LALA SALAMA MWINYI - Peter Msechu

  Рет қаралды 44,030

Peter Msechu

Peter Msechu

Күн бұрын

Пікірлер: 184
@JustinBiber-h2g
@JustinBiber-h2g 11 ай бұрын
Huyu msechu ana ngoma zote za vifo vya Maraisi Tanzania mmoja mmoja akifa ngoma inachiwa😅😅
@MashaMbwana
@MashaMbwana 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nassorali4061
@nassorali4061 11 ай бұрын
Uwa ashaziweka anabandika Jina tu
@bongatv25
@bongatv25 11 ай бұрын
Ila watu😂
@maryamadam5622
@maryamadam5622 11 ай бұрын
Mmungu mrehemu mzee wetu na umpe malazi mema peponi. Wema wako utabaki milele. Pole kwa wanafamilia wote. Innaalillaahi wa Innaa Ilaihi Rajiuuna
@Lulualshagri
@Lulualshagri 11 ай бұрын
😢😢😢😢😢allah akusameh ulipoteleza baba etu kiongozi wetu mahiri mpambanaji shupavu tangulia baba nasi tuko nyuma yako
@mussahoza
@mussahoza 11 ай бұрын
peta msechu ukutee ushatunga nyimbo za viongoz wote... wasubr wafee tu uachiee ngoma moja mojaa
@TomasMponzi
@TomasMponzi 11 ай бұрын
Jaman tuache ushamba kwani kutunga nyimbo inachukua mda gan??kwawewe ambaye siyo fani yako ndyo unaona siyo swala rahisi,,R I p mzee wetu nenda nasi tunyuma yako
@ZakayoReuben-ow9tz
@ZakayoReuben-ow9tz 11 ай бұрын
Hapo sasa kitu fani yake hawa wandhan kutunga wimbo ni kazi ngumu kama kutafyta thaman ya x kwenye logarthim kwa msechu utnzi wa wimbo ni kama junywa maji tu
@Monikakosimastobias
@Monikakosimastobias 11 ай бұрын
kutunga nyimbo syo kaz ngum ukishapata ujumbe RIP mwinyi.
@mwinyiswalehe9564
@mwinyiswalehe9564 11 ай бұрын
NAKUMBUKA VILE UMEKUJA NA MSAFARA WAKO SHINYANGA KUPATA DUA KWA BABA YANGU,ULINIKUTA NIMEZALIWA NI NA MIAKA SABA ,UKANIPA JINA LAKO MPAKA SHULE UKANIBADILISHA , UNCLE ALLY HAJI MWINYI,NAMI LEO NIMEUBEBA UTAMBULISHO WAKO.....Kwelii ninalii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢,uliniaambia unatamani Niwe kama wewee...nenda salamaa ,nitakuenzi kwakuwa mzalendo halisi kwa nchi yangu😢😢😢😢😢😢😢
@Thadei_kameta5458
@Thadei_kameta5458 7 ай бұрын
Ukidanji tyu ngoma chapu inaachiwa ila Petro😅😅😅
@SalimPala-w5f
@SalimPala-w5f 11 ай бұрын
Poleni sana wa Tanzania amen
@JelleKipala
@JelleKipala 11 ай бұрын
Yaani pita msechu kutunga wimbo Sawa na kunywa maji tu
@JumaChunye
@JumaChunye 11 ай бұрын
Nzuri sana ila haiwezi fikia umetuacha imara ya magu
@ramadhanvyombo5145
@ramadhanvyombo5145 11 ай бұрын
Uyu jamaa inawezekana ata mama kashamtungia nyimbo anangoja muda tu wakurelease
@diyembarak5506
@diyembarak5506 11 ай бұрын
😂😂😂
@dopnap4855
@dopnap4855 11 ай бұрын
😂😂😂
@lilchampion1960
@lilchampion1960 11 ай бұрын
😂😂😂
@abbaskishangu1876
@abbaskishangu1876 11 ай бұрын
Ww brother ujengewe sanam. Keep it rise,unajua mkubwa
@MUHSINSALUM-cc4tg
@MUHSINSALUM-cc4tg 11 ай бұрын
Allahumma ighfir lahu. Aamiiin
@LovelyAstronaut-lh3nk
@LovelyAstronaut-lh3nk 11 ай бұрын
Huyu jamaa hii nyimbo kaitunga zmn tu alikuwa anasubir afe tu aitoe
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 11 ай бұрын
HUYU BWANA AJENGEWE SANAMU , PETER PETER MSECHU 🎉 WEWE NI GENIOUS UKO IN AND ON TIME OF EVENTS
@PastorClinus
@PastorClinus 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@mckingmojojo363
@mckingmojojo363 11 ай бұрын
Kaka Msechu nyimbo ina ujumbe mzito tumuenzi Mhe Hayati Mwinyi.
@wahisiatv2871
@wahisiatv2871 11 ай бұрын
Je ukitangulia kabla ya nyimbo zingine za viongozi ambazo ziko kabatini unategea kuzitoa😂😂😂
@LothiMolleli-rl4yh
@LothiMolleli-rl4yh 11 ай бұрын
Msechu we ni hatari baba huu wimbo umetunga saa ngapi
@AhmedSeif-p6w
@AhmedSeif-p6w 11 ай бұрын
MTU nakazi yake
@FatimaRiami
@FatimaRiami 11 ай бұрын
Katanga zamani ilipotoka taarifa ndio na yy katoa
@anganilebukuku4378
@anganilebukuku4378 11 ай бұрын
Siooo kwelii bwana hanaa nyimboo za vifooo ilaa nikipajii hichoo manii
@Inezamethodebrighton
@Inezamethodebrighton 11 ай бұрын
Huu Jama Ana album yote😂😂😂 ni kugeuza tu majinq
@titongassa1620
@titongassa1620 11 ай бұрын
Amkeni amkeni kashaachia tayari🤣🤣
@ruthdavie1175
@ruthdavie1175 11 ай бұрын
Ila Msechu wewe ulijua baba wa watu anakufa ukatunga wimbo 😢
@mtanzaniamwenzangu181
@mtanzaniamwenzangu181 11 ай бұрын
Asante kwa kuwafariji wa fiwa wa nchi yetu, hongera kwa kazi nzuri mziki ni tiba🎉🎉🎉
@munalove450
@munalove450 11 ай бұрын
Poleni familia ya mwinyi kwa msiba wa baba etu sisi tulimpenda lkn allah amempenda zaid😢😢😢😢
@MasterPlan-e5c
@MasterPlan-e5c 11 ай бұрын
Huyu jamaa ana album😀😀😀
@njeyaduniatv
@njeyaduniatv 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@JonasiMwanzi-o2y
@JonasiMwanzi-o2y 11 ай бұрын
Jamni talifa imetoka saa kumi na mmoja sasa anashindwaje kutunaga nyimbo
@MikaMavanza
@MikaMavanza 11 ай бұрын
Ndioo tumuulizeee hapa huyuuu jamaaa ametunga hii nyimboo saaangapii
@tegemeantenga102
@tegemeantenga102 11 ай бұрын
Kwani kutunga wimbo Nako kunahitaji wiki au mwezi?...Kwa msanii aliekomaa ni suala masaa tu
@jacksonmwalindu8786
@jacksonmwalindu8786 11 ай бұрын
😂😂😂😂 mkimuangaliaa vzri usikute tyri an chorus za kiongoz anayefuataa
@jeremiahmtui6822
@jeremiahmtui6822 11 ай бұрын
Asante sana Msechu Mungu akubariki sana
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 11 ай бұрын
Yan Msechu na mrisho mpoto yanasubiliaga misiba tu
@ebeni_mitimingi
@ebeni_mitimingi 11 ай бұрын
Jamaa ni kama wauza majeneza 😅 wako standby 😅
@emanuelwilliam8834
@emanuelwilliam8834 11 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba raisi wetu all hassani mwinyi
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 11 ай бұрын
We msechu hiii nyimbo umetunga saa ngp?
@ntibashimadicksonmathiasna2915
@ntibashimadicksonmathiasna2915 11 ай бұрын
Taarifa anakuwa nazo 😂😮
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 11 ай бұрын
Anakuwaga na nyimbo za maombolezo mmoja akikata tu anaongeza jina anaachia😂
@KhadraMohamed-vy8sl
@KhadraMohamed-vy8sl 11 ай бұрын
😅😅😅😅
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 11 ай бұрын
Ndio hapo hata na mm namshangaa...
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 11 ай бұрын
Swali gani hilo ww ha ha ha
@MasaweKiyage
@MasaweKiyage 11 ай бұрын
Congratulations msechu
@momylaviel
@momylaviel 11 ай бұрын
Msechu ni kiboko apumzike kwa amani
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 11 ай бұрын
Msechu apumzike kwenda wapi 🙈
@mcrwego1322
@mcrwego1322 11 ай бұрын
Msechu ur always the best
@daynecleonard5906
@daynecleonard5906 11 ай бұрын
Pumzika kwa aman baba yangu 😢
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 11 ай бұрын
We mzee una bank ya viongozi wote na nyimbo zao maana huchelewi😅😅
@haiju1110
@haiju1110 11 ай бұрын
😂😂m nimekuja kusoma comment tuuh🙌🙌🙌🙌🙌😂
@bushbabytz
@bushbabytz 11 ай бұрын
huyu naona ana mpango wakuchukua nafasi ya kapteni John Komba😂😂 ...sio kwa uchuro huu ....kila kifo yuko ka bundi wa kwanza kulia kwa nyimbo😂😂
@ThisIsBett
@ThisIsBett 11 ай бұрын
Buriani, mzee!
@MUHSINSALUM-cc4tg
@MUHSINSALUM-cc4tg 11 ай бұрын
Alf muwe mnatuambia tarehe ya kweli ya kifo cha mtu. Sasa taarifa ya kifo tayari na wimbo. Jmn
@lyrics_forum
@lyrics_forum 11 ай бұрын
Ulivyo Mnene Sijui hii Nyimbo Umeandaa saa ngapi😂.
@sporahdaniel4970
@sporahdaniel4970 11 ай бұрын
😂 we msechu wewe umetunga wimbo saa ngap duuu!!
@kihanda2554
@kihanda2554 11 ай бұрын
Bonge la Ngoma. Biti mpk Melod. Hata Clup hili linacjezeka🎉🎉🎉
@perucebuhomaosward8512
@perucebuhomaosward8512 11 ай бұрын
Genius Msechu👏👏👏
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 11 ай бұрын
Unatunga sangp
@ombeninyemba6428
@ombeninyemba6428 11 ай бұрын
Hazina ya taifa hanang, lowassa na hassani
@samwelmeela8384
@samwelmeela8384 11 ай бұрын
Oya sio poa
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 11 ай бұрын
😊😊😊 huyu jamaa ana nyimbo za watanzania wote
@sylikiussebastian
@sylikiussebastian 11 ай бұрын
Pumzka kwa amani pole kwa watazania viogozi chukua mfano wa mwinyi
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 11 ай бұрын
We ni fundi kaka
@MengiMhelela-b3m
@MengiMhelela-b3m 11 ай бұрын
Safi sanaa msechuu❤
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 11 ай бұрын
Huyu jamaa ana daftri la nyimbo za kifo anasubiri tu mtu afe aweke jina
@tegemeantenga102
@tegemeantenga102 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 11 ай бұрын
😂😂😂itakua
@anganilebukuku4378
@anganilebukuku4378 11 ай бұрын
Jamaaa anastudioo nyumbani kwake piaaa mziki nimaishaa soo kinacho fanyika nikwamba anakua n melodi nyingi kichwani biti ikipigwa tu anaangalia story inahusu nini anashuka full stairi pale inakua imeisha nikitendo cha dakika 30 ty inakua imekaa poaa
@jaydon3361
@jaydon3361 11 ай бұрын
We jamaa Kwan viongoz wakitaka kufa wanakutarifu
@mwacyjovin9672
@mwacyjovin9672 11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@jescajames9844
@jescajames9844 11 ай бұрын
Msechu hauboi🫡🫡🫡
@Davidiboys
@Davidiboys 11 ай бұрын
lala salama mzee wetu
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
Hakuna pengo lisilo zibika,,kaptain john komba ,huyu hapa😂😂😂😂😂😂
@yunyun799
@yunyun799 11 ай бұрын
😂😂😂jamani
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
@@yunyun799 🤣🤣🤣🤣
@dochoonlinetv
@dochoonlinetv 11 ай бұрын
Aisee tanzaniaa imepotezaaa
@HalimaRamadhani-o4l
@HalimaRamadhani-o4l 11 ай бұрын
Innalillah
@sagy1239
@sagy1239 11 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Jembe uliyoyafanya ni upendo tosha kwa nchi yako, tutaonana baadae,
@ASHARICHAMBILE
@ASHARICHAMBILE 11 ай бұрын
Msechu kibokoo 😭😭😭
@ZaylinahNindae
@ZaylinahNindae 11 ай бұрын
Ongera msechu upo vizur
@barakajames6740
@barakajames6740 11 ай бұрын
Ila huyu jamaa😅 umeshatoa wimbo dah
@andrewvoiceofficial8721
@andrewvoiceofficial8721 11 ай бұрын
Pumzika kwa amani ally hassan mwinyi
@Berenaldo77
@Berenaldo77 11 ай бұрын
Love song❤
@noahchepe8036
@noahchepe8036 11 ай бұрын
😂😂ndio maana Jana watu wamesema msechu ana lists kibao za kuimbia marehem
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 11 ай бұрын
R.i.p mzee wa ruksa.
@izamutv666
@izamutv666 11 ай бұрын
Msechu we ni atali je na yakwako ipo kwenye kabati au ujaitunga bado
@Gregoire-2006
@Gregoire-2006 11 ай бұрын
Nimekuja uku baada ya kuhona video kutoka kwa uswege kule nikahamuwq nije kuhakikisha😅
@lilchampion1960
@lilchampion1960 11 ай бұрын
Bia mm😂😂😂
@isayambetwa6564
@isayambetwa6564 11 ай бұрын
Duuuuuuuuh!
@jonathanmlinda2580
@jonathanmlinda2580 11 ай бұрын
20 on trending 🙏
@Matatasaid
@Matatasaid 11 ай бұрын
Afute iyo zerro apo nyuma
@JacksonJohn.
@JacksonJohn. 11 ай бұрын
nyimbo.mbona inachangmsha 😢alafu ww msechu upo kitengo cha misiba
@AmedeusFrank
@AmedeusFrank 11 ай бұрын
R.I.P,APUMZIKE KWA AMANI
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 11 ай бұрын
🤣🤣🤣 Khaa. Msechu inaonesha ana nyimbo za viongz wote
@nassorali4061
@nassorali4061 11 ай бұрын
Ashaziweka uwa anabandika Jina tu😂😂
@RosemaryLema
@RosemaryLema 11 ай бұрын
Msechu n komba wa sasa uko chapu au unakuwa nazo tayari nn😢
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 11 ай бұрын
Me nazan tumkamate atueleze Huwa anatunga saa ngap hiz nyimbo usjekuta anachuriaga watu kabla hawajafa, Sio ajabu nyimbo yangu tayar anayo
@tegemeantenga102
@tegemeantenga102 11 ай бұрын
Kwa msanii aliekomaa ni suala la masaa tu,Wala tusifike mbali
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 11 ай бұрын
Rest in paradise
@Jirhley
@Jirhley 11 ай бұрын
Ipo siku huyu Peter Msechu atatunga nyimbo ya kiongozi alafu ajikute yeye ndo kavuta kabla ya mlengwa .make hizi nyimbo ni dhahiri kwamba anawatungia wangali hai
@RickyVan-fw4ry
@RickyVan-fw4ry 11 ай бұрын
Ila mshechu misiba tukuachie wewe tu sasa
@RamadanPaul
@RamadanPaul 11 ай бұрын
daah maisha ni mafupi
@yussufhamad9843
@yussufhamad9843 11 ай бұрын
big up
@jonnygabriel9648
@jonnygabriel9648 11 ай бұрын
Sasa hv nani anakufa msechu
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 11 ай бұрын
Ww msechu na ww lini tutakutungia nyimbo ?? Ukifa😂😂😂
@titodaniely9713
@titodaniely9713 11 ай бұрын
𝙈𝙨𝙚𝙘𝙝𝙪 𝙣𝙤𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
@GabrielSky64
@GabrielSky64 11 ай бұрын
Umeenda studio au ulikua nayo tu ndani
@yohanamorisi9027
@yohanamorisi9027 11 ай бұрын
Naona huyu ana nyimbo za misiba to hana zingine ndyomana anakuaga wakwanza kuimba
@PaschalMologa
@PaschalMologa 11 ай бұрын
Wakwanza ku comment .
@maxlopezlopez220
@maxlopezlopez220 11 ай бұрын
Wapili😊
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 11 ай бұрын
Hata kwenye kifo ,huzuni mnakazania wa kwanza ngoja yatokee kwako uje uwahi Ku, comment na kutaka like
@PaschalMologa
@PaschalMologa 11 ай бұрын
@@رقيهالخصيبي Tulia wewe kwani Kuna mtu kakufuru hapo .Usi complicate
@kuzenzamasule1281
@kuzenzamasule1281 11 ай бұрын
Huyu jamaa anatunga SAA ngapi?
@dr.swagztv3559
@dr.swagztv3559 11 ай бұрын
R.I.P Al Hassan
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 11 ай бұрын
msechu kiboko kah enewei tukuite tu komba saiz
@unbreakableteam8225
@unbreakableteam8225 11 ай бұрын
Iyo nyimbo akatafute sehemu tu ya kuiperfom
@24seventv99
@24seventv99 11 ай бұрын
Naiskia saut ya lavalava kwa background
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 11 ай бұрын
Unatunga nyimbo wenzio wakafa na wewe jitungie kabisa kabla hujafa
@catherinemanyama9108
@catherinemanyama9108 11 ай бұрын
Ila peter msechu wewe 😊
@thomasmakala2082
@thomasmakala2082 11 ай бұрын
Hauchelewi
@Bmtstudiostz
@Bmtstudiostz 11 ай бұрын
Pumnzika hodari
@philipothomas6279
@philipothomas6279 11 ай бұрын
R.I.P
@istudiohimo2113
@istudiohimo2113 11 ай бұрын
Huwa mwamba ana siri nyingi za vifo vya watu. Tukikaa nae vizur atakuwa anatupa siri za waliotangulia mapema?
@JoyceNicholaus-h7v
@JoyceNicholaus-h7v 11 ай бұрын
Rest In peace
PUMZIKA SALAMA LOWASA- Peter Msechu
3:06
Peter Msechu
Рет қаралды 33 М.
NYIMBO ZA WOKOVU COLLECTION (2023) - Papi Clever & Dorcas ft Merci Pianist (Swahili)
1:26:48
PaPi Clever & Dorcas Official
Рет қаралды 2,9 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
TUTAONANA MAGUFULI - Peter Msechu
3:29
Peter Msechu
Рет қаралды 581 М.
Nita Amini (Live)
13:00
Israel Mbonyi
Рет қаралды 2,3 МЛН
هو Ho حلقت ذكر #حضرة محمد ياسين المرعشلي
19:22
الفارس محمد زيدان
Рет қаралды 562 М.
Peter msechu ft Amin   Nyota ❨official music video❩ directed by einxer
4:28
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05
Zabron Singers.
Рет қаралды 5 МЛН
INTEAM • Zikir Hati 2 (Official Lyric Video)
30:46
Inteam Digital
Рет қаралды 557 М.
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Azam TV
Рет қаралды 98 М.
UMETUACHA IMARA (Official Video) - Peter Msechu
2:20
Peter Msechu
Рет қаралды 731 М.
Sikiliza (Live)
11:32
Israel Mbonyi
Рет қаралды 647 М.
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН