Joel Nanauka nakupenda sana kaka,,,be blessed abundantly zidi kumpendeza Mungu na akuzidishie neema hii ili kutusaidia sisi ❤❤
@godfreygerase87133 ай бұрын
Watu wanasema usichukie maamzi mwenye tafta ushauli kwa wenzako ambapo kila mtu anakupa wazo lake kutokana na anavyoelewa!! Mm naona kila jambo lazima lipitie kwa mwenyezi mungu ndo msaada pekee kwenye maisha yetu. Mungu akubaliki kakaang nakupenda sana!! ❤
@FadhiliLimbwilindi2 ай бұрын
Mwalimu joel nikwel unasema vitu sahii kabisa
@GodwinSimion-wq4bk3 ай бұрын
❤Barikiwa kwa kile Mungu anachokupatia ili utupatie sisi.
@lilianjoseph11443 ай бұрын
Hapana aisee Joel wewe ni nabii wa Elimu ya maisha una kitu kikubwa na Mungu yuko ndani yako i see me at the TOP!
@stapinuswilliam8602 ай бұрын
The best food of the brain ever #THANK YUO COACH
@jichofoundationtv68932 ай бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho yako yana uamusho wa ndani
@rhabrhab17973 ай бұрын
Ameni mutumishi umeniinua kiwango kingine kupitia mafundisho uako
@salumsafari59143 ай бұрын
Mwenye Mungu akupe ufahamu zaidi uendele kutu ongoza katika Maisha haya haswa kwa kizazi hichi .Amen 🙏
@goldiegranted55013 ай бұрын
Nimebarikiwa 🏆
@IbrahimDaudi-bo7ke3 ай бұрын
Mimi Nimeshukuru Sana Na Mafunzo Yako Coz Nilikuwa Mtu Wachini Sana Kutoka Nimeanza Kukufwatilia Nimeinuka Nazidi Kuamka Mungu Akuweka Miaka Mingi Shukrani Sana Kaka❤❤❤❤
@user-om7pl9xm4s3 ай бұрын
Life reality ........... something to catch here 🤔🤝✍️💘🇹🇿
@josephtesha8723 ай бұрын
Asantee kwa ujumbe 🙏🙏
@donartibrahim18243 ай бұрын
da Aise Audio hi imenipa nguvu sana kwa Ndoto yangu nayoitarajia🤍🍃 shukran san Lord bless you..
@Ismailhemed3 ай бұрын
Kazi nzuri san kak mungu akujaalie uzima uweze kutupatia mambo mapya kila siku
@levinampwepwa1533 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@AkiliChipalu3 ай бұрын
Duuuuuuh uyu brother yupo vizuri mungu amjalie
@abdulfatahjuma31053 ай бұрын
More blessing...more success....Let to keep going...never give up
@samuelmwakasendile35843 ай бұрын
Somo zuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@mloweapple86783 ай бұрын
Nko hapa nalisha ubongo wangu .Asante kaka joel❤
@herimailo81833 ай бұрын
Tusongembele Kaka mungu akujaalie afya njema.
@shukranjulius95263 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka kiukweli unanibariki kila siku
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante sana coach Joel...... mungu azidi kukubariki......mm chai Yako nikipa na share......sai Niko na badhi...ya watu Joel...waneanza kukufatilia kw umakini xana🙏🙏
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Kwamfano kama mim nipo desperate kwenye mahusiano kabisa Yan naona hamna jipya Yan..Sina expectations kabisa..Kila ninapopata mtu mpya nikipanga nae ahadi tu Yan nakuwa sina nguvu kabisa ya ahadi yoyote,,hatimae inanifanya narudiana na ma x Yan kuanza moja kwenye mahusiano kwangu ningumu..alafu nilikuwa sijui kama nimepoteza nguvu ya matarajio..Yan nimekata tamaa