LATRA YAFUNGIA MABASI YA KATARAMA

  Рет қаралды 29,652

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Uthibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesitisha leseni ya safari ya mabasi ya Kampuni ya Katarama kwa kosa la kuchezea mifumo ya mwenendo ya mabasi yaliwekwa na Latra kwenye mabasi hayo ambayo kusitishwa kwake safari yanaanza kesho.
Kusimamishwa kwa leseni hiyo ya usafirishaji ni hadi uchunguzi utakapofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Mamlaka hiyo.
Hayo ameyasema Leo Mkurugenzi wa Latra Habibu Suluo Jijini Dar es salaam alipokutana na wamiliki wa mabasi ya BM Coach,Super Feo,Abood Bus na Katarama Bus
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...

Пікірлер: 105
@bonyngoyindengoyinde6139
@bonyngoyindengoyinde6139 5 күн бұрын
Mimi niltok mwanza saa8 mchan na KATALAMA 11 alfajil nikaingia Magufur stendi, wadhibit naul speed wamwachie mwenyez Mungu
@Mdenya
@Mdenya 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 8 күн бұрын
Maashaallaah umeongea kwa ustaarabu wa hali ya juu unastahili kuwa kwenye hiyo ofisi
@benjaminwerema8758
@benjaminwerema8758 3 күн бұрын
Dar live huyo mtu wenu wa production hajui kazi yake vizuri, inakuwaje muongeaji anaongea huku akionesha kifaa afu yeye anatuonesha barabarani huko.. ajirekebishe
@ChiaChia-k2w
@ChiaChia-k2w Күн бұрын
Madeleva. Wana zalau mabalabalani Wana ovateki bila kuangalia mbere anaekuja kama mmeliona hili pia hongeleni sana. Kisa katalama. Kweeeli
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 8 күн бұрын
ONGERENI SANA LATRA KULINDA USALAMA WA ABIRIA,
@isayakiluswa1521
@isayakiluswa1521 3 күн бұрын
Kufungia safari za kampuny Fulani? Ni matumizi mabovu ya maamzi!,Kuna vitu vingi vinawweza sabababisha ajari,pia onyo nalo ni funzo kuliko kufungia,wakumbuke hayo magari yanalipa marejesho,Kuna askr anasababisha ajari.wapeni ruhusa waendelee au hamtaki scania Tz sauli mlimfungia nae
@yohanaantony5774
@yohanaantony5774 8 күн бұрын
Mkurugenz tunaomba nauli ziangaliwe Kwan mafuta yamekuwa yakishuka Mara kwa mara Ila nauli bado ni kuwa wamilik wa mabasi wanaendelea kunufaika huku wananchi wakiendelea kuumia tunaomba nauli zishuke
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 8 күн бұрын
Hapo nikweli maana yakipanda tena kidogo itaapanda zaid😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MgonjaFide
@MgonjaFide 6 күн бұрын
Wewe unaangalia mafuta tu tairi na vifaa vingine vya magari aaaaaa
@djhdscratchmaster4110
@djhdscratchmaster4110 5 күн бұрын
​@@MgonjaFidekwani wao wanapandisha kisa matairi? Mbona mnajitoaga ufahamu kwenye vitu vya wazi
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 4 күн бұрын
Kuna kitu bado hujakijua ukiona mafuta yameshuka shilingi mia kwa mwezi huu ujue mwezi unaokuja miatatu jaribu kufatilia kila jumatano ya mwanzo wa mwezi nilazima bei ya mafuta ibadirike kwa kushuka au kwa kupanda ila nilazima mabadiriko yapo fatalia iyo utajua kwanini naur hazishuki
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 3 күн бұрын
Editor wa video mshamba sana unatuonesha picha za mitaaa wakati mtu anaonesha vitu vya maana alafu sauti zimepishana
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata 6 күн бұрын
Mie Nakumbuka walianza kufunga speed gavana kwenye mabasi lakini haikuzuia watu kufwa Kwa ajali ajali zitokeazo huku kwe2 nisawa na wanao kufa kule gaza Kwa kupigwa bom Kwan ukiona bus lililo tolewa roof ni Zaid ya bom napia ukiona ajali ya coster na Lori babati nizaodi ya shambulizi huko gaza mungu atusaidie jamani 🙏🙏🙏 ahsante mungu
@RomanusBussa-g7q
@RomanusBussa-g7q 8 күн бұрын
Muna upendeleo bro new force PAMOJA na BM mumeacha wap
@magigesabai8674
@magigesabai8674 8 күн бұрын
sababu newforce ni ya wachina
@LucyBalilemwa
@LucyBalilemwa 7 күн бұрын
Bm mbona imetajwa
@akidajulius8397
@akidajulius8397 8 күн бұрын
KWAKWELI, MABASI YOTE YANAFANANA TU, SIJAONA LA NAFUU ,
@CafeJohn-n9o
@CafeJohn-n9o 5 күн бұрын
Aya basisi ya usiku nihatari sana yaani basi rimejaaa lakini usiku wanabeba abiria ambao wanakariwa apo chini wanakuwa nimengi muno nihatari sana
@MehmetMtonga
@MehmetMtonga 12 сағат бұрын
Katarama magari yake mazuri wivu
@JustinMwakalukila
@JustinMwakalukila 8 күн бұрын
MADEREVA wa MABASI 75% wana RISK sna maisha ya ABIRIA alaf shda sio tyu namna wanavokimbia lkn pia atanamna Wanavochukua OVERTAKE yaan hawana tahdhar kabsaa,me huwa nasafir mara kwa mara najionea na nina video za ushaidi wa MABASI mengi tyu,alaf njian wanafosi kupakia wkt BUS limejaa baaz ya makampun wanaweka ndoo katikat ya kiti na kit mtuu anakaa yan ni shda HUKO BARABARAN
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy 6 күн бұрын
Watanzania tuache rohombaya yani baada kuona katarama katoa vyuma vipya bas mmeanza chokochoko hayosiomaisha niupotofu wa fikra
@dostovan5142
@dostovan5142 6 күн бұрын
Ndugu wakipploteza maisha kwenye ajali ndo utaelewa
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 7 күн бұрын
Nauli jaman nauli nauli mesahau kuzungumzia mnatukanyaga sana
@VirianWere-n3v
@VirianWere-n3v 2 күн бұрын
Hakika
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 8 күн бұрын
Msameheni ni binadamu huyo amelipa kodi, apewe somo zaidi kuna watu wanapata riziki kwao
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 8 күн бұрын
Unaongea kitu ambacho haukijui maana hayo mabasi aisee ni hatari niliwahi kusafiri na Moja wapo safari ya usku wanaovateki kuliko kawaida
@coyancodavao4004
@coyancodavao4004 2 күн бұрын
​@@philemonmagesa5548waongezewe adhabu
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 8 күн бұрын
Duuuh kweli bongo hata waweke roboti wahuni watalichokonoa t mpaka lipoteze fahamu
@norobo205
@norobo205 8 күн бұрын
Tatizo mkiyafungia wanakuja na majina mapya
@MAJALATV485
@MAJALATV485 7 күн бұрын
Mmeshindwa kudhibiti Nauli mnafungia mabasi jitafakarini
@coyancodavao4004
@coyancodavao4004 2 күн бұрын
Nauli na roho bora nn?
@MAJALATV485
@MAJALATV485 7 күн бұрын
Latra acheni ubabaishaji mngekuwa mnamiliki mabasi msingekuwa mnafanya mambo yenu ya kufungia magari......Jitafakarin utendaji wenu
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 8 күн бұрын
Tatizo ni madreva nahuo wito mtoe kwa madreva lkn sio kwa matajili Katarama wakovizuli na ana watejawengi pia jinalake matajili wanalihofia linaweza kuwazidi hapobadae kwasababu Katarama anampango wa kumwaga basi nyingi mikoayote karama anapendwa sana naabilia ilaafuate Shelia zabarabarani
@kelvinnkaka5008
@kelvinnkaka5008 5 күн бұрын
And also check speed limiters kwa magari mengine ya Golden deer ambao yana safiri usiku kutoka Tunduma kwenda Dar es salaam.
@JoshuaSama-gc5xm
@JoshuaSama-gc5xm 2 күн бұрын
Shida siyo katalama shida ni Ratra hawako makini nakazizao.
@saltechnologiesco.ltd.2377
@saltechnologiesco.ltd.2377 5 күн бұрын
Hiyo kampuni ilipaswa kushtakiwa pia kufungiwa pekee haitoshi maana hawajali abiria wao pia mtu akiachwa(bus zao huwahi kabla ya muda rasmi wa kuindoka) wao husema abiria ndio kaacha bus!! Pia Green Line imulikwe
@jamaa2760
@jamaa2760 8 күн бұрын
,MABASI yanayopakia abiria Stendi kuu ya Mabsi Dodoma,, hawatoi tiketi za kielectronik
@user-cz5oy1od5d
@user-cz5oy1od5d 6 күн бұрын
Hamna lolote ni mbwembwe tu za LATRA. Wakitoa kitu kidogo Kesho tutaiona Katarama barabarani.
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 3 күн бұрын
MABAS 4 DRIVERS ROHO Z BINADAM JAMAN DESTANS
@MehmetMtonga
@MehmetMtonga 12 сағат бұрын
Kisanini
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 5 күн бұрын
Ukiona hivi ujue SGR haina wateja😮
@silvanussallu952
@silvanussallu952 3 күн бұрын
Gari za umma hyo mispeed
@MehmetMtonga
@MehmetMtonga 12 сағат бұрын
Kunakustafffu
@HashimMpenda
@HashimMpenda Күн бұрын
Latila shusheni nauli
@CafeJohn-n9o
@CafeJohn-n9o 5 күн бұрын
Unariipa nauri 55000 lakini uko kwenye watu wanakarishwa hapa chini kama wrote kama akitaka kulala anaanza kukuendemea kwenye miguu nihatari sana maasikari wewe wanakaguwa basi yanayofari usiku
@MorsadHamisi-nz4rd
@MorsadHamisi-nz4rd 4 күн бұрын
Kwa b.m tu iyo tuzo anastahiki kwa hakika
@Tee-King
@Tee-King 8 күн бұрын
KATARAMA vurugu lakini akuna ajali wasio na vurugu ndio ajari tatzo pia wajaribu kufatilia vizur mana lipo pia tatzo kubwa hasa uzembe wa madereva nakuto kufuata sheria za barabarani ivyo ni 70% ndio inasababisya ajali.
@stanslausbereghe3819
@stanslausbereghe3819 4 күн бұрын
Onyesha kifaa tuone, huna/umekosa umakini hapo
@ShinagalaPaschal
@ShinagalaPaschal 3 күн бұрын
Hivi kwanini katarama tu au aliwapa Nini ally's huonionevu
@paullluhanyapaullluhanya2446
@paullluhanyapaullluhanya2446 8 күн бұрын
Katarama mnamuonea jaman
@Ally-s2u
@Ally-s2u 4 сағат бұрын
Producer wa hii video arudi shule bado hajaitimu mafunzo
@johnluis35
@johnluis35 8 күн бұрын
Au la wekeni muda wa kufika kila sehemu mbona awamu ya Tano mliweza
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 8 күн бұрын
Tena hiyo itapungua ajali
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 8 күн бұрын
Katarama mumemuonea kabisa
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 8 күн бұрын
shida si wamiliki wa mabasi,shida ni madereva,wabaneni madereva kwa sheria kali,akisababisha ajali faini alipe dereva,na akisababisha ajali mbaya anyang'anywe leseni yake!!mnawaonea wamiliki,maana wamiliki hawajawatuma kuendesha hovyo barabarani!! Mnawang'ang'ania wenye mabasi mnawacha waliobeba dhamana ya roho za abiria!!
@sundaynurdin2864
@sundaynurdin2864 8 күн бұрын
Mwenye basi ndo Kila kitu akisema gari yangu isikimbie dereva Hana mamlaka
@browntv1119
@browntv1119 8 күн бұрын
WACHUNGUZENI NA ALLYS ZA DAR -KANDA YA ZIWA
@PeterLoina-g1p
@PeterLoina-g1p 5 күн бұрын
Mimi ninawaambia msiwemnakimbizamagari hapana kwaiyo akiki mbiza fungia kampuni tumeonywa super feo naneweforce
@GodfreyMwino
@GodfreyMwino 5 күн бұрын
hawa nao ni kirusi sasa hawaeleweki wameshindwa kusimamia nauli kufungia tu .magari ya watu sasa kama katarama unamfungia je huyo Ally star vp hizi nazo ni rushwa kwa wawekezaji mjihadhali na hizo tama zenu
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 5 күн бұрын
Agozeni wachina watengeneze magari ya speed 50. Sio kusumbua wamiliki mara govenor mara nini. Kingine mbavu za mbwa bolt zinalegea ajali zinatokea mnasema mwendo kasi
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 5 күн бұрын
Latra nunuen ma basi yenu tuyaone acheni kutisha raia,madereva ndoo awajbshwe
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 8 күн бұрын
We mwandishi mbona Fala unahamisha kamera kwenye kikao unatuonyesha barabara
@sadamissa5687
@sadamissa5687 8 күн бұрын
Kama fala
@KassimAlly-w4y
@KassimAlly-w4y Күн бұрын
Na ally's je
@charlesmajiwa6771
@charlesmajiwa6771 7 күн бұрын
Hii itakuwa chuki na njama za wenye mabasi wengine maana katarama ajaongeza nauli kama wengine afu ana wateja wengi. Cha apili auwez linganisha scania na hayo magar mengine, ata ukiweka spidi mwisho 80 katarama itakuwa mbele tu
@mastidiawamara1264
@mastidiawamara1264 7 күн бұрын
Jamani Katarama mbona mnamuonea?
@shabanimbega40
@shabanimbega40 7 күн бұрын
Na kubwa Kwa nini hawatoi ticket za mitandao shida nini maana zile hazitambuliki kwa sasa fanyieni kazi kwenye ukaguzi wa tiketi
@MaryShayo-tg4vq
@MaryShayo-tg4vq 8 күн бұрын
Msije mkaatumbia hizo fitna acheni makasiriko tafuteni Hela
@RevocatusSebastian-c8o
@RevocatusSebastian-c8o 8 күн бұрын
Madereva wanaowaajiri ni macharii wadogo wanapenda kukimbizana hawajali roho za watu
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 7 күн бұрын
Hakuna wa unafuu hapo meangalia Nani ana jina kubwa mjini ndicho nilichogundua Alafu mnazungumza mnaacha kuhusu nauli zimepanda sana kwani mafuta inamana mpaka sasa bado yamepanda 2 au ndo hivyo mafuta yanaza panda nakushuka nauli inabaki pale pale
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 8 күн бұрын
😢
@MurunguwetoshaDeheaven
@MurunguwetoshaDeheaven 8 күн бұрын
Katarama walinunua mabas wakapaka rangi yao, nilipanda likanifia dodoma
@MohadiTv
@MohadiTv 8 күн бұрын
Hii nchi ni yahasara sana unafungiaje mtu biashara akati unatakiwa umuonye mtu ndo akikosea tena ndo mumuazibu kaka peleka basi zako ata mombasa achana na mchi yenye umasikini Adi wa akili
@AlfaSaa-j4h
@AlfaSaa-j4h 8 күн бұрын
Viongozi hawa wa hovyo kabisa. Katalama mnawaonea tu wapuuzi mmepesa mlungula nini
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 8 күн бұрын
Abud na bm hawaheshimu sheria za barabarani kwenye taa hawasimami
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 8 күн бұрын
Yani ni noma sana hayo mabasi
@JacksonMahelo-dx2it
@JacksonMahelo-dx2it 8 күн бұрын
Mbona maneno yanayo tamkwa na yamdom nitofaut
@johnluis35
@johnluis35 8 күн бұрын
Wekeni speed limit za mabasi mbona shabiby kashawashauri mara nyingi , leteni basi za speed max 80kph
@2116-n
@2116-n 8 күн бұрын
Sasa si ndio hicho alichokilalamikia mkurugenzi, wamewekewa lkn wamekichokoza
@DanielKusongwa
@DanielKusongwa 7 күн бұрын
Nyie mmesahau new force za sumbawanga
@mohamedamini4268
@mohamedamini4268 7 күн бұрын
Latra mnataka pesa tu hapo ukisajiliwa Dereva ndio hupati ajali? Latra mnajifanya mahakimu .
@Chamlola
@Chamlola 8 күн бұрын
Bora afungiwe huyo katarama amezidi kageuza kama serikali ya kwake bwanaaa
@Bonifaskagoma
@Bonifaskagoma 8 күн бұрын
Tafta hela upunguze chuki kwa waliofanikiwa.
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 8 күн бұрын
Chawa wa Allys sio 😂😂😂 Kafie mbere huko
@Chamlola
@Chamlola 8 күн бұрын
@@hatibumohamedi3471 sio chawa mmetuchosha mitandaoni na Eliza zenu mbovu gari zimekuja zishatembea kilometa 15 milioni bado mnaleta vimaneno vya kwenye kanga nunueni polo mpya kama mna jeuri
@Chamlola
@Chamlola 8 күн бұрын
@@Bonifaskagoma anunue gar mpya kama kweli kafanikiwa sio magari mabovu used
@Bonifaskagoma
@Bonifaskagoma 8 күн бұрын
@@Chamlola hahhahahhaa aya bhn ila nadhan ni mpya maana kila gari pale kachukua kwa bil.4.3
@Japanese-lz1or
@Japanese-lz1or 8 күн бұрын
Latra acheni makasiriko na katarama 😡😡😡
@DevisMadath
@DevisMadath 3 күн бұрын
😅😅😅😅
@MehmetMtonga
@MehmetMtonga 12 сағат бұрын
Sababu nini wewe mzee
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 7 күн бұрын
Tanzania BONGO MOVIES 😅😅
@FredsonIvan
@FredsonIvan Күн бұрын
😡
@abdallahomary515
@abdallahomary515 7 күн бұрын
Na wewe mkulugenzi nunua basi uone ugumu wa biashara, biashara ni ngumu sana, kingine muishauri serikali iendelee kuboresha Barabara ikiwezekana ile miji yenye misongamano kuwe na barabara za basi ili kurahisisha abiria kufika kwa wakati, mfano Dodoma dar kuwe na njia ya mabasi tu, pia mtaleta ushindani wa kibishara, ukweli usio pingika abiria wengi wanapenda basi linalo kimbia ili wawahi mambo yao, Kwa hiyo hata nyie watendaji mnatakiwa kufikiria tofaufi ili msiwakwamishe wamiliki wa hayo mabasi kwani wamewekeza pesa nyingi, fikirieni sana ajali wakati mwingine Zina sababishwa na miundo mbinu, mfano ni kama pale wame Kila mara palikikua panaripotiwa ajali lakini kwa sasa hali imekua shwari, kwahiyo wakati mwingine msikimbilie madili ya kuwauzia watu hivyo vifaa wakati labda mngetengeneza miundo mbinu rafiki kwaajili ya usafiri kwa wananchi
@Worldunite
@Worldunite 8 күн бұрын
Tatizo, jee na nyie mnatumia usafiri wa umma????????
@jumaothman9449
@jumaothman9449 8 күн бұрын
Kampuni inayoongoza kuchukuwa abiria wasio na ticket ni ABOOD BUS sijui mana Kuna kampuni nyengine inayomuingia kwa kufanya hivyo. Ila pia yupo makini njiani haendi mbio anaendesha kistarabu sana hasa ikisafiri nae usiku.
KATARAMA MZIGONI TENA, LATRA YATOA MAAGIZO
5:30
Daily News Digital
Рет қаралды 5 М.
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 47 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 26 МЛН
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Angry Sigma Dog 🤣🤣 Aayush #momson #memes #funny #comedy
00:16
ASquare Crew
Рет қаралды 50 МЛН
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 129 М.
ASKARI MZEMBE ALIVYO ANGUKA MBELE YA RAISI, UTACHEKA UFE
8:52
AngloGold Ashanti Geita Gold Mine Case Study
15:38
International Code of Conduct Association ICoCA
Рет қаралды 1,5 М.
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 47 МЛН