Ninakushukuru sana Pr Joel kwa presentation iliyonigusa saana!
@RayaRashid-qc8cn3 ай бұрын
Mungu akubariki kaka
@shukranjulius952621 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel
@MartinGwichara3 ай бұрын
Oyah ninapita katika kipindi hicho na ninararijika sana na darasa ambalo linatibu majeraha hayo nafikiri Mungu amenielekeza.
@mwamijeremiah89752 ай бұрын
Sauti ipo chini sana
@HumphreyKitime3 ай бұрын
Ahsante kaka nimekutana sana na hali hzo tena zote kwa ujumla but now nyingi nimezivuka nikosawa,, but nataman ningekua niliipata hii elimu kabla ,ahsante.
@neemadaudisospeter82113 ай бұрын
Nashukulu saaana ili ni tatizo linanisumbuaga saaana fikira
@JustinMalia-vs7lb3 ай бұрын
Thx u make to see next side thx so much💕🥰🫶🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@godfreygerase87133 ай бұрын
Naaam mwalim ni kweli wengi tunafeli sana kwa fikila bila kutenda!! Lakini kwa upande wang na wengine ii inaweza kuwasaidia mm nilijiwekea msimamo kwamba kila tatizo linalokuja mbele yangu ni kusudio ka mwwnyezi mungu kunitoa nilipo kupiga atua kuubwa mbele kunikomaza akili!! Kama bado unapumua jiaambie kwamba unaweza kwa kila jambo!!
@ZabronManunda3 ай бұрын
Asant bro
@JackMaxc3 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri wako nape da Sana kukufatiliya kaka
@JohnMakongo-tg3ms3 ай бұрын
Asantee kwa fundisho hili na mengine mengi nimejifunza kuwa hakuna tatizo lisilokuwa na solution