Utakumbukwa daima baba i mc u Mungu akulaze mahali pema peponi Amina
@salomemtwale53702 жыл бұрын
Sawa na zaburi 109 Mungu tunaomba usinyamaze juu ya hao waliohusika na huu baba
@kambalekalemo99032 жыл бұрын
Nime lia kwasababu alikufa wakati yupo kwa mikakati yakutaka kusaidia Congo🇨🇩 , aka acha akisema tu kwamba sisi wa Congomani tupo wa ndugu nawa tanzania🇹🇿❤️
@felisterjonathan7638 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙏
@YusuphAbdilahikimolo Жыл бұрын
Huyu baba c alikuwa malika gabriel kabisa jaman😭😭I mc u ddy.ila mbn kwa mama uchumi umeshuka 😢 mambo yameenda hobelahobela ndan ya muda mfupi sn jm.MUNGU TUPIGANIE WATANGANYIKA JMN HALI YETU INAZID KIELEKEA KULE MAHAL NYE HERE ALITUTOA
@rambostalon28882 жыл бұрын
Hatukuoni ila tunashindw kukusahau Ewe yesu kristo wa Nazaleth ulie mfufua lazaro mkumbuke kipenzi chetu rais wa wa nyonge bado tunakulilia
@RahmRahmmy6 ай бұрын
Enyewe mungu umemchukuwa raisi mwaminifu, uzidi kumweka mahala pema peponi. Hakuna raisi Kama huyu duniani hapa😭😭😭😭
@kalamapendo27012 жыл бұрын
Rip baba wewe ulikuwa msada Kwa wengi nikiona venye ulikua unasaidia bila ubaguzi kwakweli umeacha pengo Tanzania ambalo hakuna atakaye liziba 😭😭😭 am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@samwelilaizer8609 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 hakika utakumbukwa milele
@BarakaMasabo-kb6hk Жыл бұрын
Hakika ni Nani atakae tufuta machozi sisi pia tunakuenzi vip mzee wetu mbona umetuacha papaya mamma hii
@anithawidambe75432 жыл бұрын
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI AMINA.
@AmaniMkaine-t2r9 ай бұрын
Banana mungu wa mbinguni akulaze mahali pema.mungu awakumbuke uzao walk daima
@AgnesKibuga-d3j10 ай бұрын
Jp ungekuwepo mpaka leo hii nchi yetu ingekua Mbal sana duh binadam Wabaya mh nitazid kukuombea magu
@NolascoMasaule Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele
@dogstz44732 жыл бұрын
ASANTE SANAAAAAAAAAAA 💪 mzee umetuachia urithi wa maneno na tunayafata kama 2pac vile🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@FredsonHytham-dx4xk Жыл бұрын
Baba sina neno mm ,😭😭😭😭
@Ndegesela6 ай бұрын
Bba yetu hakika wew ulikuwa jembe la watanzania htutapta kiongozi kma wew mungu akupumzishe kwa aman
@Ndegesela6 ай бұрын
Mungu hawez kkuacha hko ulipo akupe maisha ya milele...cku ikipendezwa tutakaa pamoja na kufrahi pamoja mungu muangazie mwanga wa milele
@willistonemnengo2 жыл бұрын
Huyu ndie Raisi Africa ambae nilimutambua ,aendelee kupumuzika Kwa Amani.🇰🇪🇰🇪
@MANIWAMICHANO Жыл бұрын
Ktk Maisha ya mwanadam yoyote anae ishi chini ya jua hakuna kitu kizur Kama kuishi vzr hata mng mwenyewe anapenda Hadi raahaa ,,yeemweee,,,
@jeanmusamba8448 Жыл бұрын
mabeberu na majizi ya mali za afrika hayataki kabisa kuona kiongozi kama huyu yanapanga njama za kumuua haraka sana,yalimuua mzee wetu Gadaff,Mzee Thomas Sankara na Magufuli, walidhani wanamzuia Gadaff sasa BRICS inataka toa sarafu ya kuishinda dola,walizani wamemshinda Sankara sasa yuko kijana Ibrahim hatari sana na tz patakuwa sawa tu kwa ukuu wa Mungu wa waafrika aliye uweka utajiri wote afrika
@dehain18482 жыл бұрын
Mtetezi wa nyonge hatuwezi kukusahau mzee continue resting in power😭😭😭😭 watching from kenya
@victorbugobola22762 жыл бұрын
Acha hbr za maneno ya Kuambiwa mzee Muache mzee wetu wetu apumzke
@charlesmaina3609 ай бұрын
Asanite kwa mheshimiwa Marehem Kwa kusimama na MUNGU siku sake zote akiwa Raise wa inichi. MUNGU yuko nae huko alitangulia Amen 🙏❤️🙏❤️ you
@NeemamungawenawedaimRaba-co3uf6 ай бұрын
Mtetez wawanyonge pumnzik saram
@valenakomba9218 Жыл бұрын
KWA HILO NAGUFULI ULIISHINDA DUNIAA, NA INAKUHESHIMU SANAA. MAANA BAADA YA MUDA MFUPI MPAKA WAZUNGU WOTE NAO WAKAACHANA NA CARANTIINI ZAO. LAKINI HAYO YALIKUWA NI MAONO YAKO MAGUFULI.
@EnjoyMaiko-eu1ps4 ай бұрын
Kwanini mungu anaacha watu wenyelohombaya waishi alafu watuwemakama wewe magufuli wanakufahalakaa duuuuu cjui nichaguwelipi kati yakuwa kama magufuli au niwe nalohoo mbaya makatili wanaishisana duuuuu🙏🙆
@GaudensiJames6 ай бұрын
Inatia huruma kwajembe kama hiring mmungu amrehemu mtu huyu kwani hakua naatia kabisa nimeamini siku zone msema kweri huchukiwa
@lesikaredward2754 Жыл бұрын
Mungu akutangulie miss you presedent magu
@EnthusiasticDrumKit-on1qr5 ай бұрын
Ooooooh❤❤❤
@annadotto24292 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa Amani baba, hakika sitakusahau milele
@florangido2022 жыл бұрын
R.I.P. BABA, TUNAKUOMBEA UPUMZIKE SALAMA UKO ULIKO, NASI TUTAKUJA, ILI KWA PAMPJA TUMLAKI BWANA YESU MAWINGINI!! AMEEN
@salomewandya72572 жыл бұрын
🙏🙏
@patrickkwibe44312 жыл бұрын
Wazungu,walitumia ndugu zetu ili wakuue maana walijua wazi kwamba Africa utaibadilisha na kuwa Kama paradizo ndogo ya duniani,sitasahu pale ulisemaga kwamba utaweka Barbara ndani ya ziwa la Tanganyika mpaka DRC,ili mradi uchumi uongezeke,Baba we ni kichwa,we ni Simba,we ni mzalendo na uliipenda Sana Africa,RIP
@elizabethpetro12582 жыл бұрын
Umeandika kwa uchungu Sana' Mungu akufariji ' haya ya kaisali yasikukatishe tamaa.
Huyu mwamba alikuwa jiwe hasa. Kipindi balozi Kijazi alikufa corona ndo iko peak times..lakini hakuna mteule wake aliyevaa barakoa.. JPM aliishi maneno yake.. R.I.P kiongozi wetu
@jastinesamboto46742 жыл бұрын
Mbona kafa Sasa kama alikuwa jiwe?
@torokokorobert58412 жыл бұрын
mh we huyu mzee bas😭❤️
@vincentagwata94598 ай бұрын
May you continue resting in peace Rais magufuli, you listened your electorate and help ed them solve problems without favouring the rich. Be blessed abundantly
@ThomasiNgomo-sq2oi9 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@salastinhail51652 жыл бұрын
Baba magufuli pumuzika kwa amani tulikupenda sana na mungu akakupenda zaidi
@happyboy4786 ай бұрын
Utakukumbuka daima baba
@chazyvictar5977 Жыл бұрын
Pita uku
@magotibiseko1739 Жыл бұрын
Miziki yadamodi
@albartpaulo11832 жыл бұрын
Hakika kifo wewe ni katili sana ila ujinga mwingi uliyo nao wewe kifo unasahau kwamba unamuondoa mtu tu duniani lakini matendo yake yanaishi duniani na tutaendelea kuyaishi mazuri yake.
@emilynyaki55909 ай бұрын
Rest in eternal peace the second father of our Nation,,, we will miss you dady🙏🙏🙏🙏🙏
@JamesNaftary8 ай бұрын
Amina kubwa
@EUSTABIUSKATONDO6 ай бұрын
Tutakukumbuka sana
@WinifridaMtesigwa6 ай бұрын
Kikongwe movie
@salomewandya72572 жыл бұрын
Hapa alikuwa ameanza kuumwa jmn,na msiba wa kijazi ulimuumiza sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭RIP baba
@abedisofia27642 жыл бұрын
Kweli yako hakuna linalo kufika mbaka mungu atake nice one, mungu atakusamehe
@bennyjohn14122 жыл бұрын
Jamani Mzee amepumzika muache kurusha mambo ya ajabu
@martafrancisco43192 жыл бұрын
Dkt John P Magufuli. May his soul Rest In Peace. He lives in our minds, I loved and I still loving his comments!!! From Moz, 🇲🇿❤️🇲🇿❤️🇲🇿❤️
Magufuli tutaku miss baba yetu kipenzi. Nilikupenda sana upeo. Pumzika kwa amani baba yangu. Ameen. Wote tuko njiani.
@LowassaKipara6 ай бұрын
🎉😢 2:00
@DavidHubert-pw5lg4 ай бұрын
rest in peace
@Alephideli4 ай бұрын
W
@JeffMuna-pv5ez Жыл бұрын
I LIKE THE WAY YOU GO
@JeffMuna-pv5ez Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 I love you so so much
@mesiyayannko75442 жыл бұрын
Naona kama ndoto nahisi hupo hai2
@muhalakibwana40262 жыл бұрын
Huyu Mzee Tanzania na Africa nzima hatasahaulika alikuwa mwamba na nguzo muhimu Kwa wengi
@sheysarahnjeno52072 жыл бұрын
Tunakukumbka BABA Endlea kupumzika,MUNGU....Aendleee kukpmzisha akupnguzie adhabu ya kabuli
@restitutamassawe58282 жыл бұрын
Yani baba kma bado upo vile hatuna baba
@YugaJiwala6 ай бұрын
Mhhh
@HaibuniOmary-wx5bs Жыл бұрын
Kizuli haki dum lala salama baba bado twakukumbuka
@patricksadock61982 жыл бұрын
really right ,, hakuna kama magufuli
@juliusdonard9332 жыл бұрын
Tulipotezaa jembee hapaaa daaaa
@monikamasasi75822 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima 😭😭😭😭😭Hadi kesho tutaendelea kuumia Sana
@msafirimkude2688 Жыл бұрын
Tutakukmbuka Daima Manatulikua Bd Tunakupenda👋👋👋
@KZ2L2lzQyvl Жыл бұрын
Subscribe
@RehemapaulMsumanji Жыл бұрын
🤗😂😍
@ManJohn-b9w8 ай бұрын
naitwa nolobety lwambano mung ilaze loo ya maleem alie kuea lis wet magufuli 6:07
@hojaerenest75432 жыл бұрын
Mungu akuweke mahalipema zaidi amin
@paschaziamathias5090 Жыл бұрын
Hakika umeacha pengo kubwa sana ktk Nchi yetu ya Tz, Baba,tunakukumbuka kwa mengi sana kipenzi chetu. Mungu akupokee ktk nuru ya USO wake, na utuombee nasi tuufikie Uzima huo wa milele. Aminaa.
@meysampaul5 ай бұрын
mteteziwawa nyonge ulalesalam
@thomasosano3323 Жыл бұрын
Pole
@soudsaidi97082 жыл бұрын
Yaaan daaaaah kwel chuma kimeanguka nchi hii inayumba yumba tu Kila sehem tozo watu bidhaa wanajipangia pangia Bei tu mitandao ndio usiseme
@elizabethpetro12582 жыл бұрын
Usisahsu makato ya kutoa pesa kwenye benk na cm Ni balaa tupu
@faustinerobertmombo992 жыл бұрын
Unajua mtu mwenye wito wa uongozi huwa anaonekana tu hyo ndo alikuwa Kiongozi sasa but for now tunaendesha tu R.I.P JPM 😭😭😭😭
@samsonkaboko51372 жыл бұрын
Namuona yuda esikaliote na barakoa
@JacksonChongela6 ай бұрын
Namkumbuka sana huyu mwamba JPM! Mwenyezi mungu ailaze mahala pema pe
@NamakoyeMadina3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@EvalineMashaka2 күн бұрын
Amin
@Artist-my9zx5 ай бұрын
Hotuba ya kiume. Iliyojaa hekima ,utashi na ujasiri, huyo ni miongoni mwa nguzo imara zilizowahi kuushikilia bara la Africa R.I. P Daddy
@maryaugustor69835 ай бұрын
Angalia huyo ,ngo”mbe aliyekutoa uhai mnafki mkubwa akamuuza mtoto wetu auwwawe hivi hivi Rest In Peace my dear brother
@jacksonbalili60412 жыл бұрын
MUNGU Alinde sana Tanzania
@GraceHamis-p1b6 ай бұрын
Mungu ailaze loho yako mahal pema pepon hakika ww ulilitetemesha jiji pamoja tanzania nzima🇹🇿😂😂😂😂😂😂😂oohoooo!
@dktneynyanda4209 Жыл бұрын
Binafsi nakukumbuka sana mtetezi wa wanyonge nilitamani cku moja urudi uwendelee kuongoza taifa duuuu uh! Ni ngumu sana kusahau
@wilfredkiruilimo9 ай бұрын
Rip african legend.How u loved ua electorates; visited them, heard their tribulations and sorted them head-on; delights my heart tremendously.May the rest of African leaders emulate this.❤ from 🇰🇪
@Jonas-qc9bz Жыл бұрын
Halikua ajui Ila arisema munngu kahamua kwenda kumtumia nayeye apo Ari mzungumzia halie kufaa Wala sio yeye
@DawsonMateru-z2g6 ай бұрын
Utaendelea kuwa kiongozi Bora , shupavu katika Tanzania Wala hatutakusahau kamwe baba yetu
@WambuaDaniel-xm3wp4 ай бұрын
wapo madaktari,kwa kuwepo magojwa duniani,cku ikifika magojwa yaishe!jiulize na ujijibu
@MANIWAMICHANO Жыл бұрын
Kifo ni pigo kbwa saana kwetu,,hata dunia nzima tkiandamana hatuwezi weza,,mng baba wa mbingini ,,ingilia Kati mwenyewe wanao tnaangamia,,inauma saana Tena saana,,,daaaaaaass🎉🎉🎉🎉🎉
@CresenciaCastor-rk2ty7 ай бұрын
God akunjalie pumzik la milel heaven.Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
@CresenciaCastor-rk2ty7 ай бұрын
God akunjalie pumzik la milel heaven.Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Kweli baba RIP huu ugonjwa hata huku umewashinda unaibuka kila siku hadi wazungu wameshindwa
@JumanneMajura6 ай бұрын
Asante mzee wa Kaz umetangulia xix wanao umetusaidia xan kweny elimu😂❤😢🎉😮😢😅😊
@edsonluciankasuva13799 ай бұрын
RIP Mr John Joseph Pombe Magufuri( )
@MaryanicethMathias Жыл бұрын
Ulikua na upendo Kwa kila mtu haukubagua mtu dini Wala chana pumzika kipenzi maneno yako na sauti yako masikioni mwangu sitakusahau
@jacobmwalimucharo-jp5bx Жыл бұрын
Duniani kote rais huyu ndio alienda mbiguni hata kama kunawengine lkn huyu mtu niwamungu