomemtwale5370
@salomemtwale5370 2 жыл бұрын
Sawa na zaburi 109 Mungu tunaomba usinyamaze juu ya hao waliohusika na huu baba
@AmaniMkaine-t2r
@AmaniMkaine-t2r Жыл бұрын
Banana mungu wa mbinguni akulaze mahali pema.mungu awakumbuke uzao walk daima
@dehain1848
@dehain1848 2 жыл бұрын
Mtetezi wa nyonge hatuwezi kukusahau mzee continue resting in power😭😭😭😭 watching from kenya
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 жыл бұрын
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI AMINA.
@RehemapaulMsumanji
@RehemapaulMsumanji Жыл бұрын
Namkumbuka magufuli Munguakupe Kaulisabti magufuliwetu
@martafrancisco4319
@martafrancisco4319 2 жыл бұрын
Dkt John P Magufuli. May his soul Rest In Peace. He lives in our minds, I loved and I still loving his comments!!! From Moz, 🇲🇿❤️🇲🇿❤️🇲🇿❤️
@AdamMikoka
@AdamMikoka Жыл бұрын
Xxxx videoss
@ConsolataKalili
@ConsolataKalili Жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema pepon baba magufuli. Amina
@jtdphenom
@jtdphenom 2 жыл бұрын
I love this man. He is a true leader. God bless his soul!
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 2 жыл бұрын
Aaaamin thumma aaaamin
@faustineluyange5945
@faustineluyange5945 2 жыл бұрын
Gllklljllllshĺslkjslhls
@faustineluyange5945
@faustineluyange5945 2 жыл бұрын
@@kassimchuo5290 slaklk
@faustineluyange5945
@faustineluyange5945 2 жыл бұрын
Ksslk
@faustineluyange5945
@faustineluyange5945 2 жыл бұрын
@@kassimchuo5290 ks
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 2 жыл бұрын
Acha hbr za maneno ya Kuambiwa mzee Muache mzee wetu wetu apumzke
@vincentagwata9459
@vincentagwata9459 Жыл бұрын
May you continue resting in peace Rais magufuli, you listened your electorate and help ed them solve problems without favouring the rich. Be blessed abundantly
@FelistaDugange-cm4xp
@FelistaDugange-cm4xp Жыл бұрын
Pumzika kwa amani raisi wetu John pombe magufuri tulikupenda Sana ulilipenda taifa lako la Tanzania
@RoseMbwawa
@RoseMbwawa 9 ай бұрын
Utakumbukwa daima baba i mc u Mungu akulaze mahali pema peponi Amina
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa jiwe hasa. Kipindi balozi Kijazi alikufa corona ndo iko peak times..lakini hakuna mteule wake aliyevaa barakoa.. JPM aliishi maneno yake.. R.I.P kiongozi wetu
@jastinesamboto4674
@jastinesamboto4674 2 жыл бұрын
Mbona kafa Sasa kama alikuwa jiwe?
@faustinerobertmombo99
@faustinerobertmombo99 2 жыл бұрын
Unajua mtu mwenye wito wa uongozi huwa anaonekana tu hyo ndo alikuwa Kiongozi sasa but for now tunaendesha tu R.I.P JPM 😭😭😭😭
@patrickkwibe4431
@patrickkwibe4431 2 жыл бұрын
Wazungu,walitumia ndugu zetu ili wakuue maana walijua wazi kwamba Africa utaibadilisha na kuwa Kama paradizo ndogo ya duniani,sitasahu pale ulisemaga kwamba utaweka Barbara ndani ya ziwa la Tanganyika mpaka DRC,ili mradi uchumi uongezeke,Baba we ni kichwa,we ni Simba,we ni mzalendo na uliipenda Sana Africa,RIP
@elizabethpetro1258
@elizabethpetro1258 2 жыл бұрын
Umeandika kwa uchungu Sana' Mungu akufariji ' haya ya kaisali yasikukatishe tamaa.
@charlesmaina360
@charlesmaina360 Жыл бұрын
Asanite kwa mheshimiwa Marehem Kwa kusimama na MUNGU siku sake zote akiwa Raise wa inichi. MUNGU yuko nae huko alitangulia Amen 🙏❤️🙏❤️ you
@MasuLaiso
@MasuLaiso 2 ай бұрын
Mamasamiya
@paschaziamathias5090
@paschaziamathias5090 Жыл бұрын
Hakika umeacha pengo kubwa sana ktk Nchi yetu ya Tz, Baba,tunakukumbuka kwa mengi sana kipenzi chetu. Mungu akupokee ktk nuru ya USO wake, na utuombee nasi tuufikie Uzima huo wa milele. Aminaa.
@meysampaul
@meysampaul 10 ай бұрын
mteteziwawa nyonge ulalesalam
@Ndegesela
@Ndegesela 10 ай бұрын
Bba yetu hakika wew ulikuwa jembe la watanzania htutapta kiongozi kma wew mungu akupumzishe kwa aman
@Ndegesela
@Ndegesela 10 ай бұрын
Mungu hawez kkuacha hko ulipo akupe maisha ya milele...cku ikipendezwa tutakaa pamoja na kufrahi pamoja mungu muangazie mwanga wa milele
@rambostalon2888
@rambostalon2888 2 жыл бұрын
Hatukuoni ila tunashindw kukusahau Ewe yesu kristo wa Nazaleth ulie mfufua lazaro mkumbuke kipenzi chetu rais wa wa nyonge bado tunakulilia
@lesikaredward2754
@lesikaredward2754 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie miss you presedent magu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Magufuli mpendwa wetu,binafsi naamini maneno yako yanaishi.Duuh nyie huyu baba R.I.P a man of God who lead Tanzania,😭😭😭💔💔
@EstherKanjinura-b4l
@EstherKanjinura-b4l Ай бұрын
Mungu alikutumiya baba kiukwer ulikuwa ukituhubilia nakumtanguliza mungu 😂😂😂❤
@ChaulaKelvin
@ChaulaKelvin 24 күн бұрын
Mungu ailazee sehem Salam roho na magufuli nilimpenda sn huyu rais mtu wawanyonge ❤
@shukuruamani6797
@shukuruamani6797 Жыл бұрын
président pumuzika ❤ 🙏.umeenda kama haunashida na DRC .mama suluhu mungu akupe nguvu. niwewe unajaribu sikiliza shida za wacongomani katika viongozi mbalimbali asante.❤🇨🇩🌹💪
@ThomasiKaminyoge
@ThomasiKaminyoge 4 ай бұрын
Mungu akuweke pepon hayati rais magufuli😂😂😂
@happyboy478
@happyboy478 10 ай бұрын
Utakukumbuka daima baba
@dogstz4473
@dogstz4473 2 жыл бұрын
ASANTE SANAAAAAAAAAAA 💪 mzee umetuachia urithi wa maneno na tunayafata kama 2pac vile🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MosesKiula-c3y
@MosesKiula-c3y 2 ай бұрын
❤❤ Baba tunakuenzi binafsi nilikupenda napaka sasa Imani iliyokuwa unatupandia ni Imani am ayo tutaiishi
@monikamasasi7582
@monikamasasi7582 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima 😭😭😭😭😭Hadi kesho tutaendelea kuumia Sana
@msafirimkude2688
@msafirimkude2688 2 жыл бұрын
Tutakukmbuka Daima Manatulikua Bd Tunakupenda👋👋👋
@KZ2L2lzQyvl
@KZ2L2lzQyvl 2 жыл бұрын
Subscribe
@RehemapaulMsumanji
@RehemapaulMsumanji Жыл бұрын
🤗😂😍
@RahmRahmmy
@RahmRahmmy 10 ай бұрын
Enyewe mungu umemchukuwa raisi mwaminifu, uzidi kumweka mahala pema peponi. Hakuna raisi Kama huyu duniani hapa😭😭😭😭
@BarakaMasabo-kb6hk
@BarakaMasabo-kb6hk Жыл бұрын
Hakika ni Nani atakae tufuta machozi sisi pia tunakuenzi vip mzee wetu mbona umetuacha papaya mamma hii
@josephatodimary3633
@josephatodimary3633 2 жыл бұрын
JK anadhani ataishi milele
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 2 жыл бұрын
Matendo mema yanaongeza umri hata kama atakufa utasubiria sana
@MpembaChapa
@MpembaChapa 11 ай бұрын
Mama Janeth Magufuli Mungu akutie nguvu akupe uvumilivu kwa baba yetu mpendwa kutuacha najua inauma sana ni pengo kwa taifa kwa ujumla 😢...... Mungu atuwezeshe watanzania kwa ujumla Amina❤❤❤❤
@AgnesKibuga-d3j
@AgnesKibuga-d3j Жыл бұрын
Jp ungekuwepo mpaka leo hii nchi yetu ingekua Mbal sana duh binadam Wabaya mh nitazid kukuombea magu
@wilfredkiruilimo
@wilfredkiruilimo Жыл бұрын
Rip african legend.How u loved ua electorates; visited them, heard their tribulations and sorted them head-on; delights my heart tremendously.May the rest of African leaders emulate this.❤ from 🇰🇪
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hapa alikuwa ameanza kuumwa jmn,na msiba wa kijazi ulimuumiza sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭RIP baba
@chazyvictar5977
@chazyvictar5977 2 жыл бұрын
Pita uku
@EnjoyMaiko-eu1ps
@EnjoyMaiko-eu1ps 8 ай бұрын
Kwanini mungu anaacha watu wenyelohombaya waishi alafu watuwemakama wewe magufuli wanakufahalakaa duuuuu cjui nichaguwelipi kati yakuwa kama magufuli au niwe nalohoo mbaya makatili wanaishisana duuuuu🙏🙆
@elibarikioffical
@elibarikioffical 2 жыл бұрын
RIP MAGUFULI MY PRESIDENT,,Never forgettable
@muhammadbamus5767
@muhammadbamus5767 Жыл бұрын
May your soul continue rest internal peace baba pombe magufuri, mahari tumefika tuna kumbuka neno lako kwa uzuli si kwa ubaya
@bestfriendokitokapalata6137
@bestfriendokitokapalata6137 2 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, sijawahi kona raisi kama wewe mpaka mwisho wa dunia hii hata kuwepo maana jina la Mungu ulilitumia sana kwenye mipango yako yote Mungu aipokeye nafsi yako kwa amani
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 2 жыл бұрын
Pole Sana Baba ulituvusha.salama.kwenye Corona hatujukaa.ndani.wala.kufa njaa mungu..atakulipia .haki.yako JPM bado tunakulilia. Rl P JPM
@afidhabui6767
@afidhabui6767 2 жыл бұрын
Wanaomcha mungu siku moja tutakutana na maguli
@jamesmwangi8598
@jamesmwangi8598 2 жыл бұрын
Huyu ni kiongozi mtetezi wa wanyonge
@annadotto2429
@annadotto2429 2 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa Amani baba, hakika sitakusahau milele
@soudsaidi9708
@soudsaidi9708 2 жыл бұрын
Yaaan daaaaah kwel chuma kimeanguka nchi hii inayumba yumba tu Kila sehem tozo watu bidhaa wanajipangia pangia Bei tu mitandao ndio usiseme
@elizabethpetro1258
@elizabethpetro1258 2 жыл бұрын
Usisahsu makato ya kutoa pesa kwenye benk na cm Ni balaa tupu
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 2 жыл бұрын
Tunakukumbka BABA Endlea kupumzika,MUNGU....Aendleee kukpmzisha akupnguzie adhabu ya kabuli
@restitutamassawe5828
@restitutamassawe5828 2 жыл бұрын
Yani baba kma bado upo vile hatuna baba
@EnthusiasticDrumKit-on1qr
@EnthusiasticDrumKit-on1qr 9 ай бұрын
Ooooooh❤❤❤
@cnm2976
@cnm2976 2 жыл бұрын
MUNGU Ndiye Muweza! Asante baba JPM.
@EliasJosefh-y7f
@EliasJosefh-y7f 11 күн бұрын
Nilikupend tulikupenda lakni Mungu alikupenda zaidi, Mungu akupumzishe milele mbinguni.
@patricksadock6198
@patricksadock6198 2 жыл бұрын
really right ,, hakuna kama magufuli
@EnjoyMaiko-eu1ps
@EnjoyMaiko-eu1ps 8 ай бұрын
Duhuu vizuliuwa avidum mungu akulaze mahalipema
@safeprint9418
@safeprint9418 Ай бұрын
Huyu Rais wa Tanzania Wema wake sasa ulihama Tanzania na kuelekezwa upande wa Kenya,wakenya wanampenda sana raisi wao wa sasa Daktari william Ruto Akitoa hotuba yake wakenya wengi wanashangilia kwa shangwe na nderemo mungu ampe maisha marefu rais wetu
@emilynyaki5590
@emilynyaki5590 Жыл бұрын
Rest in eternal peace the second father of our Nation,,, we will miss you dady🙏🙏🙏🙏🙏
@JamesNaftary
@JamesNaftary Жыл бұрын
Amina kubwa
@sarafinasakalla1156
@sarafinasakalla1156 2 жыл бұрын
Duu Mungu akupumzishe kwamani 😭😭
@abedisofia2764
@abedisofia2764 2 жыл бұрын
Kweli yako hakuna linalo kufika mbaka mungu atake nice one, mungu atakusamehe
@LeonoraTossi
@LeonoraTossi 10 ай бұрын
Pole baba Mungu anajua mwanadamu hawezi
@MANIWAMICHANO
@MANIWAMICHANO Жыл бұрын
Ktk Maisha ya mwanadam yoyote anae ishi chini ya jua hakuna kitu kizur Kama kuishi vzr hata mng mwenyewe anapenda Hadi raahaa ,,yeemweee,,,
@LindaNgongi-pn9tf
@LindaNgongi-pn9tf 11 ай бұрын
Tutakukumbuka mirere jemedar magu turkupenda rakni mungu kakupenda zaid ustarehe kwaamani ameni
@BildadKakule
@BildadKakule Ай бұрын
Huo ni ujumbe wa kweli wa hati makufuli, tuelekeze watu kwenye mungu, apana ku wapotosha, kuwaachia shetani ili awameze. Apumuzike salama.
@albartpaulo1183
@albartpaulo1183 2 жыл бұрын
Hakika kifo wewe ni katili sana ila ujinga mwingi uliyo nao wewe kifo unasahau kwamba unamuondoa mtu tu duniani lakini matendo yake yanaishi duniani na tutaendelea kuyaishi mazuri yake.
@salumsaid953
@salumsaid953 2 жыл бұрын
Baba ulisema tutakukumbuka kwa yale ulioyoyaongea sasa wanyoge ndio tutakukumbuka kwa yale ulioyoyaongea mungu hakulaze mahara pema peponi hamina
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Alivyomalizia '...na sisi tupo njiani,tunakuja..'
@JosephOgola-mm6iw
@JosephOgola-mm6iw Ай бұрын
It is one of the best sons of Africa who has no comparison. May the good lord rest his soul in peace. I respect him and all Tanzanians.
@IrenBeyanga-u5s
@IrenBeyanga-u5s 27 күн бұрын
😭😭 wew ndie kila kitu wew ndie wew sjui hata nisemaje😭😭 baba angu mungu akulaze mahali pema
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 2 жыл бұрын
Namuona yuda esikaliote na barakoa
@JanethFaida
@JanethFaida 3 ай бұрын
Duuuh nimejokuta nacheka tuuu
@PeteloLameck
@PeteloLameck 10 ай бұрын
Nimeipenda
@GaudensiJames
@GaudensiJames 10 ай бұрын
Inatia huruma kwajembe kama hiring mmungu amrehemu mtu huyu kwani hakua naatia kabisa nimeamini siku zone msema kweri huchukiwa
@YusuphAbdilahikimolo
@YusuphAbdilahikimolo Жыл бұрын
Huyu baba c alikuwa malika gabriel kabisa jaman😭😭I mc u ddy.ila mbn kwa mama uchumi umeshuka 😢 mambo yameenda hobelahobela ndan ya muda mfupi sn jm.MUNGU TUPIGANIE WATANGANYIKA JMN HALI YETU INAZID KIELEKEA KULE MAHAL NYE HERE ALITUTOA
@jordinmbavazi3126
@jordinmbavazi3126 11 ай бұрын
Unforgettable president dear Tanzanians
@ashuramusa8773
@ashuramusa8773 2 жыл бұрын
R I P Rais dkr. John maguguri eeh mwenyenzi tupiganie Waja wako 😭🤣😭😭😭😭😭😭😭
@patrickkwibe4431
@patrickkwibe4431 2 жыл бұрын
🇨🇩 We love you so much I am always proud of you go well Papa
@paschalsimon3345
@paschalsimon3345 2 жыл бұрын
Hakika alikuwa mkombozi wa nchi yetu japo hatukulitambua hili, Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina
@noelias_de_humbled
@noelias_de_humbled 2 жыл бұрын
R.I.P Magufuli may God put your soul in enternal peace ☮️
@salomejuma5672
@salomejuma5672 2 жыл бұрын
R,I,P 😭.baba Magufuli , love my
@mosesekales8233
@mosesekales8233 2 жыл бұрын
Moses
@mandachezi5604
@mandachezi5604 2 жыл бұрын
arikiba
@Filbet
@Filbet Жыл бұрын
Valelia😢
@JacksoniAbraham
@JacksoniAbraham 3 ай бұрын
Hongera sana mkuu
@DhieuDeng-bj3ws
@DhieuDeng-bj3ws Жыл бұрын
Magafuli alikuwa prezoo mazuri Baraza la Africa mzina😭😭
@GraceHamis-p1b
@GraceHamis-p1b 10 ай бұрын
Mungu ailaze loho yako mahal pema pepon hakika ww ulilitetemesha jiji pamoja tanzania nzima🇹🇿😂😂😂😂😂😂😂oohoooo!
@jacksonbalili6041
@jacksonbalili6041 2 жыл бұрын
MUNGU Alinde sana Tanzania
@Babygirlmammy254
@Babygirlmammy254 2 жыл бұрын
Wewe ni hero milele am from Kenya but you made it continue resting
@ignasimkavagila9488
@ignasimkavagila9488 2 жыл бұрын
Kilikuwa chumba Cha pua
@FulgenceMartin
@FulgenceMartin 3 ай бұрын
Pumzika kwa amani Amani kamanda upon kwenye mioyo yetu bravo ❤
@EdwardSiriki
@EdwardSiriki 3 ай бұрын
Pia dhamira yake wakati akiwa mwanafunzi alipenda awe askari trafiki
@jescamuijsers4206
@jescamuijsers4206 2 жыл бұрын
Maumivu ya kifo cha rais wetu magufuli ni milele 😭😭😭
@JeffMuna-pv5ez
@JeffMuna-pv5ez Жыл бұрын
I LIKE THE WAY YOU GO
@JeffMuna-pv5ez
@JeffMuna-pv5ez Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 I love you so so much
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 жыл бұрын
Jamani Mzee amepumzika muache kurusha mambo ya ajabu
@FatumaMakungu-o8i
@FatumaMakungu-o8i Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ajali pema mbinguni
@aishagobren4098
@aishagobren4098 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima kwa maneno yako mazuri baba .tutakulia daimma I
@paschaziamathias5090
@paschaziamathias5090 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi Ndugu yetu kipenzii sana;. Maana wewe ulikuwa kiongonzi wa kweli uliyeteuliwa na Mungu wetu mkuu.
@neemabenjamin2176
@neemabenjamin2176 2 жыл бұрын
Magufuli best president
Tanzania All Stars - Lala Salama (Magufuli) Official Video
11:01
Wasafi Media
Рет қаралды 13 МЛН
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
AFYA COMEDY
Рет қаралды 843 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Kiongozi wa CHADEMA Afariki DUNIA, Tundu Lissu AONGEA kwa UCHUNGU!!!
19:49
BWANA HARUSI KAMKATAA BI HARUSI   LIVE BILA UOGA.AKATAA ZAWADI 🧐
5:15
ELISHADAI ONE MEDIA
Рет қаралды 555 М.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 6 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН