Рет қаралды 29,652
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Uthibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesitisha leseni ya safari ya mabasi ya Kampuni ya Katarama kwa kosa la kuchezea mifumo ya mwenendo ya mabasi yaliwekwa na Latra kwenye mabasi hayo ambayo kusitishwa kwake safari yanaanza kesho.
Kusimamishwa kwa leseni hiyo ya usafirishaji ni hadi uchunguzi utakapofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Mamlaka hiyo.
Hayo ameyasema Leo Mkurugenzi wa Latra Habibu Suluo Jijini Dar es salaam alipokutana na wamiliki wa mabasi ya BM Coach,Super Feo,Abood Bus na Katarama Bus
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...