Nimejikuta mm Ni wakwanza kabisa leo.... Alhamdullilah....Kaka Joel nyumban waninibeza na kunizalau wananitania leo ujamsikiliza uyo Kaka yako wakinikuta nakisikiliza wanamwambia mtoto Wang mdog mama jako ndo yupo biz kumsikiliza mjomba wako.kifup wananizarau mno lkn mm nawaambia mutashuudi kwa macho yenu inshaallah....Kaka yangu mungu akubalik
@godfreygerase87139 ай бұрын
Naaam mwalim ni mtu anaelezea kuusu ayo akikudhalau uyo ongeza bidii zaid na maarifa kama somo la leo kushinda waza kama mtu mshindi ipo siku utafanikisha jambo lako nguvu moja tukutane at top🎉
@joelnanauka9 ай бұрын
Hongera kwa kuendelea kujifunza, watayaona matokeo, endelea kujifunza
@fridamwalongo98929 ай бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka Mungu akubariki sana Hakika mafundisho yako yamenivusha mnoo
@GabrielAmede-h8d9 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao
@GabrielAmede-h8d9 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao kuliko ninavyojiona mimi....
@avitus-thobias9 ай бұрын
Ahsante I'm still growing everyday, MUNGU wa Mbinguni akakuangazie nuru za uso wake na kukufadhili✋🏻
@farajmanuar35894 ай бұрын
Ubarikiwe kaka..
@godfreygerase87139 ай бұрын
Naaam mwalim mm sina elimu saaana lakini nina uwezo wa kuongeza mawazo na ushauli kwa watu na namshukulu mungu nimekupata mwalim wa kunifungua ubongo zaidi kuongeza ujuzi zaidi!! Na naongezea apo kama una mpango wa kufika at top bas nakushaulu usigeuke kuangali nyuma utasimama nyuma kuna wengi wanalia utawaonea uluma nawewe kubaki pale ulipofikia sogea ufanikiwe ludi umpe msaada!! Asante mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
@Justinmax-p7n4 ай бұрын
Unasema una uwezo wa kuonge za mawazo
@NickGamba-ft8tl7 ай бұрын
Asanteee Mwalimu Arthur Joel
@Jrmontaiza8 ай бұрын
Thank you 🙏
@salomemrembo74829 ай бұрын
Naam Najifunza kila siku jambo jipya kwako mungu Hazidi kukutumiya. Kwa faida ya watu wake shalom
@masterkey5364 ай бұрын
Ujumbe mzuri xana 🎶🎶🎶🎙️
@eliasludamila46009 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia na kukutunza Mwana wa Mungu
@ThomasMmary-r7w4 ай бұрын
Hongeraaa kaka tunabarikiwa sana🎉
@MagrethJoseph-fc6sg9 ай бұрын
Asante sana kaka nazid kujifunza kila siku na nazid kuboresha biashara na maisha yangu ya kazi kupitia wewe Mungu akubariki sana sana kaka yangu🙏🏼🙏🏼🙏see me at the top💪💪
@Emily-s3w5w15 күн бұрын
Asante sana nimepata kitu God bless you 🙏
@MarcoPeter-y5n3 ай бұрын
Thanks my brother GOD bless you
@juliusjoseph48895 ай бұрын
Nmekuelewa sana mwambaaaaaa
@AlexVenance-s1b4 ай бұрын
Napenda sana kujifunza kupitia kwako bro nanauka.
@Irene-rt4bf9 ай бұрын
Joel ndugu yanguvhii kazi yako iko na capital
@Eva-f4nАй бұрын
Ubarikiwe sana baba jmni
@CharlesManingu9 ай бұрын
Shukhurani sana umenifunza sana
@PastorBenjamin-m4x6 сағат бұрын
Asante sana
@thomasgervas5883Ай бұрын
Ahsante Sana
@johnsemuna36706 ай бұрын
Nakufatilia sana na kujaribu kufanyia kazi elimu yako kweli naona mabadiriko ila shida sauti yako inakuwa chini kiasi
@hawahawaynat-ps1tuАй бұрын
Shukran san broo😊
@Am-ryn9 ай бұрын
Thanks Kaka sitachoka kukushukuru🙏🏽Naendelea kujifunza✍️kuna mahali nilikwama lakini Leo nainuka tena💪
@josephtesha8723 ай бұрын
Santee🙏
@hamprehymuniss74583 ай бұрын
Kaka umeniongezea ufaham kwenye ubongo wangu Mungu akulinde kaka
@MosesAmenye9 ай бұрын
Asante sana najifunza vitu vingi sana kutoka kwako ♥️
@yohanageorgekika22409 ай бұрын
Asante kwa somo nzuru mungu akubarika kaka Joel.
@petermunuo16578 ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@FordNzowa-o7f9 ай бұрын
Nashukuru bro najifunza vitu vingi Sana mwenyezi MUNGU akulinde
@yusteriddy8 ай бұрын
Asante Sana Joel Nana uka
@chamiapolnaly9 ай бұрын
Mwalimu ubarikiwe sanaa
@Willybright-zb9nc8 ай бұрын
i get u 💡
@josephtesha8728 ай бұрын
Asantee nimejifunza🙏
@ladslauspius48459 ай бұрын
Kazi nzuri
@RitherLivigha-blessed9 ай бұрын
Asante broo💪
@Abjadiabasi9 ай бұрын
Shukran kk Joel nanauka 🙏🤝
@GraceSteven-qq5hn9 ай бұрын
Nimejifunza kitu asant
@Shedrackh9 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@NdombNdombafoxx8 ай бұрын
Thanks GOD bless you
@emmanuelmwandu.31269 ай бұрын
Ahsante sana brother, nimejifunza
@hidayaismail-fk1js7 ай бұрын
the task of the winners is to see how they can win
@janetmbwana5539 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏
@mcmhenga69816 ай бұрын
Joel umekuwa ni shule kubwa nimekuwa najifunza na ninaendelea kujifunza mm ni mwanafunz wako ambae sitoroki vipindi vyako
@AbdallahFahm9 ай бұрын
Unaupiga mwingi brother
@niriacatering1729 ай бұрын
Asante
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq7 ай бұрын
Ndasha unaongea point na ushabiki
@ShukranJulius-n6y20 күн бұрын
Kaka yangu nakosa maneno ila barikiwa na kuzidi
@ElishaKolongo9 ай бұрын
Hakika
@jhstationery52209 ай бұрын
sauti
@paulmaguwa453 ай бұрын
Kupitia maneno haya yatanifanya kufika Mahali flani
@nyiranzimami7289 ай бұрын
👌👌💯👍
@HalimaAmadi9 ай бұрын
❤❤❤❤
@alexlucas15719 ай бұрын
🙏🙏
@atuwenekesalia85719 ай бұрын
Ansate kaka nimepata kitu
@ramadhanmkenda59189 ай бұрын
Kila hatua dua
@blessvevo5 ай бұрын
Nitapata je hicho kitabu mwalimu
@blessvevo5 ай бұрын
Mimi niko moshi mjini
@abeidmbarouk62809 ай бұрын
See u at the top
@MrishoMayunga-gk3sf5 ай бұрын
Kaka joel ninawezaje kupata vitabu vyako??
@RogathoMangililwe9 ай бұрын
Nami na jifunza kitu kiongoz ila naomba endelea kutujenga nakama ingewezekana naomba hata namba ya mawasiliano mwalimu