LIFE WISDOM : JINSI WASHINDI WANAVYOWAZA (WINNERS MENTALITY) - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 37,722

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 70
@LeilaMjaka
@LeilaMjaka 9 ай бұрын
Nimejikuta mm Ni wakwanza kabisa leo.... Alhamdullilah....Kaka Joel nyumban waninibeza na kunizalau wananitania leo ujamsikiliza uyo Kaka yako wakinikuta nakisikiliza wanamwambia mtoto Wang mdog mama jako ndo yupo biz kumsikiliza mjomba wako.kifup wananizarau mno lkn mm nawaambia mutashuudi kwa macho yenu inshaallah....Kaka yangu mungu akubalik
@godfreygerase8713
@godfreygerase8713 9 ай бұрын
Naaam mwalim ni mtu anaelezea kuusu ayo akikudhalau uyo ongeza bidii zaid na maarifa kama somo la leo kushinda waza kama mtu mshindi ipo siku utafanikisha jambo lako nguvu moja tukutane at top🎉
@joelnanauka
@joelnanauka 9 ай бұрын
Hongera kwa kuendelea kujifunza, watayaona matokeo, endelea kujifunza
@fridamwalongo9892
@fridamwalongo9892 9 ай бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka Mungu akubariki sana Hakika mafundisho yako yamenivusha mnoo
@GabrielAmede-h8d
@GabrielAmede-h8d 9 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao
@GabrielAmede-h8d
@GabrielAmede-h8d 9 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao kuliko ninavyojiona mimi....
@avitus-thobias
@avitus-thobias 9 ай бұрын
Ahsante I'm still growing everyday, MUNGU wa Mbinguni akakuangazie nuru za uso wake na kukufadhili✋🏻
@farajmanuar3589
@farajmanuar3589 4 ай бұрын
Ubarikiwe kaka..
@godfreygerase8713
@godfreygerase8713 9 ай бұрын
Naaam mwalim mm sina elimu saaana lakini nina uwezo wa kuongeza mawazo na ushauli kwa watu na namshukulu mungu nimekupata mwalim wa kunifungua ubongo zaidi kuongeza ujuzi zaidi!! Na naongezea apo kama una mpango wa kufika at top bas nakushaulu usigeuke kuangali nyuma utasimama nyuma kuna wengi wanalia utawaonea uluma nawewe kubaki pale ulipofikia sogea ufanikiwe ludi umpe msaada!! Asante mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
@Justinmax-p7n
@Justinmax-p7n 4 ай бұрын
Unasema una uwezo wa kuonge za mawazo
@NickGamba-ft8tl
@NickGamba-ft8tl 7 ай бұрын
Asanteee Mwalimu Arthur Joel
@Jrmontaiza
@Jrmontaiza 8 ай бұрын
Thank you 🙏
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 9 ай бұрын
Naam Najifunza kila siku jambo jipya kwako mungu Hazidi kukutumiya. Kwa faida ya watu wake shalom
@masterkey536
@masterkey536 4 ай бұрын
Ujumbe mzuri xana 🎶🎶🎶🎙️
@eliasludamila4600
@eliasludamila4600 9 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia na kukutunza Mwana wa Mungu
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 4 ай бұрын
Hongeraaa kaka tunabarikiwa sana🎉
@MagrethJoseph-fc6sg
@MagrethJoseph-fc6sg 9 ай бұрын
Asante sana kaka nazid kujifunza kila siku na nazid kuboresha biashara na maisha yangu ya kazi kupitia wewe Mungu akubariki sana sana kaka yangu🙏🏼🙏🏼🙏see me at the top💪💪
@Emily-s3w5w
@Emily-s3w5w 15 күн бұрын
Asante sana nimepata kitu God bless you 🙏
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n 3 ай бұрын
Thanks my brother GOD bless you
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 5 ай бұрын
Nmekuelewa sana mwambaaaaaa
@AlexVenance-s1b
@AlexVenance-s1b 4 ай бұрын
Napenda sana kujifunza kupitia kwako bro nanauka.
@Irene-rt4bf
@Irene-rt4bf 9 ай бұрын
Joel ndugu yanguvhii kazi yako iko na capital
@Eva-f4n
@Eva-f4n Ай бұрын
Ubarikiwe sana baba jmni
@CharlesManingu
@CharlesManingu 9 ай бұрын
Shukhurani sana umenifunza sana
@PastorBenjamin-m4x
@PastorBenjamin-m4x 6 сағат бұрын
Asante sana
@thomasgervas5883
@thomasgervas5883 Ай бұрын
Ahsante Sana
@johnsemuna3670
@johnsemuna3670 6 ай бұрын
Nakufatilia sana na kujaribu kufanyia kazi elimu yako kweli naona mabadiriko ila shida sauti yako inakuwa chini kiasi
@hawahawaynat-ps1tu
@hawahawaynat-ps1tu Ай бұрын
Shukran san broo😊
@Am-ryn
@Am-ryn 9 ай бұрын
Thanks Kaka sitachoka kukushukuru🙏🏽Naendelea kujifunza✍️kuna mahali nilikwama lakini Leo nainuka tena💪
@josephtesha872
@josephtesha872 3 ай бұрын
Santee🙏
@hamprehymuniss7458
@hamprehymuniss7458 3 ай бұрын
Kaka umeniongezea ufaham kwenye ubongo wangu Mungu akulinde kaka
@MosesAmenye
@MosesAmenye 9 ай бұрын
Asante sana najifunza vitu vingi sana kutoka kwako ♥️
@yohanageorgekika2240
@yohanageorgekika2240 9 ай бұрын
Asante kwa somo nzuru mungu akubarika kaka Joel.
@petermunuo1657
@petermunuo1657 8 ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@FordNzowa-o7f
@FordNzowa-o7f 9 ай бұрын
Nashukuru bro najifunza vitu vingi Sana mwenyezi MUNGU akulinde
@yusteriddy
@yusteriddy 8 ай бұрын
Asante Sana Joel Nana uka
@chamiapolnaly
@chamiapolnaly 9 ай бұрын
Mwalimu ubarikiwe sanaa
@Willybright-zb9nc
@Willybright-zb9nc 8 ай бұрын
i get u 💡
@josephtesha872
@josephtesha872 8 ай бұрын
Asantee nimejifunza🙏
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 9 ай бұрын
Kazi nzuri
@RitherLivigha-blessed
@RitherLivigha-blessed 9 ай бұрын
Asante broo💪
@Abjadiabasi
@Abjadiabasi 9 ай бұрын
Shukran kk Joel nanauka 🙏🤝
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn 9 ай бұрын
Nimejifunza kitu asant
@Shedrackh
@Shedrackh 9 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@NdombNdombafoxx
@NdombNdombafoxx 8 ай бұрын
Thanks GOD bless you
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 9 ай бұрын
Ahsante sana brother, nimejifunza
@hidayaismail-fk1js
@hidayaismail-fk1js 7 ай бұрын
the task of the winners is to see how they can win
@janetmbwana553
@janetmbwana553 9 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏
@mcmhenga6981
@mcmhenga6981 6 ай бұрын
Joel umekuwa ni shule kubwa nimekuwa najifunza na ninaendelea kujifunza mm ni mwanafunz wako ambae sitoroki vipindi vyako
@AbdallahFahm
@AbdallahFahm 9 ай бұрын
Unaupiga mwingi brother
@niriacatering172
@niriacatering172 9 ай бұрын
Asante
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq 7 ай бұрын
Ndasha unaongea point na ushabiki
@ShukranJulius-n6y
@ShukranJulius-n6y 20 күн бұрын
Kaka yangu nakosa maneno ila barikiwa na kuzidi
@ElishaKolongo
@ElishaKolongo 9 ай бұрын
Hakika
@jhstationery5220
@jhstationery5220 9 ай бұрын
sauti
@paulmaguwa45
@paulmaguwa45 3 ай бұрын
Kupitia maneno haya yatanifanya kufika Mahali flani
@nyiranzimami728
@nyiranzimami728 9 ай бұрын
👌👌💯👍
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi 9 ай бұрын
❤❤❤❤
@alexlucas1571
@alexlucas1571 9 ай бұрын
🙏🙏
@atuwenekesalia8571
@atuwenekesalia8571 9 ай бұрын
Ansate kaka nimepata kitu
@ramadhanmkenda5918
@ramadhanmkenda5918 9 ай бұрын
Kila hatua dua
@blessvevo
@blessvevo 5 ай бұрын
Nitapata je hicho kitabu mwalimu
@blessvevo
@blessvevo 5 ай бұрын
Mimi niko moshi mjini
@abeidmbarouk6280
@abeidmbarouk6280 9 ай бұрын
See u at the top
@MrishoMayunga-gk3sf
@MrishoMayunga-gk3sf 5 ай бұрын
Kaka joel ninawezaje kupata vitabu vyako??
@RogathoMangililwe
@RogathoMangililwe 9 ай бұрын
Nami na jifunza kitu kiongoz ila naomba endelea kutujenga nakama ingewezekana naomba hata namba ya mawasiliano mwalimu
@blessvevo
@blessvevo 5 ай бұрын
Niko moshi mjini nitapata je vitabu yako
LIFE WISDOM : NYAKATI ZA NGUVU KUISHA - JOEL NANAUKA
13:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
VIASHIRIA 10 VYA MWANAUME MUOAJI - MIN.SUNBELLA KYANDO
24:53
Reality of Christ Church
Рет қаралды 318 М.
LIFE WISDOM : PRESHA ZA MAISHA - JOEL NANAUKA
16:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 14 М.
LIFE WISDOM : UJASIRI - JOEL NANAUKA
14:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 25 М.
LIFE WISDOM : AINA 7 ZA UTUMWA WA KISASA - JOEL NANAUKA
16:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.
FANYA HAYA KUTIMIZA MALENGO YAKO 2025 || JOEL NANAUKA
23:04
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 80 М.
Tabia za Mafanikio | Ushauri kutoka matajiri wa dunia
7:39
Elimika Tz
Рет қаралды 62 М.
NATAMANI NINGEYAJUA HAYA 03 KABLA YA MIAKA 20 || JOEL NANAUKA
18:36
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 42 М.