Kaka ni kweli kabisa, hata kanuni za Kiroho yaan kwenye Iman ya Dini ipo hvyo. Tunawadhulumu sana waajiri wetu tukiamini wao hawana shida.
@user-kw6bv9qp4e23 күн бұрын
Yah maisha nikinyume ukipanda dhuluma na wewe utavuna dhuluma amen mr.joel❤
@MohamedNgamba22 күн бұрын
Hongera xana bro Joel kwa ubora mafunzo yako kitu kimoja Cha kipekee xana huna matangazo mengi you always start with "KARIBU KWENYE LIFE WISDOM SERIES" big up sana huna Mambo Kama cile " Kama ndo Mara ya kwanza kuangalia Chanel hii subscribe Mara bonyeza alama ya kengele" ❤
@joelnanauka22 күн бұрын
Nashukuru sana, tuendelee kujifunza na kuwashirikisha wengine
@rollingsmiller951420 күн бұрын
Asante kaka MUNGU akubariki kwa mafundisho haya mazuri
@stellasoraya113823 күн бұрын
Naomba kaka Joel uandae pia kwa watu wa Arusha tuko tayari kupata kongamano
@user-je2qo8cp9e23 күн бұрын
Mungu akubarik kaka hakika usipo thamini cha mwenzako hata cha kwako huwezi kukithamini❤